Video není dostupné.
Omlouváme se.

SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 02. 2020
  • SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
    MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuhakikisha wanapitia upya usajili wa vikundi au wachungaji wanaoendesha makanisa ili kujihakikishia kama kweli wanafanya kazi zao kihalali..
    Selasini ametoa hoja hiyo kufuatia matukio mengi ya kushangaza yaliyotokea hivi karibuni yakiwahusisha wachungaji likiwemo tukio la watu 20 waliofariki mkoani Kilimanjaro wakigombea kukanyaga mafuta ya mchungaji Mwamposa..
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 468

  • @habibukhamis5589
    @habibukhamis5589 Před 4 lety +13

    Allah nijalie mwisho mwema wewe ndie unaepaswa kuabudiwa pekeako 🙏

  • @denisijosephat2361
    @denisijosephat2361 Před rokem +1

    Asante kwa maneno yako maana yesu anahubiriwa ktk roho na kweri sio ktk mahi na mafta.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 4 lety +2

    Amen amen. Kazi ya Mungu siyo ya kiganga. Kinacho tajiwa jina la Yesu kimesha kua takatifu. Tbs yetu ni Roho Mtakatifu. Amani posipo watumishi wa Mungu akuna. Hao wanaojita awatumishi uku wanachochea watu mabaya ukumu ipo juu yao. Uko kwenu rombo tumewamsha wengi kwa nguvu ya Mungu. Na hata wewe upo leo kwa ajili ya maombi ya hao watumishi unao wasema vibaya. nikweli mimi ni mwombaji sana lakini sijawa kumuombea mtu akapokea hela ,bali nimewaombea wengi wakapokea uponyaji na kubarikiwa kazi zao na kufunguliwa vifungo mbalimbali katika maisha. ( Neno moja toka kwa Mungu tupendane). Mh karibu nyumbani Ccm kumenoga. Mungu atusaidie. Amen..

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 Před 4 lety +8

    Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO LA MUNGU wala kumhofia MUNGU lkn mtu wa ROHONI anaweza siasa ,na kama ni imani potofu anajua mtu aliyena ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu , inaitwa siHASA bali HASA ni NENO LA MUNGU

  • @nurusunday3547
    @nurusunday3547 Před 4 lety +9

    pongezi kubwa kwako mweshimiwa Selasini. msema kweli mpenzi wa Mungu.

    • @ephraimmwandemange5083
      @ephraimmwandemange5083 Před 2 lety

      Imeandikwa nyakatiza mwisho wengi watakuja kwa jina language na watafanyà miujiza mingi kupitia jina la yesu jihadharini nao

    • @janejohn2060
      @janejohn2060 Před rokem

      Shida mko gizani hamuoni wala jua kinachoendelea

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Před rokem +2

    Mungu akulinde baba aione hekima iliyo ndani yako

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Před 4 lety +16

    Waacheni watu wapige neno kama wa kweli kama wa uongo wote waacheni ila mwisho ukifika kitaeleweka upi mchele zipi pumba

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj Před 5 dny

    Mungu akusaidie sana mtumishi wa Mungu alafu kiongozi

  • @generosemandari5537
    @generosemandari5537 Před 4 lety +17

    Ewe mwenyezi mungu naomba uzidi kumtiya nguvu mtumishi mwamposa

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 Před 4 lety +15

    Mungu akubariki kwa kukemea Makanisa yasiyo na asili ya KRISTO...

  • @theodosiavenasi3066
    @theodosiavenasi3066 Před rokem +1

    Tunapo wacha Mungu bungeni barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @emmanuelkimath2881
    @emmanuelkimath2881 Před 4 lety +22

    AKILI KUBWA NI AKILI KUBWA TUU.

  • @msellemsaid9348
    @msellemsaid9348 Před 4 lety +7

    Respect Muheshimiwa💪

  • @lusymakinya2229
    @lusymakinya2229 Před 4 lety +18

    Safi sana umeongea point sana

  • @andreaassenga7663
    @andreaassenga7663 Před 4 lety +1

    Hongera sana Mh.Ubarikiwe kwa Baraka zako.

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 Před 4 lety +9

    💪🏾🇹🇿 safi sana

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Před 2 lety +1

    Mtetezi wangu yesu anaishi Leo mtetezi wangu yuhai Leo kesho na kesho kutwa ,na hata milele,

  • @rechoraymond3396
    @rechoraymond3396 Před 3 lety +1

    Acha kuukumu watumishi wa mungu kwani wew ni binadamu2 kama ni wa kweli au si wa kweli wakuwaukumj ni mungu acha kijitafutia laana

  • @brigithashirima7760
    @brigithashirima7760 Před 4 lety +5

    Kweli kabisa Mbunge wetu Mungu akubariki sanaa umenena vyema,Waambie ukweli hao wataelewa tu🙏🙏

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 Před 4 lety +10

    Wanaopenda mafuta ya upako na pochi zao ziwe wazi kanisani tujuwane👍

  • @stuartkamba1598
    @stuartkamba1598 Před 3 lety +3

    Leo mzee Wang nimekushusha sana thamani.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 4 lety +6

    Very true Mr..usipofanya kazi huwezi kula eti mtu anasimama anafungua pochi zijae hela

    • @rubyo.masuku5684
      @rubyo.masuku5684 Před 4 lety

      Wapo siyo mwamposa lani Wapo WENGI

    • @seyaorongo7466
      @seyaorongo7466 Před 4 lety +1

      Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza

    • @seyaorongo7466
      @seyaorongo7466 Před 4 lety

      Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza

  • @halimageorgesanga1018
    @halimageorgesanga1018 Před 4 lety +5

    Nimeelewa,Assnte sana

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar1603 Před 4 lety +3

    Asante Mbunge

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 3 lety +1

    We mzee sio kweli si bola washinde kanisa kumuomba mungu kuliko kushinda bar au kuvuta mibangi ushakunywa nyagi povu lakutoka wacha watu wamuombe mungu amini kile unachokiamini kinakuuma nini kama mtu alikua hajawahi kupata ujauzito miaaka gedegede leo kwenda kuombewa kafanikiwa eti akitoa sadaki anaibiwa mbona kwa waganga na mbuzi Hadi n.gombe Kaa kimya

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před rokem

    Baadhi ya wachungaji wanapoteza watu na kuchafua dini ,maana watu wanajikuta wako njia panda ,mungu atupiganie,🙏

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Před 2 lety +2

    Hapo kwenye makanisa umeongea point less Mungu haziakiwi kila mtu anachokiamin ndio kinampa majibu yake hatuwez kutembea kwenye maono ya aina moja , hivyo acha wivu wewe mabrich kwa kutoa kasoro za imani za watu juu ya kile wanachokiamini waache watu na imani zao wasonge mbele

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety +2

    Truly!!!!!!

  • @mariasimon7545
    @mariasimon7545 Před 4 lety +9

    UBARIKIWE MPENDWA NAKUUNGA MKONO KWA HILI, UTAPELI KWA NYAKATI HIZI ZA MWISHO UMEKUWA MWINGI WATU WANAIFEDHEHESHA IMANI YA MUNGU WETU MWOKOZI YESU KRISTO. WAMETUMWA NA shetani KUHARIBU IMANI YA KWELI YA KRISTO.

    • @richimuniko3578
      @richimuniko3578 Před rokem

      Ni kwa Nini hujaongelea waganga wa kienyeji wanaopiga pesa ndefu na kuibia raia wema zibiti wachawi kama Wewe unaweza.

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před rokem

    🙏 Amina, kiongoz mungu akutie nguvu maana msema ukwel mpenz wa mung hakika unatunz I ebu ona huyu mchungaj alikuj huku njombe alikusanya watu walikufa sana jmn ,.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před 10 měsíci

    Hawa watu wanaomuelekea Mungu tusiwachukulie poa au kuwasema vibaya maana ukweli anao Mungu na wao wenyewe ni suala lakujiuliza mtu au mtumishi wa Mungu aliyeamua maisha yake n kusali yaani yeye na Mungu masaa zaidi ya kumi au kila iitwapo leo au mtu anachambua na kusoma quruan na Biblia anatenga muda mwingi kwa Mungu Ila sisi rumetenga muda kuzungumza na Mungu? au kusoma vitabu vyake tujisemeze wenyewe muda wetu tumetenga tupo ktk majukumu ya dunia au kaisali wengine tupo kwa starehe ivyo hawa mashekhe ,na watumishi wa Mungu yaaani wachungaji, mapadre na wengine waliojitosa ktk Mungu nawapa maua yenu hivi najiulizaga mwisho wangu nitapeleka hesabu gani kwa Mungu nilikusanya au nilitawanyisha kondoo wake toka nilipopata ufahamu wa zuri na baya kazi ninayo

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 4 lety

    Asante kuhusu watu tulio nje kupiga kura asante

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto5392 Před 4 lety +1

    Hoja ya Mh. ni nzuri Sana, Tatizo la Dini ni watu hutiwa Hofu Tena Hofu isiyo wiana na Utashi wa Fikra Halsii. Ninyi mnaotaka watumishi wasiaswe Ukweli mnataka kutwambia Watumishi ndo wenye haki ya Kufanya chochote Hata kikiwa hakiko sawa???? Tusipo ambiana sisi kwa sisi mwataka nani atwambie Ukweli huu??? Tufungue Utashi wetu tutajua mengi zaidi ya tunayoambiwa kwa vinywa vya Watumishi wetu. Acheni Imani za Uoga za kuwaogopa Watumishi. Mtumishi si Mungu ni Binadamu na anakosea Kuliko ww usie na Kanisa. Huu upuuzi wa Iman umekithiri na Madhara yake ni Makubwa tukizidi kunyamaza. Kama Mungu hadhihakiwi Mbona Watumishi ndo wanadhihaki kwa Kukufuru kwa Imani za Upotoshaji??? Tuweni na Utashi tuliopewa na Mungu.

    • @fidiankwera530
      @fidiankwera530 Před 4 lety

      Umenena... Nimekuelewa. Ukweli lazima usemwe

    • @venitarugemalila9290
      @venitarugemalila9290 Před 10 měsíci

      Kubishana sana ipo siku utajikuta unamkosea Mungu bora ukakamata Biblia na quruan vitabu vitakatifu ukapekua ukaujua ukweli basi utaijua kweli ya Mungu

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Před 4 lety +16

    😂😂😂
    Ukigeuka nyuma unajkuta peke ako😂😂

  • @saulindama3697
    @saulindama3697 Před 4 lety +13

    Hakuna mtu wa kumteteaYesu yeye ni mwenye uweza na mamlaka anajitetea mwenyewe.

    • @tymchanneltv1143
      @tymchanneltv1143 Před 3 lety

      Hapana SI kweli Mungu ndie mwenye kumtetea Yesu,, yeye Hana uwezo. Kwa maana Yesu sio Mungu., Soma Biblia. Huo Ni moja katika Aya nyingi.
      Mathayo 26:39.

  • @restutarhamis4609
    @restutarhamis4609 Před 4 lety +4

    Safi sana waache kutuwekea turbai

  • @amanijosiah5205
    @amanijosiah5205 Před 4 lety +2

    Ww huna akili angalia usimzihaki Mungu acje kukuhukumu acha kazi ya Mungu iendelee

  • @nicolausnyongole5611
    @nicolausnyongole5611 Před 4 lety

    Tunaangamia kwakukosa maarifa naikisoma bible kumcha mungu nichanzo chamaarifa mungu atuongoze kwenye njia zake

  • @herriethmwakifulefule165
    @herriethmwakifulefule165 Před 2 lety +1

    Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha naajungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama

  • @hosianajosephu4296
    @hosianajosephu4296 Před 4 lety +8

    Big up mheshmiwa...

  • @eliakanyika8443
    @eliakanyika8443 Před 4 lety +1

    Amina

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 Před 4 lety +6

    Mungu akubariki sana mkuu

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Před rokem

    Ya Mungu MPE Mungu ya Kaisari MPE kaisari we we endelea kuibia wananchi hapo bungeni na Mwamposa mwache afungue watu Nina LA Bwana lihimidiwe. Mwamposa tembea na jeshi lisiloonekana achana na madhabahu feki ya Hugo huko aliko

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 Před 4 lety +1

    Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO ila mtu wa ROHO anaweza siasa na kama ni imani potofu anajua mtu alive na ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu

  • @kabweharuna5569
    @kabweharuna5569 Před 3 lety +2

    Mbona waganga hamuwasemi au kwa sababu wanafanya GIZANi acha hizo

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Před 4 lety +4

    We ni mpumbavu natena umechanganikiwa natena mwaka ujao bungeni waRombo hatukurudishi, piga tatu mzuka achakumpiga vita Mungu.

    • @heavenlinkmedia2834
      @heavenlinkmedia2834 Před 4 lety

      Hivi ww unaelewa alichokisema yesu au unalaumu tu paspokujua , brother omba mungu akupe uelewa au tafta kujua nn maan ya injili

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 4 lety +3

    IS Trueee!!

  • @lilianmbangwa6151
    @lilianmbangwa6151 Před 4 lety +1

    Amen Mungu tusaidie kwa hawa watakavitu

  • @herriethmwakifulefule165
    @herriethmwakifulefule165 Před 2 lety +1

    Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha na majungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 Před 4 lety +1

    Point

  • @meshackraphael9638
    @meshackraphael9638 Před 4 lety

    Mmzeeee umeongea point MUNGU akubariki

  • @ramadhaniamiri4535
    @ramadhaniamiri4535 Před 4 lety +10

    Safi sana mbunge 30

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +1

    Mzee akili kubwa Sana kuhusu makanisa ya kitapeli na wajibu was serikali kulinda raia na Mali zao ......BIG UP
    Hilo la wafungwa kupiga kura ni jema lkn kwanza kabla hawajapiga kura wangepata Haki ya kuhabarika ili wasije chagua mazuzu bure😂😂😂

  • @zephaniakisumo4477
    @zephaniakisumo4477 Před 4 lety +2

    Najua wengi watanuna sababu kweli inauma,lakini wanayesimama katika njia ya kweli wamekubaliana na haya yaliyosemwa.

  • @janethjackson1257
    @janethjackson1257 Před 4 lety +2

    Nakuelewa

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Před rokem +1

    Jina la yesu ndo jibu

  • @ibrahimmusician2355
    @ibrahimmusician2355 Před 4 lety +11

    KwA wenye akili njema,umeongea pointi Sana,

  • @kuburilinyama8111
    @kuburilinyama8111 Před 4 lety +1

    respect

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 Před 4 lety

    Safi sana leo umenena point

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 4 lety +15

    Mauaji ya Rwanda ni ya kikabila sio ya kidini. Huko uarabuni wote ni waislamu na wanauana

    • @hassanshaban4168
      @hassanshaban4168 Před 4 lety +2

      Jamaaa we kila kitu unapinga tuuu sikiliza point usibishe tuu

    • @rubyshamlaha2181
      @rubyshamlaha2181 Před 4 lety

      @@hassanshaban4168 ndo shida yakukanyaga mafuta kila point unaona ya hovyo mwee

    • @unknownafrica5568
      @unknownafrica5568 Před 2 lety

      Wanapo wafutinisha wakauana ni hao wazungu wanao tafuta kwa dunia mzima faida mnao wafata dini zao za kutungwa mzungu lini akawa na dini. Hata isa atawakana Na makanisa yao ya ushoga na kuva uchi isa asili yake ni kutoka kwa ibrahim na ibrahim na isa ni waislam safi hakuna alie toka marekani na rome isa bin mariam hajaleta maji ombeni wenyewe msifate watu wawaombee ni utapeli tu

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Před 2 lety

      Hukusikiliza viziri

  • @sungula100
    @sungula100 Před 4 lety +5

    Mmh, umeongea vitu vyepesi sana kuhusu suala zito sana la imani!

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati9592 Před 4 lety +6

    Apo kabisaaaaaaa kuna roh mtakatifu na rooooooo MTAKAVITU. MWAMPOSYA

  • @nyamtayachamriho7065
    @nyamtayachamriho7065 Před 4 lety +4

    umeua baba big up sana uwe unaongea una point hamna mrombo mjinga wote point tupu

  • @beatricesoka3134
    @beatricesoka3134 Před 4 lety

    Ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu

  • @burkardkayombo5271
    @burkardkayombo5271 Před 4 lety +6

    Huwezi kuingilia matatizo ya mtu mwingine na kumsemea, hii ni kama ajali tuu, kama ni hivyo basi hata wabunge wafutwe. Tunakwenda kwenye uchaguzi Arubino wapo mashakani. Hapa panataka busara tu, siyo vijembe.

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 Před 4 lety

    Mungu ndie muhukumu

    • @slyvesterkameo6847
      @slyvesterkameo6847 Před 4 lety

      Kama ni waongo, matapeli na malaghai watendelea kuhukumiwa hapa duniani maana wanaolaghaiwa na kuibiwa wapo duniani!

  • @justinekashiriririka8690
    @justinekashiriririka8690 Před 4 lety +3

    Duh mzee umeongea point leo

  • @offecalmsechu8739
    @offecalmsechu8739 Před 4 lety +8

    Ungekuwa ata mh rais wewe kweli tungekutoa ndo maana watU kama nyie pepo ingekuwa adisi tu

  • @rebeccajohn724
    @rebeccajohn724 Před 4 lety +5

    Mheshimiwa mseme wasaudieye tanzania

  • @happinessseroin2336
    @happinessseroin2336 Před rokem

    Mungu aendelee kyongeza viongozi wenye hekima

  • @ngumbaonzaro5716
    @ngumbaonzaro5716 Před 2 lety

    Ngumbao nzaro

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 Před 4 lety +2

    Mzee yuko sawa point sana ila kwaharaka haraka huta muelewa chunguza utapata jibu

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 4 lety

      Mheshimiwa je ukiletewa mtu mwenye pepo utamtoa ili tujue ulivyosimama? Maana imeandikwa aliemwanafunzi wa YESU atatoa pepo na kuweka mkono kwa mgonjwa akapona VP hapo imani iko wp Mana bila matendo imekufa

  • @noahmbalwa4167
    @noahmbalwa4167 Před 4 lety +4

    Sio kweli

  • @salamhapachavi5371
    @salamhapachavi5371 Před 2 lety

    Sema kweli

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 Před 4 lety +5

    Acha kuchafua kanisa la katoliki unachokifanya mzee mwaka huu tutaona kama wale waganga wako kama watakusaidia kitu kurudi hapo.

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 Před 4 lety

      Anachafua nini unajua nini historia ya kanisa 1994 rwanda watu walichinjwa ndani ya makanisa na kuna maaskofu walishiriki kuchinja waumini wao kisa ya tofauti ya kabila hope we ndo hujui ila dunia inajua na hata papa john paul akiwa hai alipata kulaani ilo jambo kama una mengine sawa ila si hilo alilotoa mfano

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 4 lety

    And we also real want to vote if chance will be given as you said.

  • @christophermwandemange796

    Acha Mambo ya kanisani, ngumu sana kuyaelewa ukitaka kuelewa jiungeni Acha mambo ya kanisa

  • @lubatikoseme6613
    @lubatikoseme6613 Před 4 lety

    Sawasawa baba

  • @janetkiwelu2429
    @janetkiwelu2429 Před 4 lety

    Kweli kabisa baba

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Před rokem

    Tutapaka sana mafuta na hayo majungu yako hayashindani na Nuru wewe ni giza tembea nalo tuache sisi tutembee na Yesu vipi babuuu

  • @joshuamatagane8105
    @joshuamatagane8105 Před 4 lety +2

    MBONA NINYI MNAKWENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI NA MNAKAA UCHI HUKO WENZENU HAWASEMI?? AU TUWAITE HAPA WAWAUMBUE????

    • @jackpaul9825
      @jackpaul9825 Před rokem

      Wewe huna Sera ulaaniwe mala 7

    • @venerandamagesa9509
      @venerandamagesa9509 Před rokem

      Waambie ndugu yangu maana waganga hawaongelewi kabisa mbona tunatumiwa mpaka sms za waganga Hilo haliwakeli😂😂

  • @pamelakasambala9589
    @pamelakasambala9589 Před 4 lety

    Acha hiyo

  • @evethaasey1791
    @evethaasey1791 Před 4 lety +7

    OK OK OK BABU ubunge 2020 kz unayo

  • @musahassan4606
    @musahassan4606 Před rokem

    Kweli

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 Před 4 lety

    Fact

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před rokem

    Nimejalibu kupitia comment Kuna watu wa mafuta wanekupinga hakuna kukata tamaa baba 30 ni heri ufe Kwa kusema ukwel kuliko kunyamaza damu ya yesu ikutawale milele Niko nyuma Yako, me Huwa naira shujaa twende mbele binadam wa sasa ni wanyama,.

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088

    Wa Tanzaniya muwe hange munapo ongeya kuhusu rwanda,ya rwanda ni marefu kiasi kwamba hamuwezi kuyaelewa.kinyarwanda ni lugha mbali nanyi hata ukoloni ni tofauti .

  • @emanuelgadiye2911
    @emanuelgadiye2911 Před 4 lety

    Imani ni kitu cha tofauti sana spiritual things huwezi jadili kimwili utapotea

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 Před rokem

    usiwaseemee watu ndugu yangu wanaosali na wenye shida walopata nafuu kupitia kwenye ayo makanisa ndo wanajua ndugu yangu mda mwengingine upweke unawafanya wakae makanisan ww endelea kula kiyoyoz chukua posho bungeni enda kula na familia ako serikali ilinde kdg cha raia akat ndo mnaanzisha sera za kuchukua pesa zao mkuu

  • @crintonkapamba1290
    @crintonkapamba1290 Před 4 lety

    Amina baba maana sikuhizi matapeli wameingilia pabaya

  • @furahinimbise1804
    @furahinimbise1804 Před 4 lety +2

    Wewe hatujakupa Ubenge ili ukawakashifu wajumbe wa Mungu, fanya kazi tulio kutuma, Watumishi wetu tulio letewa na Mungu achana nao.

  • @anicethpeter4944
    @anicethpeter4944 Před 4 lety +4

    Unachesema ni kweli mzee wanao maindi ukweli umewafika moja kwa moja

  • @yankstyma1966
    @yankstyma1966 Před 2 lety

    Ooh my God hii ni giza ya sina gani?Mmesikia kuna roho ya mpinga kristo itakuja lakini maandiko yanatuambia roho tayari inafanya kazi hata sasa.Kupinga ni kwenda ya kitu au mtu.yule asiyekuwa upande wetu yu kinyume nasi.Hii ni laana ya kuitafutia maana vita ya watumishi wa Mungu ni juu ya Mungu sio yao.yaani kwa kifupi unapofanya vita watumishi wa Mungu unagombana na Mungu, who are u to judge someone's servant

  • @waboyboyboy402
    @waboyboyboy402 Před 4 lety +2

    Awo wanaojifanya manabii kwaajili yakutowa watu kafara kwa tamaa zao za pesa mlaaniwe wote kama mkekosa kazi zakufanya nenden ata mashambani mkalime nasio kuwamaliza watu wasio na hatia kwa tamaa zenu za pesa muache .....

  • @elizabethbwire1480
    @elizabethbwire1480 Před rokem

    Imani yako ndio inakuponya hataukisali zehebi lolote bila Imani nikazi bule kinacho tufanya tuamini maneno ya mwaposa nimaandiko kwani anayo yahubiri yamo kwenye bibilia

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Před 2 lety

    Imeandikwa watatokea wachungaji wa ukweli na wa uongo. Ukiona hakufai ukung'ute mavumbi na utokomee

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Před rokem

    Watu ni wavivu kweli unaombewa kupata gari wakati unauza ndimu wanataka mseleleko,,,eti munaombea watu,,,wakati Mungu anasikia sala na dua ya mtu mmoja mjomba. Mukafie Mbele uko na maombi yenu ,,,,watu wamechoka viongozi wa dini munazingua si makanisani sio wachungaji kwenye makanisa yenu....amko tofauti na wana siasa waongo munajali pesaaaa tu yaani,,,ubatizo pesa kipa imara pesa sahani ya upendo..gari la Mchungaji ifike mahala wachungaji wafanye kazi ...na nyinyi wengine uko muache kuwaongopea waumini watapata magari ...selekali itowe tamko viongozi wa dini wawe na kazi ndio wasajiliwe kutegemea sadaka uku ndio maana wanakuwa waongo ili waumini watowe pesa ....

  • @awitiyjosure5163
    @awitiyjosure5163 Před 4 lety

    Mmmmm mwaposa

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 4 lety +1

    Safiiii mtumishi wa Mungu

    • @anordsakaya9852
      @anordsakaya9852 Před 4 lety

      Usipoangalia vizur na kubadilika utaimba kway mpaka unakufa na mbingun unawez usiende please badilika bint yang usitukan wal kudharau watumish wa mungu itakuletea laana mwanangu

    • @veronicamnico4773
      @veronicamnico4773 Před 4 lety

      @@anordsakaya9852nimefanyaje mpaka niimbe niishie jehanamu? Yesu wangu hakuingia gharama ili niende jehanamu, na ktk jina la Yesu jehanamu hakutengezewa mwanadamu, na MUNGU angekuwa na hasira watumishi wanao tudanganya kwa polojo nyingi angewaaibisha lkn yet ni wa rehema, mtumishi ungeijua NEEMA usingesapoti mafuta ambayo ni mfano wa mafuta ya Roho mtakatifu kabla Yesu hajapaa, mwana wa MUNGU nashangaa kusikia sitaenda nbinguni kwa sababu nimesema Safi mtumishi mh

    • @anordsakaya9852
      @anordsakaya9852 Před 4 lety

      @@veronicamnico4773 tuwaache. Wafanye ibada zao wanazozipenda Ili mrad watu waokoke na kumjua Mungu sisi tuliokoka hatuhitaj kuwaita hawa Wa kienyeji hata kama hatuelew ibada zao inabid tuwe mfano Wa kuigwa kwa kuwaheshimu tu hawa wachungaj na si kuwatukana kwa kufanya hivyo Mungu atakuinua kwa viwango vya juu zaidi Amen

    • @veronicamnico4773
      @veronicamnico4773 Před 4 lety

      @@anordsakaya9852 kosa langu nini? kusema (Safi mtumishi?) Mtumishi Mimi nilishainuliwa na Yesu tangu alipoenda carvali laana zangu zote zilibaki carvali, kuinuliwa ni haki yangu na kubarikiwa ni haki yangu kupitia Yesu, hata siku moja siwezi kumtukana mtumishi wa MUNGU, isipokuwa siwezi kushabikia polojo, tena mtumishi naomba tujuane zaidi, ninasali kanisa la Philadelphia niko mwanza buswelu kwa Askof ISAYA. Na nikushirikishe kusoma chuo cha biblia huku mwanza Cha WIBI utajua ninacho maanisha. Asante

    • @anordsakaya9852
      @anordsakaya9852 Před 4 lety +1

      Niliona comment yako kwenye post ya nabii mwammposa niliisioma ns kuipotezea ni weng waliotukana lakin hata sielew mbona nimekufata nahis Mungu ana mpango na,wew ndo maana nilikushaur nimekushsur mwanangu mim TAG tabata kimanga Dar es salaam na nimemwona Mungu kupitia kuwaheshimu na kuwaombea tu hawa watumishi Wa Mungu Amen

  • @bahatimwase3432
    @bahatimwase3432 Před 4 lety +1

    Mh. mambo ya imani yaache kama yalivyo usije ukapata laana ya kizazi hadi vizazi. Ni vizur zaidi kunyamaza