MAJALIWA Atokwa MACHOZI MAGUFULI Alivyomwaga MAMILION kwa WASANII

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • MAJALIWA Atokwa MACHOZI MAGUFULI Alivyomwaga MAMILION
    Leo Novemba 15, 2019 Wasanii wameandaa Tamasha la Saanaa la Mwalimu Nyerere ambalo limehudhiriwa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Katibu wa CCM Dkt Bashiru Ally, Spika Bunge Job Ndugai, RC wa Dar es Salaam Paul Makonda, Jaji Mstaafu Joseph Warioba pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye ni Mgeni Rasmi wa Tamasha Hilo akimwakilisha Rais Magufuli.
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Komentáře • 297

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    He he he he he he he eee SIMU KUBWAAAAAA MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEE

    • @jenifajulius7814
      @jenifajulius7814 Před 4 lety

      Madam Rose sanatu

    • @abdallahlibwela9761
      @abdallahlibwela9761 Před 4 lety

      Hawa wanaounga mkono upuuz ni kwa sababu ama ya uchama,au kutojielewa.Kwa kiongozi mwenye busara hawez kumwaga mamilioni kwa watu wasiyokuwa na faida wakati kila kukicha ukienda mazahanati na mahospitali unatozwa pesa kisha unaandikiwa dawa unaambiwa "kanunue". Ukienda mashuleni michango kila kukicha halafu elimu yenyewe duni.Wananchi wanalipishwa kodi kwa kisingizio cha kitambulisho cha ujasilia Mali,jaman hata kama muuza lende au mlima vibarua ni haki kweli??? Halafu leo kodi zenyewe badala ya kuwahudumia wananchi wenyewe,, wanapewa watu wakafanyie starehe zao.Viongozi jamani kuweni na hurumaa na RAIA WENUU.

    • @adelaidedaycareprenurseryk6324
      @adelaidedaycareprenurseryk6324 Před 4 lety

      @@abdallahlibwela9761 na wewe mpuuzi bwela kuni nikugegi nene apu ve wa kwoki.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 Před 4 lety

      @@abdallahlibwela9761 wwe ni mpuuzi hiyo ni sekta iliyoko chini ya serikali kam kwenu hakuna huduma ya afya mkamdai kiongozi wenu huko au mbunge wengine tunavitambulisho hatulipi kodi zahanati zetu ziko mwake ndo mana nina afya shuleni kwenu kama mnachangishwa kashtakini

    • @restitutamelchiades902
      @restitutamelchiades902 Před 4 lety +1

      @@abdallahlibwela9761 ndugu yetu acha wivu. Wasanii ni wa muhimu ktk jamii. Kwa iyo wewe ulitaka akupe wewe?

  • @alvangidion9366
    @alvangidion9366 Před 4 lety +12

    This is how TZ, are, always happy with their leaders and citizens, much love my Tz,❤️❤️❤️

  • @paliscoedison2752
    @paliscoedison2752 Před 4 lety +8

    Mungu awalinde viongozi wetu. Nimefurahi sana kumuona waziri mkuu akiwa mwenye furaha penda sana mimi

  • @lilianlazaro4189
    @lilianlazaro4189 Před 4 lety +6

    Rais wetu Magufuli Juu juu juu zaidi. I like u baba tena saaanaaaa..🙏

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 Před 4 lety +11

    Chadema ni chama cha kishetani

  • @prophetess_jblessings
    @prophetess_jblessings Před 4 lety +24

    Hii nchi naipenda jamani🙄😁

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 Před 4 lety +21

    Magufuli yupo vizuri sana!

  • @aishaabdallah6232
    @aishaabdallah6232 Před 4 lety +16

    Nc magufurii we kwel baba lao majaliw baba lao makonda baba lao mwakiembee baba lao 😘❤💋🔥

    • @tazanimwingila9955
      @tazanimwingila9955 Před 4 lety +1

      MWESHIMIWA RAIS MUNGU NDIE ALIE KUUMBA SIJAELEWA LABDA NINABII MUNGU AKULINDE KILA BAYA UTUONGOZE TENA MIAKA THERASINI NAJUWA UTALIACHA TAIFA HILI LIPO PAZULI MUNGU AKULINDE AMINI

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 Před 4 lety

      Fedha wapewe wachezaji wa Timu ya Taifa kuwapa motisha sio Wasanii wenye ubunifu wao binafsi. Diamond na Msuva nani wakumpa motivation?

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai Před rokem

    Mimi nimkenya aki napenda leaders watanzania makofuli hajaisha mungu awabariki sana kwa picture nzuri sana kwa Africa yetu

  • @kingjjwasafi8917
    @kingjjwasafi8917 Před 4 lety +2

    Rais wetu uko vizur mungu akubarik

  • @edgargwakisa757
    @edgargwakisa757 Před 4 lety +6

    CCM baba lao 👍

  • @fatumasamiasuluhuog8696
    @fatumasamiasuluhuog8696 Před 4 lety +6

    Nami nalia kw furaha ndo mana nasemaga Mungu Amlinde Rais MAGUFULI kura zote z ndio kw Rais MAGUFULI kipenzi cha wanyonge alipo nipo MAGUFULI hoyee CCM hoyee Majaliwa hoyeee

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 Před 4 lety +2

    Safi sana mh.Mwakyembe

  • @yassersaid8233
    @yassersaid8233 Před 4 lety +2

    Salute magufuli salute Kasim majaliwa salute samia suluhu salute mkapa salute mwinyi salute ndugai salute from mbunge Wa ilala the real from kariakoo

  • @mamaally6134
    @mamaally6134 Před 4 lety +14

    jamani na sisi wananchi njaa mtuchangie waziri jamani kidogo tu du?

  • @kharunadangote4294
    @kharunadangote4294 Před 4 lety +15

    Hongeren nyote

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 Před 4 lety +5

    👏👏👏👏👏🔥🔥🙌🙌safi sana kazi nzuri

  • @sospetermdalime2109
    @sospetermdalime2109 Před 4 lety +2

    Safi sana umoja ni nguvu

  • @najmarushda4390
    @najmarushda4390 Před 4 lety +7

    Mm sielewi hapa kwan Veep jaman

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 4 lety +4

    Na kampeni tunapiga hapa hapa. Nakushauri Mhe. Rais uuangalie vyema Muungano sisi wanaCCM wa Zanzibar hatujanufaika na wewe, tunaona kazi nzuri unayofanya lkn wapinzani wetu wametushika pabaya kuhusu Muungano. Tupe nafasi za uteuzi na za kikatiba Wazanzibar.

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 Před 4 lety +7

    Ccm oyeeeeee

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 Před 4 lety +12

    Simu kubwaa....mimi kama mkenya nawapenda buree viongozi wa Tanzania...JPM OYEEEE

  • @joxiahmendez1325
    @joxiahmendez1325 Před 4 lety +5

    Wanapiga makofi kwa CCm wkt ni pesa za watanzania wote!..Piga makofi kwa walipa kodi!...👏

  • @ziotamusisa5620
    @ziotamusisa5620 Před 4 lety +5

    Ccm chama laooo

  • @TseaamaQhamaraBura
    @TseaamaQhamaraBura Před 4 lety +4

    Tunakupenda Sana Majaliwwa

  • @hildamjema284
    @hildamjema284 Před 4 lety +4

    Viva ccm oyeeeeeeeee

  • @ramaally9873
    @ramaally9873 Před 4 lety +5

    Duh!! Pesazote izo kwa upuuz

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 Před 4 lety +2

    Very good

  • @seyaorongo7466
    @seyaorongo7466 Před 4 lety +1

    Kazi nzuri

  • @dionisiamgina6411
    @dionisiamgina6411 Před 4 lety +4

    Jamani nawalimu milioni ngapi ? Nimefurahi ushirikiano wenu

  • @happygw6930
    @happygw6930 Před 4 lety

    Hamna rais mtaopata tz hana akitokea mshukuru Mungu Rais dr John pobe Magufuri ni rais wa kuigwa ubarikiwe baba ingawa tz wananchi sio wote wanajua upendo wako ila sie tunajua ubarikiwe sana sana nakupenda kazi zako daima nakupenda sanaa

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Před 4 lety +5

    Katika kuitambua haki na thamani ya watu ni kuchukua fedha kwa tajiri kuwapelekea maskini kwa kukusanya kodi,pia kutambua unyonge na mahangaiko ni pale fedha zinapochukuliwa kwa maskini wakapelekewa matajiri/wenye nazo,Magufuli ni kiongozi mwenye maono na anaetaka maendeleo ila kwa hili la wasanii kuchangiwa hali wasanii wana maisha mpaka wanakufuru kwa ufujaji Wa fedha,mm halijanifurahisha

    • @senyatumaini3819
      @senyatumaini3819 Před 4 lety

      Hivi ina maana wasanii wote ukumbini ni wanachama wa ccm auuu

    • @captainenough681
      @captainenough681 Před 4 lety

      Sanaa ni kazi unapaswa kutambua Umesahau Biblia inasema nini? Nakukumbusha aliye kuwa nacho ataongezewa. Na Mtenda kazi Anastaili ujira wake. Ila yote yana kutoka kwa Sababu ya Uvivu wa kufikiri na zoezi zima limekaa kichama. Diamond kwa show za nje analipwa zaidi ya milioni Mia moja na bado analipwa. Sanaa ni kazi

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 4 lety +3

    MAGUFULI for Tz....endelea kutawala.

  • @mylifeforchrist8446
    @mylifeforchrist8446 Před 4 lety +3

    I'm just proud Tanzanian political leaders led by maghufuli

    • @hamisaliy8655
      @hamisaliy8655 Před 4 lety

      nyinyi.acheni.kudanganya.watanzania.hizo.nipesa.zawananchi.na.walipakodi.mnazifuja.kwa.maslahi.yenu.halafu.muwaite.wenzenu.mafisadi.nyinyi.mmezipata.wapi.kama.sio.ufisadi.unaendelea.

    • @hamisaliy8655
      @hamisaliy8655 Před 4 lety

      mm

    • @mylifeforchrist8446
      @mylifeforchrist8446 Před 4 lety

      @@hamisaliy8655 what's up?!!

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 Před 4 lety +4

    Namimi natowa100

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 Před 4 lety +2

    Kilichoniuma ni kuona mnanila kigoma watu bado wanabeba maji kisimani pesa zinamwagwa hivyo,wakati kuna watanzania wengi bado wana misha ya dhiki.

  • @stephanchotter595
    @stephanchotter595 Před 4 lety +6

    kwan hapo mlikuwa mnafanya nn mlikuwa na kampeni au 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 Před 3 lety +1

    Ovyooooooo!

  • @mjubaatv2921
    @mjubaatv2921 Před 4 lety +7

    daaah, dunian tupo sawa, au la! maswal yanayoumiza kichwa kila siku!!! Ipo siku majibu yataonekana kwa swali lililojifcha

  • @pastoryconrad6795
    @pastoryconrad6795 Před 4 lety +13

    Ccm ndo Tanzania NA Tanzania ni ccm

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 Před 4 lety +2

    Mizaniii mizaniii mizaniii

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 Před 4 lety +32

    Nyie mnatoa povu kwani mnateseka nini maana siyo kwa comment za mipovu hiyo
    JPM ni Baba lao

  • @ashuraaomar925
    @ashuraaomar925 Před 4 lety +1

    Magufuli nakupenda bure 100

  • @entrtmenttelevision5509
    @entrtmenttelevision5509 Před 4 lety +1

    Vizur

  • @mukanyapumbu7734
    @mukanyapumbu7734 Před 4 lety

    Ni vizuri.

  • @edwardisack1890
    @edwardisack1890 Před 4 lety +4

    jambo zuri sana lakini kwa wale wasio na chama mnawabagua

  • @davidchambo3468
    @davidchambo3468 Před 4 lety +3

    Naiyona 🇹🇿mpya

  • @michaelmponeja2102
    @michaelmponeja2102 Před 4 lety +15

    Nazo hiz haziwez kupotea na chuma ulete?

  • @aloycemhangwa4549
    @aloycemhangwa4549 Před 4 lety +2

    Tz nchi yenye aman mng balki nchi ytu balk na viongoz wake kama naww unaunga mkno typ amee

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 Před 3 lety

    Majaliwaaaa baba lao magufuri baba laooooo

  • @fredjohntanzania3881
    @fredjohntanzania3881 Před 4 lety +5

    Hii ndio Tanzania. Yetu

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 3 lety

    Bunge bongo movie episod ya ngap

  • @mikidadchande8961
    @mikidadchande8961 Před 4 lety +4

    Naona wanaandaliwa kupga kampeni

    • @sankofaman4112
      @sankofaman4112 Před 4 lety

      Na chadema pia walitakiwa waandae. Tatizo ubahili.

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 Před 4 lety +4

    Inukhusu nini festival na ccm

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 Před 4 lety +2

    Kama naskia sauti ya shishi jamani kiherehere

  • @calvinlameck1577
    @calvinlameck1577 Před 2 lety

    Enzi ya hii formation ilikuwa poa sana yan!!

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 Před 4 lety +3

    Kwa fungu lipi lililopitishwa na bunge?..yaani hii nchi watu akili nyingi hadi zimehamia magotini..

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 Před 3 lety +1

    Huyu makonda Yuko wapi siku hizi?nasikia anauza njugu ameichezea CCM imemtahiri miguu juu!!

  • @faustinebosco2137
    @faustinebosco2137 Před 4 lety +6

    Naona mnawaanda wapiga kampeni

    • @saradrupiarupia3396
      @saradrupiarupia3396 Před 4 lety

      Simeni msemavyo lakini RAIS MAGULI Ni jembe halimtupi mkulima ye Ni mtu wa watu Mungu azidi kukupa nnema na nguvu ya kusonga mbele

  • @emmanuelugosmligo1016
    @emmanuelugosmligo1016 Před 4 lety +2

    Yan hela

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 Před 4 lety

    yaan humu ndan hizi coment nyengine ovyoo ety wapewe vijana pesa wakaowe eboooo raha hutafutwa kwa jasho lake mtu ndi huona uchungu wa kukaa na mke ukimpa mahar ndo unakuta cku mbili kesha acha, na km kubaka kwan wangapi wanawake zao ndan tena zaid ya mmoja ama wawili na bado hizo kesi unaziskia hebu fnyen kz mukaowe, omba pesa labda kuanzia msingi wa maisha na sio kuomba mahar, hayo yashapitwa na wakati tokea mababu na mabibi zetu, mtu kaambiwa vaa kanzu na koti tu twende ukaowe na mpk leo watu wapo pamoja na wengine kukaliana kizuka na kusindikizana kaburin FROM TO ZANZIBAR

  • @msusamsusa4514
    @msusamsusa4514 Před 4 lety +8

    Hizo hela wanazochanga ni za mshahala wao au kodi zetu ?

  • @salmamalck7024
    @salmamalck7024 Před 4 lety +1

    Kama Rais tumepata mungu amlinde sana

  • @festoelectrician4430
    @festoelectrician4430 Před 3 lety

    Niceeeee

  • @rehemambwanji1646
    @rehemambwanji1646 Před 3 lety

    Safi sana mmetoa mifano

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 Před 4 lety +3

    Hiz fedha wanatoa wapi.?

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 Před 3 lety

    Bunge ili ni safi

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 Před 4 lety +7

    Wakitoa siasa waspotoa hapendwi ,,nchi yenye watu wa ajabu sana watanzania, magu ongoza no way sisi ndo tunatoa hela

  • @giftymadaraka6676
    @giftymadaraka6676 Před 3 lety

    Rais wetu kiongoz wetu hakika unaweza unafaaaaaaaaaaaaa wewe n boraaaaaaaaaaaaaa

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 Před 4 lety +3

    Hilo saut la shilole balaaa

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 Před 4 lety +1

    jitekenyee then uchekee hehee rahaa bana ccm

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    Lawama za nini sasa issue ni UBUNIFU TU CCM OYEEEEEEEEEEEEEE

    • @adammwamba9177
      @adammwamba9177 Před 4 lety

      CCM imetowa milioni nne tu...hiyo M 100 katowa raisi hivyo pigeni makofi kwa kusema rais rais rais rais............

    • @adelaidedaycareprenurseryk6324
      @adelaidedaycareprenurseryk6324 Před 4 lety

      @@adammwamba9177 MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEE

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 Před 4 lety

      CCM inahonga na kutoa rushwa wafanyiwe kampeni na vijana wasanii. Mbona msichangie Yatima, Wajane, Makanisa na Misikiti. Aibu tupu. Watoto wamejaa tele mijini hawana makazi mnachangia watu wanaojijua. Wasanii wanajijua nyie ndio mnawakwamisha.

    • @adelaidedaycareprenurseryk6324
      @adelaidedaycareprenurseryk6324 Před 4 lety

      @@abdalahfarida2074 Haaaaaaaaaaaaaa kweli? Roma haikujengwa mara moja hata Ulaya watoto wa aina aina wapo in fact dunia nzima.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 Před 4 lety

      @@abdalahfarida2074 wwe ni fala sana hyo sekta iko chini ya serikali na wao nisehem yamafunzo ktka jamii hao watto yatima wametengewa nyumba zao ukiona wako mtaani hawataki kwenda wenyewe kuhusu miskiti serikali inasaidiaga sana mpaka inawajengea kuhus wajane yako masshirika ya maendeleo yakina mama ttzo lenu uelewa mdogo na umaskini ndio unewajaa

  • @jacklinepaul1784
    @jacklinepaul1784 Před 4 lety

    Duh hongeren mnaela jaman mngenisaidia na mm ada ningewashukuru sana

  • @assachiwanga96
    @assachiwanga96 Před 4 lety +6

    Hela zawatanzania wanyonge wanazigawa kama njugu lakin Haina noma tutafika tu!!!

    • @ummiynkya331
      @ummiynkya331 Před 3 lety

      Wenye nchi ndio wao na wenye pesa ni wao

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 Před 4 lety +16

    Jpm alikusanya kutoka kwenye kodi. Ingekuwa kipindi cha JK Tsh. 100 mil. Zingeenda kwa mafisadi. Viva JPM!!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety +1

      Hujui kitu!!!!

    • @haidaryhazard7634
      @haidaryhazard7634 Před 4 lety

      Pumbafuuuu acha kuropoka

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 4 lety

      godfrey mbwambo mafisadi ni wa chama kipi kati ya vyama vilivyopo tz, hapo naona kwa maneno yako sheikh ni yuleyule ila kanzu ndio Mpya, wimbo unasema ______ni ile ile oooni ile ilee

    • @juliejaphet2700
      @juliejaphet2700 Před 4 lety

      Hajitambui msameheni huyo giza Totoro 🙄🙄🙄🏃🏃

    • @gilbertidi9682
      @gilbertidi9682 Před 4 lety

      Msimkaripie alichokingea bwana godfrey aliongea point.

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile9116 Před 4 lety +3

    Shilingi mia moja

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 4 lety +13

    Hayo machozi yatoeni kwa wale binadam wenzetu waliowekwa gerezani bila hatia jueni mungu yupo

    • @salmaoriginaloriginal6478
      @salmaoriginaloriginal6478 Před 4 lety +1

      Gereza lme jegwa kwaajil ya wa2 kama sio mm wewe au yule upo nyonyooo

    • @monicachoga5878
      @monicachoga5878 Před 4 lety

      Fatma Khanii walioko jera siwanataka wenyewe kwa niaba ya mabeberu

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 4 lety

      @@salmaoriginaloriginal6478 hayajakukuta ndio mana sawa yamejengwa kwa ajili yetu ila sikwawasio na hatia

    • @gwamakamartin7090
      @gwamakamartin7090 Před 4 lety

      We kiazi kweli ww ko gereza atakaa nani na kama wamewekwa bila hatia mbona ww hupo Kyle fyuuu!!

  • @zawadiommary8593
    @zawadiommary8593 Před 4 lety

    Mweshimiwa kasim kasim majaliwa umenifulahisha sana kusema nataka nimletee kizanziba zanziba hongore san piga kazi nataka kesho ukikaliye kiti chakitemi hongera san

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 4 lety +9

    Hahahahaa hadi nimecheka sh 100 inashangiliwa zaidi kuliko milion 5😂

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 Před 4 lety +2

    Rais mtarajiwa

  • @kambonamajaliwa5466
    @kambonamajaliwa5466 Před 4 lety

    Duuui bongo bhana,kasema sh.mia moja watu wanashangilia mpaka basi.siyo milioni mia moja,sh.

  • @fundivigaetzchannel1899

    Utawa ulina na furahaa sana nimemiss utawala wa hawamu ya 5

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Před 4 lety +4

    Sasa wasanii wanashida gani?ningekuwa mimi ningewachangisha wasanii wote kisha fedha zikaanza kujenga nyumba za kulea wazee wanaoteseka bila msaada wowote pia kuna walemavu/vipofu wamekaa mijini na mabakuli wakijaribu kujiokoa njaa kwa kuomba mia mia,sio hawa walishatajirika hawana shida yoyote zaidi ya kula bata

    • @hamishasan7737
      @hamishasan7737 Před 4 lety

      Allah akupe wepesi Wa fikra akukunjulie shida zako , ziwe nyepes uweze kuzitatua , hiyo message yako imenitoa machozi ,nakutakia maisha mazuri Kwa uwezo wa Allah

    • @KingKong-db9zv
      @KingKong-db9zv Před 4 lety +1

      Dah mzee umeongea fact

    • @salumkhamis7818
      @salumkhamis7818 Před 4 lety

      @@hamishasan7737 amin nawe pia ALLAH akutatulie shida zako na azinyanyue amali zako mwisho uingie peponi INSHAALLAH

  • @nichorausrichard2347
    @nichorausrichard2347 Před 4 lety +2

    Magu oyeee

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 Před 4 lety +2

    kuna mdada anakiherehere hapo hatari

  • @abdallahlibwela9761
    @abdallahlibwela9761 Před 4 lety +7

    Ama kwa hakika Tanzania bado saaanaa.Hivi kuwachangia wasanii kunafaida ganii? Wakati wananchi wanatesekaa?? Walaaniwe woote waliyoshiriki.

  • @mrschura3134
    @mrschura3134 Před 4 lety +1

    Chama changu

  • @fadhilimatandala7629
    @fadhilimatandala7629 Před 4 lety +2

    😂😂😂😂😂 wanasiasa

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana baba laooo kwa support kubwaaa kwa sanaaa Tz

  • @husnasaid257
    @husnasaid257 Před 4 lety +2

    tunaomba ukerewe mtutengenezee barabara tunapata shida

  • @emmanuelmwesongo7177
    @emmanuelmwesongo7177 Před 4 lety +17

    saut la shilole linasikika balaa

  • @hajimakame1062
    @hajimakame1062 Před 4 lety

    Kasimu mmajaliwa huna sera mkuu

  • @halimashigela7544
    @halimashigela7544 Před 4 lety

    Ongeren

  • @robertdavid9592
    @robertdavid9592 Před 3 lety

    Waziri mkuu swaafi

  • @hermanndongolo1550
    @hermanndongolo1550 Před 4 lety +2

    CCM CCM CCM CCM

  • @floramsacky3929
    @floramsacky3929 Před 4 lety

    Baba yenu Mh. Dr John Pombe Magufuli anapenda sana mfike mbali wasanii ila mnapojulikana tu tayari mnaona mmefika mnawaza nini na wakatikila kitu mwapewa baba yenu anatamani mfike mbali lakini hamtaki watoto wa matajiri bhana?

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 Před 4 lety

    Nashauri sana kujengwe uwanja wa sanaa nchini, pia basata wajitathimini kuwekeza hata kujenga uwanja kwa ajili ya sanaa, pia vijiji vya kuigizia maana hii inaleta mchango sana kwa mapata na ajila kw vijana.

  • @sirfabiano767
    @sirfabiano767 Před 4 lety +9

    Hii nchi ya ajabu sana

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 Před 4 lety +1

      Nchi haiwexi kuwa ya ajabu Bali wanadamu kama wewe sasa hapo hajabu nini mfuko wa wasanii au watu kushanglia ccm ,haya ndio mambo mnaambiwa hamuwexi kuongoza kwani cdm ingetoa hta m 2 si ingekua vyema

    • @leonardemmanuel9249
      @leonardemmanuel9249 Před 4 lety

      Hama nchi waajabu wewe mwenyewe unajuwa hiyo mia moja imetoka wapi?? Basi na wewe kuwa msanii

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 Před 3 lety

    makonda maneno mengiiii

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam8417 Před 4 lety +2

    😓😷Dah vijana wanabaka kwakutokua na uwezo wakuoa leo mamilion yanaenda kuangamizwa ayoooo bila huruma ,ivi unazana kama mchango uo unapewa vjana kuwezeshwa unazan nivijana wangapi wangenusurika na balaa la ubakaji ?

    • @stevensosipita5673
      @stevensosipita5673 Před 3 lety

      Wewe ndo huna akili kabisa bwege kwa hiyo unataka serikali ikutolee mahali au pole sana