PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
    Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA ‪@millardayoTZA‬ ‪@Chief_godlove‬ ‪@SimuliziNaSauti‬ ‪@globaltv_online‬ ‪@Wasafi_Media‬ @
  • Zábava

Komentáře • 50

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před 4 dny +2

    Jamani mkaabudu mskitini au kanisani acheni upuuzi

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Před 6 dny +1

    Mnajimaliza Bora msinge post

  • @iambeat2430
    @iambeat2430 Před 8 hodinami +1

    Ukiwa na tamaa utavutiwa sana na haya mambo...Eeeeh Mungu wangu fungua akili ya watu wako..Pesa zipo kwenye maarifa yenu wenyewe....Wewe usiende kazini msikilize huyo chief uone kama atakupatia pesa ya kula..Sanasana ukijichanganya utatakiwa uwachangie matajiri..Daaaah 😢😂😂😂😂😂😂

  • @Kenya844
    @Kenya844 Před 6 hodinami

    Sabato Yuko ndani😢😢

  • @elmackrambo487
    @elmackrambo487 Před 6 dny +1

    Chif natala niku représente congo ninsaidiye na sapoti yako

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 7 dny +6

    Zaasubui kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe msada niko vibaya sana niombe sapot yako

    • @Chief_godlove
      @Chief_godlove  Před 7 dny +3

      Sapot gan kijana wangu

    • @user-td4le3xf7h
      @user-td4le3xf7h Před 7 dny

      @@Chief_godlove naitaji kuwa na mimi kuwa kama wewe ulie na mafanikio ama watu walio fanikiwa niweze kuisaidia familia yangu na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu nawatu baki. Kunawakati huwA NASHINDWA KUELEWA NIKO WAPI NAFANYA NINI MANA maisha yangu sio kabisa hayako sawa kunawakati mzawangu anaitaji msada kwangu huwanashindwa kumsaidia inaniuma sana kuona maisha yangu yalivyo. Natamani namimi kuwasaidia watu wengine sio mimitu wakulia kwawatu sikuzote mpaka inafika mahala watu wanakukata huku unawaona, ukiwapigia simu wanakuwa wanajua unataka kuomba msada mala wakujibu mkato mala wasipoke simu kumbe kunawakati unataka kusalimia tu ila nikuombe msada wako

    • @NoahJackson-fh1yt
      @NoahJackson-fh1yt Před 7 dny +1

      Ubarkiwa kwa kila unalotoa my mentor​@@Chief_godlove

    • @sadickmasoudi1689
      @sadickmasoudi1689 Před 7 dny

      ​@@Chief_godlovehello habari mkuu naomba namba zako naomaogezi na wewe

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Před 6 dny +1

      Nisaidie mtaji wa laki tatu nifanye biashara ya nafaka na vyakula nisaidie kiongozi.​@@Chief_godlove

  • @kalengashoppingcenter1108

    Kuna watu Natalie hapa serikali iangalie mapema hili watu wanatafuta safari ya ulaya apa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😮😅😅

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7b Před 5 dny +1

    Maisha yenye mafanikio Yana Siri kubwaaa na aijuae ni aliyefanikiwa na Mungu wake pekee! 📌

  • @ElvisDavid-qn5vd
    @ElvisDavid-qn5vd Před 7 dny

    Good speech

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 Před 3 hodinami

    Mbona kama hakuna watu wanaomsikiliza😂😂😂

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p Před 7 dny +3

    And issues of worship ni issue inatakiwa mfany private why mtandaon and mnazungumza habari ya kafala whichi kafala....???? 😢😢😢 anyway let me stay silent

  • @user-gi8rq7yh9x
    @user-gi8rq7yh9x Před 6 dny

    Chief

  • @OMARIUFUVU-p5u
    @OMARIUFUVU-p5u Před dnem

    Mwamba nataka kujiunga na chama

  • @nyamizisimbachawene3292
    @nyamizisimbachawene3292 Před 6 dny +1

    Chief ana kundi Lake humo ambao wanafanya Michezo ya kitapeli kuhadaa watu yeye chief si Ana pesaro Iwaje achangishe

  • @KalebyHennry-ux7fj
    @KalebyHennry-ux7fj Před 5 dny +1

    Chief carasha la fedha hufanyi kitu bila kufikilia mjue hilo

  • @reginamlay5263
    @reginamlay5263 Před 4 dny +1

    Mbona kama wala ni nyama za watu hawa

  • @AvityNjau-tz8gq
    @AvityNjau-tz8gq Před 7 dny +1

    Naona machozi kwenyehizi familia za hawa vijana

  • @itNeza
    @itNeza Před 2 dny

    🤣🤣🤣 Kuna watu chozi mkononi siku sio nyingi😂

  • @sharkzprince37
    @sharkzprince37 Před 6 dny

    From 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda sana kazi yako bro

  • @kalengashoppingcenter1108

    Upigwaj upo apa sasa

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv Před 7 dny +1

    Tajiri anawachangisha wenzake 😅😅😅😅😅😅

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p Před 7 dny +1

    Sasa brother chief majadiliano ni mavizur lakin kwann muanz kujadilian kuchanga wakati unajitosheleza kifedha, kwann usitoe fedha ukajumua jengo moja ambalo mnajua kua linafulfil needes zenu ....now am going to understand whts going on ovwr there 😂😂😂 its so funn

  • @KalemaMedia
    @KalemaMedia Před 6 dny

    Ase iyo dunia mm nilijua tu.iyo team kuna watu nyuma yake bado hapo mtakuja kujua nini kinatwngenezwa.

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga Před 7 dny +1

    Ufreemason, Dunia tunapita

  • @Kenya844
    @Kenya844 Před 6 hodinami

    Kwel uyu jamaa n freemason

  • @nickclmnc7
    @nickclmnc7 Před 2 dny

    Kama nimemuona Wema sepetu ila kavaa kininja 😅😂 au macho yangu😂

  • @AmosiMwalila
    @AmosiMwalila Před 7 dny

    Chief mutu nanusu

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone Před 6 dny

    Hilo koti limekutoa dadek ,alafu unapiga stories kwenye maombi ,alafu hatusikii mnaombaje

  • @MalonJr-en4kr
    @MalonJr-en4kr Před 5 dny +1

    Mwizi mkubwa

  • @ip_header
    @ip_header Před 6 dny

    Baadae mkisha pigwa muanze kulilia serikali iingilie kati...

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone Před 6 dny

    Kwani hii kongamano inahusu nini mbona sielewi, chief kuna nini

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p Před 7 dny +2

    Then muanze kugenerate fedha mtakazo changa mnaonekana watu wenye akili lakin discussion mnayoifanya even mtoto mdog hawez kuwaelewa kama akipitia content zenu kweny mitandao ya kijamiii am just trying to prove you wrong, there ia no money over there chief

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Před 5 dny +1

    Pumbavu kabisa

  • @ibrahimmaulid7651
    @ibrahimmaulid7651 Před 6 dny

    ANDREW TATE wa bongo 😂😂😂

  • @GideonKelvin-cm5pp
    @GideonKelvin-cm5pp Před 4 dny

    Mnasema ibada za wazee wenu? Mnasem kuabudia? Mnasem kafala? Ni Mungu gani uyo kama sio pepo

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Před 7 dny +1

    Mzahamzaha mwishowe chama kinakuwa kikubwa

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před 6 dny

    Mijinga hiiii kabisa