🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 22

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Před měsícem +9

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @Afsah90
      @Afsah90 Před měsícem

      Keep fooling yourself 😂😂

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 Před měsícem +2

    Mwakisi unapenda kusema dar young Africans, sio sawa ni Young Africans na sio Dar young Africans.

  • @user-nz5qx9jy7l
    @user-nz5qx9jy7l Před 29 dny +1

    Mi napenda Alikamwe angebaki yanga atufikishe ileee inchi ya shadi ya afrika

  • @laurian27
    @laurian27 Před měsícem +1

    Mzee Magoma kuanzia sasa hatukutaki na hatukuhotaji katika taasisi yetu ya yanga mvurugaji mkubwa! Na kuanzia leo tunakufuta yanga mbwa ww mzee mibusha! Kanunue uchawi upya mshirikina usiejielewa! Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote! Nimetukana laana yako inijie mm nilieokolewa na Mungu! Jina lenyewe Baya ety MAGOMA KWENDRAAAAA

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 Před měsícem +1

    Yangaa wanaonewaaa sanaaa

  • @aku-vc09a11k
    @aku-vc09a11k Před měsícem +1

    Nchi hii ina uhuru usio na mipaka, anatokea yeyote na madai yasiyoeleweka na watu wanapoteza muda kuelezea ujinga huu

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 Před měsícem +1

    Wanasheria wa Yanga kila siku wanafeli,sijawai kuwaona wakishinda kesi ni wakufukuzwa wote hawa

  • @mahunapaschal
    @mahunapaschal Před měsícem

    Hivi huyu jamaa anajiamini nini kutaka kutuvulunga hivi wakati tuko vitani au mutu gani anahakili timamu kweli

  • @RajabudabogGobeka
    @RajabudabogGobeka Před měsícem +1

    Uyo no mwehu

  • @machanoyusuf8045
    @machanoyusuf8045 Před měsícem

    Ngoma umeishaa hiyooo

  • @machanoyusuf8045
    @machanoyusuf8045 Před měsícem

    Ngomaa umeishaa hiyoo

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před měsícem

    Mbona hamkukata rufaa kupinga hukumu hii tangu mwaka jana 2023 na kufungua kesi ya jinai kuwashtaki kwa kughushi nyaraka. Mmekaa kimya hadi mambo yanaharibika.? Unasema hamkushirikishwa wakati mwenzenu Jabir Katundu hadi aliandika barua mahakamini kuwa hausiki nyie mlindwa vipi kujua. Yanga futeni idara ya sheria ni bure kabisa iko siku mtalia kwa mwendo huu wa idara ya sheria.

  • @laurian27
    @laurian27 Před měsícem

    Kama ulikuwa unapata kula yako kupitia yanga mzee mashamba yameisha tupo Digital

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 Před měsícem

    sasa ndiyo wakati umefika wa kukomesha wahuni katika vilabu vyetu vikubwa .
    waliohusika na uhuni huo uongozi wa Yanga lazima uwachukulie hatua za kisheria.
    hii yote ni hiyana baada kuona sasa hakuna ulaji kama ilivyokuwa huko nyuma.

  • @user-ou2ip8zr7n
    @user-ou2ip8zr7n Před měsícem

    Wezi wakubwa nyinyi

  • @GwamakaMwaisumbe
    @GwamakaMwaisumbe Před měsícem

    Mangoma kaulamba mbuyu dakekii

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před měsícem

    Utopolo ulibwanji😂😂😂

  • @marthamwasumbi2387
    @marthamwasumbi2387 Před měsícem

    Hiyo jela hiyo

  • @GwamakaMwaisumbe
    @GwamakaMwaisumbe Před měsícem

    Mangoma ameulamba