Onditi sio kiungo mbaya ...ila ni afadhali wangeenda kwa Greyson Gwalala kiungo wa mpira Then waende pale azam wamchukue James akaminko na yussuf kagoma ...ila huyu onditi bora mngebakia na ndemla
Huyu mbwa mangungu anatufuata nini tunamuona kateua mjumbe wake kuingia ktk bodi, huyo pia ni mamluki wake wa kuleta taarifa, ni chawa , huyu nyoko anatutafuta nini ?
Dogo ataweza kama atatumiwa vizuri.
Usajili huu ni mzuri kwa vile ni mchezaji wa ndani ya nchi
Eeeee hata saidoo mfia timu sema umri na nguvu imeisha
Wakwanza🎉🎉
Good
Mimi nasoma coment zenu ❤❤❤
Muhimu apewe nafasi naamini atafanya makubwahuyu ni mzamiru mwengine pale simba mapafu ya mbwa
Onditi sio kiungo mbaya ...ila ni afadhali wangeenda kwa Greyson Gwalala kiungo wa mpira
Then waende pale azam wamchukue James akaminko na yussuf kagoma ...ila huyu onditi bora mngebakia na ndemla
Hiv ndio vitu vyetu
Huyu mbwa mangungu anatufuata nini tunamuona kateua mjumbe wake kuingia ktk bodi, huyo pia ni mamluki wake wa kuleta taarifa, ni chawa , huyu nyoko anatutafuta nini ?
USAJILI WA HOVYO HUO,ATAKUA MANGUNGU AMEMSAJILI HUYOO
😂😂😂😢😅
Mangungu hata kama hajafanya chochote cha maendeleo lakini Yupo hapo kikatiba.
@@samwelkitiku7087na kikiwa Cha ovyo anasukumiziwa mangungu ila jambo la kusifiwa anapewa mudiii
Hapa tumepigwa bora ubaki na saido kuliko huyu