NIKO KASI_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Nzihi Kidamali - Iringa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2018
  • NIKO KASI ni wimbo ulioimbwa na kwa ya ya Mt.Joseph Mfanyakazi iliyopo Nzihi - Kidamali Iringa. Tuungane nao katika kumtukuza Mungu. Wimbo huu upo ndani ya Album yao iitwayo wema wa Mungu.
    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0752 721 316 / 0752 243 201 au 0755 849 190
    #kwayakatoliki
  • Hudba

Komentáře • 436

  • @briankaruku1816
    @briankaruku1816 Před 3 měsíci +3

    Oohh iwish ningemjua yesu mapema mimechelewa llakini naweka full effort ya recovering

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 Před 2 měsíci +1

    Mungu awabariki kwa kazi nzuri wimbo huu nayimbeda sana and najivunia kuwa mu catholic 🙏🙏🙏💃💃🇺🇬🇺🇬 04 05 2024 time 07:15am ni juumamosi be blessed amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 Před 4 lety +22

    Yesu wangu, najua sijakamilika
    Naomba uchunguze moyo wangu
    Niondolee mapungufu yangu
    Nifanye utakavyo
    Nataka upendezwe na Mimi
    Usiruhusu kifo changu
    Kabla sijapata kibali Cha mbinguni
    Hamu yangu ni kufurahi pamoja na wewe mbinguni
    Ameen🙏🙏🙏🙏

  • @user-zo2nv8nt7k
    @user-zo2nv8nt7k Před 9 měsíci +1

    Hongereni sana sauti mulua mungu anapenda kupanza sauti kwa vinywa venu wenye ,Nakutama kama nchi kame isiyokuwa na maji hakika 🙏🙏🙏🙏🙏⛪⛪⛪⛪⛪

  • @angelmwamlima3276
    @angelmwamlima3276 Před 7 měsíci +1

    Mungu awape baraka zake mmeimba kwa hisia Sana napenda niskilize kila wakati moyo unajawa amani Sana🙏🙏🙏

  • @deodatusmwaipopo7284
    @deodatusmwaipopo7284 Před 3 lety +1

    Hongeleni taifa la mungu, Kwan wimbohuu ukweli umeimbwa kwahisia .asanteni sana naming awabaliki ninth nyie amina

  • @yohanewinnie5191
    @yohanewinnie5191 Před 5 lety +2

    Yaan huu wimbo jamani jamani unanipa tumaini la kuendelea mbele asante yesu kristo

  • @vinnywams6690
    @vinnywams6690 Před 3 lety +3

    Usanii wa daraja la juu sana! Siwezi lala kila siku kabla ya kubarikiwa na uimbaji huu.

  • @leoodongo690
    @leoodongo690 Před 3 měsíci +2

    Who is still watching this wonderful song with me in 2024

  • @desminachavala8118
    @desminachavala8118 Před 3 lety +2

    Wooow,nafurah sana kuwaona watu wa nyumbani wakilitukuza jina lá bwana,

  • @godysamwel1117
    @godysamwel1117 Před 5 lety +2

    Watumishi wa MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki

  • @sixbert963
    @sixbert963 Před rokem +1

    Mungu awabariki nimejiskia amanitele baada yakusikia wimbo mzuri kamahuu💯

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 Před 4 lety +2

    Tumwimbie Mungu wetu nyimbo za sifa na utukufu. Hakika wimbo murua sana, miondoko na mapigo yanatia fora. Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa daima. Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri ambayo naamini imegusa na kufariki nyoyo za watu wengi...

  • @petermulwa7121
    @petermulwa7121 Před 2 lety

    My ever prayerful song.... Nafika lini Mungu wangu niuone uso wako?

  • @luwonekaandrea1547
    @luwonekaandrea1547 Před 4 lety +2

    Mungu awabariki na kuwalinda hongereni kwa kaz nzur lini vol 2

  • @merryngowi6607
    @merryngowi6607 Před 3 lety +1

    Mbarikiwe kwa kumtangaza Kristi Amina

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 Před rokem

    Huu wimbo ulinivusha sana kuna kipindi niliusikiliza kila siku mara nyingi sana, Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri

  • @velejilyonatalis1787
    @velejilyonatalis1787 Před 5 lety +1

    Mmetisha sana vanyalukolo hongereni sana nyimbo inaturudisha kwenye njia mimi niko kasi nakuja

  • @kassiankuche3961
    @kassiankuche3961 Před 4 lety +1

    Daaahh nimekumbuka kidamali sec hasa nilipoona sura ya Tito well done

  • @octaviuskisinda9090
    @octaviuskisinda9090 Před 5 lety +1

    St. Joseph, 'MUNGU abariki kazi ya mikono yenu'. Wimbo mzuri wenye kuinjilisha, kutafakarisha na kugusa roho ya yeyote anayeutafuta umilele. Hakika kazi yote hii kwa ajili ya ufalme wa mbingu si bure. Sifa na utukufu tunamrudishia yeye anayetuneemesha yote haya.

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Před 8 měsíci

    Nimefarijika sn kwa wimbo huu, Mungu awabariki sn

  • @inessboniface6293
    @inessboniface6293 Před 5 lety +2

    Nimebarikiwa na wimbo huu, mpiga kinanda Mungu alinde kipaji chako

  • @mercyokumu1413
    @mercyokumu1413 Před 3 lety +9

    i cant get enough of this song...... my heart is blessed and is at peace whenever i listen to this song.... the keyboardist wow ..... be blessed the whole team

  • @elizabethjoseph7292
    @elizabethjoseph7292 Před 5 lety +2

    Wimbo mzuri mnooo Mungu kwaya zote ziweze imba ktk roho na kweli

  • @user-wu2to6tw6m
    @user-wu2to6tw6m Před 8 měsíci

    Nabarikiwa sana na huu wimbo congratulations sana kwa mtunzi

  • @joshuaokiri5597
    @joshuaokiri5597 Před 6 lety +1

    I am not a Catholic but huu wimbo umenifurahisha sana

  • @allanmsemwa5065
    @allanmsemwa5065 Před 4 lety +3

    Swahili Tanzanian Catholic Songs are so Amaizing

  • @poyopitalisi7999
    @poyopitalisi7999 Před 5 lety +2

    Wimbo huu unanibariki sana, hongera mtunzi, wanakwaya na mpiga kinanda

  • @olivacosmaskipingi1566

    Nawapenda saaaaana Mungu azidi kuwabariki na kuwakirimia hitaji la mioyo yenu

  • @frolencinahenry2407
    @frolencinahenry2407 Před 4 lety +3

    Nafsi yangu yakuonea kiu We Mungu😘😘😘

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 Před 3 lety +1

    Najivunia kuwa mkatoriki amina

  • @angelmakotina2180
    @angelmakotina2180 Před 3 lety +3

    Nawakubaki wana iringa😍😍😍

  • @rosembilinyi6211
    @rosembilinyi6211 Před 3 lety +1

    Hongereni saana mpo vizuri

  • @christinaoumah9023
    @christinaoumah9023 Před 3 lety +2

    Nabarikiwa Sana na wimbo huu hakika atukuzwe Mungu mkuu siku zote daima,🥰🥰🙏

  • @vestinaneema5008
    @vestinaneema5008 Před 5 lety +2

    Niko kasi kukutafuta Mungu wangu.
    kila siku lazima ni usikilize huu wimbo

  • @maribasimon801
    @maribasimon801 Před 6 lety +2

    Kazi nzuri, Mwenyezi Mungu awajaze wingi wa Baraka zake

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 2 lety +1

    Wimbo mtamu na mazingira mazuri sana

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 Před 3 lety +1

    Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huuu

  • @carolinegichuki702
    @carolinegichuki702 Před rokem +2

    Such a blessing...love from Nyeri KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 Před 2 lety +2

    Kazi ni nzuri, mnastahili pongezi ni mwanzo mzuri. Keep it up, hongera kwa Mtunzi

  • @catherinegerald1620
    @catherinegerald1620 Před 6 lety +14

    wow wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hongereni sanaa

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 Před 4 lety +8

    Wapi likes za Ray ...kinanda chatii

    • @catherinemuthini6916
      @catherinemuthini6916 Před 3 lety

      I like the way he enjoys the music

    • @vinnywams6690
      @vinnywams6690 Před 3 lety

      Oooh! Ray Ufunguo! Kazi yake inapendeza kweli, and everything he outs his hands on flourishes.

  • @berthakarungi6187
    @berthakarungi6187 Před 5 lety +9

    sichoki kuangalia wimbo huu. jaman mbarikiwe

  • @melapshivachi8209
    @melapshivachi8209 Před 4 lety +5

    I just can't get enough of this song
    The tall guy spices up the video... I love his moves

  • @marckmark2738
    @marckmark2738 Před rokem +1

    Njiani naja niko kasi 😘😘😘

  • @theresialfredybugalama5850

    Nakuona Shem tem hii hadi unaachia kinanda duh mungu akuongezee uzidi hapo ulipo

  • @edmondkalinde4251
    @edmondkalinde4251 Před 3 lety +1

    Nyimbo nzuri kabosa

  • @consolatazachalia5442
    @consolatazachalia5442 Před 5 lety +10

    Hongereni sana mt. Joseph wimbo mzuri kweli! Mubarikiwe sana waimbaji na mtunzi.

    • @florencenthenya6391
      @florencenthenya6391 Před 4 lety

      Nice one yu bless me so much am lm in saudi Arabia watching yr music yu look nice 😍😍

  • @mutigamcanthony1755
    @mutigamcanthony1755 Před 6 lety +7

    Oh God don't I just love the harmony introduced by Altos at 5.11. How many times have I rewound to that point? I cant even remember.

  • @josephinnocent2431
    @josephinnocent2431 Před 5 lety +2

    Naisubiri Hii Kaz Kwa Hamu sana,Naamini Kuna Manguli wa Muziki wamo pia kama Bernard Mukasa, Musa C Mabogo, Dionizi Kipanya,Zackaria Gerald,Na Wengine Wengine,.Tupatieni Kaz Iyooooooo

  • @eunicejoseph2262
    @eunicejoseph2262 Před 6 lety

    Mko juu nimewapenda sana, wimbo unatafakarisha unanibariki kabisa

  • @petrojoseph5970
    @petrojoseph5970 Před 5 lety

    hi kidamali nawasifu kwa ujumbe mzuri kwa Mungu wetu na Rajo pia wazuri ,safii sana wimbo huu unanitafakarisha sana nawapendeni kwa kazi nzuri,Mungu atukuzwe...

  • @deomunishi775
    @deomunishi775 Před 3 lety +1

    Hongeren sana mungu awbariki

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove

    Wimbo mzuri hongereni sana waimbaji na mtunzi

  • @franciscakitundu4163
    @franciscakitundu4163 Před 5 lety

    wimbo mzuri sana ....Sauti zote zimeimba vizuri pia mashairi mazuri

  • @gabrielmikindo3756
    @gabrielmikindo3756 Před 6 lety

    raga tupu 'utamadunisho' murua ambao haukupotosha maadili CATHOLlC. hongera sana na Mungu awabariki sana. AMEN

  • @user-il9vm1sx7x
    @user-il9vm1sx7x Před 8 měsíci

    mumetisha kwenye wimbo huu utume mwemah jaman

  • @cayusoginga
    @cayusoginga Před 2 měsíci

    Congratulations for a job well done ✅

  • @redemtamutinda2152
    @redemtamutinda2152 Před 6 lety +1

    I cant get enough of this song...how wonderful this song is, " Nafsi yangu yakuonea kiu mungu wangu na mwili wangu wakuonea shauku mungu wangu............."

    • @bongoclaudio7877
      @bongoclaudio7877 Před 5 lety

      Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri lakini pia hongera sana Mr Ray rufunguro kwa kazi nzuri

  • @redemptamweu6243
    @redemptamweu6243 Před rokem +2

    Well sang song, so melodious, May God bless the singers for spreading the gospel musically.

  • @geofreymaranga5699
    @geofreymaranga5699 Před 5 lety +1

    Asante Kwa kazi yenyu mufti kabisa,naomba niweze kupata nota za wimbo huu.

  • @joseph.hapadgaraproduction9329

    Nice song & vedio music

  • @vinnywams6690
    @vinnywams6690 Před 3 lety +1

    Mimi hapa naendelea kubarikiwa tu! Fungulieni nyingine zitiririke!

  • @mercymacline658
    @mercymacline658 Před 5 lety +5

    Hii wimbo nzuri Sana, hongeren Sana kwa kaz nzuri

  • @cayusoginga
    @cayusoginga Před 2 měsíci

    Watching from manga girls high school kenya

  • @susanldohlchodo4589
    @susanldohlchodo4589 Před 5 lety +6

    Ohh my goodness. This is very beautiful 😍❣️🙏🙏. Greetings from Bahrain 🇧🇭

  • @agustinomgaya7873
    @agustinomgaya7873 Před 4 lety +1

    Inapendeza saaaaaana wapendwa kaze budi ili iwe bora zaid katka kuifanya Nazi ya Mungu!!!!!

  • @magrethphillipo2626
    @magrethphillipo2626 Před 5 lety +1

    Mwimbo mzur Sana sauti nzuri adi rahaaa

  • @kaijagethomas2175
    @kaijagethomas2175 Před 6 lety +2

    Kazi nzr sanaaaaaa, Tuzidi kumtafta Bwana wetu Yesu Kristu

  • @avonymaya832
    @avonymaya832 Před 5 lety +7

    HABARI NIMEUPENDA SANA WIMBO HU, NI KAZI NZURI SANA YA UINJILISHAJI NAOMBA ALBUM YAKE YOTE

  • @edgarmadeje5298
    @edgarmadeje5298 Před 6 lety +11

    Tunasubiri kwa Hamu kubwa Wema wa Mungu

  • @barakamhagama5586
    @barakamhagama5586 Před 6 lety +10

    Hongereni.....Mapendo Daima*****

  • @aglipinanaombaunirushueya2976

    Hongeleni muko vizuli wanakwaya nataka cd zenu

  • @msaghamwakamba8182
    @msaghamwakamba8182 Před rokem +1

    Utunzi na Uimbaji Mzuri 😌 can't get enough of this song 🤗🤗🤭😚

  • @teresiaofficial3849
    @teresiaofficial3849 Před 5 lety

    Daaah wimbo mzuri maneno mazuri ya kutafakarisha.

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 Před 4 lety +1

    Mko vzr sana wapendwa kwa myimbo zenu na stail zimetulia

  • @cleivanschalamila7085
    @cleivanschalamila7085 Před 6 lety +4

    wawoo kwaya ya nyumban 😍😍😍

  • @agripinamuranditsi4052
    @agripinamuranditsi4052 Před 5 lety +6

    The song is so touching and gives total self reflection. Congratulations. Be blessed in this ministry

  • @fidiaoscar8440
    @fidiaoscar8440 Před 4 lety +1

    Nabarikiwa Sana kupitia wimbo wenu,hongeren kwa utume wenu

  • @charitysamwel3823
    @charitysamwel3823 Před 5 lety

    Mnaimba vizurii hadi nimewatamani wana nzihi

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 Před 5 lety

    Wimbo mtamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu a trillion times!!!! So adorable.

  • @ditrammgimba2759
    @ditrammgimba2759 Před 4 lety

    Naipataje DVD,, kuna ule wimbo ,,Wema wa Mungu,,, uwekeni mtandaoni nao,,, kuzipata dvd imekua kazi kweli kweli,,,,

  • @ireneirene9834
    @ireneirene9834 Před 3 lety +2

    Its new every replay..oh my God!!!!

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily Před 5 lety +1

    Pongezi zimfikie mtunzi wa wimbo huu. ametenda haki kwa kazi ya Bwana. lakini pia hongera Mwalimu wa kwaya hii hasa maandalizi ya kazi hii, sisi tuna la kujifunza.
    hongereni wanakwaya kiujumla kwa kuhubiri habari hii,
    Nikiwa Ambassodor wa Muziki nafurahishwa sana na kazi hizi.
    wekeni kazi sokoni mapema kabla wavamizi hawajaja.

  • @isabellakililo9506
    @isabellakililo9506 Před 5 lety +1

    wimbo huu unaiingia sana naupenda unabariki sana

  • @abelsanga7361
    @abelsanga7361 Před 6 lety +6

    hatimae parokia yangu imenikosha kwa wimbo mtamu

  • @mrgooner62
    @mrgooner62 Před 2 lety +2

    Munaimba Kabisa! May God bless you

  • @samuelndungu9610
    @samuelndungu9610 Před 3 lety +2

    Cant just stop swinging the body listening the song. Hongera.

  • @meshackmigodela950
    @meshackmigodela950 Před 3 lety +1

    Daaaaaaaah so wonderful comrades, Irnga oyeeee, credit to audio, excellent vocal,location a amazing, smartness an pattern z superb

  • @st.camillusspecializedclin8775

    cant get tired watching this song.. it makes me feel the presence of living God... barikiweni sana waimbaji

  • @pituwayoumakemefellathomet2437

    hoo so nice l feels God's presence whenever l listened to this song

  • @juliuschacha1218
    @juliuschacha1218 Před 5 lety

    Kazi njema jamani natamani sana hata Mimi niimbe kama sijawahi imba tena.

  • @lukakivamba7245
    @lukakivamba7245 Před 2 lety +1

    Mhh tamu balaa

  • @vestinaneema5008
    @vestinaneema5008 Před 5 lety +3

    Rajo production muwe mnatoa na mstari ambao mtunzi kasimamia itapendeza zaidi ni ushauri tu km mlivyofanya ktk wimbo wa Dispina Nitakushukuru
    Mungu awabariki sana

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 Před 5 lety

    Tarumbeta ni ala mojawapo za kimziki ndugu zangu. Na ili mziki unoge vizuri inakubidi umix ala tofautitofauti. Ili mradi usitoke nje ya liturujia. Na pia ni kuendana na dunia pamoja na kizazi chake. Zamani kanisani ulikuwa ukiimba hakuna kucheza but now watu wanacheza na makasisi pia wakinogewa na mziki mtakatifu unakuta wanatamani hata kuruka. So mziki ni mzuri una maudhui sahihi mwisho unatafakarisha na alishoot kafanya vizuri kabisa.

  • @marianyalusi1830
    @marianyalusi1830 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki sana na wimbo mzuri Niko kasi

  • @yudakitengesondanu808
    @yudakitengesondanu808 Před 4 lety +1

    naipenda sana hii Cd sasa nitaipataje niko Arusha

  • @zayzaphonhalharthi481
    @zayzaphonhalharthi481 Před 5 lety

    Mungu awabarik sana wimbo mzur sana saut zimepangiliwa vizur daah Mungu awafanyie wepea kila penye uzito

  • @radioactivetutors
    @radioactivetutors Před 5 lety +1

    i wonder how one can click the unlike button on this song ..huo ni wivu mtupu the choir, song and content is awesome and may almighty continue blessing you

  • @adelinasanga6710
    @adelinasanga6710 Před 3 lety +1

    Hongereni sanaaa!