Mungu wetu ahsante kwa zawadi ya Dr. Magufuli kwa muda mfupi uliotujalia kuwa naye akiwa raisi wetu. Tumetambua mpiganaji halisi ni nani! Leo hatupo naye lkn tunajua hata waliofanya sherehe wakati umemchukua leo wanalia kwa sababu moja au nyingine... Pumzika baba yetu, Mungu amekupenda zaidi ila tunakukumbuka saaaana ❤❤❤❤
Huyu ndiye Rais Mungu alitujalia lakini akamuchukuwa mapema. Mafisadi walimuchukia. Wezi walimuchukia. RIP baba. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.
@@user-gc3ec9wx6z Rudi shule kwanza hujifunze kusoma na kuandika😁😁akili fupi kama mandishi yako😁RIP UNCLE MAGUFULI 😭😭😭Tz tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli✊️👍🤝💪🙏
Samia alipokea nchi iliuopangwa, kazi yake ilikuwa kuyaemdeleza ya Magufuli. Magifuli alipokea nchi iliyotafunwa na kuachwa mifupa mitupu. Lała salama baba
Amina. JPM alijitahidi sana. Na watu wanasahau kwamba naye alikuwa ni binadamu na kila binadamu hakosi madhaifu. Katika yote, na historia imeonyesha, si mimi bali historia, kwamba ukitangaza kwamba we unapigania wanyonge jiandae shida na mateso maishani mwako kama si kupoteza uhai wako vile vile. Nani leo katika viongozi wetu yu tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya wanyonge? Nadhani hakuna! Kwani naye anaogopa kupoteza maisha. Ni kanuni, ukijinasibisha na wanyonge, watakaokupiga vita na hasa kukutoa roho, ajabu, ni ndugu zako wa karibu ambao walitakiwa wakukingie kifua badala yake watashirikiana na mamluki toka nje yaani nje ya kambi (nchi) yako. Na hapo kufurukuta inakuwa kazi nyingine! Nani leo kiongozi Tanzania madarakani yuko tayari kwa hili kama JPM alivofanya. Nasema tena hakuna. Ila tunapata faraja upande mwingine. Wanaharakati wapo na wanajitahidi kabisa: Sasa ndgu zangu: Cmdes Julius Malema, Wilbroad Slaa, Lissu, Mhe. wakili Mashala, Bw. mdogo Mwabukisi, mzee mwenzangu Hashim Juma, wanangu Mdude, Madeleka, Cmde Lissu, itifaki si rahisi kuwataja wanaharakati wote, nawatambua. Muwe macho, muendeleze mapambano kuwatetea wanyonge. Mungu atawalipa! Amina.
@@ahmadamohamed1907 Hapo aujasema chochote. Kama uko na chuki binafsi utaumia bure. Kweli Mzee JPM wewe ulikuwa Mwamba yaani mpaka leo bado unatikisa wakati umelala!!!!!! RIP Mzee, sisi tulikuelewa.
Tena mipaka yenyewe ni wale wahuni walitumbuliwa Wizara ya Mambo mengine Wizara ya Habari mengine yaliyokula pesa za wastaafu za nssf na Umeme umemshinda kukatika hovyo mitambo haitengene wengine wauzaji pembe za ndovu wauza madawa ya kulevya wengine walioikomba Nhc wamerudishwa woteee hiyo mibomu yaani mama karikoroga vibaya sana
@@user-lt1bi5nr1x hayo yote yaliyojazana yana kazi ya kumpiga VITA DOTO BITEKO NA MAKONDA ETI WANATAKA Urais 2030 kama huyu Ester Luxury hafai hata kwa kulumangia ana pesa chafu sana za wizi lilitumbuliwa Wizara ya Mambo ya ndani lilikuwa likiambiwa likashike mihujumu uchumi linawapa taarifa mapema linakula rushwa linakimbia nje ya nchi jizi kwisha kazi mpaka maisha yamekuwa magumu
@@user-lt1bi5nr1x User linasema watu wahamie Burundi halafu linataka Urais pumbavu kabisa 2030 wanemtokomeza mama kwa kunpa ushauri mbovu tuobekane wanawake hatuna maana nalichukia ajabu sanaaaa bomu kabisa yeye na aliyeshindwa wizara ya Nishati kutwa kukatika umeme wamemuondoa Kalemani bure
Ccm oyeeeee enzi ya Magufuli sasa hivi zinakombwa haswa kwa kauli mbiu ya mama kula urefu wa kamba yake na watu wajae mapesa mifukoni sasa kila sekta hovyo kabisa
Huu ndio utendaji uliokuwa umetukuka, wengine waliuota dictator,Mungu tunakuomba utuangazie Mwingine katika nchi yetu (kwani china ilifikiaje mapaka wahujumu uchumi kupigwa Risasi hadharani?kusema tu bola vitendo tutachelewa sana uchumi tunaotaka kuufikia,
Yaani nime Acha kuangalia hotuba zake moyo unaniuma nalia machozi kila nwpomuona Mzalendo na kiongozi wa kweli...pumzika Kwa amani.kweli huyu kiongozi alikuja Kwa kututumbua macho na akili kuonesha kweli waftica tukiamuw tunaweza kufika mbali.
Hakika uongoz Ni kutoogopa na nimuhimu kuwajibisha viongozi wazembe ila unapo fanya Ivo unaonekana unaigili majukumu ya wengine hii sio kila MTU awajibike
huyu Rais alijua kama ataondoka Duniani maana alikuwa mzalendo na nchi ilienda mbele
mungu amrehem apumzike wa aamani
❤❤❤❤❤tutakukumbuka daima magufuruli wetu mungu akulaze mahali pema peponi amina.@@antonywilliama2868
Duh kwa kweli machozi hayatafutika alikua mchapa kazi mzalendo mwenye maono,MUNGU akurehemu mpendwa wetu
Ilienda mbele kwenye nn
mzalendo wetu😭😭😭😭...
Uko wapi Kamanda uko wapi Kamanda. Pumzika kwa Amani. Amen.
Katka kumbukumbu zxizofutka ktk vichwa vyawatu magufu ni kichwa cha habary
Tunakukumbuka kwa mengi RIP Magu mzalendo wa kweli
Excellent
Siku hizi hata taarifa ya habari sifuatilii tena😊m
Kama mimi TV huu zaidi ya mwaka sijatizama Wallah!
acha uongo jesusi ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaani wewe kama mimi
😂😂😂😂😂😂
Hata mim
Uyo ndo Raisi wetu wa Africa watching from Capetown ❤❤ lalasama baba etu😢😢😢😢 haujafa wewe lakini umelala kwajina layesu ❤❤❤
The Man himself.Magufuri oyeee.RIP chuma
Mungu wetu ahsante kwa zawadi ya Dr. Magufuli kwa muda mfupi uliotujalia kuwa naye akiwa raisi wetu. Tumetambua mpiganaji halisi ni nani! Leo hatupo naye lkn tunajua hata waliofanya sherehe wakati umemchukua leo wanalia kwa sababu moja au nyingine...
Pumzika baba yetu, Mungu amekupenda zaidi ila tunakukumbuka saaaana ❤❤❤❤
Mtu umemteua alafu unamuogopa hongera mzeee
Huyu ndiye Rais Mungu alitujalia lakini akamuchukuwa mapema. Mafisadi walimuchukia. Wezi walimuchukia. RIP baba. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.
Kupata rais Kama huyu kwa sasa ni ngumu..
Aksante sana. Mwamba utakumbukwa siku zote JPM
Mutamkumbuka nyunyi munaopnda zulma
@@user-gc3ec9wx6z Rudi shule kwanza hujifunze kusoma na kuandika😁😁akili fupi kama mandishi yako😁RIP UNCLE MAGUFULI 😭😭😭Tz tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli✊️👍🤝💪🙏
@estherkibajiro3480 kwa kweli akajifunze kuandika
Jemadali,Mwamba!!! Mungu bila Shaka Alikupokea amina
MUNGU tunaomba mtu mwingine kama huyu.
Samia alipokea nchi iliuopangwa, kazi yake ilikuwa kuyaemdeleza ya Magufuli. Magifuli alipokea nchi iliyotafunwa na kuachwa mifupa mitupu. Lała salama baba
Mungu utupe Mwingine kama Jpm
Amiin
hamtapata mpka mwisho wa dunia wazungu hawawezi ruhusu wanaweka wala rushwa wanaojenga magorofa wilaya zote
Makonda je😅
Askofu Gwajima na Waziri mkuu ndio wanaoweza kuvaa viatu vya Rais Magufuli
Bashiru na polepole ndio wanaweza ndo maana hawatakiwa na kundi la mafisadi
@@lupimosanitariumclinic
Amina. JPM alijitahidi sana. Na watu wanasahau kwamba naye alikuwa ni binadamu na kila binadamu hakosi madhaifu. Katika yote, na historia imeonyesha, si mimi bali historia, kwamba ukitangaza kwamba we unapigania wanyonge jiandae shida na mateso maishani mwako kama si kupoteza uhai wako vile vile. Nani leo katika viongozi wetu yu tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya wanyonge? Nadhani hakuna! Kwani naye anaogopa kupoteza maisha. Ni kanuni, ukijinasibisha na wanyonge, watakaokupiga vita na hasa kukutoa roho, ajabu, ni ndugu zako wa karibu ambao walitakiwa wakukingie kifua badala yake watashirikiana na mamluki toka nje yaani nje ya kambi (nchi) yako. Na hapo kufurukuta inakuwa kazi nyingine! Nani leo kiongozi Tanzania madarakani yuko tayari kwa hili kama JPM alivofanya. Nasema tena hakuna. Ila tunapata faraja upande mwingine. Wanaharakati wapo na wanajitahidi kabisa: Sasa ndgu zangu: Cmdes Julius Malema, Wilbroad Slaa, Lissu, Mhe. wakili Mashala, Bw. mdogo Mwabukisi, mzee mwenzangu Hashim Juma, wanangu Mdude, Madeleka, Cmde Lissu, itifaki si rahisi kuwataja wanaharakati wote, nawatambua. Muwe macho, muendeleze mapambano kuwatetea wanyonge. Mungu atawalipa! Amina.
Tundulossu ni ngoma ingine hayupo kwa maslahi ya inchi ,,,,jamaa anatumia uelewa kumake money na anamega huku na huku
Huyo Tundu hana msamaha mpaka Leo anazungumzia walimpiga risasi je anafaa kuwa raisi maana ukiongoza ujue kuna wanaokuunga mkono na wasiokutaka kabisa
Sa ivi tunapigwa kila siku @@domitillalyamba9006
MAKONDA TU
Yesu wakati anakaribia kusulubiwa alisema ni upendo wa namna gan mtui kujitoa kafara kwa ajili ya wengine
Kuna waliofanya sherehe kwa kifo chake.
Ila sasa wanaonja joto ya jiwe.
Mungu mpe JPM taji kwako mbinguni maana aliipenda nchi yake.
🤲🤲🤲
Amen, apumzike kwa amani
Mungu ailaze roho yako mahali pema kwa utetezi wako mwema kwa wale walodhulumia utabaki wakumbukwa na wengi...wema hauwozi na hausahauliki...❤
Pumzika kwa amani mzee John Pombe Magufuli... Amen.
L
😭😭😭😭😭RIP MAGUFULI
Kweli ulijuwa utasepa chap, na mama kweli anawabembeleza
Rais wangu wa wakati wote
Kwel kabisaaa
Sijasikia popote eti "Tumetenga....tutatenga".. yeye alisema "tumefanya, tufanye".. lala salama Rais wetu
Wewe ndie raisi wangu mpaka leo, nakupenda Sana baba,mzee maagu
Mfate aliko
@@ahmadamohamed1907 Hapo aujasema chochote. Kama uko na chuki binafsi utaumia bure.
Kweli Mzee JPM wewe ulikuwa Mwamba yaani mpaka leo bado unatikisa wakati umelala!!!!!!
RIP Mzee, sisi tulikuelewa.
@@ahmadamohamed1907mungu anakuona ila mm nitabaki kuwa raia wa magufur tu,Sina rsis hapa saiz
mnaomkataa uyu rais nadhan akili zenu haziko saw,,,,,ww hujistukii kua antagonist among hundreds
Punzika baba Raisi wetu kipenzi chetu mwenye huruma na wanainchi wako mungu akuweke mahala pema peponi Amini lkn umetuacha kwenye maisha magumu
Raha ya milele umpe e bwana apumzike kwa amani amen😭😔🙏
Rest in peace chuma chuma❤
Rait Kama ungekuwepo tz ingekuwa mbali Sana tungekuwa matajiri wote ,mungu akuweke mkono wake wakuume
Hakuna maneno ya kutosha kusema kuhusu JPM ukisema tunakukumbuka haitoshi ukisema lolote alitoshi sababu alifanya kazi kweli bila kupaka mafuta.
Kwa kweli vizuri havidumu!!
Mungu kiumbe wako alikuwa anajua safari yake ya kuondoka duniani mpokee baba mungu wetu
CHUMA KIMEBADILI MAMBO DAKIKA TU KUDADADEKI🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Daaah..!😭😭😭😭 Ukisikia vizuri havidumu ndio hivi
Waliodhulumiwa mafao yao watu 175 toka 1999 nao wanashughulikiwa na nani dhuluma Tanzania imekithiri haya yanatakiwa yafike mwisho haswa kwa Wanyonge
Aita kuja kutokea tena mungu alitupatia zawadi tukashindwa kuilinda na kuitumia
we mungu nawe umejuaje kama hatutopata mwingine tuliza komwe hilo huenda mwanao akaridhi so 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jembe letu hilo daah kweli kizuri hakidumu namkubali sana jpm pumzika kwa amani mungu yupo
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we respect magufuli wacha huyu zakayo
kitu ukiwa nacho huon thamani yake mpk kikutoke I miss u Dady magu amka japo nusu dkk Mungu tusamehe tulipokosa maguful Bado tunamtaka
Was the best not only Africa but entire world.continue resting easy Mr president.
Mungu amlaze mahala pema peponi
Mmh kama ulikuwa unajua kitakacho tokea , mumgu akulaze pahala pema peponi Amen
Ingekuwa kumlipia mtu arud basi magufuli angelipiwa na robo tatu ya watanzania
Sio robo tatu karibia watz wote wangekubali wakafanye mataifa mengine kazi Ili wapate Hela za kumlipia daa machozi yanatutoka😭
Pumzike Kwa Amani Rais wetu
Jembe,Pumzika kwa amani
Tutakukumbuka BaBa Wetu Magufuri 🙏🇹🇿♥️😭😭
Pumzika kwa amani Raïs wa Africa🇨🇩🇨🇩🇨🇩
mwamba huyu wewe ndo Rais wangu japo umelala
Nikweli kabisaa,natamani 2025,nikaipigie kaburi lake kula.
@@florakweyunga4490 😳😳😳😳😳😳
nenda kalipigie tu haina shida😂😂😂😂😂😂😂
Nakubaliana na wew ndugu yangu, maan Kuna raisi na rahisi- huyu alikuwa RAISI, tumebaki na RAHISI
pumzika kwa amani baba
Baba mungu akulaze mahara pema peponi Amina
Sometimes tusiogope kuhoji. Ni Mungu yupi aliyeruhusu JPM aondoke? Ko Mungu anafurahia watu kuteseka?
Mungu aliona vema baba wa watu akapumzike alifanya kazi kwa bidii na nguvu sana.
mwenyezi mungu akupunguzie adhabu amen😢
😢😢😢pumzika kwaamani baba
Tulikupenda sana our late president JPM
Mungu akurehemu baba tulikupenda sana
R I p mwamba mjukuu wa magufur
Mungu akupe E Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzoke kwa amani.Amina.
Pumzika kwa amani Baba🙏
RIP JPM
Halafu mseme hatukuwa chuma.kama hiki sio rahisi kukipata mungu amuweke mahali pema peponi .😢
Mungu akurehemu jembe
Mwamba jpm pumzika kwa amani ulipigana vita pekeyako waliobaki ni mawakala wa mabeberu
Kwel kabisaa
Hatatokea kwaharaka Rais kamawewe mungu akuweke pema
R .l .P JPM watanzania wanakukumbuka sana.
rekebisha kiswahil chako wanakukumbuka inamaanisha yy ndie msoma commet au😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana.
The best President of Tanzania, all time. Period!
Hakika we ulikuwa kiongozi safi na mwanaume mwamba kweli baba wa afrika
Yale mapaka uliyoyafukuza yamerudi tena
Simonzakaria majizi yote ya awamu ya nne mama kayarudisha sasa yanakomba haswaaa
Yamejazana
Tena mipaka yenyewe ni wale wahuni walitumbuliwa Wizara ya Mambo mengine Wizara ya Habari mengine yaliyokula pesa za wastaafu za nssf na Umeme umemshinda kukatika hovyo mitambo haitengene wengine wauzaji pembe za ndovu wauza madawa ya kulevya wengine walioikomba Nhc wamerudishwa woteee hiyo mibomu yaani mama karikoroga vibaya sana
@@user-lt1bi5nr1x hayo yote yaliyojazana yana kazi ya kumpiga VITA DOTO BITEKO NA MAKONDA ETI WANATAKA Urais 2030 kama huyu Ester Luxury hafai hata kwa kulumangia ana pesa chafu sana za wizi lilitumbuliwa Wizara ya Mambo ya ndani lilikuwa likiambiwa likashike mihujumu uchumi linawapa taarifa mapema linakula rushwa linakimbia nje ya nchi jizi kwisha kazi mpaka maisha yamekuwa magumu
@@user-lt1bi5nr1x User linasema watu wahamie Burundi halafu linataka Urais pumbavu kabisa 2030 wanemtokomeza mama kwa kunpa ushauri mbovu tuobekane wanawake hatuna maana nalichukia ajabu sanaaaa bomu kabisa yeye na aliyeshindwa wizara ya Nishati kutwa kukatika umeme wamemuondoa Kalemani bure
Machozi yamenitoka....
Pumzika salama mzee wangu,
We have lost an intelligent President.
Wewe n zawadi hadimu tuliyopewa na mungu kwa muda mfupi,,naye akamchukua kwa muds mfupi....rip my bloved president jpm..
Umeumaliza mwendo mungu akulaze mahali pema peponi amen
Huyu mwamba hatutampata kama yeye, apumzike kwa Amani
Ccm oyeeeee enzi ya Magufuli sasa hivi zinakombwa haswa kwa kauli mbiu ya mama kula urefu wa kamba yake na watu wajae mapesa mifukoni sasa kila sekta hovyo kabisa
Tunakukumbuka sanaa ungekuwepo mpk leo tungekua mbali sana kimaendeleo na kiuchumi kweli rais wa kubembelezana tunae
😭😭😭😭Hivi Kwanini jamaniii mbona mnatutonesha vidonda bado vibichi kabisa hizi clip zingeachwa tuu bado tumekumis MAGUFURI 😭😭😭💔💔💔
Hakika uyu ndie aliekuwa raisi wa watu, mwenyezi MUNGU ampumzishe salama
Tunaitaji Raisi mwenye maamuzi ya hivi sio kulea uozo wananchi wanaumia. Makonda anayoyafichua ccm ijitafakari. Usibembeleza wezi au wazembe kzn.
Atakumbukwa sana sana
Niko burundian lakini I loved him very much.
Bwana Yesu Kristo ailaze pema peponi roho yako tunamuomba Mungu atupe chombo kama wewe kwa ajili ya TANZANIA NA AFRICA
Sio Mungu?
Daa unakumbukwa mzee
Huu ndio utendaji uliokuwa umetukuka, wengine waliuota dictator,Mungu tunakuomba utuangazie Mwingine katika nchi yetu (kwani china ilifikiaje mapaka wahujumu uchumi kupigwa Risasi hadharani?kusema tu bola vitendo tutachelewa sana uchumi tunaotaka kuufikia,
Magufuli hatari sana
JS😊
Tumuombe MUNGU atujalie mwenye hekima na maarifa ya uongozi
Mungu Atusaidie tuyaenzi mema yote kutoka kwako na uwajibika wako.
We ulikuwa mtu bwana
Tulikupenda ila malaika walikupenda ukawaongoze nenda baba niko njiani nakujua😢
Pumzika Kwa amani JPM.
Watanzania hatutakusahau Kwa mema hasa masikini.
Our best president all the time
Msiba huu hautoisha maishan mwangu RIP mzee wa haki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alikuwa anaumwa presha ndo mana hakuja😂
Ninakukumbuka sn mheshimiwa kwa kazi zako
Yaani nime Acha kuangalia hotuba zake moyo unaniuma nalia machozi kila nwpomuona Mzalendo na kiongozi wa kweli...pumzika Kwa amani.kweli huyu kiongozi alikuja Kwa kututumbua macho na akili kuonesha kweli waftica tukiamuw tunaweza kufika mbali.
Atukuoni tena baba umekwenda wp ludi uonenchiyako inaangamia
Nakukumbuka kwa mazuri mzee
Kma ni kukata rufaa ya kifooo tungekata kwa huyu
Hakika uongoz Ni kutoogopa na nimuhimu kuwajibisha viongozi wazembe ila unapo fanya Ivo unaonekana unaigili majukumu ya wengine hii sio kila MTU awajibike
R. I. P Mzee baba
You have been so great🎉🎉🎉❤❤
rest in peace jpm you survive for all things that gave during for your life amen
...afrika inahitaji Marais kama magufuli.
Ungekua hai ungefundisha Kenya but rest in peace magu,🇰🇪🇰🇪🇰🇪