FADHILA ZA KUMSWALIA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)
Vložit
- čas přidán 15. 03. 2021
- Tujuweni fadhila nyingi tunazopata kwa kumswalia mtume wetu muhammad (S.A.W), Sheikh Othman Maalim anatujuza katika Khutba yake ya Ijumaa iliofanyika Masjid Nour Muhammad (Kwa Mchina Mwanzo). Cameraman kutoka Al Hijra video production ni Nabil Ally
Hakika sheikh othman maalim umeongea mambo mazito sanaaa,kila aliyesikia na kusikiliza hii video atakuwa amepata faida kubwa,Allah swt akuhifadhi kwa kila baya ,akujaalie umri mrefu na akujaalie afya njema ,amiin amiin amiin
Hotbah hii inapaswa kusambazwa kwa wingi Sana ili waumini wanaoyumba waelewe ukweli na hadaah za mawahabi watu wabaya Sana ktk jamii yetu ya kiislamu
Allah atusamehe na atuongoze sote ktk kheir ameen
Sheikh Wang nakupenda Sana Kwa ajili ya ALLAH
Sheikh OTHMAAN ALLAH AKUPE NGUVU.
unajua hawa vijana wanao toka kusomeshwa kwa kukaririshwa bila ELIMU YA ADABU haswa wameanza kuja kipindi hiki cha miaka 2010 na kuendelea hua wanatukana mpka Wazee wao Waliowasomesha ALIF Hawa jamaa sijui wametumwa!
Allahumma Swalli Wassalim Aleih, napata mafunzo,Allah akujaliie kila la kheir,Afya,elmu ya zaidi uzidi kutuelimisha, na akujaliie jannatul Firdous in shaa Allah,shukran,jazakumullah kheir..
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam
اللهم صل وسلم وبارك على رسول الله وحبيبنا ونبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
Allahuma sali ghala muhamadi
اللهم صل وسلم وبارك على رسول الله وحبيبنا ونبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
Allah atusameh madhabi yetu na akupe afya njema sheikh wetu
Mashallah sheikh Allah atakulinda duniani na akhera waislam tunapata faida kutokana wewe sheikh kwaajili ya Allah
Jazaakumullahu khayri sheikh wetu kwa kutupatiya nduguzo waumini ZAWADI ya Maisha Bora ulimwenguni hadi Akhera.
Mashallah shukuran sana
shehe wetu Allhw akizidishie ilimu akulinde na hasad kila mwenyenema huhusudiwa
Allaah akulindenamaradhi nafitina
MASHAALLAH MAWAIDHA MZR ASANTE SHUKRAN SHEIKHE WETU ALLAH AKUZIDISHIE UMRI WENYE AFYA NJEMA UZIDI KUTUELIMISHA SISI NA VIZAZI VYETU
JAZAK ALLAHU KHAIRAAN KATHIRAAN KWA DARSA MURUWA
SwaaAllahuu aleyhii wasaalaamaa
Jazaakallah kwa mawaidha nzuri
Masha Allah 🙏🙏
Shukran shekh kwa darsa adhimu, Allah akuhifadh.
Mashaallah Mashaallah
Shukran wajazakALLAH kheyr
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda kwa ajili ya allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Na mim nakpnd
Amin
Mtume wetu kimpenzi
Mashallah
Maaashaaallah❤
atuzidishe kheri kumrakia rehmma kw Allah mtume Muhammad
Amen
Shukran
Mashallah
Mashallah 🥰
🥰🥰🥰
Mashaaallah ❤️❤️❤️
❤❤❤❤
❤❤❤🙌
Naomba kuuliza ndugu zangu katika iiman, ninapomswalia mtume Muhammad SAW kusema..... Allahumma swalli Allah Muhammad Yarabbi swalli aleihi Wassalaam...
Je, nipo sahihi ndugu zangu, ama lazima kuifuatisha sala aliyoitaja sheikh ? Naomba ilmu kidogo hapo...
Amin