UFUNDI WA MSUVA, SAMATTA NA KIBA, MAGOLI YOTE 6 HAYA HAPA 3-3, MSUVA AFUNGA 2, SAMATTA 1 NA KIBA 1
Vložit
- čas přidán 17. 06. 2022
- FT: TeamSamatta 3-3 TeamKiba (K.John 42’ Samatta 77’ Iddi 86’) (Msuva 15’ 67’ Kiba 56’P), TeamKiba wameshinda kwa penati 4-2 #Nifuate2022
Hii ni mèche ya hisani ambayo mara nyingi inalenga kusaidia watoto wasiojiweza au watu wenye uhitaji.
Mpira soft kabisa kazi nzuri kiba na samata nawashiriki wote
Alikiba si awe anaitwa timu ya taifa tu 😁😁😁🔥😁
Acha ujinga...!!!
😆😆😆
Haipendezi hata kidogo kutukana kutukanatuna kwenye mitandao nahisi hujui hii mechi ni ya nini na inafaida ya akina nani mbwa wewe
@@karoliwilliam8877 Mbona umepanick😒
Nakuunga mkono
#SAMAKIBA You are doing great thing
Iko powaaa
King kiba
Team kiba woyooooo
♥️♥️♥️♥️
Kaka milald ndoto yangu ck moja niwepo kwny kz yako
Kaka ebu fikiria kuanza biashara yako. Akili ya kufanyia watu kazi na kua omba omba haiwezi kukutajirisha kamwe. I wish you well
😅 😅 😅 kwa uwandishi huo endelea kuota
@@mwanabright7317 🗣️🗣️🗣️
@@jogechi2105 🙏🙏🙏
Nimemuona kama mayele
Mayele Yupo
@@scorasticaclement6308 ndouyouyoooooooooh
@@mohamedhussein5535 🤣🤣🤣
Safiiii sanaaa ❤️❤️❤️❤️❤️
Kiba oeeeeeeee
💪💪
MAYELE AU MACHO YNGUU?
Goli kipper waongo sana
Mbona kama hawapo serious au macho yangu
Ndo inavyokuwa mechi kama hizi, hata ulaya na amerika ya kusini mechi ya aina hizi wachezaji huwa hawako serious, inakuwa burudani na kuwaangalia wachezaji maarufu.
Kama kule mfano hutokea team Ronaldo De Lima na team Zinadine Zidani.
Anafaa
siku iziii wamepoteza mvutoooo samakiba ya mwanzo hadiii ya tatu ilikuwa mzuriiii
Mayeleeee
Huyo namba 9 ni nan
Mayele
Mayele
wana cheza shoho gem sana
Mechi mbovu,,masihara kibao