Video není dostupné.
Omlouváme se.
SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
Vložit
- čas přidán 4. 02. 2020
- SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuhakikisha wanapitia upya usajili wa vikundi au wachungaji wanaoendesha makanisa ili kujihakikishia kama kweli wanafanya kazi zao kihalali..
Selasini ametoa hoja hiyo kufuatia matukio mengi ya kushangaza yaliyotokea hivi karibuni yakiwahusisha wachungaji likiwemo tukio la watu 20 waliofariki mkoani Kilimanjaro wakigombea kukanyaga mafuta ya mchungaji Mwamposa..
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
czcams.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
czcams.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
czcams.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
czcams.com/users/playlist?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Allah nijalie mwisho mwema wewe ndie unaepaswa kuabudiwa pekeako 🙏
Aamiin
Asante kwa maneno yako maana yesu anahubiriwa ktk roho na kweri sio ktk mahi na mafta.
Amen amen. Kazi ya Mungu siyo ya kiganga. Kinacho tajiwa jina la Yesu kimesha kua takatifu. Tbs yetu ni Roho Mtakatifu. Amani posipo watumishi wa Mungu akuna. Hao wanaojita awatumishi uku wanachochea watu mabaya ukumu ipo juu yao. Uko kwenu rombo tumewamsha wengi kwa nguvu ya Mungu. Na hata wewe upo leo kwa ajili ya maombi ya hao watumishi unao wasema vibaya. nikweli mimi ni mwombaji sana lakini sijawa kumuombea mtu akapokea hela ,bali nimewaombea wengi wakapokea uponyaji na kubarikiwa kazi zao na kufunguliwa vifungo mbalimbali katika maisha. ( Neno moja toka kwa Mungu tupendane). Mh karibu nyumbani Ccm kumenoga. Mungu atusaidie. Amen..
Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO LA MUNGU wala kumhofia MUNGU lkn mtu wa ROHONI anaweza siasa ,na kama ni imani potofu anajua mtu aliyena ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu , inaitwa siHASA bali HASA ni NENO LA MUNGU
pongezi kubwa kwako mweshimiwa Selasini. msema kweli mpenzi wa Mungu.
Imeandikwa nyakatiza mwisho wengi watakuja kwa jina language na watafanyà miujiza mingi kupitia jina la yesu jihadharini nao
Shida mko gizani hamuoni wala jua kinachoendelea
Mungu akulinde baba aione hekima iliyo ndani yako
Waacheni watu wapige neno kama wa kweli kama wa uongo wote waacheni ila mwisho ukifika kitaeleweka upi mchele zipi pumba
Mwisho unaujua
Mungu akusaidie sana mtumishi wa Mungu alafu kiongozi
Ewe mwenyezi mungu naomba uzidi kumtiya nguvu mtumishi mwamposa
Wewe umeshatiwa nguvu
Amen
Mungu akubariki kwa kukemea Makanisa yasiyo na asili ya KRISTO...
Tunapo wacha Mungu bungeni barikiwa mtumishi wa Mungu
AKILI KUBWA NI AKILI KUBWA TUU.
Respect Muheshimiwa💪
Safi sana umeongea point sana
🙏
Hongera sana Mh.Ubarikiwe kwa Baraka zako.
💪🏾🇹🇿 safi sana
Mtetezi wangu yesu anaishi Leo mtetezi wangu yuhai Leo kesho na kesho kutwa ,na hata milele,
Acha kuukumu watumishi wa mungu kwani wew ni binadamu2 kama ni wa kweli au si wa kweli wakuwaukumj ni mungu acha kijitafutia laana
Kweli kabisa Mbunge wetu Mungu akubariki sanaa umenena vyema,Waambie ukweli hao wataelewa tu🙏🙏
Wanaopenda mafuta ya upako na pochi zao ziwe wazi kanisani tujuwane👍
😄😄😄🖕
Leo mzee Wang nimekushusha sana thamani.
Tafakari
Very true Mr..usipofanya kazi huwezi kula eti mtu anasimama anafungua pochi zijae hela
Wapo siyo mwamposa lani Wapo WENGI
Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza
Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza
Nimeelewa,Assnte sana
Asante Mbunge
We mzee sio kweli si bola washinde kanisa kumuomba mungu kuliko kushinda bar au kuvuta mibangi ushakunywa nyagi povu lakutoka wacha watu wamuombe mungu amini kile unachokiamini kinakuuma nini kama mtu alikua hajawahi kupata ujauzito miaaka gedegede leo kwenda kuombewa kafanikiwa eti akitoa sadaki anaibiwa mbona kwa waganga na mbuzi Hadi n.gombe Kaa kimya
Baadhi ya wachungaji wanapoteza watu na kuchafua dini ,maana watu wanajikuta wako njia panda ,mungu atupiganie,🙏
Hapo kwenye makanisa umeongea point less Mungu haziakiwi kila mtu anachokiamin ndio kinampa majibu yake hatuwez kutembea kwenye maono ya aina moja , hivyo acha wivu wewe mabrich kwa kutoa kasoro za imani za watu juu ya kile wanachokiamini waache watu na imani zao wasonge mbele
Truly!!!!!!
UBARIKIWE MPENDWA NAKUUNGA MKONO KWA HILI, UTAPELI KWA NYAKATI HIZI ZA MWISHO UMEKUWA MWINGI WATU WANAIFEDHEHESHA IMANI YA MUNGU WETU MWOKOZI YESU KRISTO. WAMETUMWA NA shetani KUHARIBU IMANI YA KWELI YA KRISTO.
Ni kwa Nini hujaongelea waganga wa kienyeji wanaopiga pesa ndefu na kuibia raia wema zibiti wachawi kama Wewe unaweza.
🙏 Amina, kiongoz mungu akutie nguvu maana msema ukwel mpenz wa mung hakika unatunz I ebu ona huyu mchungaj alikuj huku njombe alikusanya watu walikufa sana jmn ,.
Hawa watu wanaomuelekea Mungu tusiwachukulie poa au kuwasema vibaya maana ukweli anao Mungu na wao wenyewe ni suala lakujiuliza mtu au mtumishi wa Mungu aliyeamua maisha yake n kusali yaani yeye na Mungu masaa zaidi ya kumi au kila iitwapo leo au mtu anachambua na kusoma quruan na Biblia anatenga muda mwingi kwa Mungu Ila sisi rumetenga muda kuzungumza na Mungu? au kusoma vitabu vyake tujisemeze wenyewe muda wetu tumetenga tupo ktk majukumu ya dunia au kaisali wengine tupo kwa starehe ivyo hawa mashekhe ,na watumishi wa Mungu yaaani wachungaji, mapadre na wengine waliojitosa ktk Mungu nawapa maua yenu hivi najiulizaga mwisho wangu nitapeleka hesabu gani kwa Mungu nilikusanya au nilitawanyisha kondoo wake toka nilipopata ufahamu wa zuri na baya kazi ninayo
Asante kuhusu watu tulio nje kupiga kura asante
Hoja ya Mh. ni nzuri Sana, Tatizo la Dini ni watu hutiwa Hofu Tena Hofu isiyo wiana na Utashi wa Fikra Halsii. Ninyi mnaotaka watumishi wasiaswe Ukweli mnataka kutwambia Watumishi ndo wenye haki ya Kufanya chochote Hata kikiwa hakiko sawa???? Tusipo ambiana sisi kwa sisi mwataka nani atwambie Ukweli huu??? Tufungue Utashi wetu tutajua mengi zaidi ya tunayoambiwa kwa vinywa vya Watumishi wetu. Acheni Imani za Uoga za kuwaogopa Watumishi. Mtumishi si Mungu ni Binadamu na anakosea Kuliko ww usie na Kanisa. Huu upuuzi wa Iman umekithiri na Madhara yake ni Makubwa tukizidi kunyamaza. Kama Mungu hadhihakiwi Mbona Watumishi ndo wanadhihaki kwa Kukufuru kwa Imani za Upotoshaji??? Tuweni na Utashi tuliopewa na Mungu.
Umenena... Nimekuelewa. Ukweli lazima usemwe
Kubishana sana ipo siku utajikuta unamkosea Mungu bora ukakamata Biblia na quruan vitabu vitakatifu ukapekua ukaujua ukweli basi utaijua kweli ya Mungu
😂😂😂
Ukigeuka nyuma unajkuta peke ako😂😂
😄😄😄
Hakuna mtu wa kumteteaYesu yeye ni mwenye uweza na mamlaka anajitetea mwenyewe.
Hapana SI kweli Mungu ndie mwenye kumtetea Yesu,, yeye Hana uwezo. Kwa maana Yesu sio Mungu., Soma Biblia. Huo Ni moja katika Aya nyingi.
Mathayo 26:39.
Safi sana waache kutuwekea turbai
Ww huna akili angalia usimzihaki Mungu acje kukuhukumu acha kazi ya Mungu iendelee
Tunaangamia kwakukosa maarifa naikisoma bible kumcha mungu nichanzo chamaarifa mungu atuongoze kwenye njia zake
Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha naajungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama
Big up mheshmiwa...
Amina
Mungu akubariki sana mkuu
Nikweri abarikiwe amenena
Ya Mungu MPE Mungu ya Kaisari MPE kaisari we we endelea kuibia wananchi hapo bungeni na Mwamposa mwache afungue watu Nina LA Bwana lihimidiwe. Mwamposa tembea na jeshi lisiloonekana achana na madhabahu feki ya Hugo huko aliko
Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO ila mtu wa ROHO anaweza siasa na kama ni imani potofu anajua mtu alive na ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu
Mbona waganga hamuwasemi au kwa sababu wanafanya GIZANi acha hizo
We ni mpumbavu natena umechanganikiwa natena mwaka ujao bungeni waRombo hatukurudishi, piga tatu mzuka achakumpiga vita Mungu.
Hivi ww unaelewa alichokisema yesu au unalaumu tu paspokujua , brother omba mungu akupe uelewa au tafta kujua nn maan ya injili
IS Trueee!!
Amen Mungu tusaidie kwa hawa watakavitu
Umesema kweli Baba kuna roho mtaka vituuu
Kwa huyo roho mtaka vitu usitoe kabisa😄Ila Kwa Mungu toa
Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha na majungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama
Point
Mmzeeee umeongea point MUNGU akubariki
Safi sana mbunge 30
Mzee akili kubwa Sana kuhusu makanisa ya kitapeli na wajibu was serikali kulinda raia na Mali zao ......BIG UP
Hilo la wafungwa kupiga kura ni jema lkn kwanza kabla hawajapiga kura wangepata Haki ya kuhabarika ili wasije chagua mazuzu bure😂😂😂
Najua wengi watanuna sababu kweli inauma,lakini wanayesimama katika njia ya kweli wamekubaliana na haya yaliyosemwa.
Aminaaaa sana asiyefanya kazi na asile
Roho mtaka vitu
Nakuelewa
Jina la yesu ndo jibu
KwA wenye akili njema,umeongea pointi Sana,
Kbsa
respect
Safi sana leo umenena point
Uko sawa Mheshimiwa hawa Mitume wamezidi
Mauaji ya Rwanda ni ya kikabila sio ya kidini. Huko uarabuni wote ni waislamu na wanauana
Jamaaa we kila kitu unapinga tuuu sikiliza point usibishe tuu
@@hassanshaban4168 ndo shida yakukanyaga mafuta kila point unaona ya hovyo mwee
Wanapo wafutinisha wakauana ni hao wazungu wanao tafuta kwa dunia mzima faida mnao wafata dini zao za kutungwa mzungu lini akawa na dini. Hata isa atawakana Na makanisa yao ya ushoga na kuva uchi isa asili yake ni kutoka kwa ibrahim na ibrahim na isa ni waislam safi hakuna alie toka marekani na rome isa bin mariam hajaleta maji ombeni wenyewe msifate watu wawaombee ni utapeli tu
Hukusikiliza viziri
Mmh, umeongea vitu vyepesi sana kuhusu suala zito sana la imani!
Apo kabisaaaaaaa kuna roh mtakatifu na rooooooo MTAKAVITU. MWAMPOSYA
umeua baba big up sana uwe unaongea una point hamna mrombo mjinga wote point tupu
Ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu
Huwezi kuingilia matatizo ya mtu mwingine na kumsemea, hii ni kama ajali tuu, kama ni hivyo basi hata wabunge wafutwe. Tunakwenda kwenye uchaguzi Arubino wapo mashakani. Hapa panataka busara tu, siyo vijembe.
Mnaangamia kwa kukosa maarifa..
Ajali ungekufa ww au ndugu yako
Mungu ndie muhukumu
Kama ni waongo, matapeli na malaghai watendelea kuhukumiwa hapa duniani maana wanaolaghaiwa na kuibiwa wapo duniani!
Duh mzee umeongea point leo
Ungekuwa ata mh rais wewe kweli tungekutoa ndo maana watU kama nyie pepo ingekuwa adisi tu
Mheshimiwa mseme wasaudieye tanzania
Mungu aendelee kyongeza viongozi wenye hekima
Ngumbao nzaro
Mzee yuko sawa point sana ila kwaharaka haraka huta muelewa chunguza utapata jibu
Mheshimiwa je ukiletewa mtu mwenye pepo utamtoa ili tujue ulivyosimama? Maana imeandikwa aliemwanafunzi wa YESU atatoa pepo na kuweka mkono kwa mgonjwa akapona VP hapo imani iko wp Mana bila matendo imekufa
Sio kweli
Moto unakuhusu wewe
Sema kweli
Acha kuchafua kanisa la katoliki unachokifanya mzee mwaka huu tutaona kama wale waganga wako kama watakusaidia kitu kurudi hapo.
Anachafua nini unajua nini historia ya kanisa 1994 rwanda watu walichinjwa ndani ya makanisa na kuna maaskofu walishiriki kuchinja waumini wao kisa ya tofauti ya kabila hope we ndo hujui ila dunia inajua na hata papa john paul akiwa hai alipata kulaani ilo jambo kama una mengine sawa ila si hilo alilotoa mfano
And we also real want to vote if chance will be given as you said.
Acha Mambo ya kanisani, ngumu sana kuyaelewa ukitaka kuelewa jiungeni Acha mambo ya kanisa
Sawasawa baba
Kweli kabisa baba
Tutapaka sana mafuta na hayo majungu yako hayashindani na Nuru wewe ni giza tembea nalo tuache sisi tutembee na Yesu vipi babuuu
MBONA NINYI MNAKWENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI NA MNAKAA UCHI HUKO WENZENU HAWASEMI?? AU TUWAITE HAPA WAWAUMBUE????
Wewe huna Sera ulaaniwe mala 7
Waambie ndugu yangu maana waganga hawaongelewi kabisa mbona tunatumiwa mpaka sms za waganga Hilo haliwakeli😂😂
Acha hiyo
OK OK OK BABU ubunge 2020 kz unayo
Kabisa evetha. Mimi jovitha Asey
Kura yangu sitompa kichaa ka huyu.
@@eugenyraphael4334 Hana shida kishafaidi
Kweli
Fact
Ashindanae na yesu atapondwa kabisa imekua . usinyoshe kidole kwa masihi Bwana
Nimejalibu kupitia comment Kuna watu wa mafuta wanekupinga hakuna kukata tamaa baba 30 ni heri ufe Kwa kusema ukwel kuliko kunyamaza damu ya yesu ikutawale milele Niko nyuma Yako, me Huwa naira shujaa twende mbele binadam wa sasa ni wanyama,.
Wa Tanzaniya muwe hange munapo ongeya kuhusu rwanda,ya rwanda ni marefu kiasi kwamba hamuwezi kuyaelewa.kinyarwanda ni lugha mbali nanyi hata ukoloni ni tofauti .
Imani ni kitu cha tofauti sana spiritual things huwezi jadili kimwili utapotea
usiwaseemee watu ndugu yangu wanaosali na wenye shida walopata nafuu kupitia kwenye ayo makanisa ndo wanajua ndugu yangu mda mwengingine upweke unawafanya wakae makanisan ww endelea kula kiyoyoz chukua posho bungeni enda kula na familia ako serikali ilinde kdg cha raia akat ndo mnaanzisha sera za kuchukua pesa zao mkuu
Amina baba maana sikuhizi matapeli wameingilia pabaya
Wewe hatujakupa Ubenge ili ukawakashifu wajumbe wa Mungu, fanya kazi tulio kutuma, Watumishi wetu tulio letewa na Mungu achana nao.
Shindwa.. Selasini yuko sawa.
Unachesema ni kweli mzee wanao maindi ukweli umewafika moja kwa moja
Ooh my God hii ni giza ya sina gani?Mmesikia kuna roho ya mpinga kristo itakuja lakini maandiko yanatuambia roho tayari inafanya kazi hata sasa.Kupinga ni kwenda ya kitu au mtu.yule asiyekuwa upande wetu yu kinyume nasi.Hii ni laana ya kuitafutia maana vita ya watumishi wa Mungu ni juu ya Mungu sio yao.yaani kwa kifupi unapofanya vita watumishi wa Mungu unagombana na Mungu, who are u to judge someone's servant
Awo wanaojifanya manabii kwaajili yakutowa watu kafara kwa tamaa zao za pesa mlaaniwe wote kama mkekosa kazi zakufanya nenden ata mashambani mkalime nasio kuwamaliza watu wasio na hatia kwa tamaa zenu za pesa muache .....
Amina
Imani yako ndio inakuponya hataukisali zehebi lolote bila Imani nikazi bule kinacho tufanya tuamini maneno ya mwaposa nimaandiko kwani anayo yahubiri yamo kwenye bibilia
Imeandikwa watatokea wachungaji wa ukweli na wa uongo. Ukiona hakufai ukung'ute mavumbi na utokomee
Watu ni wavivu kweli unaombewa kupata gari wakati unauza ndimu wanataka mseleleko,,,eti munaombea watu,,,wakati Mungu anasikia sala na dua ya mtu mmoja mjomba. Mukafie Mbele uko na maombi yenu ,,,,watu wamechoka viongozi wa dini munazingua si makanisani sio wachungaji kwenye makanisa yenu....amko tofauti na wana siasa waongo munajali pesaaaa tu yaani,,,ubatizo pesa kipa imara pesa sahani ya upendo..gari la Mchungaji ifike mahala wachungaji wafanye kazi ...na nyinyi wengine uko muache kuwaongopea waumini watapata magari ...selekali itowe tamko viongozi wa dini wawe na kazi ndio wasajiliwe kutegemea sadaka uku ndio maana wanakuwa waongo ili waumini watowe pesa ....
Mmmmm mwaposa
Safiiii mtumishi wa Mungu
Usipoangalia vizur na kubadilika utaimba kway mpaka unakufa na mbingun unawez usiende please badilika bint yang usitukan wal kudharau watumish wa mungu itakuletea laana mwanangu
@@anordsakaya9852nimefanyaje mpaka niimbe niishie jehanamu? Yesu wangu hakuingia gharama ili niende jehanamu, na ktk jina la Yesu jehanamu hakutengezewa mwanadamu, na MUNGU angekuwa na hasira watumishi wanao tudanganya kwa polojo nyingi angewaaibisha lkn yet ni wa rehema, mtumishi ungeijua NEEMA usingesapoti mafuta ambayo ni mfano wa mafuta ya Roho mtakatifu kabla Yesu hajapaa, mwana wa MUNGU nashangaa kusikia sitaenda nbinguni kwa sababu nimesema Safi mtumishi mh
@@veronicamnico4773 tuwaache. Wafanye ibada zao wanazozipenda Ili mrad watu waokoke na kumjua Mungu sisi tuliokoka hatuhitaj kuwaita hawa Wa kienyeji hata kama hatuelew ibada zao inabid tuwe mfano Wa kuigwa kwa kuwaheshimu tu hawa wachungaj na si kuwatukana kwa kufanya hivyo Mungu atakuinua kwa viwango vya juu zaidi Amen
@@anordsakaya9852 kosa langu nini? kusema (Safi mtumishi?) Mtumishi Mimi nilishainuliwa na Yesu tangu alipoenda carvali laana zangu zote zilibaki carvali, kuinuliwa ni haki yangu na kubarikiwa ni haki yangu kupitia Yesu, hata siku moja siwezi kumtukana mtumishi wa MUNGU, isipokuwa siwezi kushabikia polojo, tena mtumishi naomba tujuane zaidi, ninasali kanisa la Philadelphia niko mwanza buswelu kwa Askof ISAYA. Na nikushirikishe kusoma chuo cha biblia huku mwanza Cha WIBI utajua ninacho maanisha. Asante
Niliona comment yako kwenye post ya nabii mwammposa niliisioma ns kuipotezea ni weng waliotukana lakin hata sielew mbona nimekufata nahis Mungu ana mpango na,wew ndo maana nilikushaur nimekushsur mwanangu mim TAG tabata kimanga Dar es salaam na nimemwona Mungu kupitia kuwaheshimu na kuwaombea tu hawa watumishi Wa Mungu Amen
Mh. mambo ya imani yaache kama yalivyo usije ukapata laana ya kizazi hadi vizazi. Ni vizur zaidi kunyamaza
Hakuna laana kwa hili