MTANZANIA ALIVYOCHOMWA MOTO ZAMBIA/MAPYA YAIBUKA/"WAZAMBIA WANADAI WATANZANIA WACHAWI"/BALOZI ANENA
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Naijuwa Zambia nimeishi hapo miaka ya1998 nilipata matatizo nikaenda ubalozini balozi alikuwa Ni ndugu wa melecela alinifukuza kama mbwa jiteteni wenyewe mabalozi hamna kitu
Hata hapa UK walinifukuza kama mbwa mabalozi sometimes ni washenzi sana.
Yaani ni baadhi yao hawana msaada wowote.mimi nilikuwa na shida na boss wangu Nikiwa Oman nikampigia balozi hakunipa msaada wowote zaidi ya kuniambia rudi nyumbani hutokufa njaa.
Sasa kazi yao ni nini? Hao mabalozi ???? Kazi kuwassidia watanzania ugenini😢
Kumbe kweli ni ngumu kichwa kuzidiwa na uzito wa nywele zake.Pole ndugu zangu mjitetee wenyewe watu wanakufa wanapewa siasa tu.Matumizi mabaya kodi zetu
Iyo kunyanyaswa watanzania nchi za jirani siyo ya kujadili ni habari wa kweli. Sielewi tatizo nini na serikali inafikiria nini?. Wakija kwetu wao tunaishi nao kwa amani.
Nikweli usemacho sisi wakarim wapo wageni wengi huwezi kumpangia bei ya biashara
Inabidi na sisi tuwazingue hao makuma2
Ukiwa mgeni kwenye nchi ya watu kuweni wataratibu na mtii sheria za nchi husika
Waambie hao
Lkn sio kumua mtu kinyama😢😢.yaani ubaguzi hta baina y waafrica
Ugeni si kitu chema, ndio maana balozi anasihi kufuata taratibu za uhamiaji.
balozi yupo kwa ajili ya masirahi yke hata huku kwetu ni hayo hayo tu
Napita sana hii njia,wazambia wana roho mbaya achaa
🤔🤔🤔
Roho bado inaniuma sana kumuchoma kaka wawatu bila kosa wazambia wanaroho mbaya sana
Waafrica sababu kubwa nafsi zetu sio Nzuri
Mnasema wazungu wabaguzi, sisi kwa sisi Waafrica tunabaguana kuliko maelezo.
Unaona jinsi ya waafrica tulivyo na roho mbaya,,,halafu tuungane subutu 😢
Wewe migeni imejaa tanzania wara hata paspot haina rakini yanaishi kama watanzania migeresheni watanzania hawana kaz kazi yao kukaa ofisini na kuhongwa tuu yaan hata barabarani hawana usiryasi wowote rakini haohao wazambia wanaenda kuchukua bizaa hadi dar rakin pasipot hawajawai kuwa nazo kwahiyo uzaifu turio nao huku huanzi kwa viongoz turio nao kutokufanya
rudinii watu jamani ivi kwa nchi gani nayo wenyewe wanakuja huku
Hujui wewe Zambia kuna hela hatari ndyo maana tuko huku fujo tz tembea uone minaishi dsm natafuta Zambia nasii kinyonge Nam Zambia sio katili nakataa
Heshima kwa sheria za nchi ni muhimu wakati bongo pia wageni wanakamatwa....wakikiuka sheria
Hakuna anaekataa Hilo mabarozi wetu no tatizo wanatuona tunaoishi nje yaTz wote ni wahalifu tu
Barozi hapo anajali maslahi yake na kulinda cheo chake lakini yote anayoongea ana uhakika
Hapo hatuna baloz bali tuna mwenye wa kitongoji Cha zambia
Wewe unajuaje kama kweli ni mshirikina ?halafu mbona unatoka nje ya maada?
Inabidi nawao tz waletewe uduazi wazambia makuma 2
Watanzania mujue tunanyanyasika saana na hatupendwi saana na waafrika wenzentu halafu sisi tunaheshimu saana wageni
Wagenia makuma 2
Jamani balozi fanya jambo mwanasimba mwenzetu huku tunae mwamba wa Lusaka,luteni imetuuma ngoja tubaki kwetu
naye auwawe
Watanzania wengi viongoz ni wahuni
Pole
Mheshimiwa Silaa aliyekuwa Balozi wa Sweeden alikuwa balozi wa ukweli.❤
Aise tutawapiga
Wote binadamu tunawaomba bolzi wetu jitahidi kupaza sauti kwa hili Jambo mbona na wenyewe wapo Tanzania tusiwe wabaguzi jamani
Mimi niliibiwa spear yagari parking ya mpika nikaenda polis sikupata msaada
Baroz amekuja kutafuta hera watu wanauwawa na yeye anashangaa
Mbona balozi mwenyewe mdomo umeunguwa kwa pombe😂
Daaaah! hao jamaa mimi binafsi nawajua huamini anaefanikiwa sana basi ni mchawi, au Freemasons kiufupi niliumia sana miaka fulani mtanzania mmoja aliuawa Nakonde mwishowe sijui zile sitori ziliishia wapi
Mimi nimezaliwa Zambia na wazazi wetu walienda Zambia tangu wakiwa vijana miaka ya 1959 lakini tulichokiona nikwamba watanzania walikuwa wanajituma sana kufanya kazi lakini wazawa wa Zambia ni wavivu sana hata nyumba walikuwa hawawezi kujenga watz wamewafundisha sana so wakiona hivyo wanasema watz ni wachawi kumbe ni bidiizao tu
Inabidi tuwatilie timu wazambia wazembe hao
Balaz hakuna ulichoongeye jitahid kufaliji watu
Kuna watanzania pia wanafanya uhatifu mbaya sana huko ugenini
We ujui chochote nonsense
😲😲😲 mungu wangu warudi hum
Zambia bwana balozi ongea kwa hili
Mh😥😥
Hapo hatuna baloz.tunaupepo
Rudini nyumbani Zambia ni nini
Ni mbinu za biashara jamani sio ndumba
Watanzania ni vunja bei kuaribu biashara tu
😢
Piere au cyo
Juyu anatakiwa kuwa balozi mwananke ajua kutea watu
Duui
Zambia ni nchi ya kuixhi kweli
Bora niende Dubai
Bwana Somba ukitoka huko zambia uje na huku omani Maana na huku omani mabosi wa huku hawàtaki mkataba wa la hafuati shelia ya mikataba mishahara wanalipa wanavo taka wenyewe waalabu na mtu kufanya kazi bila mapumziko Wala hatulipwi over team
Rudi kwenu kwn umelazimishwa ukae uko
Two people were burnt to death Tanzanian and a zambian both were business men
Wazambia.tabia.zao.sio
si mrudi nyumbani
😂😂😂 very said
Kuma ramamaako
Huyu mkundu
KIU KWELI SERIKALI YETU HAIKO CARE NA RAIA WAKE WANNJE KABISA YANI TUNAONA MATUKIO MENG RAIA WANAUWAWA NCHI MBALIMBALI TU LAKN MABALOZI WAPO KIMYA TU WANAJIFANYA HAWAONI KABISA A
Mbona wazambia wanaishi fresh kwetu kuinesha mbuzi
Na sisi tuwapigeni kiberiti
Mabalozi Tanzania kunakitu
Mrudnyubani
BALOZI MWENYEWE NI MTIHANI😢
Balozi chizi huyu
Anaonekana kavurugwa huyo balozi suala la mtu kuuliwa Kwa Imani ya kishirikina na kufata taratibu za nchi ndiyo jibu lake?
HILO KESHA JIBU KUWA POLISI WANAFUATILIA UNATAKA JIBU GANI TENA??