Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao. Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu… Hilo soko lipo kama dampo
Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
Haya mamb ndo tunataka Sasa au awe rais au bc 🤣🤣
Mwehu huyoo kalewa
Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam
Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐
Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.
FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤
Safi sana kazi nzuri,
Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu
Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.
Chalamila ni kiboko.hongera sana❤
Kanywe soda mh nitalipa 💪👍
Pigia kazi RC narudia piga kaziiii
Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.
Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana
Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar
Wapelekee moto mkuu
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea
Safi sana mkuu
Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi
Wende jela au mahakamani mboma umepotoliza kiongozi😂😂3
Ayo tv safi sana!!
Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba
Kwani huyo dikteta JPM yupo wapi.
Na kwa nini liwe jembe Lake?
Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.
Salute kwako mkuu
BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢
Kazi iendelee mpaka kieleweke
Fanya kazi yako bila hofu mh
Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
Mungu akutangulie piga kazi…..
Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza
Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu
RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi
Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi
Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.
🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa
Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo
Hapo umenena
Kweli kabisa
Kweli
Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa
Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu
Acha kumbuka muuwaji dikteta ni sawa na kukiota kifo chako
Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu
Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko
Safi sana kuyaona hayo
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka
Huyu mwamba kachafukwa kweli
Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..
HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.
5:30
Kuwait ma hekima
Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja
Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.
Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki
Maneno mengine makali ndo misingi ya abari
uyu afai kuwa kiongozi ana busara
Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko
Nyie munapend busara kweli
Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn
Tanzania inatawalika tuuu !
tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby
Huyu jamaa hafai kuwa kiongoz gan anawatukana wanachi jipime
Mmm ngoja nipite tu😊😊
Hii no serikali wa Afrika wanataka
Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.
@@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.
Unafaa Kuwa Rais wa Tanzania
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?
@@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!
Yuko sawa sanaaa❤
najiona mimi nkijaa,
Wanyooshe
dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo
Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)
chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi
Nan uyo
Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana
Linafaa kuwa Rais la 2030
Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hii
Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana
Safi
Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu
Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu
Tenda kazi kuwa na hekima km magufuli. Serekali ni alla sio ww mtukanifu. Ukikata roho tu huna lolot.
Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
Hizi kauli ni mbaya sana,
Hii nchi Mungu tusaidie.
Halafu kwanini umeme unakatika katika? Dar! Kama ndiyo tunapata uhuru?
Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake
A lot of indimidatioin
Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab
HII NCHI NI KILA MTU ANAWEZA KUAMUA LOLOTE! MMMMM!.
Leo chalamila kanywa mbege nn
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao.
Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu…
Hilo soko lipo kama dampo
Wewe mjinga mkubwa hatukani watu.
Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako
Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali
Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂
Hhhhh
Hahahaaaaaa kabisa aisee
Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .
@@user-sl8bu3we1m jmn ww jeur duh 😃😃😃😃
Acha inyeshe tuone wapi panapovuja😢😢😢
Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.
Mh
🙊🙊👏👏👏👏👏👏👏
Si kwa vitisho hivyo 😢😢
Kwahiyo nyie mnao shangilia kama mzaziwako anatukanwa mnalidhika akili kweli mali bola ukose mali upate akili
Yaani wabongo wanashangiliaga kila kitu ata angesema mavi yanariwa wangeshangilia tu
Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
milard ayo nanyinyi mnazingua sana yaan mnakatakata sauti utadhani ameongea matusi au lengo lenu ni nini?