UKISOMA URADI HUU X 1000 KISHA UKAMSWALIA MTUME | HAUTAPATA DHIKI WALA SHIDA | SHEIKH WALD ALHAD
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2024
- #Mtorotv
UKISOMA URADI HUU X 1000 KISHA UKAMSWALIA MTUME MUHAMMAD
HAUTAPATA DHIKI WALA SHIDA KATIKA MAISHA YAKO
HUU NI URADI AMBAO UNATAKIWA UUFANYE KILA SIKU KWA MASHARTI TU YAKUTOKUUTEGEMEA WENYEWE
ISPOKUA UUFANYE KAMA URADI WAKO WA KAWAIDA
BY SHEIKH WALD IBN SHEIKH ALHAD OMARY
Wa kwanza ni Mimi tuseme Allahu akibabaru
ALLAHU AKBAR @MKOBA NGOTWIKE
Allahu Akbar
الله أكبر
Allah akbaru
الله اكبر
Aslm alkm ww... Kweli kabisa sheikh Walid.ukimuomba Allah Kwa dhati na unyenyekevu bilashaka anakupa. Jazakallah kheir 🙏
Allah akuzidishie kila lakheri
Baaraka Allah feeha wa shukran jazeelah kwa ujumbe murwa kabisa. Allah akufungulie mambo yako zaidi
Maa Shaa ALLAH.. LA ILLAHA ILLAH ALLAH, MUHAMMAD RASULU ALLAH
Mashaallah.nikweli Sheikh Mimi pia nime lithibitisha hilo.
Mashallah tumepata Faida nyingi mungu Akuhifadhi shekh Pamoja na ss
Allahuma amiina
Aamin yaarabbi
Shukran shehe kama wewe unaona haifai achen wengine wata fanya
Bidaa hizi Bado zipo mmh tusomeni Sunnah tuachane na uzuuuushiiiii
Amekosea wp naomba elimu tafadhar 🙏
Usipotoshe watu,heshimu majina ya ALLAH
Kilakitu bidaa yan awa yanajifanya kilakitu bidaaa niwajuaji sana Apa anatajwa mungu bidaa iko wapi cc waislam tuachen kupigana vita wenyewe kwa wenyewe tusomen tuache bra bra
Allah nijina kubwa Allah aliniletea kwa usingizi ni jina kubwa sana usidharau 😢😢😢😢😢
Kama mtu anaona ni upuuzi kusema laailaha ilallah basi aache wenzake waseme, sio kucomment ujinga
Kasome
Mashallah asante kwa funzo hili Allah akuzidishie
Mashallah sheikh waleed
Asallam Allayikum Warahamatullah wabarakatuh maa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra
Allah akuweke kwa Ajili yetu Maalim
Wa 4 mashaallah shukran umetupa faida
Shekhe ww ❤ sana
Mimi wa pili ✌️
MA SHA ALLAH @Hajaniacha Ramz
Allahu akbar
Mashaallah❤
Mmh tusomen jmn hali ni mbay san
Swadakta
Maa Sha Allah
mashaa Allah
LA illaha illa Allah @1000times
Wow
ALLAHU AKBAR
Tusome jamen ❤❤❤
Nipate niinusuru ndoa yangu
Una mtihan Gan?
Muombe Allah akuamulie..usilazimishe mambo
❤
Naomba namba ya she he walid
🙏👍
🙏🙏🙏🙏❤❤
Watatu
Mimi wanne
Mm wamwisho🤪🤪
nani kasema useme mara 1000
Ujingaaaaaa
Tupe ww Cha maana
Allah anakuona ww
Toa sadaka kwa mayatima na maskini kama huna kuwa na subira kwa kutenda mema, sio kuwa ungopea watu ukimswalia mtume mara 1000. Huo ni unafqi na upuzii
Ndugu Sabdi: Hivi Kumbe Mtu Ili Awe Mnafiki Basi Alete Uradi Wa Laa Ilaha Ilah?
Maada laila au ukimswalia mtume! Kumbe hata adhaana huijuwi maana yake