Mwinyi ni rais mmoja aliwkuwa mstarabu na asie na tamaaa ktk uongoz wk na ndo rais wakwnza kufunuwa macho na akili za wnanhi na wakaamaka na kuanza kujikita ktk uchumi na kumiliki mali
Asili ya dini yote ni uslaam NA sisi waaslaam tunaamini vitabu vya mungu zote NA manabi wote bila hiyo ujawa muslaam mtume mohamed alitajwa katika hizo vitabu zote NA allah kasema dini kwa mungu ni uslaam NA anaye fuata dini yeyote ile haitakubaliwa NA kutoamini kwamba mtume mohamed ni nabi baada ya kuonekana huko makaa lazima tumfuate NA tumfuate gruani iletremshwa kwa nabi asio soma NA kuandika NA mungu anawapa hao wasio waaslaam afya mali mafanikio basi duniani tu NA hana lao huko akhera baada ya kutomfuata mtume wa mwesho mohamed
Babu Mwinyi mimi ninakuheshimu sana Mungu akujaze afya njema Babu na hekima Tele yani Kiswahili maridhawa sana,
Amiin yarbi
Briani mhe Benjamin mkapa pumzika kwa amani
Maneno mazuri mzee wetu
Mzee ally Hassan wewe ndo umekuwa jicho la Tanzania MUNGU akupee neema na AFYA NJEMA Babu yetu
Kafariki leo mzee mwinyi😢
Mwenye zimungu awarehemu Mzee Hassan mwinyi john Mzee mkapa na magufuli
Pumzika kwa amani mzee wa ruksa
وإن طال الليل لا بد من طلوع الصبح
Mwinyi ni rais mmoja aliwkuwa mstarabu na asie na tamaaa ktk uongoz wk na ndo rais wakwnza kufunuwa macho na akili za wnanhi na wakaamaka na kuanza kujikita ktk uchumi na kumiliki mali
Siyo aley salaam bali swala allahu aley wasalaam
Yn ww ukamrekebishe mwinyi kuongea mwalimu mkubwa uyu kaa
Inauma sana😢
Ukitulia ukamsikiriz mzee mwinyi utajua kaongea vzr kiutuuzima
Sn ongea yk i ataka akili kumuelewa mana anaongea kiuswahili sn
Asie kua muislamu haifai kumuombea msamaha bali muachieni mwenyewe Mungu
Asili ya dini yote ni uslaam NA sisi waaslaam tunaamini vitabu vya mungu zote NA manabi wote bila hiyo ujawa muslaam mtume mohamed alitajwa katika hizo vitabu zote NA allah kasema dini kwa mungu ni uslaam NA anaye fuata dini yeyote ile haitakubaliwa NA kutoamini kwamba mtume mohamed ni nabi baada ya kuonekana huko makaa lazima tumfuate NA tumfuate gruani iletremshwa kwa nabi asio soma NA kuandika NA mungu anawapa hao wasio waaslaam afya mali mafanikio basi duniani tu NA hana lao huko akhera baada ya kutomfuata mtume wa mwesho mohamed
Naam
Pumzikeni wakuu wetu.
rip babu
Kiswahili Mahala Pake
Nasi tuko njiani tujiandae
Maneno,matamuu,mzee.,mw nyi
Bhulenela