🔴
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- 🔴#BREAKING: MZEE MAGOMA AFICHUA MAMBO MAZITO -"NATAKA WANIKABIDHI OFISI YANGU"-ATANGAZA MSIMAMO WAKE...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Msikilizeni Mzee Magoma nyie walamihogo. Mzee ana points
Mpe mama akoo
Mzee anadharauliwa likini ukimsikiliza sana anakitu
Hakika mwana tatz wengi wapo kumtusi na sio kuelewa nin hoja zake ,hili ni jamb la kukaa pande mbili na kudil nalo kwa pand zot mbili
Fact
Huyu Mzee uzee dawa very intelegency anakili msi mdharau km mnavyo mdharau.
@@jimmymhina1264 kwa maslahi y a timu na Hali ya kuitembeza bakuli tuliyopitia hakutakiwa kuleta chokochoko hizo
Huo ukuma kampe fala nyie
nakukubali sana mze wangu endelea kuwanyoosha mpaka waseme
Utanyooshwa na huyo babako kenge wewe.
@@nicodemuswidambe5132wewe umenyooshwa mara ngapi
Ukiweka ushabiki pembeni ukilichukua hili kwa kina huyu mzee ana hoja ya msingi sana
Ndio maana ameshinda kesi
Jambo hili liishe kwa amani ili timu yetu iendelee kufanya vizuri kwenye mashindano yaliyo mbele yetu, MUNGU atusaidie
Lazima apozwe huyu mzee ndio mambo yataisha laa sivyo hali ni ngumu
Kawashika pabaya
Apewe rushwa au
Au apewe club
Kama umarufu kashapata atuache tupumue pumbavu kabisa
Mzee Yuko sahihi
Sana uwezi Kula pekee yako
Hao ndio wenye timu Yao
Umekuja ila timu umewakuta
Wenyewe wenyewe ndio hao usiwaache
Engenia Akirudi akae nae Mzee vizuli
Safi Santa malipo hapahapa Duniani🎉🎉💥💪💯
Huyu mzee Juma Magoma ana akili nyingi sana.
Mzee yupo vizuri mnoo, hakurupuki kujibu hoja. Hakika ana kitu asikilizwe.✌️
Mchawi tu huyo hana lolote
Mzee magoma amegusa maslahi ya akina Ali kamwe ndio maana wamekuwa wakali 😂😂😂
Mzee uko sawa kabisa
Ofis hipi kwa kipato kipi.mjinga sana.kesi ndo.inaongoza nchi au pesa.kwanza hupo na elim.gan?
Mzee Magoma yuko juu sana.Changamoto ya kukosa eneo la kutosha kwa ajili ya mkutano amejibu kuwa zoom inaweza kutumika.
HONGERA YAKE!!!!
MZEE MAGOMA YUKO SAHIHI ANADAI HAKI YAKE HII CLUB AMETOKANAYO MBALI SANA MPENI CLUB YAKE KAMA MNAONA HAYOKO SAWA NA NYINYI NENDENI MAHAKAMANI MKAKANUSHE HICHO ANACHO KIDAI SIO KULALAMIKA KWENYE MITANDAO MNAFIKIRI KWENYE MITANDAO NDIO KUNATOA HAKI
mzee magoma atengenezewe sanamu pale jangwani
Mzee kichwa sana
Huyu mzee anajua yanga nje Ndani siyo hoyahoya
Fact huyu mzeee anakitu wallah 😂 sema sisi wabishi tunaonekanaga hatuna points😅😅
Jaman huyu mzee atali sana tumien hakili mashabiki wa yanga
Huyu mzee anajua anachokipambania na hatanyamaza..
Kwenye swala la haki kwa unachokiamini huwezi kuogopa hata ukisimama peke yako..
Yanga msikilizeni huyu mzee ili roho yake ipoe..
Mnavyombeza nakumtukana mnachokoza moto zaidi.. Huyu mzee Ana point
Pointigan wakat hanakadi
Sikiliza vzr kadi zilivyo tolewa kiholela inawezekana hata wew uliyo nayo si ya kwel ni haramu hawa wazee wanaifaham timu kuliko mashabik @@Nyegereboy-b5y
Mwandishi uko vizuri
Namuunga mkono huyo mzee hawawazee.wasomi naumry wake niwachache sana fact zake zimenyooka sana mzee anapambana vijana oyaoyaha wawajui wao ninani kapambana mpaka nakikwete kwemikutanoo nyinyi nani 1)nimemwelewa anarudi kwenye mfumo.ili atakae kuja kuongoza anyooke.
(2)Anataka kusijikutokea tena migogoro.
(3)Anakaki nanimwachama alie jitoa mhanga
(4)huyu sichawa kesi kapambana nayomuda mref huyu niyanga dam
(5)mzee nyooshamfomo atakae kushukuru akushuku asietaka naasitake mwenye fikra atajua
Nikweli
Ukiwa mtu wa kukurupuka huyu mzee hutamuelewa ila ukimsikiliza kwa makini mzee yupo sahihi
Mzee Magoma usiogope vitisho,hayo yote nikukulegeza wewe,be strong.
Kolo unatseka ukiwa wp
Katufunwe uko kolo we
Kama wanaendelea na matusi waondoe mzee watoto hawana adabu awa
Alaaa kumbe ni mambo ya katiba ndio maudhui yenyewe.
"Yes right " (that's right)😂😂
Mtangazaji wacha kujifanya unajua history, nyamaza tumskilize mhojiwa, munaboa watangazaji wa kizazi kipya.
Mzee tulia muda ushaenda sana acha watu wafanye kazi muda wa majungu ulishapitaga
Njaa tu hapa.. Hkuna lingne zaidi
Njaa labda wewe
Shida anaweza kuiendesha iyo ofisi akiachiwa hata miez 3? Au kutaka kuiharibu tim tu
Mzee aliposikia swala la jera ad kipara kikaanza kuwasha 😂😂😂
Ila hawa wazee 🤣🤣🤣 nmecheka sana aisee mpira wetu Mungu atusaidie Tanzania
Apelekwe akalebure anafoji Saini Yamaha wataifalawazanzibari
Mzee kumbe wewe ndio Mwenye yanga yako wanakuonea bure
Haya mwenye Yanga akipewa sasa hivi ataifanyia nini? Huyu mzee ni mchawi tu
Huyu mzee asipuuzwe kila kitu. Lakini nahisi anatumika
Njaaa ni shida sana
Muulizeni Ahmed Abeid lini alikuwa mdhamini?
Raise hers huyu asikilizwe jaman
Hivi kweli kama kuwa nakadi ndiyo kuwa mwanachama mzuri au mwema kumbe wakina nape sio wana ccm kwakuwa hawanakadi nyingi za ccm huyo mzee katumwa na upande wapili ili kujaribu kuivuruga yanga jamani kwanini huyo mzee anataka kuiaribu yanga jamani?
Ila mzee mpilii kwa kweli alikotokea sijuiii
Mzee yupo makini
hamna kitu hapa
Huyo Mzee apimwe Akili! Akikutwa Mzima wanayanga wamchangie pesa atakuwa anasumbuliwa na Njaa,
Mzee ana d3
Mmm jamani huyu mzee nikichwa kinamadini mengi sana aise tukiweka ushabiki pembeni wakuu
Huyu Mzee ni hazina ya Yanga. Mtunzeni.
Huyu fala sana anataka timu iendeshwe kizamani,yani usajili wachezaji wa kawaida ili upate faida,alianza vizuri lakini huku anaharibu
Mzee anapointi zake na facts magomaaaaaaa pga babaaaa😂😂😂
Mzee magoma tunakulinda akugusi Mtu ,ole wqke huyo manara akuguse tutamwonyesha kazi,sema vyote mzeee usiogope tupo nawe
Kama ana mapenzi na Yanga oneni anavyotoa siri za ndani. Huyu simba
Kama ni Simba hizo Siri kazitoa wapi
Ila mzee kaenda mjini shikamoo mzee magoma? Lkn umetumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️
Mzee Hasidi sana, kizazi hiki wamebaki wachache sana lakini ni hatari.
Kwa lipi wewe bwege
Mzee uko sahihi kabisa hapo watu wanaokubeza ni kwajili ya matumbo yao😮
Huyu mzee ukimsikiliza kwa umakini ana kitu ila ni cha mda mrefu kama kiporo kimevunda
Yah yaan 😂😂😂 ukimfuatilia huyu mzee ana mambo yamenyooka mengine hawa kina heris hawayajui
Haliwezi kuisha Eng.atupishe madarakani, kauli ya mahakama iheshimiwe kanisa
Ili ukae ww
Komaeni nasimba yenu haya ya yanga hayakuhusu
Kauli ya mahakama alikabidhiwa nani? Mahakama nayo ni kituko.
Mbona anazungumza kama wa za Ndaaaaaaani
Ww unaweza kuongoza ongera Mzee uko sawa ila jismini kwanza ukiturudisha kwenye bakuli tunakuchapa
Umekwenda kumhoji bila kujiandaa na maswali mahususi yatakayojibu sintofahamu iliyopo. Unamhoji kama m mbeya na sio mwandishi. Hovyo !
Kabisa.anadandia tu kila kona hajui hata cha kuuliza
Fatuma karume Yuko juu Sheria
Nuksi kweli mzeee mingine mishavu kama linapuliza moto
Aliakuwa mwanachama mwaka 1983, yanga imeanzishwa miaka ya nyuma hata kuzaliw bado na wenye yanga wako wapi leo unasimama wew kam vile ndio ulianzisha timu duuh tamaa mbaya sana sna...mzee anaona kama anakufa maskini afu club amekua ndani ya club sio ameikuza club
Wewe njaa itakuwa sura mbaya
Mzee anahekima sana huyu
Huyu mzee kwa hali hiyo haliyokuwa nayo noma njaa tu
Mzee chiz uyuu
Komaa mzee ilitukutombe vzr
Mzee yanga kweli watu Wana chiki tu roho mbaya mzee yanga kwelikweli
Hapo alipo hata buku moja hana njaa inamsumbua jinga kabisa
Mzee Magoma ana nyumba kali
Wakupe ofc mzee
Komaa mzee wangu kwa staili iliyopo wanachama bila mwenyekiti haiwezi kwenda
wanamkosea mzee magoma
Huyo mzee naye anataka kuleta matatizo,,aachane na Yanga
Mzee anakunya htr😂
Alikuwa wapi cku zote?
Mzee yuko sahihi
Sasa si kashinda watu wanaendelea na majukumu yao tuone atafanya nn na wapuuzi wenzio
Huyu mzee yupo sahihi wanamdharau ni wale ambao hata kadi hawana mnataka Gsm akiondoka turudi kwenye bakuri
Mzee magoma alitakiwa kua mwanasheria anakili sana anaongea point anajua kupigania hoja
😢uyo mzee choko2
Mzee hajielewi huyuuu
Yaani huyu ndio chanzo cha vurugu Yanga mwisho itapelekea timu kuharibu walipofikia
Mzee ana mjengo bwana
Yaan linadanganya duh
Mipengo kama mwanamke aliekeketwa
Huna fact Bali huna heshima
mzee yupo sahihi angekuwa na team ungekuta tunachukua hadi kimataifa
Huyo mtangazaji mmeokota wapi hana taaluma ya uandishi zaidi ya uchonganishi mshamba mshamba tuuu
Namuunga mkono magoma wazee wengine bora wakae kimya wawaachie wanasheria mbona mapovu yanakuwa mengi wanaficha nn wajibu hoja
Kaanzishe timu yako na mkeo 😊
Sasa mbona unapinga peke ako ndugu wakati maoni yalikusanywa kwenye matawi,siku zote wengi wape
Ivi mzee domo halinuki kweli maana nahisi mtangazi iyo harufu inayotoka mdomoni nahisi kali sana
Acha kauli mbaya mbwana ata kama anamakose iyo cyo adabu kumwambia mtu mzima hivyo
Mwandishi nifunze kuhoji
Baba. YANGA. uendelee
Mwanachama wakati huna kadi
Kwani huyo Mzee siapewe hiy yanga kama anavotaka tuone
Nawasihi akina Manara na Ally Kamwe wamuache huyu mzee.Kwani kwa propaganda ni hatari.Kile kikao cha YANGA kufafanua juu ya hiyo kesi kimewageuka.Wao wamejiharibia zaidi.
Kiukwel mzee sijakuelewa, Lengo lako n Nini? Coz all in all tupate maendleo ya club,
Wewe hutaki wawakilishi mbona mmemkuli nimekubali Abedi kuwamwakilshi wa yanga mtu mtu moja
Mzee anakitu atafika mbali,
mtu wa maana kabisa huyu Engineer akabidhi funguo 🤣🤣🤣