USAJILI MPYA/WANAOPEWA 'THANK YOU'/WALIOONGEZA MIKATABA TAARIFA IPOJE?/MSIKIE SEMAJI AHMED ALLY
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
simba ni sehem kubwa in my life .i love simba milele❤❤
Milele daima mungu atusimamie na simba yetu
Amen..
SIMBA
Simba nguvu moja
We bh b webbbb bbub
Tuimalishe beki hasa namba 3 na 2.simba inapaswa kuwa na ukuta wa yeriko kweli kweli.
TUACHE KULUMBANA TUANZE KUSAJILI NA KUTENGENEZA TEAM.
Sasa kama watu ambao wameshindwa kututengenezea timu misimu mitatu ndio wataweza kututengenezea timu msimu huu mmoja? maanake ni tutegemee yale yale tu, kwahiyo hakuna haja ya kuandaa maana hata wakijiandaa ni kama hawajajiandaa tu! Kama watu ni wale wale basi tuangalie tu mambo mengine ya kufanya haya ya simba ni kupoteza muda tu na hawa watu
Mungu barik plan za viongoz wetu wawe na jicho lenye kuon mbali na kizur
Naipenda Simba ❤❤❤❤❤❤
Huu ni wakati mhimu Sana kwa Wana Simba wote kuungana kwa pamoja ktk wakati huu mhimu Sana wa kutengeneza kikosi imara na cha ushindani for the next season,yaliyopita si ndwele ,tugange yajayo,tunatakiw kuw na umakini sana ktika nyakati hizi ili tusirudie makosa ya misimu mitatu ya nyuma
Hiko kikosi unakitengenezaje?😅 Watu walioshindwa kukitengeneza misimu mitatu mfululizo ndo hao watatutengenezea msimu huu mmoja?😅 kama watu ni wale wale tuanze tu kutafuta vitu vingine vya kushabikia maana mambo ni yale yale
Sawa. Lakini Konde boy msimuache tu, yupo vizuri tatizo alikua hapewi nafasi yakusha❤
Umakini unatakiwa sana
Naipenda simba❤❤❤❤❤
Hakuna mpya ndani ya Simba zaidi ya Malumbano.
Simba nguvu moja
Simba nguvu moja 👊
Simba yangu mpaka nife
Simba nguvu Moja milele❤
Hakuna Cha milele tabu IPO pale pale mamaee🤪🤪🤪🤪😂
Msimu unaofuata kiukwel tunaomba Tambo zenu ziendane na uhalisia
Tunaiman nao ❤❤❤❤
Mpaka tunaumwa simba mwaaa
Wapenzi wanachama huu ni muda wakushikana na tukaondosha tofauti na tujenge timu imara ya ushindani kupotea njia ndio kujua njia Simba nguvu moja
Mkisajili vizur shirikisho kombe mnachukua safar hatuna exchoose
Mkiacha malumbano ubuntuuu kombe la shirikisho lenu ... Then msajili vzr maana experience mnayo ya kutosha kubwa acheni .... Malumbano
Round naona Kuna vitu vizuri vinakuja Simba nguvu moja
Simba mpya inatisha caf tunaomba kombe letu la shirikisho mapema ❤️
Tunaipwnda simba yetu hivyo hivyo🫶
Vizuri
Kwenye maisha yangu ninathamini vitu vifuatavyo:
(1) Mwenyezi Mungu
(2) Wazazi wangu
(3) Taifa langu
(4) Familia yangu
(5) Dini yangu
(6) Simba
(7) CCM
(8) Liverpool
Hivi vitu ni FIRST PRIORITY. Sasa mtu kama katoka wapi uko sijui anakuja anavuruga Simba kwa njaa yake hilo ni jambo ambalo halikubaliki.
Dah yaani huyu na mimu kitu kilekile.....❤❤
Hata mm pia
Msiba huo kk.
Kaz?
Ndio maanaaa timu inafanya vibya umechahngganya rangi sna ..
Mara hii prea season fanyeni hapa hapa msiende nje ya nchi
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🦁🦁💪💪💪
Jamani tunataka buludani
Chama Bado tunamuhitaji sana
Kila la kheri Wana lunyasi🦁🤩🦁
Tunahitaji simba mpya ya kurejesha heshima yetu
Thank you ianze na Matola jmn nawaomba sana
Tuache malumbano ya ss kwa ss huu nimuda wa kushikamana kwa ajili ya kuitengeneza timu yetu simba nguvu moja.
Ngvu moja
Tusajir kweli yasiwe maneno tu
Simba Nguvu moja
Soka la Simba husajiliwa na viongozi, wataalam wa soka ndio kazi yao
🔥🔥🔥🔥
❤❤🎉
🎉❤
tusishiliki tu hayo mashiko
Simba viongozi unazingua
Semaji letu la cufu tunahitaji msajili wachezaji wamaana sio mtuletee wachezaji wamichongo tumechoka kuiona Tim yetu inapotea muwe makin ili tusitaftan badae ombi. Langu
❤❤❤❤
Nguvu moja ila mnasajili wachezaji bila kocha mkuu kuwepo je timu mmemkabizi mzee mgunda tusije rudia makosa😢
Simba viongozi wanazingua
Naitakia simba usajili wa maaana ili tufulahi mashabiki
Naimani tim yangu ijayo itafulahisha
Inshaallah 🤲
Kocha vp
Naomba wachezaji Hawa wasiguswe Ngoma Cramo,Chama,Luis
Umemsaha kanut jaman
Tujenge team make kunawachezaji hawana kazi wamejaza nafas za wachezaji wegn inatakiwa tufanye mamuzi magum
Hiyooo
Kiufupi wachezaji wote waliosajiliwa mwaka jana wafukuzwe Kasoro chemalone wengine hamna kitu
Tunashuru kwa taarifa rakini niwaase sisi ugovi wa mo na mangungu hautuhusu kikubwa ni kombe la NBC lije msimbaz
Kombe la shirikisho kuna lihitaji au fainali ngao ya jamii kombe ambalo hatuhitaji ni mapinduzi tu
Pambanen mpate kiungo mkabaji asilia hilo tatizo ndo kubwa pia simba
Mmmh msije mkamuongezea mkataba mpya babu saidoo
TUNACHOTAKA WANACMBA NI USAJILI TUMECHOKA KUCHEKWA LUIS NA CHAMA TUSIWAACHE BADO WAZURI
Mnaelewana haraka kwenye kwenye vikao vyenu au ndo huwa mnavitana mpk kutuletea magarasa
Usajili unafanyika kocha hayupo ukaliona wapi hili, utawapata wapi wachezaji wenye uwezo na sifa nzuri hiyo ndio inatokea kocha anakuja haelewani na wachezaji hawapi burudani anayoitaka, inatakiwa kocha mwenyewe afanye usajiri anaolizika nao❤
Mgunda nan
This is simba
Ujue mambo mengine muache ushamba timu ina falsafa yake makocha wengine wapiga bede wanawachezaji wao ambao wanashindwa kuperform ndio maana timu inatoka kwenye falsafa yake
Huwa mnatulia hivohivo lakin mnaleta akina Jobe tumechoka maneno matam.
Wanacheza lini
Hovyo tu ninyi.mnatutesa na timu yetu.mnajitetea Ili muwaache wachezaji wa hovyo.ni Bora muanzishe bakuli kama hamna pesa tutachanga tu .man mauongo tu
Hua wanasema ivo ivo
Kama usajili umekamilika toeni taarfa.kaanzia j3.tumeumia sana
Eeh sajili wachezaji wazuri wakumzidi clatous chama
Semaji unachekwa na huyo Jamaa anaekuhoji
Semaji acha kuwa msemaji efeli na wenzio
Achakuchomokea maneno una gutaguta sana ukiuliza swali acha msemaji atiririke akiweka kituo na wewe utaongea
Huyu angetulia kwanza maneno yake tushazoea
Hamuwezi kushiriki,huo ni uongo lazima mkimbie tu.
Kama mgunda hamtampa timu bc..saajilin kocha kwanza ndipo wachezaji waje
Wakwanza awe mangungu kuindoka
Waliocheza tumewaona wapumbavuwote waondoke
Simba inatuchanganya sana kwanza mangungu,chama,inonga,kapombe wafukuzwe
Nkson....babakar sarr...
Mmenza kuwanda wanafunzi afu walimu badae
Hapo chama na Inonga vyenye mtakuja kuniambia msave hii comment
Chama...inonga..out....
Welcome msuva simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Wa nini mzee yule. Tuache kusajili waliotemwa
Hakuna kitu
BILA KUONDOA KANJANJA ZA 10% SIMBA , KUFUNGWA NA PRISON KUKO PALE PALE
mechi za kagame ni kipimo kizuri sana, sasa nyie leteni mzaha muone kama hamja potea mazima
Manataka kukosesha watu burudani
Kabisha mechi za kagame wacheze wachezaji ambao walikuwa wanapata nafasi chache na usajili Mpya so itumike kaa preseason maana hata hizo preseason za misimu mitatu tuliyoenda imetusaidia nin???
Ndio naamini kuwa Ahmed hafanani na wale vifaduro wa upende pili
Kwa mdomo anaemzid ni manara tu ila kiakili na utulivu hata hashim ibwe kamzidi lakini kama ni kwa kuropoka ahmed anafunika wote maneno mengi vitendo zero
Ww penda matatizo
Fred aondoke
Fred haondoki
Tungekua kama azam ingekua poa sana 🎉🎉🎉
Ni uongoo😅😅😅
Makosa mengn yanakuja usajili na kocha hayupo yaan n shida had saiz hatujui Nan kocha
Kweli humjui kocha??
Kwhyo humjuw kocha wako wa Simba mpaka sasa!!??
Wee ni mwnasimba au changunaku
Mgunda humjui?
@tjn tech