MADEREVA WATATU wa MABASI WAINGIA 18 za POLISI WAKIKIMBIZANA kwa KASI na LORI - KAMANDA AELEZA HAYA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- MADEREVA WATATU wa MABASI WAINGIA 18 za POLISI WAKIKIMBIZANA kwa KASI na LORI - KAMANDA AELEZA HAYA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Dada hongera sana polisi wote mngekuwa hivyo ajali zingekuwa story
ingewezekana kuwe na namba za police kwenye siti ili iwe fundisho
Asante sana, washenzi kabisa ajali kila dakika. Wanakimbizana kama vile wamebeba maembe.
HII NDIO KA,ZI YA POLISI, SIO ETI UNAKAGUA CHETI LESENI, VYOYE HAVIENDESHI GARI
Hongereni sana jeshi letu la police hawa madereva wa mabasi ya mikoani nikama wavuta bangi, wanakimbizana kama waendesha boda boda hawajali chochote naomba mfanye haya huku mikoa ya kaskazini hasa barabara ya moshi-arusha
Wanakiburi sana wekeni sheria kali
Buss Tanzania Ndoshida Kubwa Sana Ovatek Kwenye Makona kugonga Sedimila Zamarori Ukiwuliza Silikali Nambia Buss Nizamasikali nawaku Mungu Tusaidie
Safi sana Asant
Watoe namba ma police wakiendesha tofauti tunapiga cm kimy kimy
Asante Jeshi la polisi, kuna mda baadhi ya awa madereva wa ma busi wanajishahau sana wanakuwa na mihemko utadhani wamebeba machungwa
Hapo sawa mlivyoamua mapolisi, (serikali) tumeshukuru sana.
Deal nao hao afande tumewachoka sana hao
Hongera Sana maana Hilo janmbo siyo mzaa itabidi ichukuriwe sheria na mm pia nilikuwa kwa hayo mabasi abood morogoro nusu ianguke kweli safari ziwe na s usalama.
👍👍👍
Hongereni police wetu kwa kazi nzuri 🙏🙏💖
bado sheria za bongo hazina adhabu kali kwa madereva wanaosababibisha ajali
Safi sana madam afande.
KAZI njema afandee
Msiwawache hao mzee kazi yake njema nakupongeza ziwekwe namba
Mko sahihi askari
Hongera jeshi la police
Chanzo ni camera tu, poleni sana madeva
Ebu angalia wakati mwingine tumepakia wageni kwenye mabasi yetu wanatoka na picha gani, police badilikieni .sipendi watu wanavyosfia wakati huo ni wajibu wenu
Wafungiwetu wapo wengine wanahitaji ajila
KAMANDA KWA UKWELI HATUNA MADEREVA,TUNA VICHAA TU!!
IFIKIE MAHALI MADEREVA WAKIFANYA MAKOSA LESENI ZAO ZIFUTWE,WAULIZENI DUBAI VIPI WANAEAFUATILIA MADEREVA WAO!MAANA MADEREVA WANANIDHAMU YA HALI YA JUU MNO,.!
Safisana
Afande shughulika nao hao fyuuuuuuuuuuuu
Achatusifie mumezidi kutuuwa
Police ndo chanzo cha matatizo kwa kuwa madereva wanaringia rushwa zao.police wakiamua kukomesha uhalifu wanaweza mara moja tatizo.... Mlungula
Madereva wote nivichaa wakishakula hiyo mirungi yao nitatizo hovyoooo.
Saf san polis
Kamanda aomakofi 2
Wafungiwe maisha wakalime sio kuendelea kuendesha roho za watu