ZANZIBAR NA OMAN NI NDUGU WA KWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 34

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 17 dny +8

    Oman na zanzibar.zanzibar ni warab na km oman najivunia kua Mzanzibari je ww

    • @Hilali-ff5ul
      @Hilali-ff5ul Před 16 dny

      Ndio

    • @111dudi
      @111dudi Před 13 dny

      @@MAPETEE znz Ilikuwa ya mataifa mengi, Wahindi, Washirazi (Irani) Waafrika weusi, Wazungu, wachina

  • @Hawa-rt3jl
    @Hawa-rt3jl Před 13 dny

    Masha Allah nafurahi sana kuona Oman wana moyo thabit na ndugu zao zanzibar Allah ibariki Oman 🇴🇲 na watu wake ibariki zanzibar na watu wake❤❤

  • @seifseif9215
    @seifseif9215 Před 17 dny +2

    Mashaallah hii misaada isiishie hapo iendelee na ya mambo ya kifua kikuu na cancer wao wako na vyombo vya kisasa walete wasaidie hispital zetu allah awajaaalien kila la kher

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 17 dny +5

    Sio Oman na Tanzania,ni OMAN na ZANZIBAR.

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 Před 16 dny +2

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

  • @SultanAllyazaiz
    @SultanAllyazaiz Před 17 dny +1

    Acheni mambo yakiswahili sasa eti nilithani waarabu hatuwataki ndonin sasa sema Mashallah

  • @rajabrajab9747
    @rajabrajab9747 Před 18 dny +2

    Mashallah Allah akupeni kila la kheri ❤

  • @saudalharthy9398
    @saudalharthy9398 Před 14 dny +1

    ❤🇴🇲

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 Před 16 dny +1

    Watoto wa bwejuu mashallah wanajua kuongea kwa kujiamini.

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 17 dny +1

    Haya Nimaneno Tuu Siasa Wanyumbo Wanaimba Mpaka Kesho Mtoto Wanyoka Ni Nyoka..Nikawaida Unampenda Mtu Kwakitu Sio Utu..ila Allah Ndio..NK..

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 18 dny +1

    MashaAllah 💚 🎉🎉🎉

  • @alhamiraj4570
    @alhamiraj4570 Před 18 dny +1

    Mashalla mama

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin Před 18 dny +3

    Oman na ZANZIBAR

  • @w4058
    @w4058 Před 13 dny

    Ubaguzi uondolewe ikifika kupiga kura waseme hawatowi Serikali hijaishia hapo tu na pia kusema maneno ya utovu wa adabu na kukiuka mpaka eti Mpemba kuingia ikulu haiwezekani Subhanallah kusamehe watu watasamehe lakini CCM hawasemeheki maana kila ikifika uchaguzi huwa kuliko hao wanyama

  • @BestBest-rx3sb
    @BestBest-rx3sb Před 17 dny +1

    Yaliyopita ni ndwele tukange yajayo someni uislam nini mtume kafanyiwa mecca na vipi alisamehe pia mzee mandela alisamehe

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa Před 16 dny

    Mbwana ally kuwa mzalendo wacha kutaja tanzania zanzibar freee yule mbwana wa redeo nuru na wa hapa tofauti wa hapa anapangiwa cha kuongea

  • @111dudi
    @111dudi Před 17 dny +1

    Mwaka 1964, undugu uliwekwa kando, akaja John Okello ndugu mpya.

    • @froma3732
      @froma3732 Před 17 dny +2

      Akauwa watu wasikuwa na hatia na anajivunia kwa kwa Hilo

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Před 16 dny

      Kakwambia nan zanzibar zimeungana na Oman na sio unyamwezini

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 Před 15 dny +2

      Hivi jaman watoa comment mnabishana siasa2 Tuacheni migawanyiko wanayozungumzwa hapo maswala ya afya sio siasa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 14 dny +1

      Huwezi kuitowa histry ya Omani bila ya Zanzibar.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 14 dny +1

      ⁠@@salehkhamis9994Kweli…. Wao lazima watie siasa na ubaguzi. 😂😂😂 hawataki afya kwenye Nchi yao wala furaha wao Siasa mbaya tuu ya kuharibu vizazi vyao.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 18 dny

    😅

    • @Ali-uh9wb
      @Ali-uh9wb Před 17 dny

      @Khadijahajajiali3918 naona unacheka😅

  • @pira7439
    @pira7439 Před 17 dny

    Oman ni ndugu wa kweli , wa bara ndugu wa vp ?

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 18 dny

    Nilidhani waarabu hatuwataki.. wamerudishwa kabla ACT kuingia madarakani

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy Před 15 dny

      Akija mzungu kuleta madaktari unasema hivohivo pia?

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 Před 16 dny +1

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 Před 16 dny +2

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

    • @111dudi
      @111dudi Před 13 dny

      @@obeidgalib1878 Kuna watu wenye chuki hawataki kulisikia hili.