Tunakuelewa shaikh watu lakin usiombe kukosa hiyo nyumba wazee wetu wanakosa utulivu 😢 leo yuko hapa kesho hapa Wanakosa utuliv hata ibada haiwi tuliv kwao tena bora mama zetu kuliko wababa Mungu atusaidie tupate hio saada fil dunia Amiin
Allah tujaalie tuwe na mazingatio na tupe moyo wa utiifu Wa kutekeleza swala za Sunna hizi baada ya kuwa tunatekeleza faradhi ili utujengee nyumba peponi Kwa idhini Yako.
Ya Rabb Mlinde sheikh Nurdeen kishk na kila baya na mashekh wote kwa ujumla, Aamiin
Aamin 🤲
Amiin Yarabby
Allahumma Aaameen
Oooh allah tusamehe na utuhifadhi kwa Yale tusoyajua nacuwajaalievwenye kujua kama kishki watuelimishe
Masha Allah shekh wangu shukuran Sana kwa funzo muimu Sana in shaallah mwenyezi mungu akulinde na kila Baya
Allah atupe taufiq tuzifanye ibada zetu kwa ufasaha
Tunakuelewa shaikh watu lakin usiombe kukosa hiyo nyumba wazee wetu wanakosa utulivu 😢 leo yuko hapa kesho hapa
Wanakosa utuliv hata ibada haiwi tuliv kwao tena bora mama zetu kuliko wababa Mungu atusaidie tupate hio saada fil dunia
Amiin
Allah atusamehe pale tulip kufuru yarabi
Allah tujaalie tuwe na mazingatio na tupe moyo wa utiifu Wa kutekeleza swala za Sunna hizi baada ya kuwa tunatekeleza faradhi ili utujengee nyumba peponi Kwa idhini Yako.
Allah atujaalie tuwe nimiongoni mwao
Masha Allah 🙏🏽
Allah akuhifadhi ❤❤
MASHAALLAH TABARAK LLAH
Mashallah
Masha Allah tabarakallah nakupend kwa ajil ya Allah
Siyo wazazi wote sheikh
Allah atujaalie na atupe taufiq tuweze kuziswali 🤲🏻
Mashallah tabaraka llah ❤❤❤
Allah akubarik
آللهم آمين يارب العالمين
Jibu ni idul_aladhha
Nakupenda sana Sheikh kwa ajili ya Allah na wakenya twakupenda sana..
Jamani Allah akujalie umri uliyo mrefu🙏🙏🙏🙏
Asalam aleikum naomba kuuliza hizi rakaa mbili kabla ya dhuhur ndio yaitwa dhuha am ni yengine
Waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Zipo raka 2 za dhuha ...na kuna raka 4.. kabla ya dhuhuri
Allah atujalie ndimi zetu ziwe zenye kusema uwongo
Mtumeeee zenye kusema uwongo😮
Mashallah