KIVUMBI WALIOMTISHIA DC, RC CHALAMILA AAGIZA WASAKWE "NITAWAFYATUA, HAKUNA WAKUPANDA KIPARA HIKI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 08. 2023

Komentáře • 253

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 10 měsíci +28

    Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h Před 10 měsíci +19

    Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před 10 měsíci +4

    Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci +3

    Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci +8

    FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤

  • @AmidaKomba
    @AmidaKomba Před 9 měsíci +1

    Safi sana kazi nzuri,

  • @user-rk5jf2lq3h
    @user-rk5jf2lq3h Před 10 měsíci +2

    Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu

  • @fathiliamakuka4858
    @fathiliamakuka4858 Před 10 měsíci +6

    Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 měsíci +1

    Chalamila ni kiboko.hongera sana❤

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 9 měsíci +1

    Kanywe soda mh nitalipa 💪👍

  • @user-dz1lo1nx1w
    @user-dz1lo1nx1w Před 10 měsíci +5

    Pigia kazi RC narudia piga kaziiii
    Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.

  • @husseinally3015
    @husseinally3015 Před 10 měsíci +4

    Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana

  • @kitejamayunga7645
    @kitejamayunga7645 Před 10 měsíci +6

    Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar

  • @user-rk5jf2lq3h
    @user-rk5jf2lq3h Před 10 měsíci +1

    Wapelekee moto mkuu

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Před 10 měsíci +2

    Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před 10 měsíci +3

    Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 10 měsíci +2

    Safi sana mkuu

  • @edwinmachange6607
    @edwinmachange6607 Před 10 měsíci +2

    Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před 5 měsíci

    Ayo tv safi sana!!

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Před 10 měsíci +5

    Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba

  • @user-ln5zv9to6e
    @user-ln5zv9to6e Před 10 měsíci +1

    Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.

  • @josephkaunga8014
    @josephkaunga8014 Před 10 měsíci +2

    Salute kwako mkuu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 10 měsíci +8

    BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢

  • @fanuelmpesa3484
    @fanuelmpesa3484 Před 10 měsíci +6

    Kazi iendelee mpaka kieleweke

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před 10 měsíci +1

    Fanya kazi yako bila hofu mh

  • @barakasandey1980
    @barakasandey1980 Před 10 měsíci +15

    Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Před 10 měsíci +4

    Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Před 10 měsíci +10

    Mungu akutangulie piga kazi…..

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 10 měsíci +3

    Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 Před 10 měsíci +3

    Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Před 10 měsíci +2

    Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 10 měsíci +3

    Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu

  • @salumukimbanga2495
    @salumukimbanga2495 Před 10 měsíci +1

    RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m Před 8 měsíci

    Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi

  • @iddimultano9478
    @iddimultano9478 Před 10 měsíci +4

    Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.

  • @daudedson4520
    @daudedson4520 Před 10 měsíci +2

    🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Před 10 měsíci +7

    Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo

  • @edwardkongo410
    @edwardkongo410 Před 10 měsíci +1

    Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před 10 měsíci +2

    Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Před 10 měsíci +4

    Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 10 měsíci

      Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Před 9 měsíci

    Safi sana kuyaona hayo

  • @LaurentMkolea-rh8sh
    @LaurentMkolea-rh8sh Před 10 měsíci +2

    Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před 10 měsíci +2

    Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 Před 10 měsíci +5

    Huyu mwamba kachafukwa kweli

  • @user-se3dl4sx2u
    @user-se3dl4sx2u Před 8 měsíci

    Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 5 měsíci

    HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.

  • @ESTgroup474
    @ESTgroup474 Před měsícem

    5:30

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q Před 5 měsíci

    Kuwait ma hekima

  • @MichaelEdwrdi-jp5ve
    @MichaelEdwrdi-jp5ve Před 10 měsíci

    Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 Před 10 měsíci +1

    Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 Před 10 měsíci +3

    Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki

    • @alenialex6941
      @alenialex6941 Před 10 měsíci

      Maneno mengine makali ndo misingi ya abari

  • @eliannko
    @eliannko Před 10 měsíci +3

    uyu afai kuwa kiongozi ana busara

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Před 10 měsíci

      Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 Před 10 měsíci

      Nyie munapend busara kweli

    • @user-eg3fg3ic9q
      @user-eg3fg3ic9q Před 5 měsíci

      Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Před 10 měsíci +2

    Tanzania inatawalika tuuu !

  • @patrickjohn4135
    @patrickjohn4135 Před 9 měsíci

    tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Před 9 měsíci

    Huyu jamaa hafai kuwa kiongoz gan anawatukana wanachi jipime

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Před 10 měsíci

    Mmm ngoja nipite tu😊😊

  • @ElisaLuisMarengula-wg9ul
    @ElisaLuisMarengula-wg9ul Před 10 měsíci +1

    Hii no serikali wa Afrika wanataka

  • @isaacndashuka5959
    @isaacndashuka5959 Před 10 měsíci +8

    Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Před 10 měsíci +2

      Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.

    • @emanuelayubu5021
      @emanuelayubu5021 Před 10 měsíci

      watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Před 10 měsíci

      @@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.

  • @ElifurahaLaizer-lj7ed
    @ElifurahaLaizer-lj7ed Před 5 měsíci

    Unafaa Kuwa Rais wa Tanzania

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Před 10 měsíci +10

    Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!

    • @emmykundy4273
      @emmykundy4273 Před 10 měsíci

      Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 Před 10 měsíci

      @@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!

    • @isabujoisabujo1214
      @isabujoisabujo1214 Před 9 měsíci

      Yuko sawa sanaaa❤

  • @bouzartbc5641
    @bouzartbc5641 Před 9 měsíci

    najiona mimi nkijaa,

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Před 9 měsíci

    Wanyooshe

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 10 měsíci +1

    dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo

  • @EdesPagiel-dh4ls
    @EdesPagiel-dh4ls Před 9 měsíci

    Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Před 10 měsíci +1

    chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Před 10 měsíci

    Nan uyo

  • @dignapetro2903
    @dignapetro2903 Před 10 měsíci +1

    Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana

  • @dynamicplatform2102
    @dynamicplatform2102 Před 10 měsíci

    Linafaa kuwa Rais la 2030

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 10 měsíci +1

    Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @tinolutonja8932
    @tinolutonja8932 Před 9 měsíci

    hii

  • @user-cx6xt4pm8u
    @user-cx6xt4pm8u Před 10 měsíci +1

    Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana

  • @rhodapyuza6053
    @rhodapyuza6053 Před 10 měsíci

    Safi

  • @feisalseif6488
    @feisalseif6488 Před 8 měsíci

    Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu Před 10 měsíci +1

    Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu

  • @MozaAly-st8fl
    @MozaAly-st8fl Před 9 měsíci

    Tenda kazi kuwa na hekima km magufuli. Serekali ni alla sio ww mtukanifu. Ukikata roho tu huna lolot.

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 9 měsíci

    Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Před 8 měsíci

    HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Před 10 měsíci

    Hizi kauli ni mbaya sana,

  • @reginas1832
    @reginas1832 Před 9 měsíci

    Hii nchi Mungu tusaidie.

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před 9 měsíci

    Halafu kwanini umeme unakatika katika? Dar! Kama ndiyo tunapata uhuru?

  • @user-re5fe9si4v
    @user-re5fe9si4v Před 9 měsíci

    Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Před 10 měsíci +5

    Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake

  • @talktruth9900
    @talktruth9900 Před 9 měsíci

    A lot of indimidatioin

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Před 10 měsíci

    Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo Před 9 měsíci

    HII NCHI NI KILA MTU ANAWEZA KUAMUA LOLOTE! MMMMM!.

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před 10 měsíci +1

    Leo chalamila kanywa mbege nn

  • @emmykundy4273
    @emmykundy4273 Před 10 měsíci +5

    Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao.
    Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu…
    Hilo soko lipo kama dampo

  • @MozaAly-st8fl
    @MozaAly-st8fl Před 9 měsíci

    Wewe mjinga mkubwa hatukani watu.

  • @kiwangasaidi6284
    @kiwangasaidi6284 Před 9 měsíci

    Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako

  • @cosein
    @cosein Před 10 měsíci

    Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali

  • @johnzege209
    @johnzege209 Před 10 měsíci +3

    Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Před 10 měsíci

      Hhhhh

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Před 10 měsíci

      Hahahaaaaaa kabisa aisee

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Před 10 měsíci +1

      Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Před 10 měsíci

      @@user-sl8bu3we1m jmn ww jeur duh 😃😃😃😃

  • @sikalumea9028
    @sikalumea9028 Před 10 měsíci +7

    Acha inyeshe tuone wapi panapovuja😢😢😢

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 2 měsíci

    Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.

  • @jrngosha1216
    @jrngosha1216 Před 10 měsíci

    Mh

  • @aleycekibaho9645
    @aleycekibaho9645 Před 10 měsíci

    🙊🙊👏👏👏👏👏👏👏

  • @majabumbaga2349
    @majabumbaga2349 Před 10 měsíci

    Si kwa vitisho hivyo 😢😢

  • @salama1113
    @salama1113 Před 8 měsíci

    Kwahiyo nyie mnao shangilia kama mzaziwako anatukanwa mnalidhika akili kweli mali bola ukose mali upate akili

  • @mpigadaud4180
    @mpigadaud4180 Před 10 měsíci

    Yaani wabongo wanashangiliaga kila kitu ata angesema mavi yanariwa wangeshangilia tu

  • @frankmlinda1181
    @frankmlinda1181 Před 10 měsíci

    Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 10 měsíci

      Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi

  • @kahamabimahospital4290
    @kahamabimahospital4290 Před 10 měsíci

    milard ayo nanyinyi mnazingua sana yaan mnakatakata sauti utadhani ameongea matusi au lengo lenu ni nini?