Jastin Asifiwe - Yesu Unipendaye | Tenzi
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2024
- Yesu unipendaye ni wimbo wa tenzi namba 26,ambao umegusa watu wengi,ni matumaini yangu wimbo huu utaendelea kugusa watu wengi na kuwafungua katika jina la Yesu Kristo.
Music Director; Iman Shoo
seond ;Msuya
Third keys; Joel
Bass guitar; Evans
Solo guitar; Joseph kumenya
Drums; Zablon
video production; @directordixon
Audio capture; Baraka Ngowi
Audio Mixing; Festo
Venue; Haddy Pro
Back vocal
Hellen Mafie
Amina
Charis Bupe
Hope Reo
Prisca
Msama Kosan - Hudba
Hakika lusifa anajuta kuasi Mbinguni maana Kuna wanaofanya vizuri zaidi yake na Mungu anazidi kutukuzwa,Mungu akunue akutunze na akuinue zaidi Kazi yako ni Njema.
ni kweli atajuta!!!
I'm sure you
Usiache kushare habari hizi njema, waalike ndugu jamaa na marafiki tumwabudu Mungu pamoja! Usisahau kuSubscribe, kulike, comment na kushare, Mungu akubariki sana!
Amina🤝
Amen
💯
Amen nimebarikiwa
Mtumishi
Ameeen Kaka...
Kazi hii ni kubwa mnoo💥
YESU UNIPENDAYE
[1]
Yesu unipendaye kwako nakimbilia,
Ni wewe utoshaye mwovu akinijia.
Yafiche ubavuni mwako maisha yangu;
Nifishe bandarini, wokoe moyo wangu.
[2]
Ngome nyingine sina; nategemea kwako,
Usinitupe Bwana, nipe neema yako,
Ninakuamania, kuniweshesha;
Shari wanikingia, vitani wanitosha.
[3]
Nakutaka mpaji, vyote napata kwako;
Niwapo muhitaji, utanijazi vyako;
Nao waangukao wanyonge wape nguvu;
Poza wauguao, uongoze vipofu.
[4]
Bwana umeniosha moyo kwa damu yako;
Neema ya kutosha yapatikana kwako;
Kwako Bwana naona kisima cha uzima;
Mwangu moyoni, Bwana, bubujika daima
Barikiwa sana @peacendush1408
Huu Ni wimbo wangu no 1 huwa naona upendo wa Mungu ndani yake sana--- nimetafuta Sana hii turn kwa muda mrefu- naupenda.
Mungu wangu nifiche na watu wetu ubavuni mwako..tusionekane na Yule muovu😢😢😢😢
Ubarikiwe mno Baba. Neema hii ni kubwa Mno na kububujika Kisimani baba. Wewe ni baraka.
Mungu akuinue zaidi Kwa huduma iliyotukuka, zaidi azidishe unyenyekevu ndani Yako, mbarikiwe sana, ooooh hallelujah!
Nakuona mbali mdogowangu
Ameeeen mtumishi wa Mungu
Haleluya, hongera sana Kaka kwa wimbo mzuri, Mungu azidi kukuinua zaidi. Ameee
Huu wimbo unakupeleka Kwa comfort zone ya uwepo wa Mungu
God bless you man of God 😊
Yesu uliyenipenda upeo🔥🔥😭😭😭
Congratulation kaka una toa mpaka nyonyo zetu zina punguza speed Mungu akubariki
Kaka honger sanaa wimbo mzur xanaaaaah una juwaa tena unajuwaa sanaaa mungu akubaliki xanaaa akufikishe pale una taman ufike
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🏻🙌🏻Mentor
Mungu ainue kazi hii iliyotukukaaa
Mr Jastin napenda vocals zako be blessed my brother
Mungu akubariki mtumishi wa Bwana
Hakika vitani wanitosha Yesu
Hongera kazi njema 🔥🔥🙏🙏🙏
Born to worship Jehovah; so is your name. Bwana akushike mkono, akupe hatua nyingi zaidi. Hongera sana. 👏👏👏
Huo wimbo umembariki moyo wangu na umeinua imani yangu..more grace my brother
Hongera sana mwana wa Mungu 👏👏👏
Glory to God 🙌
Naku penda sana my brother mungu aku bebe juuuu
Heaven's mission on the earth👐😢😢...Yesuuuuuu😭😭😭😭😭😭😭👐
Aiseee dunia umtukuze MUNGU kupitia wewe cha kukupa nikukuombea baraka toka kwa MUNGU akuinue 👏👏👏👏👏❤
Habakuki 2;1~2 Mungu ndo mkalishaji wa njozi hizi! Mungu akupe ibada zaidi ndani ya moyo wako! We love u! Kazi nzr Sana Mtumishi!🙏
Amen,ninabarikiwa Sana na wimbo huu
Wewe upungue YESU aongezekee kaka, kazi yako no njema tena sana. You're inspiring me alot, May our LORD JESUS Bestow up on you all His blessings abundantly. 🙏🙏🙌
Nakupenda kaka mungu akuinue zaidi .utukufu kwa yesu
🙏🙏 it blessing day in the name of Jesus
Mungu akubariki sana, Minister Jastin Asifiwe🎤🎹🎸🥁🤝.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU aliye hai,,na Uinuliwe sana kwa viwango vya mbinguni mpaka ushangae....
YESU UNIPENDAE
Ubarikiwe sana mtu wa mbinguni,
Mungu azidi kukufanikisha na kukuinua Zaid huduma Yako ni njema wew sio mtu wa kawaida unakitu kikubwa ndan💪Mungu akuinue zaid
Wimbo mzuri.Amina
Wanyonge wape nguvu 🙏🙌🙌
Hongera kwa kazi ya mbinguni 👏👏👏👏👏👏🙏🏿🙏🏿🙏🏿
True worship . Barikiwa Justin
May God bless you ....you have anointing Mungu azidi kukupak mafuta zaidi
Yesu unipendae
Tumsifu yesu kristo
Ubarikiwe sana sana
Mtumishi wa Mungu....hakika unyenyekevu utakufikisha mbali.Yesu akutunze uzidi kukiinua kitiche cha enzi.
Mungu Azidi kukuinua kaka Justin
YESU UNIPENDAYE. kwako nimekimbilia.
Mungu akubariki
Bravo kijana wa Mungu
Bwana umeniosha 😭🙏🙏 Mwana wa MUNGU this is very powerful 🔥🔥🔥🔥
Nabarikiwa sana na wimbo huu❤
😭😭😭 Tunanyenyekea kurudisha utukufu
Ubarikiwe mno kazi ni njema inamguso wa pekee 💥💥💥🙏🙏🙏🙏
Kabla leo haijaisha tutakua tumevuka 1.2k mark my words
Mwana wa Mungu barikiwa na ujae na kuongezeka
Ni wewe utoshae bwana ✋
Ni wewe utoshae Yesu maishani mwangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze sana Mtumishi
AMENI BARIKIWA SANA JASTIN
Mungu pamoja nasi
Jaman wewe kaka Mungu akubariki
This song is what I needed tonight
Ubarikiwe bro
Asante sana mtumisji🎹
Nabarikiwa sana my Brother
Utukufu hata utukufu
Moto Sana hiii
Mungu akubariki na kukutunza
Ubarikiwe sana kazi ni njema
nkiwa mkubwa takua kama wewe 🙇🙇
Nice song
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 Kazi yenu ni njema saana keep the fire burning 🔥 in
Nategemea kwako
Very powerful😭😭 Mungu akubaliki Jastin
Hakika umeniamsha kaka
This Song is Someting Straight From Heaven Brother,So Powerfull Song
May Almighty God strengthen your paths 🙏🙏
Kwako Nakimbilia😥🙌
Ukowapi mtumish
Kazi njema sana MUNGU azidi kuinua hii huduma iliyo ndani yako pamoja na team yako🙏
Kaka ubarikiwe sanaa
Kaih jesus is lord jesus is lord mamamamamamana
Oooh yesu
🙌🙌🙌🙌🙌 haleluya
Yesu unipendayeee 🔥🔥🔥🔥🔥 hongera sana Ndugu yangu
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Great worshipper ...may the Lord hide you under His wings...for His glory keep worshiping Him.
Just power and power and power🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This song😭😭 very powerful
You bless blessed blesssss blesssss and Over bless me Justine, may lord continue used this Smart Heaven man🙏🙏🙏🙏
That's awesome my brother ... 🙏🙏 May God's favor be upon you.
Amen, groly to God
Ameen
Mungu akuinue zaidi,Kazi yako ni njema.
Strong and powerfull
Nice touch may my God bless you and lift you up
You are real blessed Jastin,May the Lord protect you for generation.
😭😭😭😭 kakaaanguu 😭😭😭
Haleluya😭
Ooh Lord let your living water flow over by my soul..😭😭.
Blessed you are couch Justin. 🙌
Powerful 🙏🙏🙏
Glory to God
Amen amen..what a powerful message here....keep going brother