Watafukuzwa kwenye hozi ya mtume kuomba maji pale mtume atakapo ita umati umati yaluma umati umati wangu njoeni itatokea sauti toka mbinguni ikisema laa tadil ma ladhii muhudathat ataambiwa mtume,hawo so katika umati wako kwanini walizua baada yako.mtume atasema suka liman badala baadi suka liman badala baadi ondekeni wenye kuzuwa baada yangu wakae mbali na mimi
Jazzakallahu khayra Sheih Nourden kishki kutuelimisha kwa sunnah kuijua vyema Allah akuifadhi Ameen yaarabby 🤲🤲
Allah atujaalie tuwe ni wenye kauli zenye kumpendeza allah❤
Shukran sheikh Allah akujalie kilaraheri
Mashallah
Allah awaongoze na awalipe yaliyo mema kwa Kazi kubwa mnayofanya in Shaa Allah
Allahu akbar mashallah
Jazzakaallah kheri. Sheikh. Akujalia. Kila la kheri
Allah akilipe kwa kila unachotufundisha na umri mrefu na mwisho mwema inshaalah
Mashaallah ❤❤❤
Mashaalaah MUNGU awalinde inshaallah
Allah awalipeni heri kwa kazi mnayo mmfanyiya.. Inch’Allah
Mashaal alaah akulipe kilaheri
Allahu akbar mashallah Allah ajaalie nami niwe miongoni mwao inshallah ♥️ ❤️
Oooh allah niongoze vyema
Ma shaa Allaah
Sheikh karibu kwetu burundi tunakupenda kwa ajili ya Allah
Mashallah allah atujalie tuwe miongoni mwa wat wema
Allah awalipe Kila laheri
Watafukuzwa kwenye hozi ya mtume kuomba maji pale mtume atakapo ita umati umati yaluma umati umati wangu njoeni itatokea sauti toka mbinguni ikisema laa tadil ma ladhii muhudathat ataambiwa mtume,hawo so katika umati wako kwanini walizua baada yako.mtume atasema suka liman badala baadi suka liman badala baadi ondekeni wenye kuzuwa baada yangu wakae mbali na mimi
Oooh allah tufanye tuwe ni wenye kuipenda quraan
Famantaja shuku fahua yeye, allah akupe umri mrefu wenye manufaa tupate kuelimika
Famanta jashuku fahuwa yeye 😅😅
siku ya kiama watu wa bidaa watafufuliwa nyuso zao zikiwa na kiza sura zitapoteza nuru kwa wazushi
Xxx
❤
Mashallah