TAHARUKI YAIBUKA SHEKILANGO,WAMILIKI WA MABASI WAFUNGUKA MAZITO KUHUSU MANYANYASO WANAYOPITIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024
  • taharuki yaibuka shekilango wamiliki wa mabasi wachoshwa na manispaa jiji wanancho wafanyia#manaratv #barbie #diamondplatnums #diamondplatnumz #bcc #voa #ikulumawasiliano #tbc #news

Komentáře • 66

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 4 dny +4

    Hapo siyo Stand Kuu, Mabasi yakaanzie Safari Mbezi. Stand ya Magifuli. Hao wanaoongea ni wapiga debe tu.

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Před 12 dny +4

    Kwanza mbezi usalama hakuna unavutwavutwa tu Mimi saizi shekilango na papenda sana usalama upo

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 4 dny +2

    Tatizo mwandishi unahoji wapiga debe na madereva Bajaji. Nenda kaonane na wamiliki pia mfuate Mkurugenzi ukihoji pande zote story itakuwa imekamilika. Huu ni uhuni.

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 8 dny +1

    Nendeni stand ya ma bus MBEZI HAPO SHEKILANGO NI MAKAZI YA WATU SIO STAND PLEASE MAMA SAMIA ANAZO AKILI NYINGI , KULIPA SIO SHIDA STAND SIO SHEKILANGO ACHENI KUJITUNGIA STAND NENDENI MAGUFUL STAND ACHA MIKWARA WEWE MWANASHERIA NN

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 Před 16 dny +3

    Kipindi cha JPM ingekua story tofauti sana😅

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 Před 11 dny +2

    mbona kama hawana heshima kwa Mkurugenzi,woote waliojieleza ni kama wamekebehi agizo la serikali

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 Před 5 hodinami

    Hii Kaa Kaa chini watanzania mnaopenda sana. Yaani Kila jambo tubembelezwe. Hiiii

  • @alfredysiwonike4241
    @alfredysiwonike4241 Před 8 dny +2

    Kila wilaya iwe na stendi yake siyo razima mbezi kigamboni temeke irala

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 Před 5 hodinami

    Ninyi pelekeni Magari siyo Kila kitu kwenye media huku mnajua ingieni ndani. Hujawahi kupeleka gari yako unalalmika. Shida nchi hii uhuru mwingi sana na mnageuza uhuru kuwa fursa

  • @greenwellnsyukwe4729

    Kwani hapo panamkela nn?, watu wengine bhana nawashangaa sana, wanafanya kz Kwa mihemko sana bila kuwashirikisha wahusika.

  • @imanuelvicent8807
    @imanuelvicent8807 Před 3 dny

    sio kweli kwanza uyo ni mpiga debe tu

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Před 8 dny +1

    ofcoz hao wamiliki wa mabasi wanavunja sheria coz tukisema kila mtu achague stand yake it means hata kariakoo unawezaa kuwa na gari yako posta unaweza kuwa na gari yako moja inatokea huko ila kwa busara mkurugenzi alipaswa kuwaita ili kuwaeleza utaratibu ulivyo na kuwaambia si kila kitu ni mapato tuuu nooo kuna muda ni kufata sheria na utaratibu coz huo ndio utachangia upatikanaji wa mapato zaidi na zaidi

    • @johandavid7389
      @johandavid7389 Před 4 dny

      ayo majamaa uwa yanajichetua unazani yameambiwa mapatao tu.yameambia vyote ila wanakuwaga wajitoa ufaham

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 8 dny +2

    Woteeee mliongea mnadharau

  • @nasibubinkimbejackson5277

    Lazima wafunge gari zenu nendeni mbezi stand

  • @imanuelvicent8807
    @imanuelvicent8807 Před 3 dny

    sheklango kuna stand acha maneno ya kununuliwa na matajiri

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 11 dny +1

    Hii stend ilijengwa kwalengo gani

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Před 3 dny

    kumbukeni mliambiwa muda mrefu muende stand tangu wakati stand ya ubungo

  • @rebekabigawa1439
    @rebekabigawa1439 Před 17 dny +1

    Hamna kibali cha kushusha wala kupakia nje ya stendi ya MAGUFURI BAS TERMINOR
    Na mama SAMIA ameliona hilo tunamshukuru sana mnataka kuiua stendiyetu ...njooni ote stendi tuone km hamtatosha

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před 2 dny

    Kwanii Ile kituo Cha mabasi Cha mbezi kinakazi gani?

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 8 dny

    Naipongeza SERIKALI KUIPELEKA STAND MBEZI MAGUFULI SAFI SANAAAAAAA SERIKALI YA MAMA SAMIA OYEEEEEE

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 12 dny +1

    Hapana kwa usalama wanchi pelekeni mabasi stendi mkishusha watu wenye mabom simtapindua nchi?

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 11 dny +1

    Mukurugezi yupo sawa je kwani ndege uwa zinawapereka wanapotaka

    • @billimambo9517
      @billimambo9517 Před 6 dny

      Wewe ndio umemaliza kabisa,kwanza inaondoa msongamano.wanatakiwa wakae MBEZI TU

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 5 dny

    Wahuuni nyinyi mnapenda kubembelezwa..

  • @user-wb8nm1wv7j
    @user-wb8nm1wv7j Před 9 dny +1

    Peleka magari stend ya mkoa

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před 3 dny

    Acheni kujitoa akili pereka magari mbezi huo ni ujinga.

  • @majidikhatibu7479
    @majidikhatibu7479 Před 4 dny

    Mbezi panakera sana ukifika unavutwavutwa sana hadi kero mm mwenyewe binafsi napenda shekilango

  • @user-cs6nq4bv7w
    @user-cs6nq4bv7w Před 2 dny

    ASITAFUTE HELA KWA AKILI ZA SHULE

  • @imanuelvicent8807
    @imanuelvicent8807 Před 3 dny

    ww ni mpiga debe tu ndugu yangu acha serikali ifanye kazi yake ww sio tajiri

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Před 8 dny +2

    Nendeni stendi ya mabasi. Hapo mlipo sio kituo kikuu.

    • @msafirisaimoni9561
      @msafirisaimoni9561 Před 7 dny +1

      Stand mbona wanaingia vzuri kabisa hebu fikria mtu anaenda moshi anaishi kigamboni why apambane na daladala atapata tabu sna n bora apande bas hadi mbezi na hivyo vyote n vituo

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 Před 4 dny

      ​@@msafirisaimoni9561wapo watu wanajiwazia wao tu

    • @vedastusmalimi5176
      @vedastusmalimi5176 Před 2 dny

      Dar Hupajui ww, na kama upo Dar hujawahi safiri

  • @user-kn1ib6ou2b
    @user-kn1ib6ou2b Před 16 dny +1

    Hakuna point hata moja hapo.. Kwani mabasi yakianzia mbezi tajiri anapata hasara gani... Chamsingi ni kufuata sheria na kanuni za nchi acheni blaablaa... Eti mjinga mmoja anamuuliza mkurugenz kama anajua bei ya tair ya gari

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Před 8 dny

    si kila kitu ni mapato kuna vitu ni vingine ni sheria

  • @vedastusmalimi5176
    @vedastusmalimi5176 Před 2 dny

    Wachangiaji wengi humu n wajinga Sana. Hata karaha na kero za mbezi hawazijui. Abiria anahitaji comfort wakati wa safari, mbezi hiyo hapo .Huwezi lazmisha watu wasafiri Kwa kurundikana na kubanana kwenye daladala, bajaji na pkpk. Yaan watu wateseke Ili kundi flan la watu wapate ajira!?, ujinga wa Hali ya juu.

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 11 dny

    Acheni ujinga wew Pereka magari yote sitendi mbezi sasa parikuwepo ajagani kujenga sitendi ya babilioni

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 8 dny

    Watanzania hawapendi utaratibu. Yaani ni shida. Fuateni utaratibu. Mlishaambiwa. Mzungumze nini? Nendeni Ulaya muone walivyojipanga. Magari makubwa hayaingii mjini.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před 7 dny

    Magarii yaendee sitendi acheni ujingaaa

  • @filbertdamiani101
    @filbertdamiani101 Před 5 dny

    Wapiga debe ndo wanataka gari zirudi ili waendelee kupiga abiria pesa

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 5 dny

    Muuni mmoja hachakauli zako za mtaani.pelekeni magari mbezi..

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r Před 6 dny +1

    Tuache Uswahili Uswahili tufuate Sheria Stand iko mbezi " Hamna hoja yoyote"

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 16 dny

    Hawa wakurugenzi sijui wanatoka wapi

  • @AmosKachatiro
    @AmosKachatiro Před 4 dny

    Huo ni upigaji tu

  • @AuameAbdala-ed3hh
    @AuameAbdala-ed3hh Před 5 dny

    Unashuka mbezi unamizigo mingi dala dala azipakii mizigo wee nini

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 5 dny

    Serikali itilie mkazo gari zote kuanzia shekilango hadi magomeni na zile za k,koo ziishie mbezi magufuli..

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 5 dny

    Washenzi nyie vidampa vya matajili..

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 3 dny

    PELEKENI MABASI MBEZI!HACHENI DHARAU.
    MABILIONI YA FEDHA YAMETUMIKA KUJENGA STAND MBEZI ILI KIWE KITUO KIKUU CHA MABASI KAMA VILE CHA TRENI,NDEGE,MELI,MWENDOKASI NA N.K
    FAIDA YA KIBIASHARA MABASI YAKIWA MBEZI NI KUBWA KULIKO YAKIWA KWENYE STEND ZENU.
    FATENI UTARATIBU.

    • @allykimario9498
      @allykimario9498 Před 3 dny

      Sema upo mkoan ndo maana unazungumzaa hvo, kuna watu wanaishi mbali na stand ya magufuli zaid ya 60km sasa asubuh atawah vp jumlisha foleni so hapo sheklango, kigamboni, temeke, chanika n.k so tazama na wananchi achen kulopokaa...utaratibu uwekwe ila sio watu waende mbezi

  • @user-kn1ib6ou2b
    @user-kn1ib6ou2b Před 16 dny +1

    Sisi wananchi tunaiomba serikali ikazie msimamo wake.. Kwakuwa ndio sheria...

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Před 17 dny

    Nenda stand mabasi yapo wewe ujui unamuonya kama nani wewe kenge

  • @johandavid7389
    @johandavid7389 Před 4 dny

    stupid .what they call mdau are those who scramble for passengers..asking them if they own the bus.

  • @lilangasayi1689
    @lilangasayi1689 Před 17 dny

    Zidisheni sn maombi treni ifeli kinyume na hapo mtalia sn nani atatumia mibasi yenu mbwa nyie

  • @vedastusmalimi5176
    @vedastusmalimi5176 Před 2 dny

    Vilevle hii serikali n ya hovyo, inawatendaji wajinga Sana. Mkurugenzi yeye anatembelea kwenye V8, hajui karaha za mbenzi, yy ajali Kodi yake., kulazmisha watu kwenye mbenzi n kuwaongezea gharama na kuwapotezea muda wanaichi. Shida Serikali ya MAGUFULI yote Yenye BUSARA ilipanguliwa. Saiv wajinga ndo wanatawala inchi. Ndo shida hizi sasa

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před 6 dny

    Watu wanatafuta kiki toka kwa mkuu wa nchi hadi kupitiliza. Wanakurupuka tu hadi kuleta Kero sijui wanataka iwe kama nchi jirani

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 17 dny +1

    EM FUATEN UTARATIBU WALIOJENGA STENDI SIO WAJINGA NENDEN STENDI

    • @methuselajoseph2350
      @methuselajoseph2350 Před 17 dny

      HUJUI KITU NYAMAZA

    • @rebekabigawa1439
      @rebekabigawa1439 Před 17 dny

      ​@@methuselajoseph2350we unachokijua ni nini ww mbuzi viongozi hawataki tena rushwa rudini MAGUFURI stend ni moja earpot moja na bandari ni moja kwanza kibalichenu kilishaisha toka mwakajana mwezi wa 9 mpo nje kimakosa