Yesu kwetu ni rafiki; by Dinu Zeno 0625954315

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 05. 2016
  • Tenzi namba 9. Barikiwa.
    #dinuzeno

Komentáře • 319

  • @robinsonone6399
    @robinsonone6399 Před 2 lety +1

    Huu wimbo ni zaidi hisia

  • @jamesmwasambili381
    @jamesmwasambili381 Před 6 lety +7

    Ni usiku wa saa 5.00 Alhamisi 15.02.2018,nasikiliza tenzi hii namba 9,inanikumbusha miaka

  • @makajr129
    @makajr129 Před 3 lety +1

    Amina mtumishi napenda nyimbo zako xana

  • @mandlrasmwashibanda85
    @mandlrasmwashibanda85 Před 6 lety +3

    kwakupitia wimbo huu nimeamini hakuna rafiki kama yesu ubarikiwe mtumishi

  • @silyviapaul2676
    @silyviapaul2676 Před 4 lety +1

    Nawe nakuweka kwenye maombi akuepushe na hili ngonjwa la Corona.Binafsi nabarikiwa Sana na nyimbo zako hasa napokuwa kwenye matatizo.

  • @nancymatesomakali6612
    @nancymatesomakali6612 Před 7 lety +2

    kupitia wimbo huu nimejifunza yesu kwetu ni rafiki kama ukimuomba kwa imani

  • @dismaschukilizo1605
    @dismaschukilizo1605 Před 7 lety +1

    Je hunayo hata nguvu ,huwezi kuendelea ! watu wangekudharau ,wapendao dunia !Hukwambata mikononi 'Dua atasikia!

  • @selestinimnegelwa2265
    @selestinimnegelwa2265 Před 6 lety +2

    kweli huu Wimbo unanibariki sana najisikia kupata nguvu Mpya kila ninapo ufungua ubarikiwe mtumishi wa bwana.

  • @graciawaryoba9397
    @graciawaryoba9397 Před 6 lety +34

    Ameen iam blessed iam pregnant my baby hear this song he is very happy kick my stomach a lot..stay blessed

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 Před 4 lety +1

    Nikisikiliza wimbo huu, najisikia kuzama kabisa. Mungu akuzidishie upako kwenye nyimbo zako maana zinabariki mno. Mungu sana.

  • @jamesmwasambili381
    @jamesmwasambili381 Před 7 lety +1

    Hakuna mwingine mwema wa kutuhurumia zaidi ya Yesu,maombi anasikia,ubarikiwe sana mtumishi

  • @barakadaniel5473
    @barakadaniel5473 Před 6 lety +2

    nikweli yesu ni rafiki wa kweli ktk maisha yangu yote.

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza5813 Před 5 lety +2

    Ukiomba kwa babaye maombi huskia👍👍👍😥😥😥🇰🇪

  • @gladylaltaika6931
    @gladylaltaika6931 Před 6 lety +2

    Naupenda Sana wimbo huu mungu akubarikii uendelee mbelee

  • @albertwilsonalbert01
    @albertwilsonalbert01 Před 7 lety +3

    Hakika ni rafiki kweli kweli. Mbarikiwe

  • @jacktito7177
    @jacktito7177 Před 6 lety +2

    barikiwa sana mtumishi wa Mungu wimbo huu imenifariji sana

  • @nancymatesomakali6612
    @nancymatesomakali6612 Před 7 lety +5

    usiku mwema mungu akulinde na maadui

  • @valerieedwin2544
    @valerieedwin2544 Před 7 lety +1

    mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.nabarikiwa na nyimbo hii nikiwa lebanon

  • @Tomo-vn8cc
    @Tomo-vn8cc Před 6 lety +1

    very true nahisi amani nikisikiza nyimbo zako ,mlungu akulinde kila wakati na kila saa

  • @emilianasimba1566
    @emilianasimba1566 Před 5 lety +5

    Hata urushwe kuleeeeee, bado watapata taabu sana maana Yesu kwetu ni rafiki