EXCLUSIVE: Utaratibu wa fedha ya TZ kutengenezwa ukoje? vipi kuhusu kuweka kiwanda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 07. 2017
  • Kuna maswali mengi inawezekana umekuwa ukijiuliza kuhusu Utengenezaji wa fedha, utaratibu wake ukoje? usalama je? AyoTV imempata Afisa Mwandamizi Mkuu wa benki kuu ya Tanzania, Patrick Fata kwenye huu ufafanuzi

Komentáře • 45

  • @bernardmwenda5186
    @bernardmwenda5186 Před 6 lety +12

    Kuna moja amesema yachapishwe mahela mengi ili vyuma vilegee, unafikiri kuwa na mahela mengi ndiyo uchumi? Ujue kuwa mahela yanavyozidi kuchapishwa mengi, na bidhaa nazo huzidi kupanda. Kukiwa na uwezekano wa kila mtu kuwa na milioni mojo mfukoni kirahisi basi ujue andazi moja litakuwa si chini ya laki nane au tisa. Sasa faida ya milioni ni nini? Cha msingi bidhaa ziongekeke kwa wingi sana hata watu wakinai kuziona. Mfano, kila mtu akiwa na gunia si chini ya tano za mahindi nyumbani mwake, basi unaweza kukuta gunia moja la mahindi linauzwa kwa shilingi elfu moja tu, kwa sababu hakuna anayehitaji; si kila mtu anayo?. Hiyo ndiyo hali ya thamani ya pesa, siyo kujaza tu mahela mengi wakati didhaa bado hazipatikani, bado utanunua kilo moja ya unga kwa shilingi milion moja, si una hela bwana, sasa faifa ya kuwa na hela yote hiyo iko wapi? Ninawaza tu.

  • @africanhappyadventure6951

    Aliyeshinda kutengeneza Buku na ile Jero ya Noti..Khaaaaa sijui alikula maharage ya wapi..

  • @athumanigombera4385
    @athumanigombera4385 Před 6 lety

    safi sana

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv7966 Před 7 lety +2

    Hi na hi na hi kwa sababu hi na hi hana kwa hiyo tangeneza hi na hi hahaha

  • @fredrickvituskebero5071
    @fredrickvituskebero5071 Před 7 lety +6

    duuh..wanaotegenezaa hela wao wanalipwa nini ?...au unaweza waambia wachapishe 1000 then unachukua 500....jero nyingine unawalipa .....nipo nawaza tu..

  • @mwitachacha4467
    @mwitachacha4467 Před 2 lety

    Mungu atusaidie tuwe na tekinology ya kumiliki kiwanda chetu

  • @psj1564
    @psj1564 Před 2 lety

    Noti azina ubora tengenezi ziwe naubora ukihiisahu hukaifuriatu inachanika lakini noti zanchi za nje zina ubora kweli

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya9194 Před 7 lety +4

    kwa supeed ya JPM au the Bulldozer lazima ipo siku tuta chapisha wenyewe go go Tanzania

  • @motivationtv9958
    @motivationtv9958 Před 7 lety

    dah kweli lazima tutoboe

  • @subramashs2236
    @subramashs2236 Před 7 lety +1

    Tanzania inaharibika kwanini nnafanya hivyoooooo jamani uwii ii

  • @giftdaniel3628
    @giftdaniel3628 Před 6 lety

    Duuuh nchi yetu lazima tujue kutengeneza pesa zetu

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 Před 7 lety +1

    mbona sijawahi waona hawa mahala popote

  • @saidyahya5662
    @saidyahya5662 Před 6 lety

    hata mbuyu ulianza kama mchicha,One day yes na cc tutatengeneza 2

  • @renaldakamugishazeramulake940

    Chapisha mengi mtugawie TUMECHOKA umaskini

  • @syliakuskagyabukamaseveria7039

    Hii sector nikikaa yaani kwetu masikini atakuwa kama bakhresa. Cjui sasa tajiri itakuwa vp!!

  • @lakerswarsame9111
    @lakerswarsame9111 Před 5 měsíci

    huyo mjomba anachaji simu hapo analipa

  • @subramashs2236
    @subramashs2236 Před 7 lety

    hatarii

  • @hassansaid828
    @hassansaid828 Před 6 lety +1

    ongela milidalyo

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 Před 6 lety

    Jamani kenya ipo juu afrika mashariki ubishi tueke kando

  • @subramashs2236
    @subramashs2236 Před 7 lety +2

    kwanini mnatoa siri ya kutengeneza pesaa

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 7 lety

    Acheni blaa blaa tengenezeni fedha acheni utani kushinda kushinda! Tafuteni jinsi ya kutengeneza fedha acheneni na hayo mambo ya mashindano na mambo ya kuwasifia sifia wageni lini mtajiamini?

  • @ajuxman9382
    @ajuxman9382 Před 7 lety

    Pumbavu afrika mpaka lini mutatengezewa

  • @moudymussa7646
    @moudymussa7646 Před 7 lety +1

    Na hawa mnao wp tenda Mna wapa nn?
    Au nn mnachofanya juu ya malipo?

    • @ussiussi3413
      @ussiussi3413 Před 3 lety

      Natural resources & investment ndio tools za malipo kwa shughuli kama hizo.

  • @eliudmaster2175
    @eliudmaster2175 Před 3 lety

    Kumbe tungekuwa na mtaj wetu tungeishi kama ulaya

  • @abubakarimwasumilwe7293

    ujinga tu... siye tutashindwaje kuchapisha pesa zetu....? twawaachia makampun ya nje yanatuundia manoti mabovuuu...! yakitumika siku chache yamechakaaa.....!

  • @jozeytv8357
    @jozeytv8357 Před 7 lety +2

    aliyeshinda tenda ya saivi n kilaza kabisa

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety

    Aisee acheni ujinga. Tengenezeni mapesa maguni kwa magunia wacheni UTOPOLO 🐸

  • @fredymgaya7123
    @fredymgaya7123 Před 7 lety

    NAAMINI AWAMU HII YA KAMANDA WETU MAGUFULI ITAWEZEKANA TU KUWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA HELA HAPA HAPA TZ KWA KUWA CHUMA TUNACHO MADINI AINA MBALIMBALI YAPO UWEZEKANO UPO WA KUWA NA KIWANDA CHETU.

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 7 lety

    Kwanini nyie hamshindi? Hamfikirii? Wengine tu ndio wanashinda tangu 1966.,duh! Fikirini namna ya kutengeneza mafwedha.

  • @t1910j
    @t1910j Před 7 lety

    Acheni upuuzi. Tumeshindwa kuchapisha pesa yetu.

  • @manyangumashala466
    @manyangumashala466 Před 6 lety +2

    Si mchapishe zingne jaman huku mtaAn vyuma vimek---,hahaha,,malizia umwone mag--hahaha

  • @athumanigombera4385
    @athumanigombera4385 Před 6 lety

    safi sana