PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
Vložit
- čas přidán 27. 06. 2024
- PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA @millardayoTZA @Chief_godlove @SimuliziNaSauti @globaltv_online @Wasafi_Media @ - Zábava
Jamani mkaabudu mskitini au kanisani acheni upuuzi
Mnajimaliza Bora msinge post
Ukiwa na tamaa utavutiwa sana na haya mambo...Eeeeh Mungu wangu fungua akili ya watu wako..Pesa zipo kwenye maarifa yenu wenyewe....Wewe usiende kazini msikilize huyo chief uone kama atakupatia pesa ya kula..Sanasana ukijichanganya utatakiwa uwachangie matajiri..Daaaah 😢😂😂😂😂😂😂
Sabato Yuko ndani😢😢
Chif natala niku représente congo ninsaidiye na sapoti yako
Zaasubui kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe msada niko vibaya sana niombe sapot yako
Sapot gan kijana wangu
@@Chief_godlove naitaji kuwa na mimi kuwa kama wewe ulie na mafanikio ama watu walio fanikiwa niweze kuisaidia familia yangu na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu nawatu baki. Kunawakati huwA NASHINDWA KUELEWA NIKO WAPI NAFANYA NINI MANA maisha yangu sio kabisa hayako sawa kunawakati mzawangu anaitaji msada kwangu huwanashindwa kumsaidia inaniuma sana kuona maisha yangu yalivyo. Natamani namimi kuwasaidia watu wengine sio mimitu wakulia kwawatu sikuzote mpaka inafika mahala watu wanakukata huku unawaona, ukiwapigia simu wanakuwa wanajua unataka kuomba msada mala wakujibu mkato mala wasipoke simu kumbe kunawakati unataka kusalimia tu ila nikuombe msada wako
Ubarkiwa kwa kila unalotoa my mentor@@Chief_godlove
@@Chief_godlovehello habari mkuu naomba namba zako naomaogezi na wewe
Nisaidie mtaji wa laki tatu nifanye biashara ya nafaka na vyakula nisaidie kiongozi.@@Chief_godlove
Kuna watu Natalie hapa serikali iangalie mapema hili watu wanatafuta safari ya ulaya apa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😮😅😅
Maisha yenye mafanikio Yana Siri kubwaaa na aijuae ni aliyefanikiwa na Mungu wake pekee! 📌
Good speech
Mbona kama hakuna watu wanaomsikiliza😂😂😂
And issues of worship ni issue inatakiwa mfany private why mtandaon and mnazungumza habari ya kafala whichi kafala....???? 😢😢😢 anyway let me stay silent
Chief
Mwamba nataka kujiunga na chama
Chief ana kundi Lake humo ambao wanafanya Michezo ya kitapeli kuhadaa watu yeye chief si Ana pesaro Iwaje achangishe
Chief carasha la fedha hufanyi kitu bila kufikilia mjue hilo
Mbona kama wala ni nyama za watu hawa
Naona machozi kwenyehizi familia za hawa vijana
🤣🤣🤣 Kuna watu chozi mkononi siku sio nyingi😂
From 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda sana kazi yako bro
Ku coment tu kuandamana haaaaaaaaa
Upigwaj upo apa sasa
Tajiri anawachangisha wenzake 😅😅😅😅😅😅
Sasa brother chief majadiliano ni mavizur lakin kwann muanz kujadilian kuchanga wakati unajitosheleza kifedha, kwann usitoe fedha ukajumua jengo moja ambalo mnajua kua linafulfil needes zenu ....now am going to understand whts going on ovwr there 😂😂😂 its so funn
Ase iyo dunia mm nilijua tu.iyo team kuna watu nyuma yake bado hapo mtakuja kujua nini kinatwngenezwa.
Ufreemason, Dunia tunapita
Kwel uyu jamaa n freemason
Kama nimemuona Wema sepetu ila kavaa kininja 😅😂 au macho yangu😂
😂😂😂
Chief mutu nanusu
Hilo koti limekutoa dadek ,alafu unapiga stories kwenye maombi ,alafu hatusikii mnaombaje
Mwizi mkubwa
Umeibiwa nn
@@farajabinamsimchimbapesa zetu 😂😂😂
Baadae mkisha pigwa muanze kulilia serikali iingilie kati...
😂
Kwani hii kongamano inahusu nini mbona sielewi, chief kuna nini
Then muanze kugenerate fedha mtakazo changa mnaonekana watu wenye akili lakin discussion mnayoifanya even mtoto mdog hawez kuwaelewa kama akipitia content zenu kweny mitandao ya kijamiii am just trying to prove you wrong, there ia no money over there chief
Pumbavu kabisa
ANDREW TATE wa bongo 😂😂😂
Mnasema ibada za wazee wenu? Mnasem kuabudia? Mnasem kafala? Ni Mungu gani uyo kama sio pepo
Mzahamzaha mwishowe chama kinakuwa kikubwa
Kaka nisaidie itakiwa chama Cha nn
Mijinga hiiii kabisa