Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Bravo yanga aisee diara uko vizur sana hongera kwa kututetea vyema
Yani hata niangalie mara mia bado nataka kuangalia tena na tena, jamani yanga raha sana 💛💛💛
Hili vibe sijui km litatokea Tena,tungekua twashangilia hivi Ni noma,nadhani tujitahidi siku ya jumamosi Na Belzdad,tutawakanda in shaa allah
Gori la mwisho limetangazwa vizuri saana....😂😂
Hinjo is the best one,unajua bro kutangaza Na voice yako Ni ya kiutangazaji yes,Kwa nini hapewi mechi nyingi Za Yanga kutangaza
Yanga inanikosha aiseee naenjoy sana💚💚💛
Yeah kwel
@@thomaschacha4225 sawa bhna💚💛
Aseee ndo maana Kila mtu so profesa nabi hatr
Maana halisi ya hatoki mtu kwa mkapa
Yahya Mudathir yalfa Qula.(Yahya mudathir anapenda kula) 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Hii mechi siichoki kuingalia hata kama kila saa maana tuliwafunga watu midomo
Milioni 15 kibindoni
Daaa goliii lakisindaaa hadiiii nilitokaaa machoziiii kwafurahaaaa jamani
Nani kamuona mchezaji wa TP mazembe baada ya kisinda kufunga goli akajilaza kwa kukata tamaa
Yanga tunatisha jamani yanga wametupa raha nabi na wachezaji viogozi hasanten
Tutaamka saa 7 mchana💚💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛💛💛💛
Aswaaa bado nimelal aise
2mefrah wanayanga
Kipa ad kaganda
Ss tutajua hatujui maan hizokelele ss mitandaon siopoa
😅😅😅😅😅
Makolo mtajiju
mudathir ni jembe nawaambia
Kelele za uto sasa tutakoma mitaani
Na mtakoma kweli sio masihara😋😋💛💛💛💚💚💚
Mnasababsha nyie akina Zuwena
Iyo ipo wazi
NA BADO MTATESEKA MSIMU HUU MPAKA MUITE MAJI MMA,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na mtakoma kweli kweli
Bravo yanga aisee diara uko vizur sana hongera kwa kututetea vyema
Yani hata niangalie mara mia bado nataka kuangalia tena na tena, jamani yanga raha sana 💛💛💛
Hili vibe sijui km litatokea Tena,tungekua twashangilia hivi Ni noma,nadhani tujitahidi siku ya jumamosi Na Belzdad,tutawakanda in shaa allah
Gori la mwisho limetangazwa vizuri saana....😂😂
Hinjo is the best one,unajua bro kutangaza Na voice yako Ni ya kiutangazaji yes,Kwa nini hapewi mechi nyingi Za Yanga kutangaza
Yanga inanikosha aiseee naenjoy sana💚💚💛
Yeah kwel
@@thomaschacha4225 sawa bhna💚💛
Aseee ndo maana Kila mtu so profesa nabi hatr
Maana halisi ya hatoki mtu kwa mkapa
Yahya Mudathir yalfa Qula.(Yahya mudathir anapenda kula) 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Hii mechi siichoki kuingalia hata kama kila saa maana tuliwafunga watu midomo
Milioni 15 kibindoni
Daaa goliii lakisindaaa hadiiii nilitokaaa machoziiii kwafurahaaaa jamani
Nani kamuona mchezaji wa TP mazembe baada ya kisinda kufunga goli akajilaza kwa kukata tamaa
Yanga tunatisha jamani yanga wametupa raha nabi na wachezaji viogozi hasanten
Tutaamka saa 7 mchana💚💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛💛💛💛
Aswaaa bado nimelal aise
2mefrah wanayanga
Kipa ad kaganda
Ss tutajua hatujui maan hizokelele ss mitandaon siopoa
😅😅😅😅😅
Makolo mtajiju
mudathir ni jembe nawaambia
Kelele za uto sasa tutakoma mitaani
Na mtakoma kweli sio masihara😋😋💛💛💛💚💚💚
Mnasababsha nyie akina Zuwena
Iyo ipo wazi
NA BADO MTATESEKA MSIMU HUU MPAKA MUITE MAJI MMA,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na mtakoma kweli kweli