🅴🆇🆃🅴🅽🅳🅴🅳 🅷🅸🅶🅷🅻🅸🅶🅷🆃🆂 | SIMBA SC {1} VS YANGA SC {5} | LIGI KUU YA NBC 2023/24
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com...
📱 App: Android User: play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
This game never get old to me😅😅
I watch it over and over again
Asante sana Simba kwa kutupa furaha mashabiki wa Yanga. Tungepata wapi kwingine extended highlights.
Dah ila kaka mchokoz
Tunaoburudika mpaka sasa tujuane hapa 😅😅😅😅😅😅
Tupo
Tunaisubiliiii tena🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
😂😂
SHABIKI,WA,YANGA,ATHUMAN MKWANDA
Kama Bado una kumbuka fulaha ya hii mechi basi dondosha comment hapo chini like za kutosha
yaani marudio ya mech hii hayajawah kuboa hata kidogo
Aliona kipa diara anaingia uwanjani na kunyoosha mkono juu akionyesha ishara ya Tano like hapa tuende sawa
Alie SEMA yang amechoka Hana hakili
Alinyoosha 5 halafu Kuna 1 kwenye 🖐️
Alikuwa sahihi kutoka ishara ile ili kuwapa wananchi matumaini yangu ushindi
Still watching it. Fantastic game, fantastic commentator
Aziz k🔥🔥🔥🔥🔥
Alie rudia kuangalia jinsi kolo alivo teseka gonga likes hapo
Yanga ni kali naomba like juu ata Mimi nime wapa
Nani anaangalia leo 2024❤😂😂😂
Tupoooo
🖐️
😊😂
Haichuji hìi
🖐️
kama bado waangalia hii mwana yanga mwenzangu shusha likes hapa
😂😂
Sio kwawana yanga pekeyaketu hataa wekundu wamsimbaz wanaanģalia kwaumakini
Qqpp1
Cyo poa😂😂
29/02/2024 Still watching Viva Yanga
Ndio Maana Ctaki Kuwa Shabiki Maana Naogopa Kufa Na Piresha Bure Itakayo Funga Mi Swa 2 Ila Nyanga Chukueni Makopa Yanuu❤❤❤❤❤❤❤❤
😅😅
Kama bado waangalia hii dondosha likes hapa
Aziz k scored the goql between the legs of kapombe and goalkeeper manula😂😂😂
Kama unaangalia tena mwezi December 2023 gonga like hapa
Najikumbushia nafive g 5:57
Yanga tam
Leo ni 6/6/2024 love 💕 yanga
Thank you simba for this high light 🙏 daima mbele
Chama mwamba wa kusaka
A fantastic match ever happen.......A true quality of Young team disappoint totally Simba team . . I love Yanga
Leo tar 1 mwezi wa 1 nipo hapaaaa 2024
Ukiwa una stress, ukija hapa unapozwa 😤😤😂😂
NASHAURI KWA WANANCHI, TUWE TUNAANGALIA KILA TAREHE TANO😂😂
Naanza mimi
Safi sana simba sisi yanga tulikuwa hatujui tutapata wapi highlight kama hii
I am a Young Africans supporter, but in this respect, whoever did this posting he deserves a five star ranking ofmaturity! Sisi mlipotupiga zile mbili last season sina uhakika kama tulipost!😅
Yeah apa tunawapongeza sana kupost hii extended Highlight
Ni kawaida hii ni youtube acount inaingiza pesa kwa kila kinachopostiwa hata man u akifungwa saba na liverpool wanapost kupata views
Ile ya 2-0 makolo ndo walikuwa wenyeji.. so yanga hatukuwa na haki ya kupost ndomaana hata hii sisi hatujapost, ila ijayo tunamnywa mtu saba halafu tunauzaaaaa😂😂😂😂😂😂
Kumbe ukiwa mgeni hauwezi kupost😳
Nmependa sana simba huo ndio ukubwa
Leo tareh 23 Jan nimerudia tena
Simba kitu Gani ...hii ni yanga baba kiboko ya Kila timu❤❤
Simba Asanteni 💚💚💚💚💛💛💛 wengine mnawatesa 😜😜😜
WANGAPI WANACHEKI HII LEO TAREHE...30/5/2024 ..YANGA TUPIGE LIKES HAPA💚💛🔰💪💪💪💪💪💪😅
Pole simba. Tangu Gamondi aje simba wamekuwa na makocha wanne mpaka sasa.
Still watching even today 🎉🎉 superb derby ever 🔥
Mungu awabarik watan kwa kulijua ilo ni matokeo t ya mchezo daima mbele nyuma mwiko
Naangalia marudio hapa ya hamsaaaaa
Tupo wengi sana, tunajikumbusha
Nimerudi tena hapa baada ya kuchukua point 6 na goli saba kwa mtani ,
21/06/2024 tunakumbusha kidogo ❤❤❤❤
I can’t stop watch over and over again who’s here today?
Am here 😂😂😂😂😂😂12/3/24
daaaaaa
Asante sana Admin Kwa highlight nzuri matokeo yametuumiza lakini tunasonga mbele
Daima mbele nyuma mwiko
Makoloo hapa mmeteseka sanna kwa wananchii kipigo . Mlichokipaya ni saizi yenuu mukomee
😂😂😂😂
Hii ndio yanga African
Daima katika maisha yangu hii niaibu ya mirere na haitajuja kutokea
One of the brave and beautiful match to watch
Wananchi tupo hapa kuwaongezea views maana mmelemba na muandiko kabisa😂😂😂
Kweli kabisa wameremba mpk imependeza😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Ilikuwa mechi ya vibabu na vijana shupavu😂😂😂
A very nice game for yanga.bravo
Well done diara for the goog job after stop kibu denis
I love u yanga
Benjamin nm
What a game❤❤
What a game, what a day...this is Tanzanian football!!!! a day of five....
💚💚💛
Kawek Na Kizunguu Watu Wa Nje Nao Waelewe 😂😂😂 😂😂Shout Out Kwako Simba 😂😂😂😂😂Tabuleleee Laaah 🖐️
😂😂😂😂😂
Ndio maana walishinda kumbe walisali kwanza
Mm ni yanga, hiki walichofanya simba ni level ya juu ya ukomavu.. hii clip ni tiba kwa simba family.. wamekubaliana haraka na kilichotokea, ni hatua kupongezw
Ukomavu mkubwaa Sana huu,big up,,
Bila tano unafikiri benishika angekuwepo. So lazima wakubali
Watu wanatafuta viewers Mzee
We hujui kitu au hutambui simba ndio alikuwa mwenyeji wa mchezo😂
@@ambelemwaifunga92188:05
Mwandishi nakupongeza kwa maandishi yaliyo kolezwa yanasomeka vizuri sana.
Second goal of aziz was between the legs of shumari and manula😂😂😂
Toka ngaya Jamii walipimana nguvu wakajuwa kwamba simba hawajasajili
maturity big club ❤❤❤ SIMBAAA
😂😂😂😂 01-01-2024 nimekuja tena kuangalia hii aibu ilomkuta mnyama
Yani Mimi Leo naangalia 27/1/2024🤣🤣🤣
Mimi Leo mi trh 18 mwezi wa 2 😂😂
21/11/2023 😅😅😅😅i cannot stop watching this
In this situation you need a bold compliment
Hii ni account halisi ya simba? Hongereni watani nimeipenda hii. Haya ni matokeo tu! 🖐️
Hi mechi naiangaliaga Kila wikj
Yanga daima mbele nyuma mwika
Toka ngao yajamii walipimana nguvu wakajuwa kwamba simba hawajasajili
Admin unyama sana🖐️🖐️🖐️
❤❤❤❤
Wananchiiii tuna enjoy wallah
Good match
Eti extended highlight 😂😂😂
Utasema mnafurahia kufungwa na yanga
Leo tarehe 30 November lakin bado nachek yanga rahaa😊
Admin kichwa chako kipo sawa kweli?
Tanokubwa moja ndogo kwenye mikono ya diara mkono wakushoto
Thanks somuch mr diara becouse you stopped kibu denis
Hongera wananchi
Leo tar7/72024 najikumbushia tulivyomtesa my wetu alietakiwa kula bao zaid ya 7 dat day😂😂😂😂🙌nyie yanga ni hatari sanaa🙌🙌🔥🥂
Big up
Safi xanaa
Yaani mmeweka ya Kingereza ili watu wasisikie Tabulele Laaa😆😆😆😆😆😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂😂
Shortly nimeuna ukomavu wa hali ya juu kwa hili
A friend who lives ❤🎉
Kweli wateseka
🎉
nakumbuka sana wapendwa
watchingtoday 8/8/2024
Admin ndo ukaamua urembe na kuandika kwa herufi kubwa kabsaa,😢
😂😂😂😂🖐️🖐️🖐️
Safii.....!!!!
Diara ananifrahishaga kuanza na maombi. Good feith
Faith
Adimini una moyo kweli 😅😅😅
Hata hamna aibu juen namna ya kuludisha mashabik kweny msitali potezn yaliyopita
Waliorudi baada ya chama kusajiliwa mna like hapa
Simba wamejua kuipa heshima ya Kariakoo Derby kwa kujua ya kwamba hii mechi itatazamwa na maelfu ya watu wa nje ya Tz na ata baran Africa 🌍 na wameichagua video yenye tafsiri ya kingereza kwa hapa Yanga tumepigwa TK'O Congratulations Mtan
🎉🎉🎉
Mm nimeuangalia leo ya 50😂😂💚🔰
YANGA NI UNTOUCHABLE
Kiukweli hapa Mtani alipatikana na alipata taabu sana.Yanga 5 Simba 1
Najikumbushia nafive g
Yanga naipenda kuliko hata madem 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mnaitizamahii au mmesahau
Nikiwa na stress tu nàzama kwa Simba SC youtube account naangalia zahama ya tarehe 5
Hii channel sio ya wananchi ila imevamiwaaa 💚💚💚Yanga 😂😂😂😂😂😂😂
Naangalia marudio naona makoro wanarudia makosa Yale Yale japo kocha wao wamemtimua.
😂😂😂