Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao. Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu… Hilo soko lipo kama dampo
Alie watuma kwenda kuzomea ndo anawambia na mkazomee Sasa hata kwenye familia baba akiwa mpole zalau waga zinazidi mm binafisi napenda viongozi wa namna hii watanzania wanamazoea Sana mmeona laisi nimpole wamesha anza kumtukana yani watu hawana jema uwe mpole nishida ukiwa mkali nishida vile vile bola iwe hivyo hivyo.
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
huyu chalamila nikama mwanri hawafai kua viongozi huyu kweli ni mtawala kama irivyo tabia ya ccm ni watawala sio viongozi hawa ccm mtaondoka siku moja tu
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
Haya mamb ndo tunataka Sasa au awe rais au bc 🤣🤣
Mwehu huyoo kalewa
Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐
Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam
Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.
Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.
Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu
Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar
Pigia kazi RC narudia piga kaziiii
Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.
Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.
Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi
Wende jela au mahakamani mboma umepotoliza kiongozi😂😂3
FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤
Chalamila ni kiboko.hongera sana❤
Kanywe soda mh nitalipa 💪👍
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
Safi sana kazi nzuri,
BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢
Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii
Mungu akutangulie piga kazi…..
Salute kwako mkuu
Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza
Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa
Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo
Hapo umenena
Kweli kabisa
Kweli
Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba
Kwani huyo dikteta JPM yupo wapi.
Na kwa nini liwe jembe Lake?
Wapelekee moto mkuu
Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu
Kazi iendelee mpaka kieleweke
Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.
Safi sana mkuu
Fanya kazi yako bila hofu mh
🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa
Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu
Acha kumbuka muuwaji dikteta ni sawa na kukiota kifo chako
RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu
Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko
Ayo tv safi sana!!
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?
@@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!
Yuko sawa sanaaa❤
Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa
Huyu mwamba kachafukwa kweli
Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka
Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.
Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja
Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana
Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki
Maneno mengine makali ndo misingi ya abari
Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu
Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.
@@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.
Tanzania inatawalika tuuu !
chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi
uyu afai kuwa kiongozi ana busara
Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko
Nyie munapend busara kweli
Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao.
Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu…
Hilo soko lipo kama dampo
Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake
Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂
Hhhhh
Hahahaaaaaa kabisa aisee
Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .
@@user-sl8bu3we1m jmn ww jeur duh 😃😃😃😃
Safi sana kuyaona hayo
Hii no serikali wa Afrika wanataka
Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana
Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo
Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi
5:30
Hii nchi Mungu tusaidie.
Mmm ngoja nipite tu😊😊
Leo chalamila kanywa mbege nn
Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab
Linafaa kuwa Rais la 2030
Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali
Yaani wabongo wanashangiliaga kila kitu ata angesema mavi yanariwa wangeshangilia tu
Hizi kauli ni mbaya sana,
sasa huyu chalamila yeye anatak nani amuogope pia anasema hakun wa kupanda kichwa chake atambue cheo ni zamana aongee kwa lugha ya staa
Alie watuma kwenda kuzomea ndo anawambia na mkazomee Sasa hata kwenye familia baba akiwa mpole zalau waga zinazidi mm binafisi napenda viongozi wa namna hii watanzania wanamazoea Sana mmeona laisi nimpole wamesha anza kumtukana yani watu hawana jema uwe mpole nishida ukiwa mkali nishida vile vile bola iwe hivyo hivyo.
Kuwait ma hekima
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka
Nan uyo
Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako
hii
yaan sku akitumbuliwa atajiona mavi yeye anajiona kuw ni yuko juu sana
huyu chalamila nikama mwanri hawafai kua viongozi huyu kweli ni mtawala kama irivyo tabia ya ccm ni watawala sio viongozi hawa ccm mtaondoka siku moja tu
Bwege wewe hata kuandika kwako ni mgogoro
Si kwa vitisho hivyo 😢😢
milard ayo nanyinyi mnazingua sana yaan mnakatakata sauti utadhani ameongea matusi au lengo lenu ni nini?
Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
Huyu jamaa hafai kuwa kiongoz gan anawatukana wanachi jipime
Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)
Acha inyeshe tuone wapi panapovuja😢😢😢
Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..
🙊🙊👏👏👏👏👏👏👏
Mbona kiongozi unatukana
Mmmmh makonda yuko wapi ndugu zangu mkuu uko vizur ila kuna misstake mahali twende taratibu
Safi
HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.
tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby
Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu
Tuna viongozi wa ajabu Sana tz
Kila kitu shangwe Bongo nyoso 😂😂😂
issue ni kwamba hata hizo halmashauri hawakuli hizo pesa wakikusanya?yani shida ipo palepale tuwe waadirifu hii ni nchi yetu iendelee
Hapo hakuna cha staha ya maneno
HII NCHI NI KILA MTU ANAWEZA KUAMUA LOLOTE! MMMMM!.
najiona mimi nkijaa,