TAHARUKI YAIBUKA SHEKILANGO,WAMILIKI WA MABASI WAFUNGUKA MAZITO KUHUSU MANYANYASO WANAYOPITIA
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2024
- taharuki yaibuka shekilango wamiliki wa mabasi wachoshwa na manispaa jiji wanancho wafanyia#manaratv #barbie #diamondplatnums #diamondplatnumz #bcc #voa #ikulumawasiliano #tbc #news
Hapo siyo Stand Kuu, Mabasi yakaanzie Safari Mbezi. Stand ya Magifuli. Hao wanaoongea ni wapiga debe tu.
Kwanza mbezi usalama hakuna unavutwavutwa tu Mimi saizi shekilango na papenda sana usalama upo
Tatizo mwandishi unahoji wapiga debe na madereva Bajaji. Nenda kaonane na wamiliki pia mfuate Mkurugenzi ukihoji pande zote story itakuwa imekamilika. Huu ni uhuni.
Nendeni stand ya ma bus MBEZI HAPO SHEKILANGO NI MAKAZI YA WATU SIO STAND PLEASE MAMA SAMIA ANAZO AKILI NYINGI , KULIPA SIO SHIDA STAND SIO SHEKILANGO ACHENI KUJITUNGIA STAND NENDENI MAGUFUL STAND ACHA MIKWARA WEWE MWANASHERIA NN
Kipindi cha JPM ingekua story tofauti sana😅
mbona kama hawana heshima kwa Mkurugenzi,woote waliojieleza ni kama wamekebehi agizo la serikali
Hii Kaa Kaa chini watanzania mnaopenda sana. Yaani Kila jambo tubembelezwe. Hiiii
Kila wilaya iwe na stendi yake siyo razima mbezi kigamboni temeke irala
Ninyi pelekeni Magari siyo Kila kitu kwenye media huku mnajua ingieni ndani. Hujawahi kupeleka gari yako unalalmika. Shida nchi hii uhuru mwingi sana na mnageuza uhuru kuwa fursa
Kwani hapo panamkela nn?, watu wengine bhana nawashangaa sana, wanafanya kz Kwa mihemko sana bila kuwashirikisha wahusika.
sio kweli kwanza uyo ni mpiga debe tu
ofcoz hao wamiliki wa mabasi wanavunja sheria coz tukisema kila mtu achague stand yake it means hata kariakoo unawezaa kuwa na gari yako posta unaweza kuwa na gari yako moja inatokea huko ila kwa busara mkurugenzi alipaswa kuwaita ili kuwaeleza utaratibu ulivyo na kuwaambia si kila kitu ni mapato tuuu nooo kuna muda ni kufata sheria na utaratibu coz huo ndio utachangia upatikanaji wa mapato zaidi na zaidi
ayo majamaa uwa yanajichetua unazani yameambiwa mapatao tu.yameambia vyote ila wanakuwaga wajitoa ufaham
Woteeee mliongea mnadharau
Lazima wafunge gari zenu nendeni mbezi stand
sheklango kuna stand acha maneno ya kununuliwa na matajiri
Hii stend ilijengwa kwalengo gani
kumbukeni mliambiwa muda mrefu muende stand tangu wakati stand ya ubungo
Hamna kibali cha kushusha wala kupakia nje ya stendi ya MAGUFURI BAS TERMINOR
Na mama SAMIA ameliona hilo tunamshukuru sana mnataka kuiua stendiyetu ...njooni ote stendi tuone km hamtatosha
Kwel kbs warudi Mbezi na kazi iendelee
Kwanii Ile kituo Cha mabasi Cha mbezi kinakazi gani?
Naipongeza SERIKALI KUIPELEKA STAND MBEZI MAGUFULI SAFI SANAAAAAAA SERIKALI YA MAMA SAMIA OYEEEEEE
Hapana kwa usalama wanchi pelekeni mabasi stendi mkishusha watu wenye mabom simtapindua nchi?
Mukurugezi yupo sawa je kwani ndege uwa zinawapereka wanapotaka
Wewe ndio umemaliza kabisa,kwanza inaondoa msongamano.wanatakiwa wakae MBEZI TU
Wahuuni nyinyi mnapenda kubembelezwa..
Peleka magari stend ya mkoa
Acheni kujitoa akili pereka magari mbezi huo ni ujinga.
Mbezi panakera sana ukifika unavutwavutwa sana hadi kero mm mwenyewe binafsi napenda shekilango
ASITAFUTE HELA KWA AKILI ZA SHULE
ww ni mpiga debe tu ndugu yangu acha serikali ifanye kazi yake ww sio tajiri
Nendeni stendi ya mabasi. Hapo mlipo sio kituo kikuu.
Stand mbona wanaingia vzuri kabisa hebu fikria mtu anaenda moshi anaishi kigamboni why apambane na daladala atapata tabu sna n bora apande bas hadi mbezi na hivyo vyote n vituo
@@msafirisaimoni9561wapo watu wanajiwazia wao tu
Dar Hupajui ww, na kama upo Dar hujawahi safiri
Hakuna point hata moja hapo.. Kwani mabasi yakianzia mbezi tajiri anapata hasara gani... Chamsingi ni kufuata sheria na kanuni za nchi acheni blaablaa... Eti mjinga mmoja anamuuliza mkurugenz kama anajua bei ya tair ya gari
si kila kitu ni mapato kuna vitu ni vingine ni sheria
Wachangiaji wengi humu n wajinga Sana. Hata karaha na kero za mbezi hawazijui. Abiria anahitaji comfort wakati wa safari, mbezi hiyo hapo .Huwezi lazmisha watu wasafiri Kwa kurundikana na kubanana kwenye daladala, bajaji na pkpk. Yaan watu wateseke Ili kundi flan la watu wapate ajira!?, ujinga wa Hali ya juu.
Acheni ujinga wew Pereka magari yote sitendi mbezi sasa parikuwepo ajagani kujenga sitendi ya babilioni
Watanzania hawapendi utaratibu. Yaani ni shida. Fuateni utaratibu. Mlishaambiwa. Mzungumze nini? Nendeni Ulaya muone walivyojipanga. Magari makubwa hayaingii mjini.
Magarii yaendee sitendi acheni ujingaaa
Wapiga debe ndo wanataka gari zirudi ili waendelee kupiga abiria pesa
Muuni mmoja hachakauli zako za mtaani.pelekeni magari mbezi..
Tuache Uswahili Uswahili tufuate Sheria Stand iko mbezi " Hamna hoja yoyote"
Hawa wakurugenzi sijui wanatoka wapi
Huo ni upigaji tu
Unashuka mbezi unamizigo mingi dala dala azipakii mizigo wee nini
Serikali itilie mkazo gari zote kuanzia shekilango hadi magomeni na zile za k,koo ziishie mbezi magufuli..
Washenzi nyie vidampa vya matajili..
PELEKENI MABASI MBEZI!HACHENI DHARAU.
MABILIONI YA FEDHA YAMETUMIKA KUJENGA STAND MBEZI ILI KIWE KITUO KIKUU CHA MABASI KAMA VILE CHA TRENI,NDEGE,MELI,MWENDOKASI NA N.K
FAIDA YA KIBIASHARA MABASI YAKIWA MBEZI NI KUBWA KULIKO YAKIWA KWENYE STEND ZENU.
FATENI UTARATIBU.
Sema upo mkoan ndo maana unazungumzaa hvo, kuna watu wanaishi mbali na stand ya magufuli zaid ya 60km sasa asubuh atawah vp jumlisha foleni so hapo sheklango, kigamboni, temeke, chanika n.k so tazama na wananchi achen kulopokaa...utaratibu uwekwe ila sio watu waende mbezi
Sisi wananchi tunaiomba serikali ikazie msimamo wake.. Kwakuwa ndio sheria...
Nenda stand mabasi yapo wewe ujui unamuonya kama nani wewe kenge
stupid .what they call mdau are those who scramble for passengers..asking them if they own the bus.
Zidisheni sn maombi treni ifeli kinyume na hapo mtalia sn nani atatumia mibasi yenu mbwa nyie
Vilevle hii serikali n ya hovyo, inawatendaji wajinga Sana. Mkurugenzi yeye anatembelea kwenye V8, hajui karaha za mbenzi, yy ajali Kodi yake., kulazmisha watu kwenye mbenzi n kuwaongezea gharama na kuwapotezea muda wanaichi. Shida Serikali ya MAGUFULI yote Yenye BUSARA ilipanguliwa. Saiv wajinga ndo wanatawala inchi. Ndo shida hizi sasa
Watu wanatafuta kiki toka kwa mkuu wa nchi hadi kupitiliza. Wanakurupuka tu hadi kuleta Kero sijui wanataka iwe kama nchi jirani
EM FUATEN UTARATIBU WALIOJENGA STENDI SIO WAJINGA NENDEN STENDI
HUJUI KITU NYAMAZA
@@methuselajoseph2350we unachokijua ni nini ww mbuzi viongozi hawataki tena rushwa rudini MAGUFURI stend ni moja earpot moja na bandari ni moja kwanza kibalichenu kilishaisha toka mwakajana mwezi wa 9 mpo nje kimakosa