MTOTO WA MIAKA 3 ALIYEMUIMBIA RAIS SAMIA AFUNGUKA “BIBI ANIPE ZAWADI, NATAMANI KUIMBA NA HARMONIZE”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2021
  • Doreen Ras Lioni a.k.a Natalia ni Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu ambaye Baba yake ni Ras Lion Msanii aliyefanya vizuri akiwa na Swahiba wake John Walker na kundi lao la Wa2Ku2, akiwa na umri wa miaka mitatu pekee ameonesha uwezo mkubwa wa kuimba na wimbo uliomtambulisha zaidi ni Hongera Bibi anaomuimbia Rais Samia.
    Ukimuuliza Msanii anayempenda atakutajia Harmonize na anatamani sana kufanya nae kazi, anazo pia ndoto za kukutana na Rais Samia ili ampe zawadi ikiwemo Baiskeli ya kumsaidia kwenda Shule:

Komentáře • 169