WEWE BWANA NGUVU ZANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Shirika la Masista wa THE GRAIL TANZANIA (Mwanga - Kilimanjaro) wanamshkuru Mungu kwa kuweza kutimiza Jubilei ya miaka 50 ya utume wao Tanzania. Katika kuadhimisha Jubilei hiyo, wameandaa Album kwa lengo la Kumshukuru Mungu. Wimbo huu wa WEWE BWANA NGUVU ZANGU, ni miongoni mwa nyimbo zilizopo katika album hiyo inayoitwa CHOMBO CHA UTAKATIFU.
    Karibu usikilize na kutazama na tusali kwa pamoja.
    Kama ungependa kuwasiliana nao, waweza kupiga simu namba +255 783 283 188 , +255 654 680 924, +255 683 226 526
    #kwayakatoliki

Komentáře • 155

  • @samuelmule1886
    @samuelmule1886 Před 3 lety +3

    ^^^^"NA MWOKOZI WANGU"-----"FURAHINI, NA KUSHANGILIA, TUMWIMBIE SIFA, KWA KUWA NI MWEMA,PIGENI KELELE ZA SHANGWE ENYI MCHAO, ***YANIGUSA SANA AMINA

  • @constanciamagige454
    @constanciamagige454 Před 2 lety

    Sofa Kwa Bwana peke akee..lakin tcha Ray Ufunguo ana nyimbo nzuri sanaa

  • @gabrielmikindo4765
    @gabrielmikindo4765 Před 3 lety

    Nilipoondokewa na mwana wangu nikadhihakiwa na kukejeliwa na watu wa karibu yangu, nafarijika sana kuongea na Mungu kupitia utume kwa njia ya wimbo huu, AWABARIKI BABA WA MBINGUNI. ASANTENI SANA

  • @ceciliamrita6220
    @ceciliamrita6220 Před 5 měsíci

    Soooo nice. Sichoki kuwasililiza wadogo zangu. Soo beautiful and amazing voice

  • @mariammkusa1839
    @mariammkusa1839 Před 2 lety

    Mungu awabariki sana kwa wasikilizaji wote katika kipindi hiki kitakatifu cha mungu

  • @lucytarimo8295
    @lucytarimo8295 Před 3 lety +1

    Hongereni sana masista nabarikiwa pia kaka Ray hongera

  • @uldawango4047
    @uldawango4047 Před 4 lety +2

    Hongera sana Ray Ufunguo kwa nyimbo zako pamoja na huu pia. Huu wimbo nimeusilkiliza kama mara 50 hivi, naupenda

  • @salomemahembega9420
    @salomemahembega9420 Před 3 lety +2

    Dah, hongera kwa kazi nzuri wimbo huu wa wewe Bwana Nguvu zangu unanitoa machozi nikiuskiliza hasa nikiwa katika nyakati za huzuni pale ninaposongwa na mazito moyoni na ninapoyatafakari maneno hayo yanayosindikizwa na Melody tamu iliyo sanifiwa vema bas napata Nguvu mpya,. Hakika kuimba vizuri ni kusali mara mbilimbarikiwe Sana na Mungu awaongezee maarifa zaidi Kila iitwapo leo🙏🙏🙏

  • @johnmsuya6320
    @johnmsuya6320 Před 5 lety +1

    Hongereni Sana sana Masista wa Grail
    Nimekuwa nausikia Wimbo huu kupitia Radio Mwangaza - Dodoma na nilikuwa natafuta jinsi ya kupata wimbo wenyewe.
    Ni wimbo wa unyenyekevu na wenye kutafakarisha. Dah!!!!!! Wimbo huu unanitach mno.

  • @charlesswai66
    @charlesswai66 Před 5 lety +2

    Mwalimu wangu tumain swai hongera sana kwa kupiga kinanda kwa utulivu mkubwa unanikumbusha mbal sana mwalimu

  • @josephjmapendo4488
    @josephjmapendo4488 Před 4 lety +3

    A wonderful work. Mungu na apokee sifa na utukufu kutoka kwa walio wa sura na mfano wake. Am sooooo blessed when I listen the song. Kweli hivi ni vinanda vya mbinguni hapa duniani.

  • @redemptanyaki6381
    @redemptanyaki6381 Před 5 lety +9

    Hongereni saaaana kwa utume,Mungu azidi wapa nguvu na uwezo mkubwa Wa kumuabudu na kuinjilisha.Hongera st Genofeva

    • @benprince1212
      @benprince1212 Před 3 lety

      dunno if you guys cares but if you guys are stoned like me atm you can stream pretty much all the new movies and series on instaflixxer. Been streaming with my girlfriend for the last months xD

    • @byronaarav2169
      @byronaarav2169 Před 3 lety

      @Ben Prince Yea, been using instaflixxer for years myself =)

    • @keatonjoey3543
      @keatonjoey3543 Před 3 lety

      @Ben Prince definitely, have been watching on instaflixxer for months myself =)

  • @michaelmuimi9811
    @michaelmuimi9811 Před 5 lety +3

    Hongereni masista wa the GRAIL,wimbo ni mtamu tu sana,
    mashairi yameimbwa kwa ustadi mkubwa, nayanasikiza mara kwa mara yatuliza roho kweli kweli.
    i really love the album at large.
    Big ups Mwalimu Ray ufunguo kazi yako iko imara twakubali.

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 Před 3 lety +1

    Mshukuruni bwana kwakuwa nimwema kwamaana fadhili zake nizamilele huo ubeti umenikumbusha mbali

  • @renaldapeter9466
    @renaldapeter9466 Před 3 lety +1

    Big up wana Grail hakika huu wimbo unanitia nguvu hasa pale ninapokuwa nimekosa matumaini unanikumbusha kuwa Mungu ndie nguvu yangu na huwa naimarika tena!Mungu awabariki sana

  • @josephkobelo5579
    @josephkobelo5579 Před 4 lety +2

    Mungu wabariki hawa watawa na mtunzi

  • @happymgasa3876
    @happymgasa3876 Před rokem

    Wewe bwana nguvu zangu, niokoe na mtu asie haki

  • @janem3806
    @janem3806 Před 4 lety +1

    Kweli kuimba ni kusali mara mbili

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 Před 5 lety +1

    HONGERENI SANA DADA ZETU. MUNGU AWAPE NGUVU YA KUSONGA MBELE, NA UTUMR WENU.

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 Před 5 lety +1

    NIMEMWONA DADA IMELDA , HONGERA SANA MAMA KWA KUJITOA KIMWILI NA KIROHO

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 Před 4 lety +2

    Wewe Bwana nguvu zangu
    Asante yesu kwa pumzi kila iitwapo leo. Mbarikiwe sana masista kwa wimbo mzuri

  • @carolykiplimo392
    @carolykiplimo392 Před 5 lety +4

    hongera sana rajo good song and very impressive and strengthening our faith amen

  • @felisterligwa
    @felisterligwa Před 5 lety +1

    Hongera kwa producer,masista hongereni kwa shangwela ya miaka 50 hongereni pia kwa uimbaji mzuri na asanteni kwa ujumbe murua.Mzidi kubarikiwa na kudumu katika kuhudumu shambani mwa bwana kupitia utume huo

  • @sesiliamanji3912
    @sesiliamanji3912 Před rokem

    Wimbo mzuri Sana umenibariki👏👏🙏

  • @fulugutumadoja2360
    @fulugutumadoja2360 Před 5 lety +4

    Hongereni sanaa kwa utume mtukufu wenye kujawa na jumbe nzuri na tafakali nzuri, i have enjoyed for sure.

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 Před 5 lety +3

    Hongera sana RAJO uinjilishaji wako unatuweka karibu Mwenyezi Mungu,ubarikiwe sana.

  • @kelvingeorge9049
    @kelvingeorge9049 Před 3 lety +1

    Naipataje hii dvd niko Moshi mjini

    • @rajopro
      @rajopro  Před 3 lety

      Nenda pale Moshi book shop Kristo Mfalme utaipata

  • @stellamateru2434
    @stellamateru2434 Před rokem

    Naupenda sana unaleta tafakar ya utulivu

  • @edithtemu9606
    @edithtemu9606 Před 5 lety +1

    Huu wimbo umenibariki Sana, hongereni nyote

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 Před 4 lety +2

    Sauti za malaika, God bless you

  • @devothawanna4194
    @devothawanna4194 Před 5 lety +2

    Hongereni kwa wimbo mzuri, umenibariki sana, napenda kuusikiliza muda wote

  • @maryodjosephat1237
    @maryodjosephat1237 Před 3 lety +1

    nawapenda mpaka naumwa!Mwenyezi Mungu adizi kuwaimarisha ktk utume wenu

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 Před 2 lety

    Hongereni kwa wimbo mzuri, sitachoka kuusikiliza, hakika Bwana ni nguvu zangu, jabali langu na Mwokozi wangu. Be blessed all🙏

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 Před 5 lety +3

    Ray uko juu tu sana nipo hapa Nairobi Kenya

  • @paschaldionisi1214
    @paschaldionisi1214 Před 5 lety +1

    Hongereni sana mama zangu kwa utume uliotukuka
    Mungu awazidishie kila neema na baraka mzidi kudumu katika utume wenu kwa Taifa la Mungu

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 5 lety +3

    Nice nice. Hongereni sana marafiki zangu katika Bwana. Hapo msalimieni rafiki yangu mpenzi na Wifi yangu the late Sr Regina Simon.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před 5 lety +2

    Sauti inasikika vizuri ( sio hewa tupu) maneno yanasikika, vyombo vipo poa sana kazi safi sana

  • @lucianohmsabila9636
    @lucianohmsabila9636 Před 5 lety +1

    Wewe Ray unachanganya watu,kumbe uko hivo,sarute to you my Brother as well as organist big up.

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 5 lety +4

    Love you all. Nimefurahi hadi machozi

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 Před 2 lety

    Najikuta machozi yanatoka tu..😭

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki Waimbaji wote kwa Wimbo huu mzuri wenye tafakari ya kina.

  • @emmanuelmarko8776
    @emmanuelmarko8776 Před 5 lety +2

    Congratulations kwa uinjilishaji mzuri mungu awabariki sana nawatakieni jubilei njema by marcos Emmanuel

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 Před 5 lety +4

    Inanikumbusha uimbaji wa zamani, natamani kuimba tena

  • @rebinatharunyoro9588
    @rebinatharunyoro9588 Před 5 lety +1

    Asanteni sana hadi natamani nami niimbe nanyi

  • @beatriceshirima6620
    @beatriceshirima6620 Před 5 lety +1

    Hongereni Sana Mungu awabariki kazi nzuri sana wimbo hauishi hamu kuusikiliza

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 Před 5 lety +3

    Oooh!!!hongeren sana Dada zetu kwa saut nzur na wimbo wenye tafakar.nawatakia maandaliz mazur na shereh njema ya jubile yenu(Br.Jude Thaddeus)

  • @mcdoubleatv306
    @mcdoubleatv306 Před 5 lety +3

    Naisikiliza na Kuitazama Mara Mbili Mbili

  • @KahabiZeChaka
    @KahabiZeChaka Před 2 lety

    Hongereni sana kwa kazi nzuri na iliyotumika. Mwenyezi MUNGU azidi kuwabariki zaidi na zaidi. Mko juu sana.

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 Před 4 lety +1

    Na mwokozi waaaangu
    Ee Mungu nakushukuru kwa ajili ya hawa wana kwaya.
    Wananibariki sana.

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 Před 5 lety +2

    Kweli haiishi hamu kusikiliza Mungu awabariki sana kwa uinjilishaji huo

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 Před 4 lety

    kilimanjaro Mwanga kisekibaha......bado nawapenda sana salam kwa st.Aquilline

  • @livinusjacob4729
    @livinusjacob4729 Před 5 lety

    hakika mnanifanya nijisikie Niko pepon wakati mwingine nikikaa kuusikiliza wimbo huu mpaka najisahau kua bad nipo duniani nawaombea uimbaji wenu uendane na matendo yenu ili muone utukufu wa mungu ulivo na tumaini La mwito wake jinsi lilivo Be blessed

  • @annambokaanatoli9700
    @annambokaanatoli9700 Před 5 lety +3

    Asanteni saana wapendwa huu ndio uimbaji tunaotamani kwa kwaya zetu nyimbo TAFAKARISHI NA UNYENYEKEVU.
    Asante sana mpiga kinanda Swai Mungu akubariki na kazi ya mikono yako. Mt. Secilia msimamizi wa waimbaji akufunike na hasa kipaji chako. AMINA

    • @inocentmkude8712
      @inocentmkude8712 Před 3 lety

      MSHUKURUNI BWANA KWAKUA NI MWEMA MAANA FADHIRI ZAKE NI ZA MILELE.

  • @jacintherbekker332
    @jacintherbekker332 Před 4 lety +1

    Hongereni Sana Masister kwa kuimba vizuri Mungu Awabariki sana.

  • @graciousbaligumya2381
    @graciousbaligumya2381 Před 5 lety +2

    Hongera kaka Ray kwa tungo yenye fukuto rohoni napia hongera Rajo kwa production, go on brother

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 Před 5 lety +2

    Hongereni Masista kwa uimbaji mzuri endeleeni na utume wa bwana kwa uaminifu mkubwa.

  • @martinmatias6090
    @martinmatias6090 Před 5 lety

    mko vizur aise mungu aendelee kuwa bariki katika utume wenu

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 Před 5 lety +3

    WanaGrail hongereni sana.
    Nyimbo nzuri mno.

  • @benedictalucian7026
    @benedictalucian7026 Před 4 lety +2

    Congratulations saan, Mwenyez Mungu aendelee kuwatunza daima..See u my headgirl from Ifunda girls( Sr Sarah)

  • @asumpterkirahuka2821
    @asumpterkirahuka2821 Před 3 lety

    Mungu awabariki kwa utume

  • @wanjalaopwora4040
    @wanjalaopwora4040 Před 5 lety +4

    A great song I must say...pongezi

  • @stevederich
    @stevederich Před 5 lety +3

    Ray ufunguo Ahsante, Barikiwa sana

  • @petervntntan1434
    @petervntntan1434 Před 2 lety

    Bwana wewe mungu wangu

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 Před 3 lety +1

    Nimependa meimba boksi nzuri maneno yote mnayatamuka

  • @selemanmazigwa7673
    @selemanmazigwa7673 Před 5 lety +4

    Hongereni sana masista kwa nyimbo yenye tafakari nzuri pia Uimbaji wa unyenyekevu ...
    Mbarikiwe sana Amina

  • @whitneykimeu9089
    @whitneykimeu9089 Před 5 lety

    This is a very good song. However it should be sung with radiance of hope because it is a worship song. we should be happy when we sing for our Lord God

  • @kurwasteven4333
    @kurwasteven4333 Před 5 lety +3

    safi sana,namuona pacha wangu nimefurahi sana

  • @melaniachambala675
    @melaniachambala675 Před 10 měsíci

    Sauti tamu mpaka unahisi uko mbinguni

  • @revocatusbenezeth2282
    @revocatusbenezeth2282 Před 5 lety +1

    Mungu awabariki sana ujumbe mzuri ,unyenyekevu uimbaji mzuri

  • @StMonicaChoirJuja
    @StMonicaChoirJuja Před rokem

    Bwana ni jabali langu...
    We feel nourished by your beautiful singing 🙏

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 Před 5 lety

    Hongereni Dada zetu na Mama zetu wa kiroho , Mungu awabariki Mmeacha yote Mazuri na Kuamua kufuatana na Mama Bikra Maria.

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 Před 5 lety +1

    Hakika umefanya kazi tamu Rajo. Kipaji chako cha pekee sana bro

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe Před 2 lety

    Huu wimbo 🔥🔥🔥🔥🔥👏🏽.Bwana ni mwokozi wangu.

  • @elizabethkatikiro5148
    @elizabethkatikiro5148 Před 5 lety +2

    Ujumbe mzuri Sana hongereni sana

  • @rosenyabokee2209
    @rosenyabokee2209 Před 3 lety +1

    Nice song. May God bless 🙏 you all.

  • @KirumwaK
    @KirumwaK Před rokem

    Baraka tele

  • @bonaventurasheshe961
    @bonaventurasheshe961 Před 5 lety +2

    Congratulations dear brothers and sisters in Christ through this strong song with strong message in it. May the Almighty God shower You with blessings and strengthen You on your missions. 아멘. 축합니다.

  • @emanuelmark7419
    @emanuelmark7419 Před 4 lety +1

    Mungu uhimidiwe milele

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 Před 4 lety +2

    I love you all be blessed

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 Před 5 lety +1

    penda sana mabinti wa Mungu mzidi kubalikiwa daima amen.

  • @mcdoubleatv306
    @mcdoubleatv306 Před 5 lety +3

    Pure Catholic

  • @mariameena5248
    @mariameena5248 Před 5 lety

    wimbo mzuri na unainjilisha sna pongez kwao mabint masista wa mwanga

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 Před 3 lety +2

    Angel voices

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 Před 5 lety

    Mungu awe pamoja nanyi masista na watawa wote kwa ujumla

  • @happinesschilongani1635
    @happinesschilongani1635 Před 5 lety +1

    This is song is so emotional good...congrat rajo production

  • @oswaldgerelo477
    @oswaldgerelo477 Před 5 lety +3

    hongereni saaana Masister

  • @lokutabruno211
    @lokutabruno211 Před 2 lety

    Nice choir

  • @augustinopulagi3047
    @augustinopulagi3047 Před 5 lety +1

    Hii Album naipataje

    • @anthonypancrasy1058
      @anthonypancrasy1058 Před 5 lety

      Sijawai kusikia wimbo wenye vionjo vitam kama huu hongereni masister wa the grail mwanga

  • @alphonsinashiyo9572
    @alphonsinashiyo9572 Před 5 lety +1

    sauti zimetulia sana jamani daaah

  • @fabianmsakwa9644
    @fabianmsakwa9644 Před 3 lety +1

    🙏

  • @francisgeorge5520
    @francisgeorge5520 Před 5 lety

    Rajo has never ever led me down. A good one again. I love you people of God.

  • @wamuriithi2122
    @wamuriithi2122 Před 5 lety +2

    That's a nice song. Be blessed

  • @dessystanley5586
    @dessystanley5586 Před 4 lety +1

    amina mungu azid kuwatunza

  • @estelawilomo423
    @estelawilomo423 Před rokem

    Good music

  • @alphoncebucheye6424
    @alphoncebucheye6424 Před 5 lety +2

    Hongereni sana

  • @adampeterchilumo3934
    @adampeterchilumo3934 Před 4 lety +1

    Very good and solemn

  • @johnmasanja1413
    @johnmasanja1413 Před rokem

    Amen

  • @sofiamauwa7146
    @sofiamauwa7146 Před 2 lety

    Amina

  • @nuruluvingo7356
    @nuruluvingo7356 Před 5 lety +1

    Good work..! Am blessed with it

  • @robert.maganya1051
    @robert.maganya1051 Před 5 lety

    bwana atubariki sote na tudumu ktka upendo wakristu