MTANZANIA ALIVYOCHOMWA MOTO ZAMBIA/MAPYA YAIBUKA/"WAZAMBIA WANADAI WATANZANIA WACHAWI"/BALOZI ANENA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 77

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 11 měsíci +14

    Naijuwa Zambia nimeishi hapo miaka ya1998 nilipata matatizo nikaenda ubalozini balozi alikuwa Ni ndugu wa melecela alinifukuza kama mbwa jiteteni wenyewe mabalozi hamna kitu

    • @material_liv4674
      @material_liv4674 Před 11 měsíci +3

      Hata hapa UK walinifukuza kama mbwa mabalozi sometimes ni washenzi sana.

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 Před 11 měsíci +1

      Yaani ni baadhi yao hawana msaada wowote.mimi nilikuwa na shida na boss wangu Nikiwa Oman nikampigia balozi hakunipa msaada wowote zaidi ya kuniambia rudi nyumbani hutokufa njaa.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 11 měsíci

      Sasa kazi yao ni nini? Hao mabalozi ???? Kazi kuwassidia watanzania ugenini😢

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Před 11 měsíci +4

    Kumbe kweli ni ngumu kichwa kuzidiwa na uzito wa nywele zake.Pole ndugu zangu mjitetee wenyewe watu wanakufa wanapewa siasa tu.Matumizi mabaya kodi zetu

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Před 11 měsíci +2

    Iyo kunyanyaswa watanzania nchi za jirani siyo ya kujadili ni habari wa kweli. Sielewi tatizo nini na serikali inafikiria nini?. Wakija kwetu wao tunaishi nao kwa amani.

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 11 měsíci

      Nikweli usemacho sisi wakarim wapo wageni wengi huwezi kumpangia bei ya biashara

    • @johnfatal2282
      @johnfatal2282 Před 11 měsíci

      Inabidi na sisi tuwazingue hao makuma2

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 Před 11 měsíci +11

    Ukiwa mgeni kwenye nchi ya watu kuweni wataratibu na mtii sheria za nchi husika

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 Před 11 měsíci +4

    balozi yupo kwa ajili ya masirahi yke hata huku kwetu ni hayo hayo tu

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 11 měsíci +8

    Napita sana hii njia,wazambia wana roho mbaya achaa

  • @JanetNjobvu-xf4vq
    @JanetNjobvu-xf4vq Před 2 měsíci

    Roho bado inaniuma sana kumuchoma kaka wawatu bila kosa wazambia wanaroho mbaya sana

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 11 měsíci +1

    Waafrica sababu kubwa nafsi zetu sio Nzuri

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 11 měsíci +1

    Mnasema wazungu wabaguzi, sisi kwa sisi Waafrica tunabaguana kuliko maelezo.

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 11 měsíci

    Unaona jinsi ya waafrica tulivyo na roho mbaya,,,halafu tuungane subutu 😢

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Před 11 měsíci

    Wewe migeni imejaa tanzania wara hata paspot haina rakini yanaishi kama watanzania migeresheni watanzania hawana kaz kazi yao kukaa ofisini na kuhongwa tuu yaan hata barabarani hawana usiryasi wowote rakini haohao wazambia wanaenda kuchukua bizaa hadi dar rakin pasipot hawajawai kuwa nazo kwahiyo uzaifu turio nao huku huanzi kwa viongoz turio nao kutokufanya

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 11 měsíci +5

    rudinii watu jamani ivi kwa nchi gani nayo wenyewe wanakuja huku

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc Před 11 měsíci +1

      Hujui wewe Zambia kuna hela hatari ndyo maana tuko huku fujo tz tembea uone minaishi dsm natafuta Zambia nasii kinyonge Nam Zambia sio katili nakataa

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 Před 11 měsíci +2

    Heshima kwa sheria za nchi ni muhimu wakati bongo pia wageni wanakamatwa....wakikiuka sheria

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 Před 11 měsíci

      Hakuna anaekataa Hilo mabarozi wetu no tatizo wanatuona tunaoishi nje yaTz wote ni wahalifu tu

  • @user-zx4ds3cj7n
    @user-zx4ds3cj7n Před 11 měsíci

    Barozi hapo anajali maslahi yake na kulinda cheo chake lakini yote anayoongea ana uhakika

  • @AbdillahabubakarSalimu
    @AbdillahabubakarSalimu Před 11 měsíci

    Hapo hatuna baloz bali tuna mwenye wa kitongoji Cha zambia

  • @user-yd8sp1qj3w
    @user-yd8sp1qj3w Před 11 měsíci +1

    Wewe unajuaje kama kweli ni mshirikina ?halafu mbona unatoka nje ya maada?

  • @johnfatal2282
    @johnfatal2282 Před 11 měsíci

    Inabidi nawao tz waletewe uduazi wazambia makuma 2

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 11 měsíci +2

    Watanzania mujue tunanyanyasika saana na hatupendwi saana na waafrika wenzentu halafu sisi tunaheshimu saana wageni

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před 11 měsíci +1

    Jamani balozi fanya jambo mwanasimba mwenzetu huku tunae mwamba wa Lusaka,luteni imetuuma ngoja tubaki kwetu

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Před 11 měsíci

    Watanzania wengi viongoz ni wahuni

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 11 měsíci

    Pole

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 11 měsíci

    Mheshimiwa Silaa aliyekuwa Balozi wa Sweeden alikuwa balozi wa ukweli.❤

  • @user-jv7xv1bl7d
    @user-jv7xv1bl7d Před 11 měsíci +2

    Aise tutawapiga

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Před 11 měsíci +2

    Wote binadamu tunawaomba bolzi wetu jitahidi kupaza sauti kwa hili Jambo mbona na wenyewe wapo Tanzania tusiwe wabaguzi jamani

  • @MabulaVicent-oe4ub
    @MabulaVicent-oe4ub Před 11 měsíci +1

    Mimi niliibiwa spear yagari parking ya mpika nikaenda polis sikupata msaada

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Před 11 měsíci

    Baroz amekuja kutafuta hera watu wanauwawa na yeye anashangaa

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila Před 11 měsíci +2

    Mbona balozi mwenyewe mdomo umeunguwa kwa pombe😂

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 11 měsíci +2

    Daaaah! hao jamaa mimi binafsi nawajua huamini anaefanikiwa sana basi ni mchawi, au Freemasons kiufupi niliumia sana miaka fulani mtanzania mmoja aliuawa Nakonde mwishowe sijui zile sitori ziliishia wapi

    • @rosekajuki1787
      @rosekajuki1787 Před 11 měsíci +1

      Mimi nimezaliwa Zambia na wazazi wetu walienda Zambia tangu wakiwa vijana miaka ya 1959 lakini tulichokiona nikwamba watanzania walikuwa wanajituma sana kufanya kazi lakini wazawa wa Zambia ni wavivu sana hata nyumba walikuwa hawawezi kujenga watz wamewafundisha sana so wakiona hivyo wanasema watz ni wachawi kumbe ni bidiizao tu

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 Před 11 měsíci +4

    Inabidi tuwatilie timu wazambia wazembe hao

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Před 11 měsíci +1

    Balaz hakuna ulichoongeye jitahid kufaliji watu

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 Před 11 měsíci

    Kuna watanzania pia wanafanya uhatifu mbaya sana huko ugenini

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 11 měsíci

    😲😲😲 mungu wangu warudi hum

  • @user-of4vo4mk4q
    @user-of4vo4mk4q Před 11 měsíci +1

    Zambia bwana balozi ongea kwa hili

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před 11 měsíci

    Mh😥😥

  • @AbdillahabubakarSalimu
    @AbdillahabubakarSalimu Před 11 měsíci

    Hapo hatuna baloz.tunaupepo

  • @francohaule-ci7ii
    @francohaule-ci7ii Před 11 měsíci

    Rudini nyumbani Zambia ni nini

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas6729 Před 11 měsíci +2

    Ni mbinu za biashara jamani sio ndumba

  • @ezekiakamwela6280
    @ezekiakamwela6280 Před 11 měsíci +1

    Watanzania ni vunja bei kuaribu biashara tu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před 11 měsíci

    😢

  • @InnocentJames-ce4zz
    @InnocentJames-ce4zz Před 11 měsíci

    Piere au cyo

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 11 měsíci +1

    Juyu anatakiwa kuwa balozi mwananke ajua kutea watu

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Před 11 měsíci

    Duui

  • @JosiaWmela
    @JosiaWmela Před 11 měsíci +2

    Zambia ni nchi ya kuixhi kweli

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před 11 měsíci

    Bwana Somba ukitoka huko zambia uje na huku omani Maana na huku omani mabosi wa huku hawàtaki mkataba wa la hafuati shelia ya mikataba mishahara wanalipa wanavo taka wenyewe waalabu na mtu kufanya kazi bila mapumziko Wala hatulipwi over team

    • @juma2979
      @juma2979 Před 11 měsíci +2

      Rudi kwenu kwn umelazimishwa ukae uko

  • @annymbasela1143
    @annymbasela1143 Před 11 měsíci

    Two people were burnt to death Tanzanian and a zambian both were business men

  • @NeemaKyando-qr2ht
    @NeemaKyando-qr2ht Před 11 měsíci

    Wazambia.tabia.zao.sio

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 11 měsíci +1

    si mrudi nyumbani

  • @robertkanyama9397
    @robertkanyama9397 Před 11 měsíci

    😂😂😂 very said

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Před 11 měsíci +1

    Huyu mkundu

  • @athuman7480
    @athuman7480 Před 11 měsíci +1

    KIU KWELI SERIKALI YETU HAIKO CARE NA RAIA WAKE WANNJE KABISA YANI TUNAONA MATUKIO MENG RAIA WANAUWAWA NCHI MBALIMBALI TU LAKN MABALOZI WAPO KIMYA TU WANAJIFANYA HAWAONI KABISA A

  • @petermarner4124
    @petermarner4124 Před 11 měsíci

    Mbona wazambia wanaishi fresh kwetu kuinesha mbuzi

  • @nickysanga5810
    @nickysanga5810 Před 11 měsíci +1

    Mrudnyubani

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 Před 11 měsíci +1

    BALOZI MWENYEWE NI MTIHANI😢

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 Před 11 měsíci

    Balozi chizi huyu

  • @omarimustapha796
    @omarimustapha796 Před 11 měsíci

    Anaonekana kavurugwa huyo balozi suala la mtu kuuliwa Kwa Imani ya kishirikina na kufata taratibu za nchi ndiyo jibu lake?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      HILO KESHA JIBU KUWA POLISI WANAFUATILIA UNATAKA JIBU GANI TENA??