Kipindi iko namtongoza dem ananiambia sina cha kumpa ela sina weee saiv nimekua mjeda kila nikienda home et ananiambia aachike kwa mme wake nimuoe bas nacheka sana
If you listened this 2000 upto now naomba likes na comments wanangu mbarikiwe tukisukuma gurudumu LA maisha Enzi hizo kama Jana kama kama maeneo ya Marekani Kusini pamoja
this song opened me to the music world its crazy how 5 years have changed the world is first moving i wish all those reading this comment the best and move with time never forget where you are from
Inanikumbusha mbali Sana😭...nikiwa primary... natoka shule napitia video show moja Kijijini...utararatibu ni kuwatch ngoma kma tatu ivi bure halafu mnalipa kuwatch movie...nawatch ngoma mwenyewe akianza kulipisha watu for the movie... mimi huyoooo nakwenda zangu mbio homu nkamchotee mamangu maji...
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana ina mda mrefu sio 4yrs ago now 2021 itakua na miaka 10+ coz nakumbuka primary ukoo sim ya mwalimu ilikua ikiita darasan na huu wimbo
This song reminds me 2008 when I was finishing primary school, I loved my classmate Suzana back then, On graduation day I danced alot about this song. 19/10/2020.
Wananguu wa 2023 Eeeeee Gonga like Twendwe Sawa na Kigongo Chetu Alfu Isikikize kwa Hisia Hii Ngoma Upate Kukumbuka Japo Mpendwa Wako Mmoja Wa Long Time!!
2024 tuko waaaaapi 😅😅tupite na like
Tuko huku
Tupo mnama
Mimi ni yule yule tuli soma kidato kimoja Boqol Cinro Wll I Nollow
🤚
😅😅😅
Wanangu wa 2024 like zenu apa 🎉
❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good songs never tire
❤❤❤❤❤
Still watching the soothing music, despite the economy🇰🇪 @2024❤
Nani bado anasikiliza hii song in 2024 😍
2024 njoon kwa like 💪💪💪
Who is still here 2024😂❤
Me😂😂😂😂
🍻✌️
😅
Love this song imebidi nisakie,watu wa 2024
Old is Gold where is the likes of 2024😂
My memories back in 2008 from KETAU express KBC top ( 10)and Mambo MSETO radio Citizen Top( 5) wangapi tunakumbuka hii❤
When East African music was melodious, NO Alcohol, NO Drugs, NO Nudity just pure talent. Big Love🇰🇪. #NOV2023.
sure
True
💯💯✔️
Your mum is one
When bongo was bongo still listening in 2020 despite Corona the situation 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Arthur Oduor bongo was bongo for Tanzanian, when Genge was genge for Kenya and Uganda.........
Yes. Bongo ilibadilika baada ya 2010.
Vp
Vp
@@musaeucu8579 true broo well said
Timeless vibes, soothing melodies,sweeter than ever even in 2023
Sure
Ni kweli
Kama bado unakula hiii ngoma tunapofunga mwaka gonga like twende sawa
2023 am still tuned in please kama uko bado hapa huu mwaka nipee kalike ata kamoja 🙈🙈
U
Hii ngoma ni hatari sana kipindi icho nikiwa namfukuzia Dem mmoja ivi alafu anazingua Hadi 2021 bado nacheki tu like 10 tu jmn
Kipindi iko namtongoza dem ananiambia sina cha kumpa ela sina weee saiv nimekua mjeda kila nikienda home et ananiambia aachike kwa mme wake nimuoe bas nacheka sana
@@baaliyanuun416 duuuuh ata mm nimecheka bro 😁😁😁
Hatari sana
Hatar sana
@@piusgiringa4557 kbs bro
I reminds me of when I was in primary school #Nairobi🇰🇪 love all way from United States 2023
Hii wimbo nimeisikia mahali ikabidi nikuje kusikiza 2023❤❤ 😭😭
Umeskiza wapi
Mziki wa zamani unaishi asee,,,nani yupo hapa 2023
2020 jamaaa yupo vzr yan kwenye tuzo yupo
If you listened this 2000 upto now naomba likes na comments wanangu mbarikiwe tukisukuma gurudumu LA maisha Enzi hizo kama Jana kama kama maeneo ya Marekani Kusini pamoja
Wewe
2022 still enjoying it but can't get enough of it. Much love 🥰 from Uganda 🇺🇬
Vp
Let's listen to
Kitu kizuri kiitwe kizuri,my guys from 254 how's this
Beautiful
Ni 🔥🔥🔥🔥 sana
2020 and we still here, still dope 🔥🔥🔥👌
Good music
Reminds me of the time when East African TV/channel5 was still good.
Hi
Tuko wengi when music was lit
I need a connection
kitambo.... kma ww upo hapa hadi leo hii 2020
gonga like
If only musicians of this generation would give such valuable vibes like this. We could never tire of their music
Perfectly said
afu club tukaskilize ukaiidiii. ebu tofautisha Einsten na Bill gates. Kua na ujuzi na haukuingizii kipato ni UTAIRA
2022
nice song
Siku hizi ni Gidi, kamata, waah😂😂
I am Kenyan and I remember this song like it was yesterday. lots of love from Netherlands
Kama na wew ni mtoto wa tbr unaingalia hii paka leo 2019 gonga like hapa
Npo hapa
Mboka manyema
niko hpa
Npo apa Mt wa nzega kbs🎉❤
Hizi ndio zilikuwa nyimbo kabla diamond akoroge sewage
😆
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Damn, this songs hits differently, when you actually had a crush back in high school.
2023 here we go 🔥🔥kidato kimoja
Still singing this song from the intro to the outro na bado niko single. Jameni nimeshindwa mnitaftie mpenzi sasa 😂
Hahaha
😹😹😹😹
🤔🤔🤔😂😂😂😂😂
Hahaha 😂
This guys is very humble, he usually visit a local joint in Nakuru, it took time for us to believe he is J.I
Not so sure but last year he spent quite sometime in Nakuru, kiondo area
@@LETOYAlubricants haiya huenda we may have met kama ni hiyo area. But he's TZ...good music.
Ni "mtoto wa NZEGA"...Tabora TANZANIA 😄
💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥❤🩹💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥❤🩹💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥❤🩹💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥❤🩹💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
this song opened me to the music world its crazy how 5 years have changed the world is first moving i wish all those reading this comment the best and move with time never forget where you are from
"We will all die. The goal of life is not to live forever, but to do something that will"
2020 hapa nairobi lock down due to corona..huku tukingoja money heist season 4
🥰🥰🥰
Inanikumbusha mbali Sana😭...nikiwa primary... natoka shule napitia video show moja Kijijini...utararatibu ni kuwatch ngoma kma tatu ivi bure halafu mnalipa kuwatch movie...nawatch ngoma mwenyewe akianza kulipisha watu for the movie... mimi huyoooo nakwenda zangu mbio homu nkamchotee mamangu maji...
before waanze kulipisha movie kulikua na session ya kuwatch ngoma wakifagia video🤣🤣🤣
Soon nitarud home Zanzibar inshallah, hii ngoma inanifanye nakosa furaha kua nje ya Zenj..gonga like kama wewe kma unaipenza zenj
J.i ni mzanzibari ?
@@salimmohamud5390 Nzega ndio kwao sema zenji kikazi tu 💪🇹🇿🇦🇪
@@salimmohamud5390 mnyamwezi wa nzega na wale A boy's group wote nayy ni alikuwa members wa hao bad sky na jacko b
i didnt know swahili when it came out but i rememeber i had all the lines by heart ❤️❤️🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴 Somalia
🇸🇴 ad iyo ad sxb
Haa sxp hakuna shida kiswahili ni rahisi
Aniba jab maka fahmin sxb hadana waa ii macaantahay heeshta 😍😂😂
Diyar weye walal
Daaaah nakumbuka ilipgwa kwenye welcome 4m one yetu 2007 makuru sec dahh kitambo sanaaaa
2023 still here,this song never gets old🥰
2023
still enjoying your music, hakika ulikua mwanamuziki wa ukweli
My favorite song since I was 10 years ..im 23 now but still🔥🔥
me to here what a coincidence
Somali 🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Somali gani
Somaliland!!!!
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana ina mda mrefu sio 4yrs ago now 2021 itakua na miaka 10+ coz nakumbuka primary ukoo sim ya mwalimu ilikua ikiita darasan na huu wimbo
Don’t know what he is singing about but love this song. ❤️❤️❤️from Mauritania 🇲🇷
It's a love song,very beautiful indeed!
Aisha Barry one love babe
𝐜𝐨𝐨𝐥 😎
It's just a swahili love song
The singer says he is in love with a certain girl whom he schooled with
If only my highschool sweetheart could hear me!❤
Wale walio kuja kuona baada ya kusikia mwandishii wa wimbo huu kufarikii H.MBIZO 💔💔💔😢
Sijisifu nyimbo hiii nilikuwa form tow lakini wakati huo kunabinti alikuwa ananipa wakati mgum Sana . hivyo huwa ninakumbuka mbali Sana
21st Feb 2020....hii wimbo tamu sana
2022 15th of October legends are still in here BIG love from South Sudan 🇸🇸 ❤❤❤
Bado napenda hii nyimbo aki🥰🥰🥰
@@messafatuma4375 cheers 🥂 😍
@@qaimalwal211 Cheers 🥂🍴
Still enjoying this.🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬here yuko wapi JI?
Ananikumbuka ila tu unaleta ukaidi, mimi ni yule yule. 2023 still vibing to this gem🔥
The epitome of Kiswahili lyricism. A timeless classic
I remember dem dayz in Kenya 🇰🇪
Big up J.I ✌️❤️
2022 and I still like this song😍
❤❤❤❤❤❤❤🎉😊
Wap haikaely isalia 2013 from four mitundu sekondar big up fans wa kitado hicho
Hit for 2021 flask back how were looking like that time ilove old bongo music much love from Uganda..🇺🇬🇺🇬🔥🔥🔥🔥🔥
J.i hapa ulicheza ka ww...used to cry alot when I listened to this dope song...live long bruh 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰
NILIKUWA NIPO FORM 2,
ALI DAROUS, MSANII RAYON, SHAM BOY, MED Y WOTE TULIKUWA PAMOJA KITAMBO SANA
Utanisononesha kama ukinikosa😢😢,,, loved those days back in high school
Such songs will never grow old
Dah Nyimbo hii...🙌🙌😅😅
Nakutakia maisha marefu marietha ...(my X guys used to Sing song lol)
2021 bado ngoma linanikumbusha mbali..😅😅😅😅😅😅
It's over 13yrs bt this song also hit...
kitambo nilofokiriiii huuu wimbooo ni alikiba leo ndoo nimejua kua sii waalikiba wangapi wenzanguu
Music ya zaman haiishi ladhaa skamaa ya saiii big up broo ngoma yakoo kali
Huyu anaitwa nani
Chaliii angu ya Nzega na mboka gonga like ako
J I vp kaka tuxhakumic kwenye game
Hii hit song🔥 kila mwaka ni 🔥 wap Aprili 2024 nipeni maua yangu Tukumbuke mbali kwa pamoja
Niko zangu plimary 2008 umoja wa mataifa dah
This song reminds me 2008 when I was finishing primary school, I loved my classmate Suzana back then, On graduation day I danced alot about this song. 19/10/2020.
😂😂😂😂
Hehe me too.
Same here
Would like to see suzzana bump into this comment and reply someday...
@@mahmoodmohammed1679 me too😅
Nataman life ingerudi nyuma maana kipndi cha wimbo ndio nilianza mapenz basi dunia yote ilikuwa kama naimiliki
Wimbo wangu pendwa siku zoote ❤❤❤❤❤❤❤
This is what brought us to bongo fleva cool music and pure sound hakuna kelele Kama now kulialia😢😂😂 drop that shit back🤭🤭
2023 am right here listening to this masterpiece . Give thumbs up guys.
Much love
Bongo never fades 2023 🇸🇸 🇸🇸 🇸🇸
Daaaah wap agripina Jackson mjengi big up fans wote tuliopiga necta 2013 mitundu sekondar
Mapenzi wa zamani Ni tamu from Sudan 🇸🇩🇸🇩🇸🇩
Daah kitambo sana huu wimbo..ulinipatia dem wangu wa kwanza
Hivi huyu dem anaitwa nani
Hili goma lilitoka nikiwa kidato Cha kwanza 💯💯🇰🇪
Old is gold.......From Nairobi Kenya 2023/10/5........5:28pm 😁❤💥
Nice that's my Favorite song
2023 and still a hit!
❤❤❤❤ I love that music. I am oromo but no I know iswahil
Unanikumbuka ila tu unaleta ugaidi... love this jam till today! 2020...
Kitambo san
2021, can't get enough of this song.
this song clossed all borders of East Africa.... much love from Rwanda
Walahi nakukumbuka huu mziki back 2008 nikiwa primary class 5
Oooohh my GOD finally I found my lovely song
Thanks Lord🙏🙏🙏
Ila Tu unaleta ukaidii,love u
When your crush 😻 rejects you this song hits different 😢
Ukisikiza hii song unajisikia kurukiana tu wallahi
Uu wimbo naukumbuka nilikua na wiki kama mbili ivi nimezaliwa ulikua unanipa vibe kinoma ndan ya beby show yangu
😂😂😂😂 emb ach bc utan
Like kama bdo unaangalia hili song
2022 nani anauskiza huu wimbo much love
Still watching 2020📣📣📣📣
2020 Dec...just feel like singing this to someone's daughter ✌️❤️❤️...
When bongo was Bongo...big up.
Wanangu wote mnao penda song zilizofanya vizuri kama hii hapa holla..
wakati wa huu wimbo kulikuwa na mapenzi but now generation we were leaving 2022 it's gold digger😪
Wananguu wa 2023 Eeeeee Gonga like Twendwe Sawa na Kigongo Chetu Alfu Isikikize kwa Hisia Hii Ngoma Upate Kukumbuka Japo Mpendwa Wako Mmoja Wa Long Time!!
This were the days of love song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 sai ni kula kumalo 😅😅😅😅😅
I miss my old time best friend Mwanaisha....i don't know where she is in this big world
My songs during high school ...so much love from kenye