bruh since kitambo sound mbaya unasikia horn like sio leo hiih interview tuuh .. but great podcast very smooth but try kufix na noise canceling mikes au unaweza ukaeka small mikes za canceling chini ya hio mike kubwa ili iwe presentable ukakill izo kubwa ili watu waenjoy
🔥🔥🔥bonge la enterview ammy na gara wanabond nzur❤
Dope episode....
True definition ya "upambanaji unalipa"
Ammy big up sana... didn't know your story
A great interview
Ila sound kipengele
Just a hint for shure SM7B kupata sound nzuri tumieni "cloud lifters" kupata gain staging nzuri.
Hiki ndo kipindi bora kwa sasa TZ...madini mengi sana unapata huku🔥
Yea ni podcast ambayo hukuti maswali ya ki-miyeyusho
Big fan of this podcast but leo sound imezingua..all in all bigup sana
Tunaomba utuletee joram nkumbi mzee wa ulumbi kila pahala...fanya hivo chap tuje kupata kiswahili fasaha kidogo
Tumeshamleta Joram. Rejea episode no 19
@@iRocNetworks ok naona nilikuw bado sija join shukran bro
🔥🔥 best episode
Kwa mara nyingine tena na jamaa yangu mkali Sana matukio salute brother 🙏🙏
Show Unique Content Nomaa 🔥🔥… majitu ma genius BEST SHOW.. mtu wa sound katuangusha
The junctioooonnnn 🎉🎉🎉🎉
🎉🎉
Raha sana kupata mume anaekusifia kwa kila kitu
wazee hyo sound echo ni vip mbona kipengele si watu wenu wange zuia hyo
Ila Junction Team acheni vitu kaa izo bana.. muache mtu aongee na wageni hata masaa matatu.. saa limoja tu mnataka bro Matukio amalize😢💔..
Gara B kamaliza vizuri Applications kwa Ammy...
Garab amechangamka 🎉
Naona Mme record sound na mic za Karioke...!!!
Kipind kizur imekua kama mjadala they speak their minds. Wanaulizana wooote nice.
Babiii mwanangu kwenye mitambo vipi mic ya ammy Gal😢Sema show letu pendwa🎉🎉
bruh since kitambo sound mbaya unasikia horn like sio leo hiih interview tuuh .. but great podcast very smooth but try kufix na noise canceling mikes au unaweza ukaeka small mikes za canceling chini ya hio mike kubwa ili iwe presentable ukakill izo kubwa ili watu waenjoy
This one is nice❤
15 mins in and am impressed
🔥🔥🔥
Big time✔🔱🔱
Ammy gal very smart
Lack of love
🔥🔥🔥🔥
Ewaaaa
Mike zenu zilekebisheni Zina mawimbi
WATU WA MAANA SANA
Sound changamoto leo.
Show yangu pendwa
Sound imeyumba yumba leo🤔
Gara B anamaswali sana🤣
Gara b ubu jukuwa iyo kipindi 😂😂
Garab amekua host
Sound dah 😢😢
Sound engineering anafeli wapi ila mbona ya garab haizingui
lovly interview
Sauti 😢
❤🎉🫡🫡🫡