Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 11. 2019
  • Licha ya mageuzi katika idara ya Usalama mjini Mombasa, magenge yameendelea kuzuka hasa katika maeneo ya Kisauni na Nyali. Vijana wenye umri kati ya miaka 13 Hadi 18 ndio wanaodaiwa kushiriki uvamizi huku makundi hayo yakibadili mbinu. Je nini kinachochangia kuzuka tena Kwa makundi haya.

Komentáře • 42

  • @briandeflugel9055
    @briandeflugel9055 Před 2 lety

    Mzee Najib umeongea point kabisa

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Před 4 lety +8

    Msa inahitaji wale polisi wa Eastleigh mhalifu akipatikana kanyaga kichwa piga risasi mpaka akufded.

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 4 lety +1

    Brings marua back
    Brings marua back
    Brings marua back

  • @nancynyagaka4432
    @nancynyagaka4432 Před 4 lety +2

    Hawa watoto ni watu tunawajua wengine ni vile mtu uwesi msema hila msa akuna rahaa ikifika saa moja rohoo mkononi yaani ni mungu 2

  • @topadeng8222
    @topadeng8222 Před 4 lety

    Anayeshikwa aauliwe .....

  • @elizabethbusche2572
    @elizabethbusche2572 Před 4 lety +1

    Joho.! Is a joke. Next time mombasa vote wisely.

  • @mbithepauline3686
    @mbithepauline3686 Před 4 lety +1

    Msa imegeuka na kuwa kama Nairobi,,, khee,, jameni Mola tulinde

  • @mnyalumykt1980
    @mnyalumykt1980 Před 4 lety +4

    Hawa watoto wanajificha sehemu ya utange.... police washirikiane na wakazi wa utange wawape information ya hawa watoto.....mtaa wa maweni utange ndo waliko jificha

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 Před 4 lety +5

    Upuuzi mkubwa baada ya kuua munapata faida gani

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 Před 4 lety

    Uwa wote Hao

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    CC TV NGAPI WATU HUVUNJA

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 Před 4 lety +2

    Wapigwe risasi

  • @achkobekudevela9563
    @achkobekudevela9563 Před 4 lety

    Ukosefu Waa ajira unachangia vijana hawana kazi...

  • @Purity493
    @Purity493 Před 4 lety +1

    Omg!!!!

  • @technician139
    @technician139 Před 4 lety

    Na venye nsis wako wengi mombasa kazi yao ni gani

  • @officialifruit_x7549
    @officialifruit_x7549 Před 4 lety

    Joho ndio anaongoza haya magengi ya mauwaji hakuna mwengine uhakika uwazi

  • @davyndila1241
    @davyndila1241 Před 4 lety

    DCI mwaga CID coast & all this kind of criminals give an authorization "shot on the spot". It will give good lesson to many. No need court cases.

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 Před 4 lety

    Piga risasi

  • @SophhhiaOnono
    @SophhhiaOnono Před 4 lety

    Hapa lazima wakazi waungani ndio hili tatizo litapunguwa

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 Před 4 lety

    Mm naona kuna watu wakubwa ndio wanawaongoza tena inaonyesha nipolisi maana mtu wakawaida hakuna

  • @francismay1620
    @francismay1620 Před 4 lety

    Awa wanaitaji risasi ya kichwa akuna la mwanangu, mwanangu c muhuni kitu gani

  • @uncensoredbluehawk6335

    Haki Africa mnangoja nini?safisheni area

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 Před 4 lety

    Wachakufunguliwa saa kumi na mbili tuu wangefunguwa saa moja kweupee

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 Před 4 lety

    Hawa polisi wasipokee misgahara tuu waekwe kila mahali huko mombasa wasilale pilisi tena pia inawezekana kuna polisi pia wamo kwahio nawanajuwa kama mangenge watavamia

  • @gaddafijnrmuammar
    @gaddafijnrmuammar Před 4 lety

    Hahaaa.... Mtachinjwa sana....

    • @gaddafijnrmuammar
      @gaddafijnrmuammar Před 4 lety

      @Mansoor Nandlal askari wakifanya kazi yao mwalalama.... Ona sasa ukiskia imekuuma tafta humans right

  • @asmaabugalala1856
    @asmaabugalala1856 Před 4 lety

    Joho kazi yake nini

  • @danielmacharia5945
    @danielmacharia5945 Před 4 lety

    Magenge haya yanafadhiliwa na nani,tuna walinda usalama,jee mkono wa sheria uko wpi? mlipa kodi analipa ushuru,vikosi vya usalama viko wapi,Kenya is a peaceful country,pls don't fool us.

  • @AhmedAli-jm5yu
    @AhmedAli-jm5yu Před 4 lety

    Ni magenge kutoka bara especially central ndio wanavuruga coast

  • @tureali7061
    @tureali7061 Před 4 lety +3

    Magenge yakiua ama kujeruhi, lawama 'polisi wanalala'. Mwanagenge akipigwa risasi na polisi, MUHURI, KNCHR,IPOA wanapiga nduru eti polisi kaua 'vijana wetu' kiholela.

  • @awkamau8797
    @awkamau8797 Před 4 lety

    NA JOHO NI BBI USIKU NA MCHANA

    • @fauzishma8033
      @fauzishma8033 Před 4 lety +1

      Kwani Joho ni police atae kuja mitaani kuatafuta hao majambazi wacha chuki zako