Hii nyimba inanikumbusha mbali enzi izo niko kigaboni sijawahi kufikilia 2018 ntakua nausikiliza and then ulaya hamdulillah #z anto love from paris France🇫🇷
Big up broo I really love this song I remember when I was in high school I sang this song during closing day for sure I made a day for my schoolmates they use to call me miss kiba becoz nilipenda kuimba sana hii song
Kwa kweli nilikuwa napenda sana mechi za nje za ujana Aliyekuwa mke wangu analia aaa kwa kweli nilikuwa napenda sana babies Na kuwahonga mpaka magari Hali yakuwa watoto wangu wanateseka na njaa Mitungi kila saa Nyumbani sina time ya kukaa Marafiki na miii Nightclubs na mimi Sasa nimebaki lonely Track naliona sichezwii Yaani pesa hakuna Marafiki hakuna hata baby hunitaki tena x2 Nakupendaa nakupenda sana baby Nakuhitaji mamamama njoo kisima cha malavidavi. Nilikutengaa nisamehe my baby........
Hawa ndio walikuwa wasanii wazuri wa sanaa wanaojua kufundisha jamii kutambua kosa na kuomba msamaha. Sio sasa watu wanaenda kwa mwendokasi mmbovu. like hapa kama ipo powa.
kalibu tz nch nzuli mgen wa nch yoyote anapokelewa na hakuna nch yenye madili mema namba moja tz utatembea nch zote lkn tz yakwanza dunian kwa ukalim wa makabla miamoja ishilin
Come on guyz!! who still referring to diamond as simba?? honestly ,,,, si huyu ndio ndume yawaaa,,, i cant get enough of this hit bongo za 2006-->2009 💥💥💥
Nyimbo tam nani anaangali 2024 ganga like hapa
Music mtamu kama nini kama hume tiza 2018 gonga like ningi na comment nyingi hili tusonge mbele
inaridhisha mnoo
amazing music yaan unafeel kama unamasajiwa vilee huo wote utak wa music
I like the music!.
love this amazing songs..from a very talented guy...break your silence Z- ANTO
We are waiting for you,we will support you brother
im watching the video song this january 2018 , any one else ???
Here I am....
when music was music 😘😘😘
whaaa the first time na imeni mbaba imeni kumbusha mambo mingi sana a nice msg to all mens woiye kenyan in qatar big up blo
Sahv yukowapi huyu jama
who still listening in 2017
Shalome Christine still my favourite
still listening to the music
Shalome Christine March 2017
Shalome Christine🙋🙋🙋
😍😍😍😍😍
Zeeeed weeeee kacheze unako chezaga 🔥🔥🙌🙌🙌
2023 still vibing😚💛
2023 ooh how I miss this days
I love em this song so much 😧💘💕
Kizur ni kizri tu hata kiish miaka ming kias gn.... I stll lve dis sng na siichki kucklza come back Z upo vxr
nyimbo za zamani zinaelimisha sana
MAHMOUD AMOUR ndio
nyimbo za zaman nzur San mziki wke umetulia nazipendaga San yan najickia raha San nikisikiliza nakumbukaga mbari sana
Lucy Fabian kama Mimi napenda sana nasikia raha
z Anto ukowapi mbona hatukuoni?
Adi laha
2017 hopefully waiting for u zeddy ! wakenya twakumisi 😍
Nakubali ngomaiii kaka
still watching in 2018 na siringiiiiiii +254 tumekubaliii
2024 let's gather here
This song make mie remember my boyfriend who not now around.
the song is amazing and message delivering wish to get more of it
Jaman naupenda sana huu wimbo pia nakumbuka mbali sana
Hii nyimba inanikumbusha mbali enzi izo niko kigaboni sijawahi kufikilia 2018 ntakua nausikiliza and then ulaya hamdulillah #z anto love from paris France🇫🇷
Mziki tamu sana nani Bado anasikiza 2020 gonga like
The song is wow and is liked by many am one of them and my shorey nicole
hii ndio real bongo freva
2019 anyone love from Atlanta
Muu until 2020 I'm still watching ngoma tamu wakenya Muko wapi
Big up broo I really love this song I remember when I was in high school I sang this song during closing day for sure I made a day for my schoolmates they use to call me miss kiba becoz nilipenda kuimba sana hii song
Who still watching it in 2018
Florida mise:Ilove ur song even though am single mob love from beirut.Hausikiki bana tutolee kitu kigeni hadii tusikusahau,Mwaaaaaah
ncy song mtu wangu
all malawiaz we lyk u! z anton
Nyimbo tamu sana hizi.I like them.
2024 we still here 😂
Kwani najuwa pombe njochanzo,2020💃💃💃💃😷🤧🤧
Hii ngoma toka enzi hnzo
Mziki zamani jamani daaaa
my God!! Z bana umelost 2nategea kisiwa kingine bana
Nice one man enzi za wakali
Amazing amazing amazing congratulations
Hio ngoma iliweza bro
Wa from when I was in school na sai Niko MTU na family and still naipenda
kukumbuka tu.safi sana
walevi wapunguze ulevi wachunge jamii zao,tazama asikuponyoke!
nakupenda..nakupenda sana baibe nakuhitaji mama..mama uje kwenye kisiwa cha malavidavi
2020 and it's still hit
Zanto ni my best mwanamziki ndani ya Bongo...
14th March 2019 still watching 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254
sanatu kaka wemukari
wooow!! hizi songs za zamani ni tamu sna hawa watu wako wapi
2018 January 15 you seen song is well
me too
So true and the tune is just wonderful, the message is very strong!!Love it
Kwa kweli nilikuwa napenda sana mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu analia aaa
kwa kweli nilikuwa napenda sana babies
Na kuwahonga mpaka magari
Hali yakuwa watoto wangu wanateseka na njaa
Mitungi kila saa Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki na miii Nightclubs na mimi
Sasa nimebaki lonely Track naliona sichezwii
Yaani pesa hakuna Marafiki hakuna hata baby hunitaki tena x2
Nakupendaa nakupenda sana baby
Nakuhitaji mamamama njoo kisima cha malavidavi.
Nilikutengaa nisamehe my baby........
Na bado! still loving it z usipotee sana
kali sana
Waaah yani hadi sasa bado naipenda sanaa hii nyimbo z anto umepotelea wapi
wow! wimbo bora........tunakupenda zeddy
Dec 2021 and it still hits different 🎊🎊🎊
2023💜💜
Hawa ndio walikuwa wasanii wazuri wa sanaa wanaojua kufundisha jamii kutambua kosa na kuomba msamaha. Sio sasa watu wanaenda kwa mwendokasi mmbovu. like hapa kama ipo powa.
Tatizo la wasanii wakitoa miziki mda Fulani, muda Fulani wanapotea sana.
Nice song mpaka Leo nimeutazama wimbo huu haunikifu
Waaah, a special dedication to my siz CHARLOTTE AWUOR in kisumu city. Z-Anto big up 4 ua conffession !
i love your messages, you don't sing to enjoy urself but message.
i can't stop listening to Bongo and Kenyan oldskul....
I like the song. bigup
Big up bro, everytime i lestein to this song i cry, i didecate it to my ex haz,pembe, Awino,kenyan from saudia.
Hahaaa we share the same. Am in saudi. I always put t as my ex hussy ringtone
Delinah Wawuda Another Kenyan in saudia. The song is nyc sauti nayo mashallah.
Who is still here with me 2021😍Gonga like ukisonga💞💞💞
Who is still listening 2020
Dogo ukovizuri ilahatukuoni tena imekuaje
z dogo ludi kwenye game
Brenda. muthoni love you songs
nimepagawa na bongo nata hamia tanzania
Hahaaa swafi mi pia
kalibu tz nch nzuli mgen wa nch yoyote anapokelewa na hakuna nch yenye madili mema namba moja tz utatembea nch zote lkn tz yakwanza dunian kwa ukalim wa makabla miamoja ishilin
Asante sana Ali Ali
+Ali Ali kabisaaa
kisiwa cha malavidavi nyc
Mary Ann
nyimbonzuri sana
This songs reminds me of the days when i was a fresher, a room mate of mine used to listen to it every day hadi tukaanza kumuita malavidavi.
fiti
Kazi nzuri kaka, ujumbe kwetu sote
Napenda sana
2019 and still very hot song---- someone please hit me up huyu jamaa alienda wapi??
Hey anto?
I really adore n lovin your song.
I dont understand d lyrics but I feel d meaning of the music in deep..
naipenda sana nyimbo nikiwa ndani yasaudia 😴😴😙😙😙
rudi kenya 😂😂😂
Fofo Fofo jina gani hilo
mbona sasa bongo vuelva ime shuka
Kwa kweli nilikupenda sana..... singing 2018
It also reminds me of my beib. Another Kenyan in saudia
Vraiment j'aime beaucoup ça
Paka sasa yvin
upo daa waooooooo
a gud wan for long lyk it
bado Niko hapa
z anto thm days, nice music hadi leo
wibo poa San. Mmmmmmmmmmm
jaman hi nyimbo tamu mpaka raha ngoja nika idownload
atawe zingine kuna wasani wenye kipaji ila wana nifichasio fresh
Big up bro that's good song and can not drop down whtver
Come on guyz!! who still referring to diamond as simba?? honestly ,,,, si huyu ndio ndume yawaaa,,, i cant get enough of this hit bongo za 2006-->2009 💥💥💥
my favourite...ooh i like this song...watchng frm far...
tumemiss hii voice dah ukowapi ww kila siku tunajiuliza uko wapi we
hapo sawa
Nzuri san
hii ndio ngoma
good xan
ngoma Kali
Big up mayne........Hii bab kubwa!!
very nice....love your songs young man