SH. OTHAMN MICHAEL, SHKHEE Naombaa nkushukur snaaa shkhe shkhe uwezi AMINI uliv elekeza kumswalia Mtume Muhammad (s w a) WALLAH,, nmejitahid siku 5 namsalia ×1000 usiku alf naomba dua nlikua sin kaz ,, leo hii shkhe nmepigiw simu ya kazi shkhe kam nliv ombaaa kweny dua
SH, OTHAMN MICHAEL,, nashukur sn kw mafunzoo yko lnshaallah nitakuombea jambo n ww kweny dua zang NASHUKUR snaaaa nmejibiwaa jmn kupitia MTUME MUHAMMAD (S W A)
Sheikh Othman shukran sana. Allah akuifadh nimeisambaza Swala ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwenye group ya WhatsApp mpaka leo watu wananipa majibu mazuri . Alhamdulillah
Shukrani sana shekhe tangu nilipoanza kumswalia mtume kwa wingi kheri naziona zinaanza kuja na nilikaa nikamuomba Allah kupitia swala ya mtume aniponye mguu ulokua unanisumbua Hadi Leo nishapona Niko poa.Pia nilipomswalia mtume zaid ya mara 1000 niliumwa sana Mambo ya ajabu lakini hadi leo naendelea yameanza kupungua .Hivyo watu waache kubeza.Allah akulipe shekhe.
Insha allah atakulipa kheri zake. Uchamungu nilionao, namshukulu Allah ni kupitia kazi ya shekhe othuman. Niliumwa nikaenda kutibiwa kwake nikamuuliza, sasa shekhe nikipona hakuna kinga utakayo nipa? Shekhe akaniambia kinga iko kwa Allah kwa sababu mashetani tunaishi nayo na wachawi tunaishi nao, kwahio wewe fanya sana ibada siku zote za umri wako, na simama usiku umuombe Allah. ALHAMDULLAH Allah alinijalia wepesi nikafanya yote kwa yaqini kwakweli nashukulu sana nilikuwa nimejaliwa watoto wengi wakiwa ni wakike nimeomba mtoto wakiume Allah akuhifadhi shekhe
Naam maanshaallah tabarakallah kheir sheikh wetu kwakutuhamasisha na swalatul alanabii Nasitu tunakutakia mwaka huu mahujaji Allah amewakadilia kwenda nawe uwemo Tunaimani tutanufaika sana zaidi nasafari Yako hiyi ya hidja Allahum amin ya rabb
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi. Nakupenda bila kuficha. Dua zako zimefika insha Allah 🙏. Allah anakupenda sanaa. Napenda kuskiliza mawaidha yako unapo msifu Nabii Muhammad S. A. W. Unamtaja kwa mahaba ya hali ya juu... Yasssalllam bila shaka na yeye anakupenda sheikh wetu kipenzi. ❤❤❤❤❤❤❤❤. Allahu maswali wasalim allaa sayyidina Muhammad waala ahlihi wa swahbihi wasalim. Masha Allah. All'ah akulinde 🙏🌹💕💕💕💕❤️
Jazaka LLahu Khayr, Inshaa Allah Ameen. Allah akupe kivuli siku ambayo haina kivuli isipokuwa kivuli chake yeye Allah. Inshaa Allah Ameen. Shukran Sheikh
Naam swalat alaa nabi muhim sana,mswaliy mtume wetu Muhammad (saw) kadr uwezavyo ni muhim sana na lau kama una mambo mabaya mwilini mwako yatajitokeza tu
Sheikhe Othuman wallah nilijitahidi sana kukutafuta wakati nipo Dar lakini mungu hakujalia kukuona lakini nia yangu hasa ilikuwa kwanza kukushukur sana lakini la pili nilitaka nikupe ushuhuda wangu kwako kwanini kwako.Sababu wewe na sheikhe Walid Alhad ndio watu mlionifanya nijue umuhimu na nini swala za bwana mtume basi wallah nimedumu katika hilo allah shahid imenibadilisha kuanzia maisha yangu na kila kitu changu kwa hali ya juu sana. Mimi ni mwanasheria nilihitimu masomo yangu tangu mwaka 2015 kipindi chote hicho sikuwa na chochote kile kwa maana ya chochote lakini nilipomua kudumu na swala za bwana mtume kila siku kabla ya kulala kwa muda wa kama miezi saba na idadi ilikuwa 500 tu basi wallah mungu ana niona sasa hivi nna kila kitu kwa maana ya kila kitu napata kazi kwa maana kesi za kusimamia mpaka zingine nawapa jamaa zangu naingiza pesa hasa alhadulilah. Sheikh Othuman na Walid Alhad nia yangu niwaone niwashukuru na kuwapongeza wanafanya kazi kubwa sana kila siku kwenye dua zangu mpo mungu awape uhai mrefu na afya njema nyinyi ni hazina ya uislam ni mashekh ambao mnaeleweka na kila rika Mungu awazidishie kila kheri
*Tan hallu ﴾bihi﴿l uqad*shekh wangu hapo hiyo bihi niloweka qaws hiyo ni maanaake ni ﴾kwasababu﴿ ya mtume lakini sio yeye mfungua vifungo ni *ALLAH* ila mtume ni sababu mfano kidonge unameza hakiponyeshi ila mponyeshaji ni nani ni ALLAH kidonge ni sababu yaa Akhuy
Allah akulipe jannah💝💖 shekh wetu💗♥️
SH. OTHAMN MICHAEL, SHKHEE Naombaa nkushukur snaaa shkhe shkhe uwezi AMINI uliv elekeza kumswalia Mtume Muhammad (s w a) WALLAH,, nmejitahid siku 5 namsalia ×1000 usiku alf naomba dua nlikua sin kaz ,, leo hii shkhe nmepigiw simu ya kazi shkhe kam nliv ombaaa kweny dua
Maa shaa Allah
Allah ailinde kazi yako
Maa shaa Allah
SH, OTHAMN MICHAEL,, nashukur sn kw mafunzoo yko lnshaallah nitakuombea jambo n ww kweny dua zang NASHUKUR snaaaa nmejibiwaa jmn kupitia MTUME MUHAMMAD (S W A)
Swalallahu alayhi wasallam
Sheikh Othman shukran sana. Allah akuifadh nimeisambaza Swala ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwenye group ya WhatsApp mpaka leo watu wananipa majibu mazuri . Alhamdulillah
Thanks my sister,ulisoma ipi please write it for me thanks.
@@nuuraalinoor3630 Allahuma swali Alaaa saidina Muhammadin waalihi waswahabiih wasalimo .
Naomba uniandikie vizur dada yangu
@@NunuKupela Asalamu caleykum,I was asking which salawat were you reading thanks.
Shukrani sana shekhe tangu nilipoanza kumswalia mtume kwa wingi kheri naziona zinaanza kuja na nilikaa nikamuomba Allah kupitia swala ya mtume aniponye mguu ulokua unanisumbua Hadi Leo nishapona Niko poa.Pia nilipomswalia mtume zaid ya mara 1000 niliumwa sana Mambo ya ajabu lakini hadi leo naendelea yameanza kupungua .Hivyo watu waache kubeza.Allah akulipe shekhe.
Amiin Amiin
Allah akupe kher ya dunia na akhera
Shekhe othuman wallah sana sana kwaajili ya Allah natamani hata Allah akituruzuku Pepo badala yamtume kua jarani zetu bas nawwe pia uwe pembeniyetu
Allah akulipe kheri na umree mreef uzid kutufunza
Allahumma amiin
Insha allah atakulipa kheri zake. Uchamungu nilionao, namshukulu Allah ni kupitia kazi ya shekhe othuman. Niliumwa nikaenda kutibiwa kwake nikamuuliza, sasa shekhe nikipona hakuna kinga utakayo nipa? Shekhe akaniambia kinga iko kwa Allah kwa sababu mashetani tunaishi nayo na wachawi tunaishi nao, kwahio wewe fanya sana ibada siku zote za umri wako, na simama usiku umuombe Allah. ALHAMDULLAH Allah alinijalia wepesi nikafanya yote kwa yaqini kwakweli nashukulu sana nilikuwa nimejaliwa watoto wengi wakiwa ni wakike nimeomba mtoto wakiume Allah akuhifadhi shekhe
Maaa Shaa Allah
Allahumma amiin yarabi
@@aminahmuhindo584 Thumaaa Amiin Yaa Rabb Taqabal Dua
Amina yaral-ghalamina allah akupe umri mrefu shekhe Othuman
Naam maanshaallah tabarakallah kheir sheikh wetu kwakutuhamasisha na swalatul alanabii
Nasitu tunakutakia mwaka huu mahujaji Allah amewakadilia kwenda nawe uwemo
Tunaimani tutanufaika sana zaidi nasafari Yako hiyi ya hidja
Allahum amin ya rabb
Allah akupe shifaaa na kila aliemgonjwa Allah amjalie shifaa ya haraka
Ameen ya Rabby Alamin 🤲🤲🤲
Mashallah shekh umeni inspire san kumswalia mtume allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰🥰
Allah akujalie .kila kheri na familia yako Sheikh Othuman
Mashallah ❤❤ Allah akupe pepo ya juu pamoja na kipenz chetu nabii Muhammad (swala lahhu allaiy wasalam)Amiin 🌹🌹🌹
Na huyo mtoto wakiume nilie muomba Allah amenijalia nimempata, ALHAMDULLAH kanzi nzuri shekhe malipo yako utayakuta mwisho wa safari yako ya maisha,
Allah amjalie kheir
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
MashAllah tabarakAllah,
MashaLLAH sheikh wetu Allah Akujazi kheri hapa duniyani na kesho Akhera Ameen yaa RABB
Sheikh Othman Michael. Shukran sana. Na Allah akuzidishe mapenzi kubwa kwa bwana Mutume Muhammad.(sw)
Nakubali sheh wang ...Allah akuzidishie ...hakika nidarsa nzur san ...
Mashallah tabarkallah shukran sheikh yetu Allah akulep ❤❤❤❤
اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم ❤
Ya ,Allah .Inshaallah Atakulipa kwahisani yake kheri ambayo hukuitaraji.Ya,Ghafar Ya, Mujibu.
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi. Nakupenda bila kuficha. Dua zako zimefika insha Allah 🙏. Allah anakupenda sanaa. Napenda kuskiliza mawaidha yako unapo msifu Nabii Muhammad S. A. W. Unamtaja kwa mahaba ya hali ya juu... Yasssalllam bila shaka na yeye anakupenda sheikh wetu kipenzi. ❤❤❤❤❤❤❤❤. Allahu maswali wasalim allaa sayyidina Muhammad waala ahlihi wa swahbihi wasalim. Masha Allah. All'ah akulinde 🙏🌹💕💕💕💕❤️
Jazakallahu kheri naomba Allah akulipe kila kheri fi dunia wali akhira yarabi na akubali kazi zako zoote unafanya Kwa ajili yake Allah
Allah akulipe kheri akupe zaidi ya ulichonacho...akupe pepo 🤲🤲🤲🤲.....
Jazaka LLahu Khayr, Inshaa Allah Ameen. Allah akupe kivuli siku ambayo haina kivuli isipokuwa kivuli chake yeye Allah. Inshaa Allah Ameen. Shukran Sheikh
Masha Allah. Allah akujaalie kila la Kheri Duniani na Akhera. Sheikh wetu.
Allah akupee Keri na akuzidishie
Allah barik
Mungu akulinde sana sheikh unafanya kaz kubwa sana ya kuutangaza uislam
Asalm alaykum warahmatullah.asante. 👏
Othuman michel
MaashaAllah Sheikh Allah akulipe kila la khair
Tuna swali ila bado mambo magumu sheikh wangu😢
Allha Akuhifadhi akufungulie tiziki akuperiziki pana
Allah akup umr mref weny manufaa ❤❤
MA nsha Allah nakupenda kwajili ya Allah sheikh Othman Michael ♥️🇧🇮🇴🇲
Mashaallah umetupa faida sana jazakallahu kheri
Mashallaah
Mwenyez mungu akuhifadh shekh
Allah akuzidishie shekher wetu akupe umr mrefu inshallah masha Allah,😍
Allah akuzidishie heri njema inshallah
Allah akuzidishie kila la kheri duniani na akhera kwa unavyo tufundisha.
Naam swalat alaa nabi muhim sana,mswaliy mtume wetu Muhammad (saw) kadr uwezavyo ni muhim sana na lau kama una mambo mabaya mwilini mwako yatajitokeza tu
Mungu akujalie mwisho mwema sheikh wetu inshaallah
Mashaallah napenda sana khutba zako Allah akulipe kila akher
Amiiyna sheikhe iwe kwako pia isha allah allah akuzidishie khery
Natamani ndoa niombeeni dua na mim nistirike
Allah akulipe kila laheri apa duniyani nakesho ahera naAtukingi
Allah akujaze kheir sheikh wetu kipenzi🙏♥️
mashaallah allah akuzidishie
Mashallah nilikuona tu mara ya kwanza nikakupenda nipo Kenya
Quick recovery sheikh praying for you salallahu caleyhi wasalam Allahuma Amiin ya Allah thanks
Shukran jazakallah kheri
Asnt sana ustadh allah akupe umr mrf wenye kher innshaallah
MWENYEZI Mungu Akupe neema inshaallah
Masha Allah. Allahumma Amiin. Mwenyenzi Mungu akujaalie khery. In Shaa Allah
Shukran jazakumullahu khairan shekh wetu masha allah tabarak allah
Mashaallah huyu sheikh Allah amlipe jannat
MI pia nakupenda Sana sheikh kwa ajili Allah
Mungu akujalie jannah
Shekhe Mimi nilipokuja kwako nilitamani hata nikukumbatie kwa mapenzi ila kwa haziyako niliogopa
Sasa nipo rebanoni niombee sara hii ❤❤❤❤❤
Allah huma swali saydina muhamady walaalih waswahabih wasalam
Alhamdoullilah Allah akulipe kheir fill dunia wao ahera
Asante shekh
Rabbih akujaliye pepo amin🙏🙏🙏
Mwenyezi_Mungu akuhifadhi
Allah akulipe kwa mawaidhaa yako
Masha ALLAH, nakupenda kwa ajili ya ALLAH
Kusema kweli napenda kufata mawahidha yako yanijenga Sana nilikuwa na shida nimesali Sara za usiku nimejibuwa kwa haraka kila kitu kwa allah chepesi
Allahma amin yarabi
Allah bless your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwa ajili ya Alla
Allah akulipe inshallah
Allhahu mmaswalliy aalah saidinaaaaa Muhammad 🤲🤲🤲
Amin yarab
Nampenda Sana huyu shekh pamoja na nasaha zake
Mashallah
mashaAllah tabarakallah, sheikh which one did you recite ten thousand or five thousand please tell me.shukran
Mashaallah tabarakallah Allah akuifadhi uzidi kutufunza yalo ya kheri Inshaallah
Sheikhe Othuman wallah nilijitahidi sana kukutafuta wakati nipo Dar lakini mungu hakujalia kukuona lakini nia yangu hasa ilikuwa kwanza kukushukur sana lakini la pili nilitaka nikupe ushuhuda wangu kwako kwanini kwako.Sababu wewe na sheikhe Walid Alhad ndio watu mlionifanya nijue umuhimu na nini swala za bwana mtume basi wallah nimedumu katika hilo allah shahid imenibadilisha kuanzia maisha yangu na kila kitu changu kwa hali ya juu sana.
Mimi ni mwanasheria nilihitimu masomo yangu tangu mwaka 2015 kipindi chote hicho sikuwa na chochote kile kwa maana ya chochote lakini nilipomua kudumu na swala za bwana mtume kila siku kabla ya kulala kwa muda wa kama miezi saba na idadi ilikuwa 500 tu basi wallah mungu ana niona sasa hivi nna kila kitu kwa maana ya kila kitu napata kazi kwa maana kesi za kusimamia mpaka zingine nawapa jamaa zangu naingiza pesa hasa alhadulilah.
Sheikh Othuman na Walid Alhad nia yangu niwaone niwashukuru na kuwapongeza wanafanya kazi kubwa sana kila siku kwenye dua zangu mpo mungu awape uhai mrefu na afya njema nyinyi ni hazina ya uislam ni mashekh ambao mnaeleweka na kila rika Mungu awazidishie kila kheri
Shukran sana nimefurahi Kwa Dua zako nzr mno
Maa shaa Allah
Aamiyn
Mashaallah Amina
Amin Allah akulipe heli
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh pls naomba namba ya sim Nina matatizo nahitaji msada kwa ajili ya Allah
Shukran 🙏
Amiin jazzakum Allah
Allahumma ameen 🤲
Maashaallah
MashaAllh
Shekh wangu umekataa kabisaa kuongelelea tanbihi ya swalatun Naariyah. Hii alladhi tanhal-lu lahul ni Kwa sababu yake ama vipi please clarify
*Tan hallu ﴾bihi﴿l uqad*shekh wangu hapo hiyo bihi niloweka qaws hiyo ni maanaake ni ﴾kwasababu﴿ ya mtume lakini sio yeye mfungua vifungo ni *ALLAH* ila mtume ni sababu mfano kidonge unameza hakiponyeshi ila mponyeshaji ni nani ni ALLAH kidonge ni sababu yaa Akhuy
❤❤❤❤❤🇲🇿
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Assalamu alaykum 🤲🤲🤲
❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤
Siku nikijariwa kukuona takuhadisia kweri nimefanya nimefauru
❤❤❤😢😢😢😢 kweli kabisa yaani mimi pia ninaushuuda na nimefanikiwa na sara hii