usikate tawi ulilolikalia wakati upo juu ya mti aman ni zaidi ya utajiri ni zaidi ya Uhuru aman ni zaidi ya afya aman aman#we mama Kashimba nakupenda sana hata sijui nisemaje
Wimbo ni mzuri sana. Yesu hajatajwa katika wimbo huu. Yesu ndiye anatutofautisha sisi na watu wa imani mbalimbali. Sisi kama wakristo Tunapaswa kumtaja Mfalume wa AMANI kila kona.... Kwani Yeyote anaweza kuimba juu ya amani akataja Mungu, Wimbo, Mahuburi, ibada hata lolote bila Yesu kutajwa tunakuwa hatujahubiri. TENA YESU MWANA WA MUNGU
napenda sana hawa watu pamoja Na kazi zao nzuri kipekee kabisa Lydia Kashimba, bahati meshack,Diana James,isack kumyola,loyce Samson,suzan kasembe, Irene welelo Na wengine ambao sijawataja kwa majina nawapenda sana mungu awabariki.
Beautiful song indeed. It speaks about peace, harmony and stability in a country, Tanzania. I hope Kenyans we can emulate and do as per the wordings of this magnificent song. God bless you AIC(T) Changombe.
Chang'ombe sio siri mnaimbaa!!!hakika nawakubali sana,Mbarikiwe sanaaa. Mungu azidi kuwatia nguvu katika utume wenu!!!
Barikiwa Sana changombe Asante kwa kazi zuri
Mungu azid kuwatia nguvu katika safari yenu ya kuhubiri kwa njia ya uimbaji
Thank you my brothers n sisters in Tanzania,u are a blessing to Afrika n the world,may the Holy name of God be gloryfied.
Hogereni Sana watu wangu, You are a blessing to so many in Kenya, May the peace prevail in our Africa.
Duuh,hii nyimbo nilikuwa wapi eti,maana ndo kwanza naisikia,one love
equality video/song congratulations kwenu mlio iandaa kazi hii
usikate tawi ulilolikalia wakati upo juu ya mti aman ni zaidi ya utajiri ni zaidi ya Uhuru aman ni zaidi ya afya aman aman#we mama Kashimba nakupenda sana hata sijui nisemaje
aisee naipenda choir hii, waimbajie wote, masolist wote but most special Huyu mama solo aliyeanza kusolo...she has incredible vocal
kwakwl aic cha'ngombe mko vzr xana
I love this song, it is a teaching to me and I am to apply it in our country Kenya which is at bloody battle of politics. PEACE,PEACE,PEACE
wadada hawa wanamtukuza mungu mpaka raha.wanapangilia uimbaji wao,mavazi yenyewe yanavutia
Hawa ni akina dada wanaomjua yesu siku nyingi, wakristo wa upako Wa yesu kristo
Mbarikiwe saaaaaana Mungu aendelee kuwatumia katika uimbaji skujui kama mmeshatoa album mpya nimebarikiwa na ujumbe wa Mungu kupitia kwenu mschoke
wonderful big up CVC cha'ngombe
Kwl watumshi wamungu mko vzr sana GoD let bleass you
Wimbo ni mzuri sana. Yesu hajatajwa katika wimbo huu. Yesu ndiye anatutofautisha sisi na watu wa imani mbalimbali. Sisi kama wakristo Tunapaswa kumtaja Mfalume wa AMANI kila kona.... Kwani Yeyote anaweza kuimba juu ya amani akataja Mungu, Wimbo, Mahuburi, ibada hata lolote bila Yesu kutajwa tunakuwa hatujahubiri. TENA YESU MWANA WA MUNGU
Mungu ametajwa tafathali rejelea tena kakaaa Mungu hadhiakiwiii....ujumbe maalum kwetu
Bwana awabariki kwa utumishi wenu.
Mnanibariki sana kwa mahubiri yenu kwa njia ya uimbaji. Yesu kristo azidi kuwasimamia
napenda sana hawa watu pamoja Na kazi zao nzuri kipekee kabisa Lydia Kashimba, bahati meshack,Diana James,isack kumyola,loyce Samson,suzan kasembe, Irene welelo Na wengine ambao sijawataja kwa majina nawapenda sana mungu awabariki.
Mungu ibalik tz mubark jpm aman itaware
mbarikiwe cvc..Mungu azidi kuwatumia
Hellen Atieno Awino
@Hellen Atieno awino
Nawapenda Sana
Niko tayari
Dada lydia mungu akubariki penda sana nyie watu
Ukisikia huu wimbo huwezi tena kuwa na mihemuko ya kisiasa hasa kwa vijana
nice song itz lesson for we Tanzania
Mungu awabariki watumishi
Mwimbo muzuli kabisa
Ila Burundi amani taari tunayo tunavuna matunda yacamani.
Amani ni muhimu
nabarikiwa xana na Bahati, lidya na Diana James
Hongereni sana
barikiweni watu wa Mungu
hadi raha sanaaaa
Barikiwa sawa
more please!
Amina
Hii kwaya ni mfano wa kuingwa
wimbo mtulivu kweli....
Nice song
Nice
Hii bado sijaiona madukani. Otherwise ni kazi nzuri
its good $ quality video
Beautiful song indeed. It speaks about peace, harmony and stability in a country, Tanzania. I hope Kenyans we can emulate and do as per the wordings of this magnificent song. God bless you AIC(T) Changombe.
mnanibariki sana waimbaji wa aic changombe kwa jumbe zenu
nice
Tanzania nyie mnaingia by mbio jonas wa musoma
wimbo mzuri sana barikiweni
kazi nzuri lakin angalieni msije mkaegemea upande wa siasa mtapoteza thawabu yenu mliyonayo kwa mungu wetu
Chang,ombe mko vzr mbarikiwe
gusgg
Asanten Kwa huduma nzur wapendwa wa mungu
Amina
Nice
Nice