🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 🔴#BREAKING: MZEE MAGOMA AFICHUA MAMBO MAZITO -"NATAKA WANIKABIDHI OFISI YANGU"-ATANGAZA MSIMAMO WAKE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 233

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Před měsícem +4

    Msikilizeni Mzee Magoma nyie walamihogo. Mzee ana points

  • @salimmohamed3394
    @salimmohamed3394 Před měsícem +8

    Mzee anadharauliwa likini ukimsikiliza sana anakitu

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 Před měsícem

      Hakika mwana tatz wengi wapo kumtusi na sio kuelewa nin hoja zake ,hili ni jamb la kukaa pande mbili na kudil nalo kwa pand zot mbili

    • @jamesbakera2135
      @jamesbakera2135 Před měsícem

      Fact

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Před měsícem +8

    Huyu Mzee uzee dawa very intelegency anakili msi mdharau km mnavyo mdharau.

    • @abubakarali6363
      @abubakarali6363 Před měsícem

      @@jimmymhina1264 kwa maslahi y a timu na Hali ya kuitembeza bakuli tuliyopitia hakutakiwa kuleta chokochoko hizo

    • @revocatuspaulo6716
      @revocatuspaulo6716 Před měsícem

      Huo ukuma kampe fala nyie

  • @PachangaPachanga-tv9hn
    @PachangaPachanga-tv9hn Před měsícem +5

    nakukubali sana mze wangu endelea kuwanyoosha mpaka waseme

  • @krispinkisanga3261
    @krispinkisanga3261 Před měsícem +5

    Ukiweka ushabiki pembeni ukilichukua hili kwa kina huyu mzee ana hoja ya msingi sana

  • @JohnKeya-b8d
    @JohnKeya-b8d Před měsícem +7

    Jambo hili liishe kwa amani ili timu yetu iendelee kufanya vizuri kwenye mashindano yaliyo mbele yetu, MUNGU atusaidie

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před měsícem

      Lazima apozwe huyu mzee ndio mambo yataisha laa sivyo hali ni ngumu

    • @salehhemed9388
      @salehhemed9388 Před měsícem

      Kawashika pabaya

    • @salumjuma3152
      @salumjuma3152 Před měsícem

      Apewe rushwa au
      Au apewe club
      Kama umarufu kashapata atuache tupumue pumbavu kabisa

    • @EDDYVINS-u6c
      @EDDYVINS-u6c Před měsícem

      Mzee Yuko sahihi
      Sana uwezi Kula pekee yako
      Hao ndio wenye timu Yao
      Umekuja ila timu umewakuta
      Wenyewe wenyewe ndio hao usiwaache
      Engenia Akirudi akae nae Mzee vizuli

  • @clementkonda139
    @clementkonda139 Před měsícem +2

    Safi Santa malipo hapahapa Duniani🎉🎉💥💪💯

  • @agustinoshechambo8122
    @agustinoshechambo8122 Před měsícem +2

    Huyu mzee Juma Magoma ana akili nyingi sana.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +3

    Mzee yupo vizuri mnoo, hakurupuki kujibu hoja. Hakika ana kitu asikilizwe.✌️

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Před měsícem

      Mchawi tu huyo hana lolote

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před měsícem +5

    Mzee magoma amegusa maslahi ya akina Ali kamwe ndio maana wamekuwa wakali 😂😂😂

  • @hassanjalikazi6754
    @hassanjalikazi6754 Před měsícem +1

    Mzee uko sawa kabisa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před měsícem

    Ofis hipi kwa kipato kipi.mjinga sana.kesi ndo.inaongoza nchi au pesa.kwanza hupo na elim.gan?

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 Před měsícem

    Mzee Magoma yuko juu sana.Changamoto ya kukosa eneo la kutosha kwa ajili ya mkutano amejibu kuwa zoom inaweza kutumika.
    HONGERA YAKE!!!!

  • @yusufhussein5654
    @yusufhussein5654 Před měsícem +3

    MZEE MAGOMA YUKO SAHIHI ANADAI HAKI YAKE HII CLUB AMETOKANAYO MBALI SANA MPENI CLUB YAKE KAMA MNAONA HAYOKO SAWA NA NYINYI NENDENI MAHAKAMANI MKAKANUSHE HICHO ANACHO KIDAI SIO KULALAMIKA KWENYE MITANDAO MNAFIKIRI KWENYE MITANDAO NDIO KUNATOA HAKI

  • @MAMBIJUNIOR-qy2xz
    @MAMBIJUNIOR-qy2xz Před měsícem

    mzee magoma atengenezewe sanamu pale jangwani

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před měsícem

    Mzee kichwa sana

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Před měsícem +4

    Huyu mzee anajua yanga nje Ndani siyo hoyahoya

  • @SaidaShaban-wy8ub
    @SaidaShaban-wy8ub Před měsícem +3

    Fact huyu mzeee anakitu wallah 😂 sema sisi wabishi tunaonekanaga hatuna points😅😅

  • @AndersonAdam-l5u
    @AndersonAdam-l5u Před měsícem

    Jaman huyu mzee atali sana tumien hakili mashabiki wa yanga

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Před měsícem +3

    Huyu mzee anajua anachokipambania na hatanyamaza..
    Kwenye swala la haki kwa unachokiamini huwezi kuogopa hata ukisimama peke yako..
    Yanga msikilizeni huyu mzee ili roho yake ipoe..
    Mnavyombeza nakumtukana mnachokoza moto zaidi.. Huyu mzee Ana point

    • @Nyegereboy-b5y
      @Nyegereboy-b5y Před měsícem

      Pointigan wakat hanakadi

    • @murshidodhiambo891
      @murshidodhiambo891 Před měsícem

      Sikiliza vzr kadi zilivyo tolewa kiholela inawezekana hata wew uliyo nayo si ya kwel ni haramu hawa wazee wanaifaham timu kuliko mashabik ​@@Nyegereboy-b5y

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem

    Mwandishi uko vizuri

  • @MashakaAthumaniAthumanimashaka

    Namuunga mkono huyo mzee hawawazee.wasomi naumry wake niwachache sana fact zake zimenyooka sana mzee anapambana vijana oyaoyaha wawajui wao ninani kapambana mpaka nakikwete kwemikutanoo nyinyi nani 1)nimemwelewa anarudi kwenye mfumo.ili atakae kuja kuongoza anyooke.
    (2)Anataka kusijikutokea tena migogoro.
    (3)Anakaki nanimwachama alie jitoa mhanga
    (4)huyu sichawa kesi kapambana nayomuda mref huyu niyanga dam
    (5)mzee nyooshamfomo atakae kushukuru akushuku asietaka naasitake mwenye fikra atajua

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +1

    Ukiwa mtu wa kukurupuka huyu mzee hutamuelewa ila ukimsikiliza kwa makini mzee yupo sahihi

  • @CosmassEmmanuel
    @CosmassEmmanuel Před měsícem +2

    Mzee Magoma usiogope vitisho,hayo yote nikukulegeza wewe,be strong.

  • @saidbhanji4234
    @saidbhanji4234 Před měsícem +3

    Alaaa kumbe ni mambo ya katiba ndio maudhui yenyewe.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 24 dny

    "Yes right " (that's right)😂😂

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před měsícem

    Mtangazaji wacha kujifanya unajua history, nyamaza tumskilize mhojiwa, munaboa watangazaji wa kizazi kipya.

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 Před měsícem +3

    Mzee tulia muda ushaenda sana acha watu wafanye kazi muda wa majungu ulishapitaga

  • @SamwelLaizer-o3x
    @SamwelLaizer-o3x Před měsícem +4

    Njaa tu hapa.. Hkuna lingne zaidi

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph4555 Před měsícem

    Shida anaweza kuiendesha iyo ofisi akiachiwa hata miez 3? Au kutaka kuiharibu tim tu

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 Před měsícem

    Mzee aliposikia swala la jera ad kipara kikaanza kuwasha 😂😂😂

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Před měsícem +1

    Ila hawa wazee 🤣🤣🤣 nmecheka sana aisee mpira wetu Mungu atusaidie Tanzania

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji Před měsícem

    Apelekwe akalebure anafoji Saini Yamaha wataifalawazanzibari

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem +3

    Mzee kumbe wewe ndio Mwenye yanga yako wanakuonea bure

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Před měsícem

      Haya mwenye Yanga akipewa sasa hivi ataifanyia nini? Huyu mzee ni mchawi tu

  • @partisonshipella7312
    @partisonshipella7312 Před měsícem

    Huyu mzee asipuuzwe kila kitu. Lakini nahisi anatumika

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Před měsícem

    Njaaa ni shida sana

  • @BoazIkupilika
    @BoazIkupilika Před měsícem

    Muulizeni Ahmed Abeid lini alikuwa mdhamini?

  • @HalediMndewa-i4n
    @HalediMndewa-i4n Před měsícem

    Raise hers huyu asikilizwe jaman

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 Před měsícem

    Hivi kweli kama kuwa nakadi ndiyo kuwa mwanachama mzuri au mwema kumbe wakina nape sio wana ccm kwakuwa hawanakadi nyingi za ccm huyo mzee katumwa na upande wapili ili kujaribu kuivuruga yanga jamani kwanini huyo mzee anataka kuiaribu yanga jamani?

  • @kassimkalole8834
    @kassimkalole8834 Před měsícem

    Ila mzee mpilii kwa kweli alikotokea sijuiii

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 Před měsícem

    Mzee yupo makini

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Před měsícem

    hamna kitu hapa

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 Před měsícem

    Huyo Mzee apimwe Akili! Akikutwa Mzima wanayanga wamchangie pesa atakuwa anasumbuliwa na Njaa,

  • @josephmpunta2662
    @josephmpunta2662 Před měsícem +1

    Mzee ana d3

  • @saulyboy3334
    @saulyboy3334 Před měsícem

    Mmm jamani huyu mzee nikichwa kinamadini mengi sana aise tukiweka ushabiki pembeni wakuu

  • @bjshio3249
    @bjshio3249 Před měsícem +1

    Huyu Mzee ni hazina ya Yanga. Mtunzeni.

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 Před měsícem

    Huyu fala sana anataka timu iendeshwe kizamani,yani usajili wachezaji wa kawaida ili upate faida,alianza vizuri lakini huku anaharibu

  • @iam_sami
    @iam_sami Před měsícem

    Mzee anapointi zake na facts magomaaaaaaa pga babaaaa😂😂😂

  • @kundaelikilewo7176
    @kundaelikilewo7176 Před měsícem

    Mzee magoma tunakulinda akugusi Mtu ,ole wqke huyo manara akuguse tutamwonyesha kazi,sema vyote mzeee usiogope tupo nawe

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Před měsícem +1

    Kama ana mapenzi na Yanga oneni anavyotoa siri za ndani. Huyu simba

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem

    Ila mzee kaenda mjini shikamoo mzee magoma? Lkn umetumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 Před měsícem

    Mzee Hasidi sana, kizazi hiki wamebaki wachache sana lakini ni hatari.

  • @delphinemboya
    @delphinemboya Před měsícem

    Mzee uko sahihi kabisa hapo watu wanaokubeza ni kwajili ya matumbo yao😮

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Před měsícem

    Huyu mzee ukimsikiliza kwa umakini ana kitu ila ni cha mda mrefu kama kiporo kimevunda

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Před měsícem

      Yah yaan 😂😂😂 ukimfuatilia huyu mzee ana mambo yamenyooka mengine hawa kina heris hawayajui

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 Před měsícem +1

    Haliwezi kuisha Eng.atupishe madarakani, kauli ya mahakama iheshimiwe kanisa

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před měsícem

    Mbona anazungumza kama wa za Ndaaaaaaani

  • @AbdallahMohamedndaro
    @AbdallahMohamedndaro Před měsícem

    Ww unaweza kuongoza ongera Mzee uko sawa ila jismini kwanza ukiturudisha kwenye bakuli tunakuchapa

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Před měsícem +1

    Umekwenda kumhoji bila kujiandaa na maswali mahususi yatakayojibu sintofahamu iliyopo. Unamhoji kama m mbeya na sio mwandishi. Hovyo !

    • @wbmclassic1651
      @wbmclassic1651 Před měsícem

      Kabisa.anadandia tu kila kona hajui hata cha kuuliza

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 Před měsícem

    Fatuma karume Yuko juu Sheria

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem

    Nuksi kweli mzeee mingine mishavu kama linapuliza moto

  • @jekoniarubeni4609
    @jekoniarubeni4609 Před měsícem

    Aliakuwa mwanachama mwaka 1983, yanga imeanzishwa miaka ya nyuma hata kuzaliw bado na wenye yanga wako wapi leo unasimama wew kam vile ndio ulianzisha timu duuh tamaa mbaya sana sna...mzee anaona kama anakufa maskini afu club amekua ndani ya club sio ameikuza club

  • @hasanisalimu5321
    @hasanisalimu5321 Před měsícem

    Wewe njaa itakuwa sura mbaya

  • @eclaskilawa8972
    @eclaskilawa8972 Před měsícem

    Mzee anahekima sana huyu

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Před měsícem

    Huyu mzee kwa hali hiyo haliyokuwa nayo noma njaa tu

  • @davidpius4764
    @davidpius4764 Před měsícem

    Mzee chiz uyuu

  • @user-yg5gg1pk1t
    @user-yg5gg1pk1t Před měsícem

    Komaa mzee ilitukutombe vzr

  • @MsuyaSereckys
    @MsuyaSereckys Před měsícem

    Mzee yanga kweli watu Wana chiki tu roho mbaya mzee yanga kwelikweli

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Před měsícem +1

    Hapo alipo hata buku moja hana njaa inamsumbua jinga kabisa

  • @sidekp
    @sidekp Před měsícem

    Wakupe ofc mzee

  • @jamesbakera2135
    @jamesbakera2135 Před měsícem

    Komaa mzee wangu kwa staili iliyopo wanachama bila mwenyekiti haiwezi kwenda

  • @brownnsajigwa4617
    @brownnsajigwa4617 Před měsícem

    wanamkosea mzee magoma

  • @Barick2
    @Barick2 Před měsícem

    Huyo mzee naye anataka kuleta matatizo,,aachane na Yanga

  • @iam_sami
    @iam_sami Před měsícem

    Mzee anakunya htr😂

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Před měsícem

    Alikuwa wapi cku zote?

  • @IbrahimNgolo-cp5mi
    @IbrahimNgolo-cp5mi Před měsícem

    Mzee yuko sahihi

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Před měsícem

    Sasa si kashinda watu wanaendelea na majukumu yao tuone atafanya nn na wapuuzi wenzio

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Před měsícem

    Huyu mzee yupo sahihi wanamdharau ni wale ambao hata kadi hawana mnataka Gsm akiondoka turudi kwenye bakuri

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem

    Mzee magoma alitakiwa kua mwanasheria anakili sana anaongea point anajua kupigania hoja

  • @SamsonAntony-e3w
    @SamsonAntony-e3w Před měsícem

    😢uyo mzee choko2

  • @John-sz9je
    @John-sz9je Před měsícem

    Mzee hajielewi huyuuu

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 Před měsícem

    Yaani huyu ndio chanzo cha vurugu Yanga mwisho itapelekea timu kuharibu walipofikia

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Před měsícem

    Mzee ana mjengo bwana

  • @EsterClement-f1c
    @EsterClement-f1c Před měsícem

    Yaan linadanganya duh

  • @abubakarali6363
    @abubakarali6363 Před měsícem +1

    Mipengo kama mwanamke aliekeketwa

  • @jseventz
    @jseventz Před měsícem

    mzee yupo sahihi angekuwa na team ungekuta tunachukua hadi kimataifa

  • @ghalibalhinai2078
    @ghalibalhinai2078 Před měsícem

    Huyo mtangazaji mmeokota wapi hana taaluma ya uandishi zaidi ya uchonganishi mshamba mshamba tuuu

  • @saidmansoury1526
    @saidmansoury1526 Před měsícem

    Namuunga mkono magoma wazee wengine bora wakae kimya wawaachie wanasheria mbona mapovu yanakuwa mengi wanaficha nn wajibu hoja

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem

    Kaanzishe timu yako na mkeo 😊

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 Před měsícem

    Sasa mbona unapinga peke ako ndugu wakati maoni yalikusanywa kwenye matawi,siku zote wengi wape

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 Před měsícem

    Ivi mzee domo halinuki kweli maana nahisi mtangazi iyo harufu inayotoka mdomoni nahisi kali sana

    • @hildamasaki1967
      @hildamasaki1967 Před měsícem

      Acha kauli mbaya mbwana ata kama anamakose iyo cyo adabu kumwambia mtu mzima hivyo

  • @davidshabani7305
    @davidshabani7305 Před měsícem

    Mwandishi nifunze kuhoji

  • @jumaahmada3815
    @jumaahmada3815 Před měsícem

    Baba. YANGA. uendelee

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Před měsícem

    Mwanachama wakati huna kadi

  • @user-yn8gx4jn4n
    @user-yn8gx4jn4n Před měsícem

    Kwani huyo Mzee siapewe hiy yanga kama anavotaka tuone

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 Před měsícem

    Nawasihi akina Manara na Ally Kamwe wamuache huyu mzee.Kwani kwa propaganda ni hatari.Kile kikao cha YANGA kufafanua juu ya hiyo kesi kimewageuka.Wao wamejiharibia zaidi.

  • @BraytonPaul-g4p
    @BraytonPaul-g4p Před měsícem

    Kiukwel mzee sijakuelewa, Lengo lako n Nini? Coz all in all tupate maendleo ya club,

  • @YassinSauka
    @YassinSauka Před měsícem

    Wewe hutaki wawakilishi mbona mmemkuli nimekubali Abedi kuwamwakilshi wa yanga mtu mtu moja

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před měsícem

    Mzee anakitu atafika mbali,

  • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye

    mtu wa maana kabisa huyu Engineer akabidhi funguo 🤣🤣🤣