MTOTO WA MIAKA 3 ALIYEMUIMBIA RAIS SAMIA AFUNGUKA “BIBI ANIPE ZAWADI, NATAMANI KUIMBA NA HARMONIZE”
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2021
- Doreen Ras Lioni a.k.a Natalia ni Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu ambaye Baba yake ni Ras Lion Msanii aliyefanya vizuri akiwa na Swahiba wake John Walker na kundi lao la Wa2Ku2, akiwa na umri wa miaka mitatu pekee ameonesha uwezo mkubwa wa kuimba na wimbo uliomtambulisha zaidi ni Hongera Bibi anaomuimbia Rais Samia.
Ukimuuliza Msanii anayempenda atakutajia Harmonize na anatamani sana kufanya nae kazi, anazo pia ndoto za kukutana na Rais Samia ili ampe zawadi ikiwemo Baiskeli ya kumsaidia kwenda Shule:
Hongera sana mwanangu KUTOKA BLUE TANZANITE MIRERANI... MANYARA ... MKUU WA SHULE BLUE TANZANITE ( KIBASSA) KARIBUNI SANA HAPA BLUE TANZANITE
Mmh ama kweli watoto waliozaliwa kipindi cha magufuri ni uzao wa Baraka RIP JPM
Mashaallah.Mwenyezi mungu amuongoze kwenye njia iliyonyooka
Wow mashaallah mtoto mzuri kanaimba vizuri eti anampenda condeboy 😍 😍
mashallah mtoto mungu akufanyie wepesi ufike mbali
@@rehemamohammed206 Amina rabby araminah 👏👏
Mashaallah Mungu amzidishie upeo mtoto mwenye kipaji kikue
Mashallwah MUNGU amuongoze n amlinde mtoto hyu n husdah za walimwengu inshallwah
Machozi yamenitoka duuh MashaAllah Natalia go girl😍😘
Killichokufanya ulie nini
@@maloomaalmnsj5111 😂
Kapendeza
Oh my gosh amazing sanaaaa!!! Mungu akusaidie
Natalia mdogo na anongea na kuimba Kiswahili fasaha maradufu na sio watu wazima wengine mastaa hapo wangesema maladufu
Sn mtt mzr
Ma sha Allah mbaka machoz yananitoka jmn😭😂😂😂nimefurah pya mtto mungu hakukuze
Yani nikimsikiliza na kumuangalia huyo mtoto simmalizi 🥰🥰🥰🥰
Mh samia suluhu ,na harmonize nawaomba nendeni kamtembeleeni huyu mtoto please 🙏,japo hakumpa kitu chochote afurahi tuuuu huyu mtoto please
MH.RAIS MUONE HUYU MTOTO
So sweaty Marshall kana confidence yani 🥰🥰
Waohooooooo Hongera toto unajua @Harmonize mtoto anakupenda
Yaan kila akiulizwa msanii mwingine anasema harmonise💕
Wowow awesome congrats, Mungu amwongoze aendelee hivyo hivyo
Mashaallah uko smart mashaallah Hongera
Nimelia kwa furaha jaman hongera mtoto mzuri
MashaAllaah Mungu amusaidie
Ukiachana na Konde boy anamkubali Harmonize full stop
Mashaa Allah 😍
Oooh my gosh mungu akujarieee ukiendeleze kipaji chakoo bby girl u have done it congrats saana piah ningekuwa konde boy ningefanya kityu kwa uyu mtoto jomoon
Mashallaah mungu akusaidie mdogo wetu✊💕
Hongera wazazi muendeleze kipaji chake🥰🥰🥰🥰
Well done!
Mashaallah huyu mtoto ni smart sana anamkumbusha baba yake anababy mama wawili🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu akulinde mno mtotoanapendeza sana
Wewe ety kond atapotea bado na watoto wacanga wanafahamu ongera mtoto mzuri🤩🤩🤩
Kabisa
Hongera mjukuu wetu
Mashallah. MUNGU amkuze Baby Natalie awe mtoto mwema. Ameen
Hongera Mtoto wetu mashallaha mashallaha 😍🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Konde boy hongera sana
Wanawake tunaweza uonueshe dunia. Safi mtoto mzuri
Hongera toto konde boy kamtemberee huyo shabiki yako
❤❤❤uko sahh mtoi wangu gaii
@harmonise tz mtoto anakuitaji uku💃💃💃💃
Kla kipnd kna watu wake aiseeee kpnd Cha magu alikuepo Mr mathematics Leo tunampata Mr history nouma sanàaaa
She's intelligent 🙏🙏🙏🙏🙏
Maa shaa allah mungu akukuze vyema baby girl
Nice talent
Ongera sana mwanangu
Wooooowwwwwwwww............. Big-Up saaaana ...
Kumbee uyubaba ndiye aliyekuwa anaigiza Sauti ya Unyango
Waooh
wanna wake tunaweza
Mashaalah katoto 😍😍😍
Aisee mtoto nmekukubali yaan unahakili kuniliko mimi daaaaaah Mungu akurinde 🙏🙏
Hongera sana baba na mtoto
Huu wimbo nimetokea kuupenda sana,it makes me funny
Wooh😍😍😍😍
Mungu akusaidie
Nimependa sana
Waooooo
Mashallah Allah 💓
🤣🤣🤣🤣 mtoto Mungu akuinue kwa viwango vingine
So cute
Ongera sana mtoto mzuri🥰🥰🥰
Yupo juu mtoto 🔥🤪🔥🔥🎊🙏🏼
Mtoto mzr mashaalh mung amkuze salam
Mashaallah mashaallah
Huyu mtoto kanifanya nilie jmn ❤️❤️❤️❤️❤️
Aman kwako mwanangu umezaliwa na kipaj Mungu akujalie ufike mbali
Mtoto huyu.. masha'allah
Mungu akufishe mmbali
Dah ase !!!!
Mashallah
😀😀😃😄 hatareeeeee duuh
Nice bby
Ata Mimi nimeupenda
Hongera
Mungu nimwema
🔥🔥🔥🤙
Du mtoto huyu baraa mungu amsimamie!
👏
👏👏👏👏👏👏👏
Mashallah mtoto
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mashallah 🇹🇿💃💃
Anaakili kwl kukalili hayo maneno🥳🥳🥳
Kibaji akijifichi. Ongera
R.I.P JPM
Harmonize jishushe umtembelee mtoto kwao nyumbani
Natalia M,Mungu akubatiki Kwa kila ulifanyalo .
Aweeee
Safiii
So talent 😍
Jmniii mashllah katot kanaimba vzr
Nce san san titooooo
Jamani kumbe ndo huyu aliingiza ile sauti ya mjaluo kwenye lile kundi la marehemu john woka
Ndiye yeye
Kweli kaimba
Ata Mimi nachukuwaga lafuzi kama nilivyokuwa Zanzibar nilimshika
Dah!!!hatariiii Sana jmniiiii
Daaaaa aise mung mkubwa uyu dogo atafika mbali sana
@harmonize @kondegang @ibrah_tz @anjella
Kumbe uyu msanii wa zamani ongera namwanao
Kipaji
ongr sana ndukulusudi kujo dogo uyo noma!
Kaka yangu naye anakipaji Cha mziki analapu na kuimba na kuandika nyimbo na wa mwisho naye kawa muimbaji
🤣🤣🤣Ustar Una lipa sahivi eeh 🤣🤣🤣na meme nitaanza kumchukuwa video clip kwa mwanagu za kuuza miguu Ya il tuwe mastar 😛😛😛
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍👌🏽
Duh kararirishwa ile mbaya jamani
hajakaririshwa tuh..ila mtoto anaonekana anaelewa sana..ndomana kamkumbusha mshua kaka ake aliyemsahau..!!!!..kiukwelu dogo yupo vizuri sanaa