USAJILI MPYA/WANAOPEWA 'THANK YOU'/WALIOONGEZA MIKATABA TAARIFA IPOJE?/MSIKIE SEMAJI AHMED ALLY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
    📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC CZcams Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
  • Sport

Komentáře • 114

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw Před 16 dny +16

    simba ni sehem kubwa in my life .i love simba milele❤❤

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi142 Před 16 dny +7

    Tuimalishe beki hasa namba 3 na 2.simba inapaswa kuwa na ukuta wa yeriko kweli kweli.

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před 16 dny +22

    TUACHE KULUMBANA TUANZE KUSAJILI NA KUTENGENEZA TEAM.

    • @sinemazakorea
      @sinemazakorea Před 16 dny +3

      Sasa kama watu ambao wameshindwa kututengenezea timu misimu mitatu ndio wataweza kututengenezea timu msimu huu mmoja? maanake ni tutegemee yale yale tu, kwahiyo hakuna haja ya kuandaa maana hata wakijiandaa ni kama hawajajiandaa tu! Kama watu ni wale wale basi tuangalie tu mambo mengine ya kufanya haya ya simba ni kupoteza muda tu na hawa watu

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 Před 16 dny +3

    Mungu barik plan za viongoz wetu wawe na jicho lenye kuon mbali na kizur

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1j Před 16 dny +2

    Naipenda Simba ❤❤❤❤❤❤

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Před 16 dny +1

    Huu ni wakati mhimu Sana kwa Wana Simba wote kuungana kwa pamoja ktk wakati huu mhimu Sana wa kutengeneza kikosi imara na cha ushindani for the next season,yaliyopita si ndwele ,tugange yajayo,tunatakiw kuw na umakini sana ktika nyakati hizi ili tusirudie makosa ya misimu mitatu ya nyuma

    • @sinemazakorea
      @sinemazakorea Před 16 dny

      Hiko kikosi unakitengenezaje?😅 Watu walioshindwa kukitengeneza misimu mitatu mfululizo ndo hao watatutengenezea msimu huu mmoja?😅 kama watu ni wale wale tuanze tu kutafuta vitu vingine vya kushabikia maana mambo ni yale yale

  • @khamisalawi9397
    @khamisalawi9397 Před 16 dny +1

    Sawa. Lakini Konde boy msimuache tu, yupo vizuri tatizo alikua hapewi nafasi yakusha❤

  • @rbayoub1181
    @rbayoub1181 Před 16 dny +9

    Umakini unatakiwa sana

  • @user-vl7tf7zt4u
    @user-vl7tf7zt4u Před 16 dny +1

    Naipenda simba❤❤❤❤❤

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 16 dny +2

    Hakuna mpya ndani ya Simba zaidi ya Malumbano.

  • @simeocharles8182
    @simeocharles8182 Před 16 dny +3

    Simba nguvu moja

  • @josephihucha6482
    @josephihucha6482 Před 16 dny +1

    Simba nguvu moja 👊

  • @JoyceChamila
    @JoyceChamila Před 10 dny

    Simba yangu mpaka nife

  • @ZuberyKigumi
    @ZuberyKigumi Před 16 dny +1

    Simba nguvu Moja milele❤

    • @user-cv4yi5hz9b
      @user-cv4yi5hz9b Před 15 dny

      Hakuna Cha milele tabu IPO pale pale mamaee🤪🤪🤪🤪😂

  • @NdolimanaSamwel
    @NdolimanaSamwel Před 16 dny +6

    Msimu unaofuata kiukwel tunaomba Tambo zenu ziendane na uhalisia

  • @EsterMwandola
    @EsterMwandola Před 12 dny

    Tunaiman nao ❤❤❤❤

  • @JiwazieJuma
    @JiwazieJuma Před 16 dny +1

    Mpaka tunaumwa simba mwaaa

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y Před 16 dny +1

    Wapenzi wanachama huu ni muda wakushikana na tukaondosha tofauti na tujenge timu imara ya ushindani kupotea njia ndio kujua njia Simba nguvu moja

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 16 dny +2

    Mkisajili vizur shirikisho kombe mnachukua safar hatuna exchoose

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 16 dny

      Mkiacha malumbano ubuntuuu kombe la shirikisho lenu ... Then msajili vzr maana experience mnayo ya kutosha kubwa acheni .... Malumbano

  • @AlphaEmmanueljr10
    @AlphaEmmanueljr10 Před 15 dny

    Round naona Kuna vitu vizuri vinakuja Simba nguvu moja

  • @Robyvany-26
    @Robyvany-26 Před 15 dny

    Simba mpya inatisha caf tunaomba kombe letu la shirikisho mapema ❤️

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Před 15 dny

    Tunaipwnda simba yetu hivyo hivyo🫶

  • @asafiasafi7204
    @asafiasafi7204 Před 16 dny +1

    Vizuri

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 16 dny +2

    Kwenye maisha yangu ninathamini vitu vifuatavyo:
    (1) Mwenyezi Mungu
    (2) Wazazi wangu
    (3) Taifa langu
    (4) Familia yangu
    (5) Dini yangu
    (6) Simba
    (7) CCM
    (8) Liverpool
    Hivi vitu ni FIRST PRIORITY. Sasa mtu kama katoka wapi uko sijui anakuja anavuruga Simba kwa njaa yake hilo ni jambo ambalo halikubaliki.

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Před 16 dny +1

    Mara hii prea season fanyeni hapa hapa msiende nje ya nchi

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania Před 16 dny +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🦁🦁💪💪💪

  • @BarakaDunias
    @BarakaDunias Před 16 dny

    Jamani tunataka buludani

  • @ChalambaMrisho
    @ChalambaMrisho Před 16 dny

    Chama Bado tunamuhitaji sana

  • @salumstamil
    @salumstamil Před 16 dny

    Kila la kheri Wana lunyasi🦁🤩🦁

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 Před 16 dny +2

    Tunahitaji simba mpya ya kurejesha heshima yetu

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 Před 16 dny

    Thank you ianze na Matola jmn nawaomba sana

  • @AhmadMkasha
    @AhmadMkasha Před 16 dny

    Tuache malumbano ya ss kwa ss huu nimuda wa kushikamana kwa ajili ya kuitengeneza timu yetu simba nguvu moja.

  • @gracemakengo
    @gracemakengo Před 15 dny

    Ngvu moja

  • @EnockMbekenga
    @EnockMbekenga Před 16 dny +1

    Tusajir kweli yasiwe maneno tu

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 Před 16 dny

    Simba Nguvu moja

  • @ChalambaMrisho
    @ChalambaMrisho Před 16 dny

    Soka la Simba husajiliwa na viongozi, wataalam wa soka ndio kazi yao

  • @user-wq9wb7gp2y
    @user-wq9wb7gp2y Před 16 dny

    🔥🔥🔥🔥

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 16 dny

    ❤❤🎉

  • @nassorabdala9823
    @nassorabdala9823 Před 15 dny

    🎉❤

  • @TriciaSambo
    @TriciaSambo Před 16 dny +1

    tusishiliki tu hayo mashiko

  • @NeemaAlly-uj8bf
    @NeemaAlly-uj8bf Před 16 dny

    Simba viongozi unazingua

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 16 dny

    Semaji letu la cufu tunahitaji msajili wachezaji wamaana sio mtuletee wachezaji wamichongo tumechoka kuiona Tim yetu inapotea muwe makin ili tusitaftan badae ombi. Langu

  • @NassorAliy-fz1np
    @NassorAliy-fz1np Před 15 dny

    ❤❤❤❤

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso Před 16 dny

    Nguvu moja ila mnasajili wachezaji bila kocha mkuu kuwepo je timu mmemkabizi mzee mgunda tusije rudia makosa😢

  • @NeemaAlly-uj8bf
    @NeemaAlly-uj8bf Před 16 dny

    Simba viongozi wanazingua

  • @MathiasBuhongo
    @MathiasBuhongo Před 16 dny

    Naitakia simba usajili wa maaana ili tufulahi mashabiki

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 Před 16 dny +1

    Naimani tim yangu ijayo itafulahisha

  • @user-qw2vl5hi4e
    @user-qw2vl5hi4e Před 16 dny +1

    Kocha vp

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před 16 dny +1

    Naomba wachezaji Hawa wasiguswe Ngoma Cramo,Chama,Luis

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Před 15 dny

    Tujenge team make kunawachezaji hawana kazi wamejaza nafas za wachezaji wegn inatakiwa tufanye mamuzi magum

  • @Feisalmatandula
    @Feisalmatandula Před 16 dny

    Hiyooo

  • @Mabala_family_singers
    @Mabala_family_singers Před 16 dny

    Kiufupi wachezaji wote waliosajiliwa mwaka jana wafukuzwe Kasoro chemalone wengine hamna kitu

  • @kwanjebetv2728
    @kwanjebetv2728 Před 16 dny

    Tunashuru kwa taarifa rakini niwaase sisi ugovi wa mo na mangungu hautuhusu kikubwa ni kombe la NBC lije msimbaz
    Kombe la shirikisho kuna lihitaji au fainali ngao ya jamii kombe ambalo hatuhitaji ni mapinduzi tu

  • @user-yh6mq4ds1m
    @user-yh6mq4ds1m Před 16 dny

    Pambanen mpate kiungo mkabaji asilia hilo tatizo ndo kubwa pia simba

  • @mamen_ttouba
    @mamen_ttouba Před 16 dny

    Mmmh msije mkamuongezea mkataba mpya babu saidoo

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 16 dny

    TUNACHOTAKA WANACMBA NI USAJILI TUMECHOKA KUCHEKWA LUIS NA CHAMA TUSIWAACHE BADO WAZURI

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 16 dny

    Mnaelewana haraka kwenye kwenye vikao vyenu au ndo huwa mnavitana mpk kutuletea magarasa

  • @user-lz4oj8cg6q
    @user-lz4oj8cg6q Před 16 dny

    Usajili unafanyika kocha hayupo ukaliona wapi hili, utawapata wapi wachezaji wenye uwezo na sifa nzuri hiyo ndio inatokea kocha anakuja haelewani na wachezaji hawapi burudani anayoitaka, inatakiwa kocha mwenyewe afanye usajiri anaolizika nao❤

    • @user-wn9bp5cl1j
      @user-wn9bp5cl1j Před 16 dny

      Mgunda nan

    • @user-wn9bp5cl1j
      @user-wn9bp5cl1j Před 16 dny

      This is simba

    • @FabyEnerest
      @FabyEnerest Před 16 dny

      Ujue mambo mengine muache ushamba timu ina falsafa yake makocha wengine wapiga bede wanawachezaji wao ambao wanashindwa kuperform ndio maana timu inatoka kwenye falsafa yake

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 16 dny

    Huwa mnatulia hivohivo lakin mnaleta akina Jobe tumechoka maneno matam.

  • @ManenoLikate-it4tv
    @ManenoLikate-it4tv Před 16 dny

    Wanacheza lini

  • @christophermwalugaja9296

    Hovyo tu ninyi.mnatutesa na timu yetu.mnajitetea Ili muwaache wachezaji wa hovyo.ni Bora muanzishe bakuli kama hamna pesa tutachanga tu .man mauongo tu

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dc Před 16 dny

    Hua wanasema ivo ivo

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Před 16 dny

    Kama usajili umekamilika toeni taarfa.kaanzia j3.tumeumia sana

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp Před 16 dny

    Eeh sajili wachezaji wazuri wakumzidi clatous chama

  • @josephatijulius-fc9rz
    @josephatijulius-fc9rz Před 16 dny

    Semaji unachekwa na huyo Jamaa anaekuhoji

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3q Před 16 dny

    Semaji acha kuwa msemaji efeli na wenzio

  • @news-room97.3baharifm2

    Achakuchomokea maneno una gutaguta sana ukiuliza swali acha msemaji atiririke akiweka kituo na wewe utaongea

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt Před 16 dny

    Huyu angetulia kwanza maneno yake tushazoea

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 16 dny

    Hamuwezi kushiriki,huo ni uongo lazima mkimbie tu.

  • @flova7022
    @flova7022 Před 15 dny

    Kama mgunda hamtampa timu bc..saajilin kocha kwanza ndipo wachezaji waje

  • @user-tg3st6li2q
    @user-tg3st6li2q Před 16 dny

    Wakwanza awe mangungu kuindoka

  • @RAMADHANAllykibanga
    @RAMADHANAllykibanga Před 16 dny

    Waliocheza tumewaona wapumbavuwote waondoke

  • @yohanamtambo907
    @yohanamtambo907 Před 16 dny +1

    Simba inatuchanganya sana kwanza mangungu,chama,inonga,kapombe wafukuzwe

  • @Jerryminenewtony-fc5cp

    Mmenza kuwanda wanafunzi afu walimu badae

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 Před 16 dny

    Hapo chama na Inonga vyenye mtakuja kuniambia msave hii comment

  • @HawaSimai
    @HawaSimai Před 16 dny

    Welcome msuva simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

    • @eddyology7304
      @eddyology7304 Před 16 dny

      Wa nini mzee yule. Tuache kusajili waliotemwa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 16 dny

    Hakuna kitu

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    BILA KUONDOA KANJANJA ZA 10% SIMBA , KUFUNGWA NA PRISON KUKO PALE PALE

  • @muddiymackvita8409
    @muddiymackvita8409 Před 16 dny

    mechi za kagame ni kipimo kizuri sana, sasa nyie leteni mzaha muone kama hamja potea mazima
    Manataka kukosesha watu burudani

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Před 16 dny

      Kabisha mechi za kagame wacheze wachezaji ambao walikuwa wanapata nafasi chache na usajili Mpya so itumike kaa preseason maana hata hizo preseason za misimu mitatu tuliyoenda imetusaidia nin???

  • @kingayo4272
    @kingayo4272 Před 16 dny

    Ndio naamini kuwa Ahmed hafanani na wale vifaduro wa upende pili

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Před 16 dny +1

      Kwa mdomo anaemzid ni manara tu ila kiakili na utulivu hata hashim ibwe kamzidi lakini kama ni kwa kuropoka ahmed anafunika wote maneno mengi vitendo zero

  • @HappyBeach-fs1ow
    @HappyBeach-fs1ow Před 16 dny

    Ww penda matatizo

  • @daudikapupu9715
    @daudikapupu9715 Před 16 dny

    Fred aondoke

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 Před 16 dny

    Tungekua kama azam ingekua poa sana 🎉🎉🎉

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 Před 16 dny

    Ni uongoo😅😅😅

  • @promisehezron706
    @promisehezron706 Před 16 dny

    Makosa mengn yanakuja usajili na kocha hayupo yaan n shida had saiz hatujui Nan kocha

  • @user-vq3vj4ih6x
    @user-vq3vj4ih6x Před 16 dny

    @tjn tech