Allah akupe mwisho mwema shekh othman... Cha kukulipa hatuna kwa mawaidha haya lakn za kwetu ni duwa tu kwako kipenz chetu.... Nakupenda kwa ajili ya Allah ❤️
Mashaallah Asante shukran sheikhe wetu kwa Mawaidha mazuri yenye kutuelimisha Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha sisi na vizazi vuetu vinavokuja nakupenda sana kwa ajili Ya Allah
MashaaAllah..hali ya sasa ya maasia ndio imetuletea majanga tunayoyaona sasa.Turejee kwa Allah kwa kutubia na kuendelea na maamrisho na kuacha makatazo..shukrani. shekhi kwa ukumbusho .Allah akuhifadhi ..
@@mohammedsaleh2202 😂😂acha zako bado unanyonya ww mmpaka uwe katoto kadogo halafu unazungumza meno yote yashaota kunautoto tena umejikaza eti katoto Faiza mpe mke huyo mkewe nae amuunge hapa kwenye comment chat na kama nae mke atakua katoto basi👉🍼inawahusu bili nitalipa mm😂😂😂😂😂😂🍼🍼🍼🍼🍼🍼🍼🙌
Naam sana tu lakini waja wa akheer dunia hasa watawala wa siasa ndio kabisa wanajishau kabisa kama Allah Mtukufu ana nguvu kuliki wao lakini wap wanadanganyika na silaha zao kweli sie waja bora ndio akhasi Allah awahidi atuhidi na sie tusitaqabar
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim Allah akulipe kher inshallah 🙏
Subhannallah
Faiza Said MashaAllah
Shukran kwa mawaidha mazuri sana mungu hawajaze afya njema insha'Allah
Jazzaka Allah kheir
MashaALLAH baraka ALLAH fikum ALLAH akujaalie kheir nyingi sn kwa unatupa chakula cha roho
Mungu akupe afya bora shekhe ulie jitoa kwa ajir ya Allah.neema kubwa Sana kwa kuwa na shekhe Kama wewe.
Aamiin
Ma sha Allah napenda sana mawaidha za shk othman from garissa kenya
Shukran
Ramadhan hamisi nice
Asalam nghalaikum.
Allah akuzidishie ilimu sheikh akujalie umri wenye afya njema sheikh Othuman uzidi kutuelimisha mashaallah shukran
Mashaa Allah shk wetu
Mashallah shekh wetu Allah akuzidishie
Ya sheikh 🥰🥰
Jazaaqa llahu khayr shekhe
Mashaallah Mungu akuzidishie uzima na afya shukran
Allah akupe mwisho mwema shekh othman... Cha kukulipa hatuna kwa mawaidha haya lakn za kwetu ni duwa tu kwako kipenz chetu.... Nakupenda kwa ajili ya Allah ❤️
Mashaallh
ALLH Akujalie mwisho mwema 🤲
Allah atujalie tuwe wenye kuitegeshea mgongo dunia Allah atujalie mwisho mwema kwa sote kwa rehema zake mwenyewe Allah
Mashaallah Asante shukran sheikhe wetu kwa Mawaidha mazuri yenye kutuelimisha Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha sisi na vizazi vuetu vinavokuja nakupenda sana kwa ajili Ya Allah
Allah atupe mwsho mwema
MashaAllah tabarak Allah
Yaani,. Sheikh. Nami napenda hadithi yako . Mwenyenzi mungu atuepushe na Shari tunayotenda kipindi tunavyo ishi duniani . Ahsante.,ubarikiwe kabisa.
Allah akupenguvu uzid kutuelimisha
MashaaAllah..hali ya sasa ya maasia ndio imetuletea majanga tunayoyaona sasa.Turejee kwa Allah kwa kutubia na kuendelea na maamrisho na kuacha makatazo..shukrani. shekhi kwa ukumbusho .Allah akuhifadhi ..
Subhanallah wanaadam sisi niwatu madhaifu lakini wapo wenye kiburi jeuri nyingi sana
Mashallah
Miss you Faiza hujambo uhaligani wambaje Shukran nimefika 👂
zayyati yusufu sijmbo nashukuru vipi nawwe
@@faizasaid8262 Alahamdullah sijambo ndugu yangu khofu kwako
Maashallah
Asante sana Riyadh tv
Mohammed saleh shikamoo
@@faizasaid8262 marhaba hujambo vizuri faiza
Mohammed saleh sjjambo wwe t
@@faizasaid8262 nipo vizur lakin mimi faiza bado katoto kidogo tu
@@mohammedsaleh2202 😂😂acha zako bado unanyonya ww mmpaka uwe katoto kadogo halafu unazungumza meno yote yashaota kunautoto tena umejikaza eti katoto Faiza mpe mke huyo mkewe nae amuunge hapa kwenye comment chat na kama nae mke atakua katoto basi👉🍼inawahusu bili nitalipa mm😂😂😂😂😂😂🍼🍼🍼🍼🍼🍼🍼🙌
Allah barik
Maashaa Allah
Mashallah Allah akuzidishie yarabbi
Zayyat njoo habibaty Mohammed kawahi hajatudokoa bwana harusi huyo
Faiza Said MashaAllah
Dada zayyat sijamuona bado
Mashaallah
Alhamdulillah sh.!
Naam sana tu lakini waja wa akheer dunia hasa watawala wa siasa ndio kabisa wanajishau kabisa kama Allah Mtukufu ana nguvu kuliki wao lakini wap wanadanganyika na silaha zao kweli sie waja bora ndio akhasi Allah awahidi atuhidi na sie tusitaqabar
Mwenyezi mungu akuzidishie inshallah
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah
Thabarakallah
Ma sha allah
ALLAH AKBAR
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu wadau wa Riyadh na koo zima ya Riyadh Tv online Znz
Maashaallah 🙏🙏🙏🙏
allahu akbaru
Aamiin
Swallallahu alayhi wasallam
ABDI NASIR
Alaskan
Hakuna mwenye nguvu isipokuwa ww allah
Shukran
Shukuran shekhe wetu
Mashallah
Mungu akujalie maisha marefu na afya atupe sote pamoja inshaalah
Shukran
Mashallah