Maneno makavu ya Rais Magufuli ambayo yametolewa Leo wakati Rais samia akiwa makamu'mimi sibembelezi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2024
  • #samia #ccm #chadema #MAGUFULI#SAMIA#JPM

Komentáře • 452

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před 6 měsíci +88

    huyu Rais alijua kama ataondoka Duniani maana alikuwa mzalendo na nchi ilienda mbele

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 Před 4 měsíci +1

      mungu amrehem apumzike wa aamani

    • @JosephBasiga-l9j
      @JosephBasiga-l9j Před 21 dnem

      ❤❤❤❤❤tutakukumbuka daima magufuruli wetu mungu akulaze mahali pema peponi amina.​@@antonywilliama2868

    • @HassaniMzee
      @HassaniMzee Před 16 dny

      Duh kwa kweli machozi hayatafutika alikua mchapa kazi mzalendo mwenye maono,MUNGU akurehemu mpendwa wetu

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 12 dny

      Ilienda mbele kwenye nn

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 Před 5 dny

      mzalendo wetu😭😭😭😭...

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Před 6 měsíci +48

    Uko wapi Kamanda uko wapi Kamanda. Pumzika kwa Amani. Amen.

    • @user-jh5uv5go1x
      @user-jh5uv5go1x Před 4 měsíci +1

      Katka kumbukumbu zxizofutka ktk vichwa vyawatu magufu ni kichwa cha habary

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 6 měsíci +32

    Tunakukumbuka kwa mengi RIP Magu mzalendo wa kweli

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 Před 6 měsíci +35

    Siku hizi hata taarifa ya habari sifuatilii tena😊m

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před 5 měsíci +5

    Uyo ndo Raisi wetu wa Africa watching from Capetown ❤❤ lalasama baba etu😢😢😢😢 haujafa wewe lakini umelala kwajina layesu ❤❤❤

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Před 6 měsíci +28

    The Man himself.Magufuri oyeee.RIP chuma

  • @candidamuhanika8328
    @candidamuhanika8328 Před 6 měsíci +30

    Mungu wetu ahsante kwa zawadi ya Dr. Magufuli kwa muda mfupi uliotujalia kuwa naye akiwa raisi wetu. Tumetambua mpiganaji halisi ni nani! Leo hatupo naye lkn tunajua hata waliofanya sherehe wakati umemchukua leo wanalia kwa sababu moja au nyingine...
    Pumzika baba yetu, Mungu amekupenda zaidi ila tunakukumbuka saaaana ❤❤❤❤

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 Před 6 měsíci +25

    Mtu umemteua alafu unamuogopa hongera mzeee

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 5 dny +2

    Huyu ndiye Rais Mungu alitujalia lakini akamuchukuwa mapema. Mafisadi walimuchukia. Wezi walimuchukia. RIP baba. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.

  • @issapetro4960
    @issapetro4960 Před 3 měsíci +2

    Kupata rais Kama huyu kwa sasa ni ngumu..

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před 6 měsíci +19

    Aksante sana. Mwamba utakumbukwa siku zote JPM

    • @user-gc3ec9wx6z
      @user-gc3ec9wx6z Před 14 dny +1

      Mutamkumbuka nyunyi munaopnda zulma

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 Před 5 dny +1

      @@user-gc3ec9wx6z Rudi shule kwanza hujifunze kusoma na kuandika😁😁akili fupi kama mandishi yako😁RIP UNCLE MAGUFULI 😭😭😭Tz tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli✊️👍🤝💪🙏

    • @user-ue2xp9dd8z
      @user-ue2xp9dd8z Před 3 dny

      @estherkibajiro3480 kwa kweli akajifunze kuandika

  • @OswardMwambete
    @OswardMwambete Před 5 měsíci +5

    Jemadali,Mwamba!!! Mungu bila Shaka Alikupokea amina

  • @user-rj2go6tw8r
    @user-rj2go6tw8r Před 6 měsíci +24

    MUNGU tunaomba mtu mwingine kama huyu.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 5 dny +2

    Samia alipokea nchi iliuopangwa, kazi yake ilikuwa kuyaemdeleza ya Magufuli. Magifuli alipokea nchi iliyotafunwa na kuachwa mifupa mitupu. Lała salama baba

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 Před 6 měsíci +23

    Mungu utupe Mwingine kama Jpm

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 5 měsíci +1

      Amiin

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 Před 5 měsíci +4

      hamtapata mpka mwisho wa dunia wazungu hawawezi ruhusu wanaweka wala rushwa wanaojenga magorofa wilaya zote

    • @user-wx1sh7xj1q
      @user-wx1sh7xj1q Před 5 měsíci

      Makonda je😅

    • @lupimosanitariumclinic
      @lupimosanitariumclinic Před 4 měsíci

      Askofu Gwajima na Waziri mkuu ndio wanaoweza kuvaa viatu vya Rais Magufuli

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 Před 4 měsíci

      Bashiru na polepole ndio wanaweza ndo maana hawatakiwa na kundi la mafisadi
      @@lupimosanitariumclinic

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 6 měsíci +20

    Amina. JPM alijitahidi sana. Na watu wanasahau kwamba naye alikuwa ni binadamu na kila binadamu hakosi madhaifu. Katika yote, na historia imeonyesha, si mimi bali historia, kwamba ukitangaza kwamba we unapigania wanyonge jiandae shida na mateso maishani mwako kama si kupoteza uhai wako vile vile. Nani leo katika viongozi wetu yu tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya wanyonge? Nadhani hakuna! Kwani naye anaogopa kupoteza maisha. Ni kanuni, ukijinasibisha na wanyonge, watakaokupiga vita na hasa kukutoa roho, ajabu, ni ndugu zako wa karibu ambao walitakiwa wakukingie kifua badala yake watashirikiana na mamluki toka nje yaani nje ya kambi (nchi) yako. Na hapo kufurukuta inakuwa kazi nyingine! Nani leo kiongozi Tanzania madarakani yuko tayari kwa hili kama JPM alivofanya. Nasema tena hakuna. Ila tunapata faraja upande mwingine. Wanaharakati wapo na wanajitahidi kabisa: Sasa ndgu zangu: Cmdes Julius Malema, Wilbroad Slaa, Lissu, Mhe. wakili Mashala, Bw. mdogo Mwabukisi, mzee mwenzangu Hashim Juma, wanangu Mdude, Madeleka, Cmde Lissu, itifaki si rahisi kuwataja wanaharakati wote, nawatambua. Muwe macho, muendeleze mapambano kuwatetea wanyonge. Mungu atawalipa! Amina.

    • @ChejoBuchejo-mm8bb
      @ChejoBuchejo-mm8bb Před 5 měsíci

      Tundulossu ni ngoma ingine hayupo kwa maslahi ya inchi ,,,,jamaa anatumia uelewa kumake money na anamega huku na huku

    • @domitillalyamba9006
      @domitillalyamba9006 Před 5 měsíci

      Huyo Tundu hana msamaha mpaka Leo anazungumzia walimpiga risasi je anafaa kuwa raisi maana ukiongoza ujue kuna wanaokuunga mkono na wasiokutaka kabisa

    • @samwelrevocatus1218
      @samwelrevocatus1218 Před 5 měsíci

      Sa ivi tunapigwa kila siku ​@@domitillalyamba9006

    • @ATHUMANIHAMISI-iq2jw
      @ATHUMANIHAMISI-iq2jw Před 4 měsíci

      MAKONDA TU

    • @noelkomba5270
      @noelkomba5270 Před 4 měsíci

      Yesu wakati anakaribia kusulubiwa alisema ni upendo wa namna gan mtui kujitoa kafara kwa ajili ya wengine

  • @corneliusmushumbusi9276
    @corneliusmushumbusi9276 Před 6 měsíci +11

    Kuna waliofanya sherehe kwa kifo chake.
    Ila sasa wanaonja joto ya jiwe.
    Mungu mpe JPM taji kwako mbinguni maana aliipenda nchi yake.

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před 4 měsíci +1

    Mungu ailaze roho yako mahali pema kwa utetezi wako mwema kwa wale walodhulumia utabaki wakumbukwa na wengi...wema hauwozi na hausahauliki...❤

  • @GeorgeOriya
    @GeorgeOriya Před 6 měsíci +30

    Pumzika kwa amani mzee John Pombe Magufuli... Amen.

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda Před 4 měsíci +1

    Kweli ulijuwa utasepa chap, na mama kweli anawabembeleza

  • @waltermigambile5144
    @waltermigambile5144 Před 6 měsíci +22

    Rais wangu wa wakati wote

  • @innocentongwae2654
    @innocentongwae2654 Před 3 měsíci +3

    Sijasikia popote eti "Tumetenga....tutatenga".. yeye alisema "tumefanya, tufanye".. lala salama Rais wetu

  • @AlfredMichael-ge2yp
    @AlfredMichael-ge2yp Před 6 měsíci +14

    Wewe ndie raisi wangu mpaka leo, nakupenda Sana baba,mzee maagu

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před 6 měsíci

      Mfate aliko

    • @user-sj2ii4gm7z
      @user-sj2ii4gm7z Před 6 měsíci +2

      ⁠@@ahmadamohamed1907 Hapo aujasema chochote. Kama uko na chuki binafsi utaumia bure.
      Kweli Mzee JPM wewe ulikuwa Mwamba yaani mpaka leo bado unatikisa wakati umelala!!!!!!
      RIP Mzee, sisi tulikuelewa.

    • @AlfredMichael-ge2yp
      @AlfredMichael-ge2yp Před 6 měsíci

      ​@@ahmadamohamed1907mungu anakuona ila mm nitabaki kuwa raia wa magufur tu,Sina rsis hapa saiz

    • @Charlesnorbert-yb6zh
      @Charlesnorbert-yb6zh Před 6 měsíci

      mnaomkataa uyu rais nadhan akili zenu haziko saw,,,,,ww hujistukii kua antagonist among hundreds

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 5 měsíci +3

    Punzika baba Raisi wetu kipenzi chetu mwenye huruma na wanainchi wako mungu akuweke mahala pema peponi Amini lkn umetuacha kwenye maisha magumu

  • @SarahWilliam-ik2nc
    @SarahWilliam-ik2nc Před 3 měsíci +1

    Raha ya milele umpe e bwana apumzike kwa amani amen😭😔🙏

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 Před 6 měsíci +21

    Rest in peace chuma chuma❤

    • @user-hg9rx8gh4b
      @user-hg9rx8gh4b Před 6 měsíci

      Rait Kama ungekuwepo tz ingekuwa mbali Sana tungekuwa matajiri wote ,mungu akuweke mkono wake wakuume

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 6 měsíci +7

    Hakuna maneno ya kutosha kusema kuhusu JPM ukisema tunakukumbuka haitoshi ukisema lolote alitoshi sababu alifanya kazi kweli bila kupaka mafuta.

  • @rebekamasatu3656
    @rebekamasatu3656 Před 6 měsíci +8

    Kwa kweli vizuri havidumu!!

  • @nyotastar102nyota2
    @nyotastar102nyota2 Před 6 měsíci +5

    Mungu kiumbe wako alikuwa anajua safari yake ya kuondoka duniani mpokee baba mungu wetu

  • @primecaptain8628
    @primecaptain8628 Před 4 měsíci +2

    CHUMA KIMEBADILI MAMBO DAKIKA TU KUDADADEKI🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @eliaamoss3720
    @eliaamoss3720 Před 4 měsíci +1

    Daaah..!😭😭😭😭 Ukisikia vizuri havidumu ndio hivi

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Před 6 měsíci +5

    Waliodhulumiwa mafao yao watu 175 toka 1999 nao wanashughulikiwa na nani dhuluma Tanzania imekithiri haya yanatakiwa yafike mwisho haswa kwa Wanyonge

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc Před 6 měsíci +5

    Aita kuja kutokea tena mungu alitupatia zawadi tukashindwa kuilinda na kuitumia

    • @IrenMushi
      @IrenMushi Před 5 měsíci

      we mungu nawe umejuaje kama hatutopata mwingine tuliza komwe hilo huenda mwanao akaridhi so 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 5 měsíci +1

    Jembe letu hilo daah kweli kizuri hakidumu namkubali sana jpm pumzika kwa amani mungu yupo

  • @Eliaswekesa254
    @Eliaswekesa254 Před 5 měsíci +3

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we respect magufuli wacha huyu zakayo

  • @user-nw5of4xh4q
    @user-nw5of4xh4q Před 5 měsíci +2

    kitu ukiwa nacho huon thamani yake mpk kikutoke I miss u Dady magu amka japo nusu dkk Mungu tusamehe tulipokosa maguful Bado tunamtaka

  • @jackanmareko3757
    @jackanmareko3757 Před 5 měsíci +2

    Was the best not only Africa but entire world.continue resting easy Mr president.

  • @user-mg7jj1hm2t
    @user-mg7jj1hm2t Před 6 měsíci +8

    Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @adamgwila3395
    @adamgwila3395 Před 5 měsíci +2

    Mmh kama ulikuwa unajua kitakacho tokea , mumgu akulaze pahala pema peponi Amen

  • @prezidakasuga2595
    @prezidakasuga2595 Před 6 měsíci +6

    Ingekuwa kumlipia mtu arud basi magufuli angelipiwa na robo tatu ya watanzania

    • @SarahWilliam-ik2nc
      @SarahWilliam-ik2nc Před 3 měsíci

      Sio robo tatu karibia watz wote wangekubali wakafanye mataifa mengine kazi Ili wapate Hela za kumlipia daa machozi yanatutoka😭

  • @hadijamuhamedi
    @hadijamuhamedi Před 5 měsíci +5

    Pumzike Kwa Amani Rais wetu

  • @jaredwangwe2924
    @jaredwangwe2924 Před 6 měsíci +13

    Jembe,Pumzika kwa amani

  • @masumbukoclement4582
    @masumbukoclement4582 Před 6 měsíci +3

    Tutakukumbuka BaBa Wetu Magufuri 🙏🇹🇿♥️😭😭

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn Před 6 měsíci +4

    Pumzika kwa amani Raïs wa Africa🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před 6 měsíci +11

    mwamba huyu wewe ndo Rais wangu japo umelala

    • @florakweyunga4490
      @florakweyunga4490 Před 6 měsíci +2

      Nikweli kabisaa,natamani 2025,nikaipigie kaburi lake kula.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před 6 měsíci

      ​@@florakweyunga4490 😳😳😳😳😳😳

    • @IrenMushi
      @IrenMushi Před 5 měsíci

      nenda kalipigie tu haina shida😂😂😂😂😂😂😂

    • @sammoney1466
      @sammoney1466 Před 5 měsíci

      Nakubaliana na wew ndugu yangu, maan Kuna raisi na rahisi- huyu alikuwa RAISI, tumebaki na RAHISI

  • @charlesdaniel8800
    @charlesdaniel8800 Před 6 měsíci +13

    pumzika kwa amani baba

  • @user-ct4tk3fq5v
    @user-ct4tk3fq5v Před 6 měsíci +2

    Baba mungu akulaze mahara pema peponi Amina

  • @tonnyamon8881
    @tonnyamon8881 Před 5 měsíci +3

    Sometimes tusiogope kuhoji. Ni Mungu yupi aliyeruhusu JPM aondoke? Ko Mungu anafurahia watu kuteseka?

    • @awalimunishi
      @awalimunishi Před 5 měsíci

      Mungu aliona vema baba wa watu akapumzike alifanya kazi kwa bidii na nguvu sana.

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises Před 5 měsíci +2

    mwenyezi mungu akupunguzie adhabu amen😢

  • @AlfredMichael-ge2yp
    @AlfredMichael-ge2yp Před 6 měsíci +7

    😢😢😢pumzika kwaamani baba

  • @geofreydamas1697
    @geofreydamas1697 Před 6 měsíci +2

    Tulikupenda sana our late president JPM

  • @user-qc2qf7fe5o
    @user-qc2qf7fe5o Před 5 měsíci +2

    Mungu akurehemu baba tulikupenda sana

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny Před 6 měsíci +10

    R I p mwamba mjukuu wa magufur

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Před 4 měsíci

    Mungu akupe E Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzoke kwa amani.Amina.

  • @agnesswai7174
    @agnesswai7174 Před 6 měsíci +4

    Pumzika kwa amani Baba🙏

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před 6 měsíci +10

    RIP JPM

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Před 5 měsíci +1

    Halafu mseme hatukuwa chuma.kama hiki sio rahisi kukipata mungu amuweke mahali pema peponi .😢

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 5 měsíci +3

    Mungu akurehemu jembe

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 Před 6 měsíci +4

    Mwamba jpm pumzika kwa amani ulipigana vita pekeyako waliobaki ni mawakala wa mabeberu

  • @user-ek6bc6gv5r
    @user-ek6bc6gv5r Před 6 měsíci +2

    Hatatokea kwaharaka Rais kamawewe mungu akuweke pema

  • @user-xn1ly2yx7j
    @user-xn1ly2yx7j Před 6 měsíci +3

    R .l .P JPM watanzania wanakukumbuka sana.

    • @IrenMushi
      @IrenMushi Před 5 měsíci

      rekebisha kiswahil chako wanakukumbuka inamaanisha yy ndie msoma commet au😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 6 měsíci +8

    Safi sana.

  • @abdilnas7563
    @abdilnas7563 Před 9 dny

    The best President of Tanzania, all time. Period!

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb Před 6 měsíci +1

    Hakika we ulikuwa kiongozi safi na mwanaume mwamba kweli baba wa afrika

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 Před 6 měsíci +10

    Yale mapaka uliyoyafukuza yamerudi tena

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci +2

      Simonzakaria majizi yote ya awamu ya nne mama kayarudisha sasa yanakomba haswaaa

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

      Yamejazana

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci

      Tena mipaka yenyewe ni wale wahuni walitumbuliwa Wizara ya Mambo mengine Wizara ya Habari mengine yaliyokula pesa za wastaafu za nssf na Umeme umemshinda kukatika hovyo mitambo haitengene wengine wauzaji pembe za ndovu wauza madawa ya kulevya wengine walioikomba Nhc wamerudishwa woteee hiyo mibomu yaani mama karikoroga vibaya sana

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci

      @@user-lt1bi5nr1x hayo yote yaliyojazana yana kazi ya kumpiga VITA DOTO BITEKO NA MAKONDA ETI WANATAKA Urais 2030 kama huyu Ester Luxury hafai hata kwa kulumangia ana pesa chafu sana za wizi lilitumbuliwa Wizara ya Mambo ya ndani lilikuwa likiambiwa likashike mihujumu uchumi linawapa taarifa mapema linakula rushwa linakimbia nje ya nchi jizi kwisha kazi mpaka maisha yamekuwa magumu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci

      @@user-lt1bi5nr1x User linasema watu wahamie Burundi halafu linataka Urais pumbavu kabisa 2030 wanemtokomeza mama kwa kunpa ushauri mbovu tuobekane wanawake hatuna maana nalichukia ajabu sanaaaa bomu kabisa yeye na aliyeshindwa wizara ya Nishati kutwa kukatika umeme wamemuondoa Kalemani bure

  • @user-tu8ur3jo4z
    @user-tu8ur3jo4z Před 6 měsíci +9

    Machozi yamenitoka....

  • @user-cb8js2hb1q
    @user-cb8js2hb1q Před 5 měsíci +2

    Pumzika salama mzee wangu,

  • @eliusbizimana7646
    @eliusbizimana7646 Před 5 měsíci +2

    We have lost an intelligent President.

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella Před 2 měsíci

    Wewe n zawadi hadimu tuliyopewa na mungu kwa muda mfupi,,naye akamchukua kwa muds mfupi....rip my bloved president jpm..

  • @user-vh4wk8ef7q
    @user-vh4wk8ef7q Před 4 měsíci

    Umeumaliza mwendo mungu akulaze mahali pema peponi amen

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 6 měsíci +4

    Huyu mwamba hatutampata kama yeye, apumzike kwa Amani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci +3

    Ccm oyeeeee enzi ya Magufuli sasa hivi zinakombwa haswa kwa kauli mbiu ya mama kula urefu wa kamba yake na watu wajae mapesa mifukoni sasa kila sekta hovyo kabisa

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 6 měsíci +1

    Tunakukumbuka sanaa ungekuwepo mpk leo tungekua mbali sana kimaendeleo na kiuchumi kweli rais wa kubembelezana tunae

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 6 měsíci +1

    😭😭😭😭Hivi Kwanini jamaniii mbona mnatutonesha vidonda bado vibichi kabisa hizi clip zingeachwa tuu bado tumekumis MAGUFURI 😭😭😭💔💔💔

  • @user-bc5kt8hh6n
    @user-bc5kt8hh6n Před 6 měsíci +1

    Hakika uyu ndie aliekuwa raisi wa watu, mwenyezi MUNGU ampumzishe salama

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 5 měsíci +1

    Tunaitaji Raisi mwenye maamuzi ya hivi sio kulea uozo wananchi wanaumia. Makonda anayoyafichua ccm ijitafakari. Usibembeleza wezi au wazembe kzn.

  • @eliusbizimana7646
    @eliusbizimana7646 Před 5 měsíci +1

    Atakumbukwa sana sana
    Niko burundian lakini I loved him very much.

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron Před 5 měsíci

    Bwana Yesu Kristo ailaze pema peponi roho yako tunamuomba Mungu atupe chombo kama wewe kwa ajili ya TANZANIA NA AFRICA

  • @timotheoashery4051
    @timotheoashery4051 Před 6 měsíci +5

    Daa unakumbukwa mzee

  • @KhalfanNahay-ol4lq
    @KhalfanNahay-ol4lq Před 6 měsíci +2

    Huu ndio utendaji uliokuwa umetukuka, wengine waliuota dictator,Mungu tunakuomba utuangazie Mwingine katika nchi yetu (kwani china ilifikiaje mapaka wahujumu uchumi kupigwa Risasi hadharani?kusema tu bola vitendo tutachelewa sana uchumi tunaotaka kuufikia,

  • @ezekielsaidtembo2287
    @ezekielsaidtembo2287 Před 6 měsíci +4

    Magufuli hatari sana

  • @DeogratiusJohn-ru9tr
    @DeogratiusJohn-ru9tr Před 5 měsíci +1

    Tumuombe MUNGU atujalie mwenye hekima na maarifa ya uongozi

  • @odilomsuha7896
    @odilomsuha7896 Před 6 měsíci +1

    Mungu Atusaidie tuyaenzi mema yote kutoka kwako na uwajibika wako.

  • @seif3401
    @seif3401 Před 6 měsíci +6

    We ulikuwa mtu bwana

  • @MbenawaltaMbenawalta
    @MbenawaltaMbenawalta Před 23 dny

    Tulikupenda ila malaika walikupenda ukawaongoze nenda baba niko njiani nakujua😢

  • @BrytonMkama-r8v
    @BrytonMkama-r8v Před 20 dny

    Pumzika Kwa amani JPM.
    Watanzania hatutakusahau Kwa mema hasa masikini.

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 Před 6 měsíci +1

    Our best president all the time

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 Před 6 měsíci +1

    Msiba huu hautoisha maishan mwangu RIP mzee wa haki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio Před 6 měsíci +3

    Alikuwa anaumwa presha ndo mana hakuja😂

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Před 6 měsíci +1

    Ninakukumbuka sn mheshimiwa kwa kazi zako

  • @sunyareh
    @sunyareh Před 3 měsíci

    Yaani nime Acha kuangalia hotuba zake moyo unaniuma nalia machozi kila nwpomuona Mzalendo na kiongozi wa kweli...pumzika Kwa amani.kweli huyu kiongozi alikuja Kwa kututumbua macho na akili kuonesha kweli waftica tukiamuw tunaweza kufika mbali.

  • @user-xo3gq2de7l
    @user-xo3gq2de7l Před 5 měsíci +1

    Atukuoni tena baba umekwenda wp ludi uonenchiyako inaangamia

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci +2

    Nakukumbuka kwa mazuri mzee

  • @MalamshaAmoss
    @MalamshaAmoss Před 15 dny +1

    Kma ni kukata rufaa ya kifooo tungekata kwa huyu

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 3 měsíci

    Hakika uongoz Ni kutoogopa na nimuhimu kuwajibisha viongozi wazembe ila unapo fanya Ivo unaonekana unaigili majukumu ya wengine hii sio kila MTU awajibike

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 6 měsíci +4

    R. I. P Mzee baba

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Před 6 měsíci +8

    You have been so great🎉🎉🎉❤❤

  • @IrenMushi
    @IrenMushi Před 5 měsíci +1

    rest in peace jpm you survive for all things that gave during for your life amen

  • @cheruiyotkirui6205
    @cheruiyotkirui6205 Před 5 měsíci +1

    ...afrika inahitaji Marais kama magufuli.

  • @Eva-mn8ns
    @Eva-mn8ns Před 26 dny

    Ungekua hai ungefundisha Kenya but rest in peace magu,🇰🇪🇰🇪🇰🇪