Nakumbuka Siku tumesafiri pamoja toka songea kuja dar mwaka 2016 tuliongea mengi kuhusu mziki,maisha na mwisho was safar tukawa kama ndugu,tukaendelea kuwasiliana na kutiana moyo kuhusu maisha..lakini Leo haupo tena sama....R.I.P bro ntakukumbuka daima
Yani zaman kufika 1m view tabu sana mpka 2/2019 waliimba vizur lakin changamoto nyingi hii nyimbo nilikuwa na mwimbia mpenzi sasa hivi ni mke wangu na watoto 2
continue rip sam..you were my favourite and still my favourite artist..and for those who will come across this in 2050 if by chance will still be alive please hit the like to remind me of this masterpiece
Janga la Corona limetukumba lakini wimbo bado unatia moyo Kama unakubaliana nami basi nipe like kwa uwezo wa mungu tutashinda ibilisi Corona kwa pamoja
Daah rest in peace my bro sam ,mziki wako utadumu daima, hasa hii ngoma naikumbuke sana kipindi ndo naingia dar inavuma sana 2010 may your soul rest in eternal peace may God place you in paradise the day of judgement Amen inshaallah!!!
The day they shot the video I was around there..I saw them as i was heading home from school from UKOMBOZI primary school.. I was in standard(class ) 3. like 9 years old. The next day I told some of my friends about it, and they all coudn't take it seriously untill he became a star. Full of reminiscence .... And few knew him he was not a star yet
Rest in eternal peace Sam wa ukweli. I always say 2007 and 2008 were good years for the BONGO FLAVA Because songs like this one, sumu ya mapenzi, lofa, hidaya and many others were released
RIP sweetheart....... nimekumbuka mbaliii.... 2010 ( slopes of Kilimanjaro) now 2019...... 9000km away in Russia. nimekumbuka mbali.... wawawawawa!!! OH LIFE!! thank you God. I'll keep it to myself....I remember all!!! listening to this makes me feel like am watching a film........ RIP. MISS YOU Sam.
My favourite tune until today, lala panapo wema kaka, mziki wako bado watamba hadi leo 2023 japo haupo, yauma sana talanta kama hii kutangulia mbele za haki mapema😭😭
You were a great man,,may ur soul continue resting in peace 🙏🙏,,,we miss u in the industry of music more this song is one of my favourite,,more love from kenya 🇰🇪 we miss you 😢😰
Ni muda Sasa umepita tangu utangulie, ila nimekuja kupitia baadhi ya kazi zako nzuuri ulizowahi zifanya katika industry ya muziki. It's 2021 now rest in peace
Whose here 2024 beat l ukweli ulitesa xna enzi hzo 2010 r.i.p sam turolud uku tena tujuane kw like za kutosha
2024 still a hit
Mgoma zake zinaendelea kuishi😢😢😢
We here
Really good🎉🎉🎉🎉
Tupo hapa
Who is here 2024 listening to this master piece ❤
🙋🏾♂️
Here we come
rest easy bratha sisi huku bado tunasikiliza nyimbo zako ...a great inspiration
tukusanyike hapa piga like kama bado 2023 unasikiliza👊👊👊🇰🇪🇰🇪
Nyimbo kali sana
Nyimbo tamu Sana but continue rest in peace Sam.
rest peacely sam i like ur songs
2020 mpoooo, like zije za Marehemu SAM
Rip brother big hit Hadi leo
@@laifboykadabra1818 nakupenda sana sitakaa kumsahau
😭😭😭
Rest in peace 💔
Wimbo huu nilikiwa naupenda sana hadi sasa r.i.p
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2022
Everlasting masterpiece
just learning from the comments that this guy is no more thats the reason why we don't get great songs like this anymore
2024 still watching
Sina raha will never get old continue resting in peace our beloved Sam😢😢😢 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uyu jamaa tutaishi kumkumbuka 2024 piga like
who is here in 2024 RIP sam
Rest in peace my dear brother. Sisi wakenya tulizipenda nyimbo zako sana
Rip
I will miss him sam the star boy
Rip sam . . majonzi umetuachia
Tena sana
I miss him
Jmn like bc kam unatazama mpk 2020 ,, nyimbo Kali sana ya marehemu Sam daaaa!!!
Da Sam aliniuma Sana kipindi ndo nakuja uku Oman ndo alikuwa amekufa maskin nilikuwa namkubali tangu nyimbo yake hii ya Kwanza
Na uyo dada mzur nilikuwa nampendaga
Kuna kaka nilikuwa namuekekeaa Kuna nyimbo naipenda na we ukiisikia lazima, usipende kwel Kuna, sehem alivyosikia akaipenda Sana akaja, anaimba
Jmn me mpaka sasa naangaria naupenda sana huu wimbo
I will never get bored of this song ❤️ loved the way Sam poured his heart out to express himself to the world...Rest easy 😔🇰🇪🇰🇪
ghai aki kwani he is dead
Hamwezi kujua sababu siyo msanii wenu nyie wakenya kwa wizi hamjambo kutuibia wasanii wa Tanzania
@@coleilukcole3816 Yes he died ,THE DAY AFTER I SAW HIS INTERVIEW ON TV ANNNOUNCING THAT HE WILL BE BACK😭😭😭😭😭😭😭😭
hadi leo bado yupo, the message remains. 2019 naingia na huu wimbo 2020
Nakumbuka Siku tumesafiri pamoja toka songea kuja dar mwaka 2016 tuliongea mengi kuhusu mziki,maisha na mwisho was safar tukawa kama ndugu,tukaendelea kuwasiliana na kutiana moyo kuhusu maisha..lakini Leo haupo tena sama....R.I.P bro ntakukumbuka daima
Kumbe was nyumban
namkumbuka xan
R I P
Pole sana kikubwa kumuombea.dua
Kumbe wa songea masikin kaz yamungu
Piga like kama bado unamkubali marehemu star 2018/2019
Mwenyezimungu ailaze lohoyake mahali pema pepon ameen
donovan brili whaaaaat, Thurs guy is dead??
Miss you Sam daaaaa mungu fudi😭😭😭😭😭
Nice
donovan brili sana
2021 and still watching this song
Rest easy champ🙏
yani bc
I dont know if anyone cares but last night I hacked my girlfriends Instagram password by using Instablaster.
😂😅
Listening to this in 2023. Sam the legend. Heaven gained a great musician.
Yani zaman kufika 1m view tabu sana mpka 2/2019 waliimba vizur lakin changamoto nyingi hii nyimbo nilikuwa na mwimbia mpenzi sasa hivi ni mke wangu na watoto 2
Wow! That's nice
Seriously
😄😄😄
Hope bado mnakumbushana kwenye mlitoka kwa kumwimbia huu wimbo
Said hussein daaah. Mungu awalinde bro
Alikuwa na urefu fulani na body fulani amazing aisee. Bonge la handsome yaani. rest easy, its hard to die 😭😭😭! Gone too soon
Kaka Sam sauti yako umemuachia nani? Bado tunakukumbuka Napenda sana nyimbo zake huyu kijana. From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 23/07/2024
You know this song hits differently when you know Sam is no more..Rip Sam praying that you're in a better place
IWR
Sometimes, somewhere in Singapore, singidani, with my friend Suda 😭😭😭life ends so quickly!
Tru😢
R.I.P Brother goma bado tunasikiliza
Vp
Kabisa
Nakupenda sana
Mpaka leo 2019 like apooo
mmab
I'm in Canada
I m in oman
Lee Massawe Kizur kinadum had leo
Kabix mamy
Listening to in 2024...Good music is Gold❤
may he RIP
This man was a legend, I'm from 254 and I love his songs. Rest in peace Sam 😭
Death is so cruel to take this talent rest in peace Sam your songs will still ring in my head
R.i p sam waukweli huu wimbo utaishi mpaka dunia itakapofika ukingoni
Too painful we did lost such a star
Pia na dhambi zake zinaendelea
I didn't know he passed away
Kweli brother
@@rashdhamdun hata zako pia zitaendelea usijisahaulishe
Nani ame rudia kui sikiliza iyi nyimbo kama mimi ku toka DRC congo 🇨🇩 ♥️ mwaka 2024
Daah dundo linaishi mpk saiv REST IN POWER KING SAM👑 ngonga like 👍 tumuenzi pamoja
Like's za 2020, let Sam continue resting in peace
2086 this were our love songs.still sounds great 2022❤️❤️
The sweetest love song I have ever listened to that made me feel loved. May your sweet soul RIP.
continue rip sam..you were my favourite and still my favourite artist..and for those who will come across this in 2050 if by chance will still be alive please hit the like to remind me of this masterpiece
Dar R .I.P bado tunakukumbuka sana2019
Bado tumapenda nyimbo zako
Swa apo
R.I.P sam....
Kazi zako tutazisikiliza broo...
Swahili to the world.. 🇹🇿🇹🇿🌍🌍
Gone but never forgotten... Always in my heart... RIP DEAR ONE
Janga la Corona limetukumba lakini wimbo bado unatia moyo Kama unakubaliana nami basi nipe like kwa uwezo wa mungu tutashinda ibilisi Corona kwa pamoja
Nani hanatazama 1 January 2019 Rip Sam
Am here.
tupo ndugu
more greetings from Ankara turkey i like tz songs,RIP sam we love you but God loves you more.
this was and will always be a big song. ..2019
Sam kaaga? Hofu
Wanao mkubal sami wa ukweli mpak 2020 gongeni lik😍😍😍rip
Rest in peace Star ,2023 but still listening to this lovely song.Mungu akufanyie wepesi mbele za haki bro
Nashukuru mungu nyimbo za tuliozaliwa miaka,ya90 ilikua na mafunzo na ujumbe mzuri r.i.p kama naww wa mzaliwa miaka ya 90 gonga like tujuane
Daah rest in peace my bro sam ,mziki wako utadumu daima, hasa hii ngoma naikumbuke sana kipindi ndo naingia dar inavuma sana 2010 may your soul rest in eternal peace may God place you in paradise the day of judgement Amen inshaallah!!!
Amiri Ramadhan mamb
Nini ilimuua...mi mkenya sikujua kifo chake
nice
Sam we loved you your lyrics will still deep inside our hearts big up
RIP sam
am kenyan but i love ur songs real rest in peace sam may God blees u
The day they shot the video I was around there..I saw them as i was heading home from school from UKOMBOZI primary school.. I was in standard(class ) 3. like 9 years old. The next day I told some of my friends about it, and they all coudn't take it seriously untill he became a star. Full of reminiscence .... And few knew him he was not a star yet
2023...still🔥 still listening...continue resting in peace man🙏🏼❤
Beautiful song,amazing talent,still my favourite song ,rest in peace bro
This reminds me of my first love.....rest in peace Sam. I will leave to remember you
Rest in eternal peace Sam wa ukweli. I always say 2007 and 2008 were good years for the BONGO FLAVA Because songs like this one, sumu ya mapenzi, lofa, hidaya and many others were released
Really bro
Km tuko pamoja 2019 ebu gonga like
💔R.r.p😭😭😭😭
Sana
RIP sweetheart....... nimekumbuka mbaliii.... 2010 ( slopes of Kilimanjaro) now 2019...... 9000km away in Russia. nimekumbuka mbali.... wawawawawa!!! OH LIFE!! thank you God. I'll keep it to myself....I remember all!!! listening to this makes me feel like am watching a film........ RIP. MISS YOU Sam.
bella ferrer was he your boyfriend?
@@thomasondicho7425 self explanatory hehee
Asee R I P
I'm old man but love this song very much! Rest easy our young boy gonna to soon.
This song can't get old, was such a hit...
2022 and still listening. R.i.paradise Sam
Who is here 2019 October
Am here
2022 and listening to my forever favourite...continue resting in peace my love🥰🥰
Nipo form 1 2010. Boyfriend wangu ananitongoza na kawimbo.. 🙌❤️❤️ leo 26.04.2024 muungano day nimekumbuka mbali. Rip sam wa ukweli.
My favourite tune until today, lala panapo wema kaka, mziki wako bado watamba hadi leo 2023 japo haupo, yauma sana talanta kama hii kutangulia mbele za haki mapema😭😭
Rest in peace bro sam 2023we still watching your songs
Gonga like 2019 mwezi wa nne
Naeza kumbuka dhat tyme nilikua primary ad now am steal in love with dhis song
Rip bro me mkenya lakn niliposikia kifo chako machozi yalinitoka kwa kupenda nyimbo zako_ pumzika na amani kaka
You were a great man,,may ur soul continue resting in peace 🙏🙏,,,we miss u in the industry of music more this song is one of my favourite,,more love from kenya 🇰🇪 we miss you 😢😰
What a voice! What a message!! Continue resting in peace brother
when music was music
zero nudes
no fancy cars
just pure talent 💯❤️✌️I miss our millennial generation of music 🇰🇪 GNzs maumbwa
🇰🇪 2023 still on hit.. continue resting in peace brother 🙏
Nan yupo anusikiliza mpaka january 2020 like timbiane huenda tukawa wapenz
Comment yes tuyajenge
Sweeeeeet song 2020
This song was my favorite and it is still one my favorites ❤️
RIP bro 🙏
2021,gonga like na comment if u still listening bongoo kale music, big up kwa Sam waukel❤️❤️❤️
Nakumbuka sana samu kunakampuni moja nilikuw nafanya kazi muzik huu nd ulivuma ssna
Fan 001 wa sam outta 254....rest in peace
Ely-alex Marlaw nini ilimuua bro?
Jessie Mangala Nilisikia aliumwa tu ghafla akiwa studio akirecord ngoma yake...kupelekwa hosi akawa tayari ashafariki
Duud
R I P sam wa ukweli tuta kukumbuka kwanz zako nzuli mungu akulaze mahalipema peponi amen!!
Akh Sam WA ukweli tunakumiss,enyewe continue resting in peace , love your songs
RIP my name sake 😭 tulikupenda sana wakenya...nyimbo zako zitaishi kuvuma
thanks you left us with this beautiful song,. RIP
Huu wimbo unanikumbusha mwanzoni mwa miaka ya 2010 nilikuwa naishi Ukerewe-mza, wimbo huu ulipendwa sana na kaka yangu PETER D. KABU (RIP)!
Ni muda Sasa umepita tangu utangulie, ila nimekuja kupitia baadhi ya kazi zako nzuuri ulizowahi zifanya katika industry ya muziki. It's 2021 now rest in peace
My favorite artist in my childhood RIP sam the one of the best song
Continue resting in peace bro... your songs always leaves amark In people's heart....2022 still watching...from 254
Upumzike kwa aman Sam wa ukweli .
Aika song
Yn Sam jmn
Pumzika kwa amani broo nyimbo zako mpaka sasa nasikiliza nazikubali Sana tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi 2011 hapa R.I.P samu wa ukweli
Rukia mshamu best yangu nakukumbuka sana nikisia huu wimbo enzi hizo umoja secondary
2020 still here RIP sam
😭😭😭
😭😭😭
Why are Master pieces always under rated? RIP msanii sam
Da nirikua namkubari samu waukuer sema mungu kampenda zaidi duaa
Ulinyeyua kinwa chako ukasema wanipenda saii wanizengua😭😭😭 twende pamoja 2021.gonga like hapo. RIP SAM
This song will forever be ♥️♥️may he rest in peace..God loved him more... JUNE 2020..♥️♥️
R.I.P.Pumzika salama ..Kira siku kwa miaka nakusikiliza ...
mm Si mgeni wa mapenzi mwenzakooo
Big up Sam
2023❤️
Mungu amlinde Sam popote alipo. Azidi kuwapa nguvu familia na jamaa wake pia
We will miss u dearly ...may your soul continue restvin eternal peace....😭😭😭😭😭still watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Rest well brother. You really blessed our streets with good music. Kenyans really loved you.
RIP brother pumzika kwa amani ngoma zako bado zinaishi😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
me simgeni wa mapenzi mwenzakooo maumivu nayatambua...kama ushawahi kuhumizwa 2020 gongaaa
2019 bado naskiza hili goma na lipo vizuri *R.I.P SAM*
Waa sam mungu akupokee haupo duniani
Sam Ata ukiwa kaburini bado nakukubali tu bro what a wonderful voice
Wimbo nzuri, naupata vipi jameni
Bado tunaskilza mziki mzuri 10102020...likes zenu wadau
Rest in peace Sam..Good work done ..listening in october 2019
Mungu ailaze roho yako pahali pema peponi
2024 here reliving the good memories 😮😢😊 RIP sam