NIKO KASI_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Nzihi Kidamali - Iringa
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2018
- NIKO KASI ni wimbo ulioimbwa na kwa ya ya Mt.Joseph Mfanyakazi iliyopo Nzihi - Kidamali Iringa. Tuungane nao katika kumtukuza Mungu. Wimbo huu upo ndani ya Album yao iitwayo wema wa Mungu.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0752 721 316 / 0752 243 201 au 0755 849 190
#kwayakatoliki - Hudba
Oohh iwish ningemjua yesu mapema mimechelewa llakini naweka full effort ya recovering
Mungu awabariki kwa kazi nzuri wimbo huu nayimbeda sana and najivunia kuwa mu catholic 🙏🙏🙏💃💃🇺🇬🇺🇬 04 05 2024 time 07:15am ni juumamosi be blessed amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏
Yesu wangu, najua sijakamilika
Naomba uchunguze moyo wangu
Niondolee mapungufu yangu
Nifanye utakavyo
Nataka upendezwe na Mimi
Usiruhusu kifo changu
Kabla sijapata kibali Cha mbinguni
Hamu yangu ni kufurahi pamoja na wewe mbinguni
Ameen🙏🙏🙏🙏
Amen
Hongereni sana sauti mulua mungu anapenda kupanza sauti kwa vinywa venu wenye ,Nakutama kama nchi kame isiyokuwa na maji hakika 🙏🙏🙏🙏🙏⛪⛪⛪⛪⛪
Mungu awape baraka zake mmeimba kwa hisia Sana napenda niskilize kila wakati moyo unajawa amani Sana🙏🙏🙏
Hongeleni taifa la mungu, Kwan wimbohuu ukweli umeimbwa kwahisia .asanteni sana naming awabaliki ninth nyie amina
Yaan huu wimbo jamani jamani unanipa tumaini la kuendelea mbele asante yesu kristo
Usanii wa daraja la juu sana! Siwezi lala kila siku kabla ya kubarikiwa na uimbaji huu.
Who is still watching this wonderful song with me in 2024
Wooow,nafurah sana kuwaona watu wa nyumbani wakilitukuza jina lá bwana,
Watumishi wa MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki
Mungu awabariki nimejiskia amanitele baada yakusikia wimbo mzuri kamahuu💯
Tumwimbie Mungu wetu nyimbo za sifa na utukufu. Hakika wimbo murua sana, miondoko na mapigo yanatia fora. Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa daima. Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri ambayo naamini imegusa na kufariki nyoyo za watu wengi...
My ever prayerful song.... Nafika lini Mungu wangu niuone uso wako?
Mungu awabariki na kuwalinda hongereni kwa kaz nzur lini vol 2
Mbarikiwe kwa kumtangaza Kristi Amina
Huu wimbo ulinivusha sana kuna kipindi niliusikiliza kila siku mara nyingi sana, Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri
Mmetisha sana vanyalukolo hongereni sana nyimbo inaturudisha kwenye njia mimi niko kasi nakuja
Daaahh nimekumbuka kidamali sec hasa nilipoona sura ya Tito well done
St. Joseph, 'MUNGU abariki kazi ya mikono yenu'. Wimbo mzuri wenye kuinjilisha, kutafakarisha na kugusa roho ya yeyote anayeutafuta umilele. Hakika kazi yote hii kwa ajili ya ufalme wa mbingu si bure. Sifa na utukufu tunamrudishia yeye anayetuneemesha yote haya.
Nimefarijika sn kwa wimbo huu, Mungu awabariki sn
Nimebarikiwa na wimbo huu, mpiga kinanda Mungu alinde kipaji chako
i cant get enough of this song...... my heart is blessed and is at peace whenever i listen to this song.... the keyboardist wow ..... be blessed the whole team
Wimbo mzuri mnooo Mungu kwaya zote ziweze imba ktk roho na kweli
Nabarikiwa sana na huu wimbo congratulations sana kwa mtunzi
I am not a Catholic but huu wimbo umenifurahisha sana
Swahili Tanzanian Catholic Songs are so Amaizing
Wimbo huu unanibariki sana, hongera mtunzi, wanakwaya na mpiga kinanda
Karibu
Nawapenda saaaaana Mungu azidi kuwabariki na kuwakirimia hitaji la mioyo yenu
Nafsi yangu yakuonea kiu We Mungu😘😘😘
Najivunia kuwa mkatoriki amina
Nawakubaki wana iringa😍😍😍
Hongereni saana mpo vizuri
Nabarikiwa Sana na wimbo huu hakika atukuzwe Mungu mkuu siku zote daima,🥰🥰🙏
Niko kasi kukutafuta Mungu wangu.
kila siku lazima ni usikilize huu wimbo
Kazi nzuri, Mwenyezi Mungu awajaze wingi wa Baraka zake
Wimbo mtamu na mazingira mazuri sana
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huuu
Such a blessing...love from Nyeri KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi ni nzuri, mnastahili pongezi ni mwanzo mzuri. Keep it up, hongera kwa Mtunzi
wow wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hongereni sanaa
asante
Mko vizuri, hongereni sana
Wapi likes za Ray ...kinanda chatii
I like the way he enjoys the music
Oooh! Ray Ufunguo! Kazi yake inapendeza kweli, and everything he outs his hands on flourishes.
sichoki kuangalia wimbo huu. jaman mbarikiwe
Hunifikii mm 😘😘😘
I just can't get enough of this song
The tall guy spices up the video... I love his moves
Njiani naja niko kasi 😘😘😘
Nakuona Shem tem hii hadi unaachia kinanda duh mungu akuongezee uzidi hapo ulipo
Nyimbo nzuri kabosa
Hongereni sana mt. Joseph wimbo mzuri kweli! Mubarikiwe sana waimbaji na mtunzi.
Nice one yu bless me so much am lm in saudi Arabia watching yr music yu look nice 😍😍
Oh God don't I just love the harmony introduced by Altos at 5.11. How many times have I rewound to that point? I cant even remember.
Naisubiri Hii Kaz Kwa Hamu sana,Naamini Kuna Manguli wa Muziki wamo pia kama Bernard Mukasa, Musa C Mabogo, Dionizi Kipanya,Zackaria Gerald,Na Wengine Wengine,.Tupatieni Kaz Iyooooooo
Mko juu nimewapenda sana, wimbo unatafakarisha unanibariki kabisa
hi kidamali nawasifu kwa ujumbe mzuri kwa Mungu wetu na Rajo pia wazuri ,safii sana wimbo huu unanitafakarisha sana nawapendeni kwa kazi nzuri,Mungu atukuzwe...
Hongeren sana mungu awbariki
Wimbo mzuri hongereni sana waimbaji na mtunzi
wimbo mzuri sana ....Sauti zote zimeimba vizuri pia mashairi mazuri
raga tupu 'utamadunisho' murua ambao haukupotosha maadili CATHOLlC. hongera sana na Mungu awabariki sana. AMEN
mumetisha kwenye wimbo huu utume mwemah jaman
Congratulations for a job well done ✅
I cant get enough of this song...how wonderful this song is, " Nafsi yangu yakuonea kiu mungu wangu na mwili wangu wakuonea shauku mungu wangu............."
Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri lakini pia hongera sana Mr Ray rufunguro kwa kazi nzuri
Well sang song, so melodious, May God bless the singers for spreading the gospel musically.
Asante Kwa kazi yenyu mufti kabisa,naomba niweze kupata nota za wimbo huu.
Nice song & vedio music
Mimi hapa naendelea kubarikiwa tu! Fungulieni nyingine zitiririke!
Hii wimbo nzuri Sana, hongeren Sana kwa kaz nzuri
Mercy Macline. Dm
Watching from manga girls high school kenya
Ohh my goodness. This is very beautiful 😍❣️🙏🙏. Greetings from Bahrain 🇧🇭
Inapendeza saaaaaana wapendwa kaze budi ili iwe bora zaid katka kuifanya Nazi ya Mungu!!!!!
Mwimbo mzur Sana sauti nzuri adi rahaaa
Kazi nzr sanaaaaaa, Tuzidi kumtafta Bwana wetu Yesu Kristu
HABARI NIMEUPENDA SANA WIMBO HU, NI KAZI NZURI SANA YA UINJILISHAJI NAOMBA ALBUM YAKE YOTE
Tunasubiri kwa Hamu kubwa Wema wa Mungu
Coming soon
Hongereni.....Mapendo Daima*****
Hongeleni muko vizuli wanakwaya nataka cd zenu
Utunzi na Uimbaji Mzuri 😌 can't get enough of this song 🤗🤗🤭😚
Daaah wimbo mzuri maneno mazuri ya kutafakarisha.
Mko vzr sana wapendwa kwa myimbo zenu na stail zimetulia
wawoo kwaya ya nyumban 😍😍😍
The song is so touching and gives total self reflection. Congratulations. Be blessed in this ministry
Nabarikiwa Sana kupitia wimbo wenu,hongeren kwa utume wenu
Mnaimba vizurii hadi nimewatamani wana nzihi
Wimbo mtamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu a trillion times!!!! So adorable.
Naipataje DVD,, kuna ule wimbo ,,Wema wa Mungu,,, uwekeni mtandaoni nao,,, kuzipata dvd imekua kazi kweli kweli,,,,
Its new every replay..oh my God!!!!
Pongezi zimfikie mtunzi wa wimbo huu. ametenda haki kwa kazi ya Bwana. lakini pia hongera Mwalimu wa kwaya hii hasa maandalizi ya kazi hii, sisi tuna la kujifunza.
hongereni wanakwaya kiujumla kwa kuhubiri habari hii,
Nikiwa Ambassodor wa Muziki nafurahishwa sana na kazi hizi.
wekeni kazi sokoni mapema kabla wavamizi hawajaja.
Kazi nzuri sana Mungu awabariki.
wimbo huu unaiingia sana naupenda unabariki sana
hatimae parokia yangu imenikosha kwa wimbo mtamu
Munaimba Kabisa! May God bless you
Cant just stop swinging the body listening the song. Hongera.
Daaaaaaaah so wonderful comrades, Irnga oyeeee, credit to audio, excellent vocal,location a amazing, smartness an pattern z superb
cant get tired watching this song.. it makes me feel the presence of living God... barikiweni sana waimbaji
Amina Sana!! Christopher Kinyanjui, the same to me.
hoo so nice l feels God's presence whenever l listened to this song
Mungu awabariki
Kazi njema jamani natamani sana hata Mimi niimbe kama sijawahi imba tena.
Mhh tamu balaa
Rajo production muwe mnatoa na mstari ambao mtunzi kasimamia itapendeza zaidi ni ushauri tu km mlivyofanya ktk wimbo wa Dispina Nitakushukuru
Mungu awabariki sana
Vestina Neema
Saf San unampata despina
Tarumbeta ni ala mojawapo za kimziki ndugu zangu. Na ili mziki unoge vizuri inakubidi umix ala tofautitofauti. Ili mradi usitoke nje ya liturujia. Na pia ni kuendana na dunia pamoja na kizazi chake. Zamani kanisani ulikuwa ukiimba hakuna kucheza but now watu wanacheza na makasisi pia wakinogewa na mziki mtakatifu unakuta wanatamani hata kuruka. So mziki ni mzuri una maudhui sahihi mwisho unatafakarisha na alishoot kafanya vizuri kabisa.
Mungu awabariki sana na wimbo mzuri Niko kasi
naipenda sana hii Cd sasa nitaipataje niko Arusha
Mungu awabarik sana wimbo mzur sana saut zimepangiliwa vizur daah Mungu awafanyie wepea kila penye uzito
i wonder how one can click the unlike button on this song ..huo ni wivu mtupu the choir, song and content is awesome and may almighty continue blessing you
Hongereni sanaaa!