Part 1: GIGY MONEY amchana ZUCHU "Ningekupiga/SIJAWAHI Mtamani DIAMOND/Anatafuta UADUI na Mimi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2024
  • Hii ni sehemu ya Pili ya Mahojiano ya Rick na Gigy Money. hapa anaelezea Chanzo Cha Ugomvi wake na Zuchu ambaye walianza kurushiana Maneno kwenye Mitandao ya Kijamii
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
    #GigyMoney #Zuchu
  • Zábava

Komentáře • 67

  • @Lucyshie254
    @Lucyshie254 Před měsícem +2

    Giggy money to the world nampenda aki ❤❤❤❤❤❤❤

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Před měsícem +11

    Zuchu na diamond hawana hata muda na wewe masikini ya mungu 😂😂😂😂 AIBU

  • @JumaNyoni-ob2wz
    @JumaNyoni-ob2wz Před měsícem +8

    Ila ukitumia akili gift ni strong woman...hajawahi kuwa na manager hajawahi mtegemea mtu Ila huyo zuchu anaingiza hela wasafi anaimba na anatombwa hivi hebu wasituchanganye....gigy tunakuelewa.

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Před měsícem

      Le Salaud c'est toi même espèce de jaloux 😂

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před měsícem +5

    Meno ya gigy 🔥🔥

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz Před měsícem +3

    Sai naona giggy kizungu una improve 🎉🎉🎉🎉😂😂😂

  • @HanchoJunior
    @HanchoJunior Před měsícem +6

    Dada wa connection..ndo mana mond kakuacha hatak uchafu kwenye timu yake alikupa fursa jukwaan ukufanya umalaya akamua akuache lakn mond anawasapot sana wanawake kwenye game ila haujieshim na mond ni kioo kwa jamii kwa Sasa na ni mfanya biashara Alie sirias na kazi yake...we enendelea na connection zako....🎉🎉 Dada huyooo😅

  • @Jtiiiiiiiiiii
    @Jtiiiiiiiiiii Před měsícem +7

    Malaya mukubwa mujini .ongeleya chuma cha chuma vile ameku…..achana na Zuchu wew

  • @stellahnestrey3769
    @stellahnestrey3769 Před měsícem +3

    She is smart

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před měsícem +2

    Gigy kupigana hawezi kashapigwa na zee cute vibaya vibaya 😂 kwahy hata zuchu anaweza kumnyuka gigy

  • @naomidavid6390
    @naomidavid6390 Před měsícem +1

    Kwa hizi comment mbn kama watu wanamchukia sana huyu dada 😢

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t Před měsícem +8

    Mimi na hasira zangu hvi siwezi kuhoji mtu mwenye tabia za gigy

  • @user-bd4op5yl9i
    @user-bd4op5yl9i Před měsícem +18

    Mbona Diamond alikuita wewe mzee?😂 Mnaomalizia maisha we na Mange na haumsemi? Unamtaka! Ndio maana una hasira na Zuchu 😂 Tupumzishe bana. Kama alivyosema Simba- unazeeka vibaya sana😂

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před měsícem +9

    Wewe acha kujishauwa wewe hawuwezi kupiga zuchu ni kwaju zuchu hawezi kujipa sifa mbaya kwenye mitandao

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby Před měsícem +11

    She’s not your enemy because you are the one who is talking about her 24 seven is getting too much get a life dammm

  • @fatmahamad-ng8vp
    @fatmahamad-ng8vp Před 21 dnem

    hongera sana dada

  • @user-bd4op5yl9i
    @user-bd4op5yl9i Před měsícem +8

    Malaya tu!!! Kila siku wewe ndio unaongelea Zuchu saa hii mwaka wa pili? Your life lazima iwe imejaa uchungu zako😅 ndio ujue wewe hauna maana kwake ushaiskia amekutaja? Sasa ni mwaka wa pili 😅 ila wewe week haumalizi😂 Akili yako imejaa Zuchu Diamond, Zuchu Diamond na wao loh hawakusemi😂 must be a difficult life😂😂

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Před měsícem

      hein ZUCHU DIAMOND ; ZUCHU DIAMOND hé dans sa bouche 😂😂😂

  • @SADIKIMAPESA-yn7mo
    @SADIKIMAPESA-yn7mo Před měsícem +8

    ACHA KUMCHAFUA ZUCHU WEWE MALAYA TUNAJUA UNALIPWA UMCHAFUE TAHILA WW MTOA NDOGO😂😂😂😂😂😂

  • @SADIKIMAPESA-yn7mo
    @SADIKIMAPESA-yn7mo Před měsícem +6

    WEWE MALAYA UNATAKA KIKI KWA ZUCHU USHAJIZALILISHA KWENYE JAMII PUMBU WEWE HATUTAKI KUKUSIKILIZA😂😂😂

    • @tinaminja5500
      @tinaminja5500 Před měsícem +1

      Makasiriko ya nn jaman😂😂😂 afya ya akilii😂😢😢😢

  • @rehemamahmud855
    @rehemamahmud855 Před měsícem +2

    Gigy ❤

  • @habibamsemo6443
    @habibamsemo6443 Před měsícem +7

    Wandishi wa riki midia wachonganishi wakubw nyie mnatafuta kiki acheni ujinga washamba wakubw

  • @AffectionateFloppyDisc-us4ge
    @AffectionateFloppyDisc-us4ge Před měsícem +1

    Anaemuongelea hana hata muda nae 😂😂😂😂yy kutwa kumtaja zuchu ..si afanye yake tu😅😅😅😅

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před měsícem +2

    Kwanini husingemchukuwaga moses iyob ingependezaga sana.

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k Před měsícem +4

    Gigi wewe nimrembo zaidiya zuchu musame tu

  • @rahmaidd8818
    @rahmaidd8818 Před měsícem +2

    I THINK DEFINITION YA MANIPULATION INATUMIKA VIBAYA HAAAA😂😂

    • @user-bd4op5yl9i
      @user-bd4op5yl9i Před měsícem

      Labda ndio neno alalojua tu😅😅. Juu inavyotumika sasa😂😂

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před měsícem +1

    Upuuzi tu Gigy anajitoaga ufahamu

  • @azizaissa4010
    @azizaissa4010 Před měsícem +5

    Siku nyingine mwambie aoshe k yake kwanza

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Před měsícem +2

    Gigy tatzo unaowazngumzia hawajawah kukujibu sasa kwann usiachana nao

  • @user-ie2uk7im4w
    @user-ie2uk7im4w Před měsícem

    ❤❤❤gygy

  • @user-jh3jc8ef4y
    @user-jh3jc8ef4y Před měsícem +4

    Koma wee umuache zuu wetu nyokoo

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před měsícem +3

    Ongea kiswahili acha kuongea broken english,Sura mbaya domo kaya wewe.

  • @qamaryasalim9531
    @qamaryasalim9531 Před měsícem +2

    Lazima mumuongelee Zuchu jamani

  • @user-bd4op5yl9i
    @user-bd4op5yl9i Před měsícem +3

    SIKU MOJA ATA UONGEE UKOSE KUTAJA ZUCHU NDIO TUJUE WEWE NI MKUBWA😂😂

  • @chany9950
    @chany9950 Před měsícem +4

    Love you Gigy💪🏾💪🏾🏎️😘

  • @rachelpeter7032
    @rachelpeter7032 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂ila ung'eng'e wa gift😂😂

  • @Lulucut
    @Lulucut Před měsícem +1

    Hilo jiko la gig sjui akipika hewa ya chakula inatokea wapi au moshi

  • @sharlharl5890
    @sharlharl5890 Před měsícem +11

    Malaya sugu huyu hebu aendelee kutombwa hadharani and leave zuchu out of her mouth nanyi waandishi washenzi ka mikundu zenyu

  • @Taito-brand
    @Taito-brand Před měsícem

    Kil nikimuona gigy naon connection kichwani😂😂😂😂

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 Před měsícem

    One side nakuelew gigy kama unavyosema ulimpenda natuseme zuchu kakoseya ila kama shoga ake kwanini wew hukumfata live umwambie kama rafiki kakukosea kama yeye labda ameshindwa but ukiongelea mtaandaoni unaonekana wew ndio unachuki ila kama nawew ungekuwa rafiki wakweli ungepiga hatua wew ila kama hukupiga basi nawew ulitaka kuwa adui

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x Před měsícem

    Ila uyu dada dishi kama limeyumba

  • @Happizo
    @Happizo Před měsícem

    Huyu dada hajielewagi kabisa aseee...kiki anazifanya haziendani kabisa

  • @millahboo
    @millahboo Před měsícem

    wafate wenyewe waombe msamahaa acha kuomba msamaha kiaina! ulivyo mnyamba zuchu live wewe kama kweli ulikua unajua uungwana nikutafutana kwanini ukumtafuta baada ya kuona hiyo post? ila ukaenda live ukaanza kubwabwajaa duuh nimejua kwanini huna shogaa😂

  • @asyakhatib7942
    @asyakhatib7942 Před měsícem +3

    Alivosema ni kweli ona sasa chuma alivokuzalilisha 😂ety unajifanya unajisamini

  • @lilianmrope1598
    @lilianmrope1598 Před měsícem

    Huyu nae aache kumwongelea zuchu

  • @officialmugoli
    @officialmugoli Před měsícem

    Kingereza cha kuchekesha duh!

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t Před měsícem +1

    Uyo zuchu umpige akutizame tu...

  • @habibamsemo6443
    @habibamsemo6443 Před měsícem +2

    Acha ujinga ww msitafute kiki

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před měsícem

    Chagua kimoja basi kwa lugha

  • @beyondintrusion1663
    @beyondintrusion1663 Před měsícem

    Umpige zuchu wewe 😂😂 siku zote aliekuwa na mdomo hajui kupigana

  • @JamalAbas-fe5dj
    @JamalAbas-fe5dj Před měsícem +3

    Nchii ya kijinga hii mtu anataja uchii anatukana kila interview yake halafu anaachwa tu mwanamke gani anaongea kupitilizaa anabowa

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Před měsícem

      Hama iinchi mjusi ww matusi unayajua? Nyie ndio wabakaji wenyewe khengeeeee umelazimoshwa kusikiliza

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před měsícem

    Kingereza kibovu R na L nyingi anajikuta mmarekani yaan kwa akili za kishenzi anaona kajibu maswaaaali
    Shame on you unaesema mabaya ya wenzako wewe mabaya yako unaona hukosei

  • @MoviesAde
    @MoviesAde Před měsícem

    Gigy sio kwa ubaya ila ongea kiswahili, sababu maneno ya kingereza unayoyatamka hayaendani na unachoongea, if i may ask do you know the meaning of “manipulator” cause you spell it somewhere is not convenient to spell, it doesn’t bring the meaning of what you’re talking about, sio kwa ubaya lakini😒