Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Huu wimbo ni zaidi hisia
Ni usiku wa saa 5.00 Alhamisi 15.02.2018,nasikiliza tenzi hii namba 9,inanikumbusha miaka
Amina mtumishi napenda nyimbo zako xana
kwakupitia wimbo huu nimeamini hakuna rafiki kama yesu ubarikiwe mtumishi
Nawe nakuweka kwenye maombi akuepushe na hili ngonjwa la Corona.Binafsi nabarikiwa Sana na nyimbo zako hasa napokuwa kwenye matatizo.
kupitia wimbo huu nimejifunza yesu kwetu ni rafiki kama ukimuomba kwa imani
Je hunayo hata nguvu ,huwezi kuendelea ! watu wangekudharau ,wapendao dunia !Hukwambata mikononi 'Dua atasikia!
kweli huu Wimbo unanibariki sana najisikia kupata nguvu Mpya kila ninapo ufungua ubarikiwe mtumishi wa bwana.
Ameen iam blessed iam pregnant my baby hear this song he is very happy kick my stomach a lot..stay blessed
Nikisikiliza wimbo huu, najisikia kuzama kabisa. Mungu akuzidishie upako kwenye nyimbo zako maana zinabariki mno. Mungu sana.
Hakuna mwingine mwema wa kutuhurumia zaidi ya Yesu,maombi anasikia,ubarikiwe sana mtumishi
nikweli yesu ni rafiki wa kweli ktk maisha yangu yote.
Ukiomba kwa babaye maombi huskia👍👍👍😥😥😥🇰🇪
Naupenda Sana wimbo huu mungu akubarikii uendelee mbelee
Hakika ni rafiki kweli kweli. Mbarikiwe
barikiwa sana mtumishi wa Mungu wimbo huu imenifariji sana
usiku mwema mungu akulinde na maadui
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.nabarikiwa na nyimbo hii nikiwa lebanon
very true nahisi amani nikisikiza nyimbo zako ,mlungu akulinde kila wakati na kila saa
Hata urushwe kuleeeeee, bado watapata taabu sana maana Yesu kwetu ni rafiki
Huu wimbo ni zaidi hisia
Ni usiku wa saa 5.00 Alhamisi 15.02.2018,nasikiliza tenzi hii namba 9,inanikumbusha miaka
Amina mtumishi napenda nyimbo zako xana
kwakupitia wimbo huu nimeamini hakuna rafiki kama yesu ubarikiwe mtumishi
Nawe nakuweka kwenye maombi akuepushe na hili ngonjwa la Corona.Binafsi nabarikiwa Sana na nyimbo zako hasa napokuwa kwenye matatizo.
kupitia wimbo huu nimejifunza yesu kwetu ni rafiki kama ukimuomba kwa imani
Je hunayo hata nguvu ,huwezi kuendelea ! watu wangekudharau ,wapendao dunia !Hukwambata mikononi 'Dua atasikia!
kweli huu Wimbo unanibariki sana najisikia kupata nguvu Mpya kila ninapo ufungua ubarikiwe mtumishi wa bwana.
Ameen iam blessed iam pregnant my baby hear this song he is very happy kick my stomach a lot..stay blessed
Nikisikiliza wimbo huu, najisikia kuzama kabisa. Mungu akuzidishie upako kwenye nyimbo zako maana zinabariki mno. Mungu sana.
Hakuna mwingine mwema wa kutuhurumia zaidi ya Yesu,maombi anasikia,ubarikiwe sana mtumishi
nikweli yesu ni rafiki wa kweli ktk maisha yangu yote.
Ukiomba kwa babaye maombi huskia👍👍👍😥😥😥🇰🇪
Naupenda Sana wimbo huu mungu akubarikii uendelee mbelee
Hakika ni rafiki kweli kweli. Mbarikiwe
barikiwa sana mtumishi wa Mungu wimbo huu imenifariji sana
usiku mwema mungu akulinde na maadui
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.nabarikiwa na nyimbo hii nikiwa lebanon
very true nahisi amani nikisikiza nyimbo zako ,mlungu akulinde kila wakati na kila saa
Hata urushwe kuleeeeee, bado watapata taabu sana maana Yesu kwetu ni rafiki