MISHKAKI YA MAINI NA UROJO WA UKWAJU
Vložit
- čas přidán 12. 10. 2020
- Mahitaji
Maini kiasi 700 gms
Mafuta ( kama utapenda)
Bizari za kurost
Kijiko 1 cha kula bizari ya uzile
Kijiko 1 cha kula pilipili manga nzima
Kitunguu thom kiasi chembe
Tangawizi mbichi ukubwa wa kidole cha gumba
Majani ya nanaa ( kama utapenda)
Ndimu au limao
Mafuta ya zeti au yoyote kjk 1 kikubwa au zaidi
Chumvi kiasi
Kjk 1 cha kulia mchanganyiko wa
Bizari na pilipili manga
Urojo wa Ukwaju
Roweka ukwaju kiasi gram 50-70 kwenye kikombe 1 cha maji ya moto
½ kikombe cha urojo wa ukwaju
Chembe 2-3 za kitunguu thom
Kipande chembamba cha tangawizi mbichi
½ kjk cha chai chai bizari ya ya pilipili manga
Chumvi kiasi
Sukari ½ kjk cha chai
Nyanya 1 kubwa ( ilochemshwa)
Maji ya ndimu au limao ½ kjk cha chai
Pilipili mbich nyekundu au kijani 1 au zaidi
ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE CAN BE FOUND ON THIS LINK • CALF LIVER MISHKAKI WI...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/HscgMbIVHwk/video.html
Salam alekum mashaallah ❤
Mashalla mungu hakuweke hunajuwa kupika
Usipotee dadangu yummy
Thanks.mm sio mpenzi wa miskak ya maini lkn nitajarib km ulivofanya ww maana inanukia mashallah,
Maashallwah mungu akupe afya habibty
Cyapendi maini lakini nitajaribu kuyapika mana yamenivutia sana sana asante habibty nakupenda sanaaaaa
Ahsante sana
Aah mashaallah mitamu hiyo
V nice n awesome results in Beef liver mishkakii. Plus Ukwajuu mix souce. Ty dear Aroma Zanzibar. I'm pleased n happy watching ur post from TANGA.
Mashallah nzuri
Asante sana mashalla
Mashallah nice umenifnya nikapike tuu na mm 😋😋 allah barik🤲🏽
Ma Shaa Allah!!! Mishkaki inaonesha c ya kawaida inavutia sana. Jazaka llahu khair hbbti
wooooww yummmmy😋👍
Ma shaa Allah ni 😋😋 mashkooora ukhty alghalya👍🏻
Mashallah nimependa habibty
mashallah nimeitamani...shukrani sana
Mashaallah shukran sana 🙏 aroma of zanzibar
Asante habibty kwa mapishi mazuri mazuri😍
Keep going 👈💞💞💞💞👍
MashaaAllah hapa nala mpaka nalala😋😋 InshaAllah nitajaribu mummy
Waalekum salaam habibty
Yummy😋😋😋 inavutia sana👌🏾👌🏾👌🏾
Mashaallah
MashaAllah MashaAllah ngoja na mm niijaribu maana yakaa sana shukran habbty
Waalakum salam mashallah inaonesha nimitamu sana tutajaribu Inshaallah Allah akubarik
Shukraan saana💕
MASH ALLAH TABARAKA ALLAH
Mashallah
Mtamu mtaaamu sannnaaa nakupenda wallah🥰
Shukran jazylah
Yummy sis
Asalam aleikum sis, It's so yummy masha Allah. At least you have inspired me to love cooking. Allahu bariq in Sha Allah
Thank you so much
🤤🤤🤤🤤😋😋😋😋
Superb Mouthwatering Thank you
Most welcome 😊
Asante kwa kutufundisha mapishi mazuri 😘
Shukran Sana habibty Allah akubarik
Amin
Mmmh! Wallahi! Mate😋 yananitoka...kuona uwo urojo wa ukwaju!👍❤ asante sanaaa,my dear kwa kutufundisha mapishi!
Pole kwa kuteseka and thank you for your support😍
😂😂😂😂 asantee sanaa,my dear Fathiya kwa kunipa polee..mie mshabik wako mkubwa!👍 sikosi kuangalia mapishi yako,tuko pamoja sanaa,😍 inshaallah! Wallahi nakupenda,❤ maana umenifundisha mapishi mengi..nampikia mume wangu ananisifia!
Waooh 😋thank you aroma
Welcome 😊
Mashallah looks very delicious.am gonna make this today inshaAllah 😋😋
Hope you enjoy
Really love your cooking lessons,God bless the work of your hand lots of love from Kenya
Thanks so much
😋😋
Unaweza kufanya hivyo kwa mishkaki ya nyama ya ng'ombe
Ndio unaweza, nimeonyesha kwenye videp ya Zanzibar Mix part 3
Shukran sana pia na wewe❤ 🙏🏻
Please insadiye subscribe shukrn
MashaAllah napenda mno mapishi yako
Shukran
Shukran
HAKIKA HUNA MPINZANI,ALLA AKUJAALIE USHINDI WA HII YOU TUBE
Shukran lakini Mimi sishindani na mtu
Aroma naomba utuletee jinsi ya kutengeneza juice ya ubuyu please, ninao unga wa ubuyu hapa lkn kila nikitengeneza inakua mbaya 😭😭please please please my sister 🙏
Darling mie sina huo ubuyu intabidi nitafute kwanza
@@aromaofzanzibar inshaalah ubarikiwe sana dear 😊😘
Mashallah