Mashaallah nakupenda kwa ajiri ya ALLAH hakika namuomba mwenyez mungu atuhifadhi na husda za binadmu na tukutanishe kwenye pepo yake sisi waislamu wote
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh, Jazzakallahu khayir yaa Shaikh Uthuman,kwa kweli nafurahia sana darasa zako zina Elimu pana sana Allah akuhifadhi na shari na kuzidishie Umri ili tupate kufaidika Aamiin thumma Aamiin.
Napenda sana mawaidha ila mm niwakipekee kwa familia yangu mm ndo mtoto tu mwenye nmesomea dini kwa familia ya babangu na mamangu inakua ngumu kumpata mwenye kushirikiana nae kwa khairat ila naamini Allah atawalainishia nyoyo zao
Shukran sheikh Othuman Allah akujalie kheri. Ila sheikh uadilifu alikuanao Mtume Muhammad tu mm sijaona sifa za mwanaume ktk Ummat huu rehema na amani abakienazo Mtume wetu Muhammad 🙌na wakezake Allah awarahamu wazee wa zamani walidumu ktk ndoa zao kulikua hata hakuna darasa la talaka ila sasa lipo darasa la taraka. Ukiolewa na kuowa unakua una ziada ya kifurushi kama cha wiki au mwezi kwajina lingine mb au bando likiisha inategea imeisha kunakuhusu👉🙋🏃😕😳🙈🙈🙈🙈🙈
Huwa nafarijika sana pindi nikisikiliza hadithi na hufarijika zaid nikikusukiliza shee othamani maalim,mungu akuhifadhi na husda mungu akupe afya na sia ili uzid kutupa mafunzo,abdully +27
@@shsjjdjhd9624 Sijajahliwa na .nimeshashukur na nimemuachia Allah. na sitaki ndoa naitaji maisha ya amani sitaki yanirudie na at sitamani mwanamke wa aina yangu apite nilimopita.
Twashkuru sana mashekh zetu lakini siku hizi mada ni ndoa tu. kila Shekh story ni za bwana na bibi tu. kuna mambo muhimu ya iman na taqwa ndio mapungufu leo
Shekhar Allah akujazi kheri akujaliye mja mwema pamoja na mtume Mohamed Peponi ameen
Namuomba ALLAH akujalie maisha marefu yenye kheri duniani na kesho akhera inshaallah
AMEEN ALLAH HUMMA AMEEN
Allah amuhifadhi sheikh wetu pamoja na riyadh tv 🤲
AMEEN YA RABBILL ALAMIEN
Amiin kwa sote
Shee othuman maalim mungu akupe neema kubwa kwajina naitwa Abdurahmani Ramadhani kutoka tanga donge
Shukuran saana sheikh Othman maalim Allah akulipe khier wala dunia na akhera
MashaAllah Jazzakallahu khayran' Mungu akupe afya Yarrabb
AMEEN YA RAABB
Jazaqallah kheir
Shukran khathiirah sheikh wetu barraka allahu feek mawaidha 100%100% rabbi akujaalie umri ulio na khery kwako na kwetu sote insha allah
Mashaa ALLAH tabarakallah jazzakallah kher shekh othman
Mashaallah kwa darsa zuri, Allah akulipe kila la khery
Mungu atupe kheri
Mwenyez mungu akupe umri mrefu uzidi kutuzindua Allah akulipe mema duniani na akhera
Mashaallah nakupenda kwa ajiri ya ALLAH hakika namuomba mwenyez mungu atuhifadhi na husda za binadmu na tukutanishe kwenye pepo yake sisi waislamu wote
AMEEN YA RAABB
Ameen inshaa llah
Aamin allahuma amiin
AMEEN ALLAH HUMMA AMEEN
Ameen Ameen
Allah amjaalie siku ya kiama awe katika wafuasi wa mbele wa bwana mtume (s.a.w)
Allah amuhifadhi sheikh wetu Othman Maalim azidi kutuelimisha ,na Riyadh TV izidi kuendelea aamin
Mwenyezi mungu akujaalie mwisho mwema shehe o maaalim
Ashmina Abdalla kweli kabisa
Amiin
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa Darsa zako mbalimbali.
Mashaalaah shk wetu yarabi akujalie umrl mrefu tupate kujifunza mengi kutoka kwako
Mashaalah......tuchimbe visima sehemu saahihi
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh, Jazzakallahu khayir yaa Shaikh Uthuman,kwa kweli nafurahia sana darasa zako zina Elimu pana sana Allah akuhifadhi na shari na kuzidishie Umri ili tupate kufaidika Aamiin thumma Aamiin.
Napenda sana mawaidha ila mm niwakipekee kwa familia yangu mm ndo mtoto tu mwenye nmesomea dini kwa familia ya babangu na mamangu inakua ngumu kumpata mwenye kushirikiana nae kwa khairat ila naamini Allah atawalainishia nyoyo zao
Mashallah sheikh wetu
Mashallah shekhe umeeleweka vzr mwenyezi mungu akuweke.مأشلله
Ma sha Allah jazaka llah kheri
Maasha allah mawaidha madhuri allah akupe nguvu daima na akuongoze katika njia ilio nyooka hakika nakupenda sana kwa ajili ya allah.
Jazakallahkhairah Allah atuepushe na Moto na atupunguzie adhab za kabr na Allah akupe umri mrefu
Mashallah mashallah Shukran shekhe wetu dawa nzuri sana
Allah akujaalie shifaa shekhe wangu wallah nimejikuta natamani Tena kuolewa
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Shukran sheikh Othman...Ramadan kareem kwa waislamu wote
Mashaallah mashaallah Asante kaukumbusho
Mashaalh maneno mazuri mungu akupe umri🙏🙏❤️❤️
Shukraan Sana sheikh wangu Allah akubariki Sana sheikh wetu jazaka Allahu kher
Shukran shekh wetu mada nzuri sana
naam nmepata manufaa x ana inxhaalah mungu anijaalie npte mke mzuri na xhkh Wang Othman mungu akupe swiha njema uzidi kutupa manufaa
Jazakallah kheir
Mashaallah wajazakum llah khaere alla akulinde na kila shar na akupe mwisho mwema
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu
Allah bless you again Inshallah
Allah akupe mwisho mwema
Yah Rabbi mlinde shekh wetu na husida za waja na mjalie mwisho ulio mwema
Suhanallah mtihani mungu atunusuru na tabia mbaya amiin
JAZZAKA LLAH KHAILA .MUNGU AKUJAALIE KIKA LA KHERI NAJIFUNZA MENGU KWA KUPITIA KWAKO SHEKHE OTHUMANI .MASHA ALLAH.
Mash Allah mawaidha maźuri sana Allah akujaalie kheri Sheikh wetu
Allah atunusuru waslamu wotekwajumulla nawasiyokuwa waslamu atuepushe namarazi hayo Rwanda naduniya nzima inshallah
Maishallah Allah akuhifadhi katika kundi la wajawake wema. Akin.
Masha Allah
Mashaallah shukran sheikh
Mashalah
Salma Salim WhatsApp me +447507409996
Endelea kusikiliza ww mbn una haraka kama mkojo wa asubui
Mashallah
Inshaallah mwenyezi mungu akujaalie pepo yake
Jazakumullah khayr
Niukweli mtupu .jazzakh Allahu kheirun
Mashaalah,shukran
Mashaallah huwa napenda sana mawaidha yako
JazakaLLAH kheer
Mashaallah shekhe
Shkran shekhe othman maalim kwa kutukumbush meng tulokua hatuyajui
Allah akuhifadhi sheikh
Shukran sheikh Othuman Allah akujalie kheri. Ila sheikh uadilifu alikuanao Mtume Muhammad tu mm sijaona sifa za mwanaume ktk Ummat huu rehema na amani abakienazo Mtume wetu Muhammad 🙌na wakezake Allah awarahamu wazee wa zamani walidumu ktk ndoa zao kulikua hata hakuna darasa la talaka ila sasa lipo darasa la taraka. Ukiolewa na kuowa unakua una ziada ya kifurushi kama cha wiki au mwezi kwajina lingine mb au bando likiisha inategea imeisha kunakuhusu👉🙋🏃😕😳🙈🙈🙈🙈🙈
Jitahid usje ukalala tu zayyyat
IshaAllahu siku moja Allahu akulete kwetu Mbulu Manyara
Tuchunge ndimi zetu yaan al-ulamaa waratha tul ambiyaaah tuzichunge hiz ndim
Mh sasa mtume atafanana nani Ndugu yang mwenyenz mungu alisema hakika mhamad yup juu ya tabiya njema nani katika sis atamzida mtume Allah atuhifadh
Shaikh Tuko Bahrain kila siku huweka mawaidha wakati wa usiku. Ila tunufaike sote chumbani.Shukran
big up shekh wangu💪
Mashallah alhamdulillah
Huwa nafarijika sana pindi nikisikiliza hadithi na hufarijika zaid nikikusukiliza shee othamani maalim,mungu akuhifadhi na husda mungu akupe afya na sia ili uzid kutupa mafunzo,abdully +27
Amina shk othuman maalimu
Allah atuhifadhi na kumshirikisha shukran sheikh jazzakaAllah lkheyr 🤲
Nasra AlIsmailiy Amin
Mungu akupe afya njema shekhe Othman ili uzidi kutuelekeza katika njia iliyonjooka
Twayibu mungu akujalie neema.duni ani na. akhera
Allah akbar
Shukuran shehe
Allah atupe kher
Jazakhaa allah
Mashaallah ❤barakallahu 🤲😍
Jazak Allah kheir
AMEEN YA RAABB
Kazakh Allah kheir
Mashallah
inshaalah Mungu akutangulie
Asalam alaykum warahamtullah wabarakatu wadau wa Riyadh na koo zima ya Riyadh Tv online Znz
Waalaikum salam ukhut zayyyat yussuf mtoto wa stendi ya mabas mfuate upotee stend yabas zipo tele mjin
zayyati yusufu waalykum salam warahmatu wah wabarakat
Mohammed saleh 😁
Shukrani sana shekh othman
Great time for us.
mwenyezi mungu atujalie tupate waume wema ili tuzingatie yale unayotufunza Inshallah
Amen
الله اكبر
Sheikh,. Kwanza nasema ahsante sana kwa mafunzo,.walakini naomba tafadhali unikumbuke katika dua lako. Mbarikiwe sana. Amin.
Mashalwa
Jazakallahu kheir
Jazakallah khayr she Odhuman nasubiriyhadidhi ya mume anayefua nakupika imeishia wapi
Ulipo tupo she he thanks maalim ,kutoka hanyegwa mchana Zanzibar nakufatilia
Jazaqallah Allah akuhifadhi shee. wetu mpendwa walwah napata faraja nikisikiliza mawadha take maa shaallah
Masha Allah .kisa kizuri
🙏🙏🙏💞💞💞🤲🤲🤲
barraka llaha, ila hiki kisa naona kama hakijamalizika .
🙏🙏🙏
Alllah akulinde sana ustadh othman maalim
Nilisubiria sana kuhusu kisa cha huyo jamaa...aliyekuwa akifua, na kupika, wakati mkewe....ilikuwaje?
Sikiliza mawaidha utaelewa kwasababu anachanganya na visa na hadith zinazoendana na kisa
Asalam alykm Nahitaji namba ya sheikh Othman.... Kama mtu anayo tafadhali
Part 2 wapi
Ramadhani
Mungu akuzidishi umrimlefu
Assalam aleykum warahmatullah,,,kwa nini mnatuletea sauti tu ya sheikhe wetu ?
ilove you
Kheri
Mashallah
Shekhe ww ni mwalimu
Oeni wanawake wanaozaa sana😒 ndio maana tusiojahliwa kizazi ndoa zetu ni mateso. Kipande icho kimenihudhunisha kutwa nzima nikakumbuka magumu niliyoyapitia 😥😥😥
Allah akujaalie upate watoto nakama tayar alhamdulillah
@@shsjjdjhd9624 Sijajahliwa na .nimeshashukur na nimemuachia Allah. na sitaki ndoa naitaji maisha ya amani sitaki yanirudie na at sitamani mwanamke wa aina yangu apite nilimopita.
Twashkuru sana mashekh zetu lakini siku hizi mada ni ndoa tu. kila Shekh story ni za bwana na bibi tu. kuna mambo muhimu ya iman na taqwa ndio mapungufu leo
Je pale unapo mwita mkeo. Mama Ally inakubalika au
Haifai_kumwita_mkeo_mama
Icho ni changu kabisa
Muhammed na Faiza kuja hapa
Asante zayyyat
@@mohammedsaleh2202 Hujambo Muhammed jana net ilinigomea leo nasikiliza video zote za jana nilizikosa😢
@@zayyatiyussuf9566 sawa itakua vizur
zayyati yusufu nipo my asnte hujmbo
Mohammed saleh shikamoo
Asante sana
Mashallah
Mashallah
Mashallah