WANANCHI WAFUNGUKA WALIVYOTESEKA NA MABOTI YA MBAO "MELI YA CONGO INAKUA MKOMBOZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 23

  • @rateng5652
    @rateng5652 Před 3 lety +8

    Am Kenyan ..but I like the way Tanzania is looking after its people in terms of development

    • @wilfredelimeleki4543
      @wilfredelimeleki4543 Před 3 lety +2

      kunywa soda kwa kamau nitakuja kulipa
      Wewe hauna wivu na Tanzania

    • @Ngabo3
      @Ngabo3 Před 3 lety

      This is a congolese ship. Built by congolese with congolese engineering knowledge.

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 Před 3 lety +2

    Ndio muache kutuita wahamiaji haramu kwetu Congo huwa tunawaita ndugu mtanzania halafu huwa hatuwauzi kama jisi Tanzania mnavyo tubunguzi sometime wajomba

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety +1

    Rais wetu wa Tanzania yetu ni Yeye John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye Rais wetu wa Tanzania yetu

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 3 lety

    gud saana

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety

    Hee! Jamani huyo kaka anayeniginia vipi?

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 3 lety +2

    Duu kwaiyo Wa Congo hawajabandua hata makaratasi

    • @tmscb9725
      @tmscb9725 Před 3 lety

      Ata iyo siyo hata ya 3 Congo ama ya inne . Kuna nyingi nzuri kuliko ata hiyo

    • @wilfredelimeleki4543
      @wilfredelimeleki4543 Před 3 lety +1

      tutajuaje sasa kama syo mpya

  • @engineerrihebamh4785
    @engineerrihebamh4785 Před 3 lety +1

    So sad... Congo wametumia chansi hii hii ya TZ kudelay kujenga meli Tanganyika.. Daa.. Ila ni fursa kwa wafanyabiashara. Tuliteseka saana kukwea mbao

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 3 lety

      Si mlisema miundo mbinu si maendeleo? Angejenga mngesema oh amewajengea sijui akina nani. You can't have it both ways, hapa wamefungua biashara kubwa zaidi na itabidi na serikali ya awamu ijayo iangalie inafanyaje, wanaweza hata kujenga meli ya kupeleka mabehewa, magari na abiria Congo.

    • @benobuyoya8675
      @benobuyoya8675 Před 3 lety

      Ujenzi wa meli ni1. nyasa(meli tatu zimeisha) 2.victori(meli tank zimemalizika)3.Ziwa Tanganyika ni ya mwisho