Video není dostupné.
Omlouváme se.

JEMEDARI WA MBINGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • Jemedari wa Mbingu, ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
    Album hii ipo sokoni sasa na inapatikana mikoa yote.
    Wasiliana nao leo kupitia namba +255 754 886 290 au +255 754 962 559
    #kwayakatoliki

Komentáře • 284

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 2 lety

    Ee mwenyeI nakushukuru kwa baraka zako,na uhai wa maisha naomba nilinde nafsi yangu Amina

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 Před 3 lety +1

    Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @lucychogo7073
    @lucychogo7073 Před 4 lety +2

    Hata malaika na Mungu mbinguni wakisikiliza huu wimbo wanatabasamu

  • @angeljoseph3098
    @angeljoseph3098 Před 4 lety +2

    Wimbo mzr sana namani niinqie humo nami niimbe pamoja nanyie unanibariki sana honqereni sana mmeimba vzr sana mbaikiwe

  • @abinanyanchama9561
    @abinanyanchama9561 Před 4 lety +3

    Who's listening this yr 1st day of March, wimbo mtamu kweli.... nausikiza kila hata sisikii kulala❤❤❤❤

  • @emiliana5218
    @emiliana5218 Před 2 lety

    Maishani mwangu nakushukuru kwa moyo asnteee

  • @massawefamilly7346
    @massawefamilly7346 Před 3 lety +2

    Aiseee hii kwaya inanikosha sana mko vizyri Mungu awabariki na kuwatia nguvu katika utume.Tumsifu Yesu Kristo

  • @paulinemakhaso1009
    @paulinemakhaso1009 Před 2 měsíci

    This has been a song that reminds me alot....🎉🎉I remember when I first heard it like yesterday

  • @adelinamutagwa3441
    @adelinamutagwa3441 Před 4 měsíci

    Huu wimbo Huwa unanibariki sana.Utadhani mlijua maisha yangu yalivyo.

  • @kailimusyoki
    @kailimusyoki Před 5 měsíci

    This song never Gets old, I really Love it.

  • @mmasyonegeorgis5722
    @mmasyonegeorgis5722 Před rokem

    Mungu Apate Sifa Milele.

  • @NzukiDominic
    @NzukiDominic Před 3 lety +1

    Tumaini Swai ni mmojawapo wa wachezakinanda bora zaidi katika eneo nzima la Afrika Mashariki na Kati. Tungo nzuri sana

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 Před 4 lety +1

    Swai bwana

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 2 lety

    Amen,❤ nimebarikiwa listening from Abu Dhabi

  • @victoronyiego3676
    @victoronyiego3676 Před 5 lety +4

    Wimbo unaoiburudisha nafsi.. Barikiwa mno Jalali Jalia awajalie neema kedekede mzidi kumtumikia siku zote.

  • @gelasitarimo8660
    @gelasitarimo8660 Před 3 lety +2

    It so latest song
    Congratulations parokia ya kijenge mpo vizuri

  • @johnjames567
    @johnjames567 Před 4 lety +6

    hakika ni neema kubwa Sana kuupata wimbo huu mbarikiwe sana

  • @winfredmumo3391
    @winfredmumo3391 Před měsícem +1

    How I love this song❤

  • @emanuelkailas9701
    @emanuelkailas9701 Před 4 lety +3

    Barikiwa nyote watumishi wa mungu.
    Rajo production choir inanifariji nafsi na hata kwa familia yangu

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 2 lety

    Ntakushukuru kwa moyo wangu wote,asante

  • @lydiahsimiyu3425
    @lydiahsimiyu3425 Před 2 lety

    Nice song waaau adi najiskia nko mbinguni

  • @acemarx6271
    @acemarx6271 Před 2 lety

    Nashukuru kwa yote yesu,mbarikiwe sana

  • @hildajebet2203
    @hildajebet2203 Před 4 lety +5

    Na tazama sasa nakuja,eeh mungu wangu kwa unyenyekevu,nikushukuru niseme Ahsante....this song blesses me,it inspires me
    It reminds me of my blessings no matter how small
    I thank God
    Eeeh mwenyezi mungu ,nakushukuru kwa moyo .Ahsante

  • @leahmwombeki3671
    @leahmwombeki3671 Před 5 lety +5

    asanten sana wimbo huu naupenda saana Mara ya kwanza niliusikia kanisan nikawautafta kwa juhudi hatimay nimeupata nafarijika sana na kubarikiwa mbarikiwe saana wapendwa

  • @thomasnyamari401
    @thomasnyamari401 Před 4 lety +4

    Hata ingawa mwili u mnyonge nitainuka nimshukuru Mola maana ndiye mtumishi wangu maishani.Hongera.

  • @consolatandinda8887
    @consolatandinda8887 Před 6 měsíci +1

    Kwa hakika 🎶kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana ashuke kwangu anitazame agange shida zangu🎶 it's a testimony i prayed to be where i am today and im very grateful my God answered prayers 🙌

  • @georgelugalinda4526
    @georgelugalinda4526 Před 5 lety +2

    Nawapongeza wanakwaya wote mnaohubiri kwa nyimbo nzuri mbarikiwe sana,amina.

  • @henryoreo2283
    @henryoreo2283 Před 4 lety +1

    T.Swai kazini..imependeza sana!

  • @victorkayanda1500
    @victorkayanda1500 Před 3 lety +1

    asanten sana nawapenda sana RAJO production
    pia naomb msikate tamaa
    na classmet wangu ambaye ni mwalim wangu wa kwaya kutoka chuo cha ufundi Nangwa namuona hongera zenu

  • @livinusjacob4729
    @livinusjacob4729 Před 5 lety +3

    mungu awabariki sana kwa ujumbe mzr mmeukonga moyo wangu jaman nafarijika nisikiapo wimbo huu nakushuku kwa moyo

  • @tobiasokothotieno6188
    @tobiasokothotieno6188 Před 3 lety +1

    Mungu Ana jibu Maombi yangu kila siku

  • @florianfinda7445
    @florianfinda7445 Před 5 lety +1

    Very good job wanakwaya wenzangu. Namshukuru MUNGU kwa namna ya pekee kwaajili yenu maana naoana huu wimbo umetungwa kwaajili yangu. Nimepita ktk kipindi kigumu sana ila MUNGU mwenye nguvu akaniokoa na sasa utukufu wake unaonekana, Kutoka ndani ya moyo wangu NINAMSHUKURU kwa moyo. Mbarikiwe sana ndugu zangu

    • @rajopro
      @rajopro  Před 5 lety +1

      Uzidi kubarikiwa ndugu.

    • @jacobmpalanzi5148
      @jacobmpalanzi5148 Před 5 lety

      Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awabariki zaidi!

  • @ruthpeter1693
    @ruthpeter1693 Před 4 lety +12

    Gonga like twende pamoja

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 Před 3 lety

    Napenda pale anapoanzisha mwl

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 Před 4 lety +4

    Mungu awabariki kwa ujumbe wenu mkuu,shukrani

  • @kipkosgeidominic6093
    @kipkosgeidominic6093 Před 3 lety +3

    Wimbo mzuri mno..."Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo"

  • @evelynemlokela7782
    @evelynemlokela7782 Před 5 lety +3

    Ee we Mungu nakushukuru kwa moyo Asanteee, asanteni wanakwaya kwa wimb mzuri

  • @deodathwoisso2161
    @deodathwoisso2161 Před 4 lety +4

    Nashukuru kwa yote Unayonitendea Mungu wangu

  • @elizabethjoseph9482
    @elizabethjoseph9482 Před 3 lety +1

    Ninakushukuru jemedari wa Mbingu Bwana Mungu wa majeshi

  • @samkirwa3572
    @samkirwa3572 Před 4 lety +2

    "Kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana (Mungu), ashuke kwangu anitazame", wimbo nzuri

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 Před 4 lety +4

    Huwa nausikiliza kila asubuhi,kusema asante tu.

  • @rehemamalenda1009
    @rehemamalenda1009 Před 4 lety +4

    Wimbo huu umenitia nguvu mpya, mbarikiwe sana

  • @petermbinga3128
    @petermbinga3128 Před 5 lety +6

    kweli bwana amenisikia na amenihinua amejibu maombi yangu

  • @michaelsikazwe4577
    @michaelsikazwe4577 Před 5 lety +3

    hongeren kwa kazi nzuri wanakwaya na wote mliofanikisha kazi hii, pia mtunzi amenibariki kwa tungo nzuri.

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 Před 5 lety +2

    Balikiw watumishi kazi nzuli San

  • @josephsimba4655
    @josephsimba4655 Před 4 lety +4

    Wimbo mzuri Sana. Mbarikiwe wanakwaya

  • @conradngatunga9657
    @conradngatunga9657 Před 4 lety +3

    nakushukuru kwa moyo asanteeeeee ni wimbo unaotubariki saana

  • @majigelucas9479
    @majigelucas9479 Před 5 lety +3

    Wimbo mzuri kweli na umenifanya niwe na siku nzuli

    • @florahjaphety8958
      @florahjaphety8958 Před 4 lety

      Wimbo mzri mungu azidi kuwatia nguvu na kuendeleza kipaji mlichopewa na mwenyez mung🙏🙏🙏

  • @severinemushi7175
    @severinemushi7175 Před 4 lety +3

    Nabarikiwa sana nikiskiliza wimbo huu. Jaman mbarikiwe sana mzidi kumtumikia mungu kwauimbji wenu

  • @estermasona1045
    @estermasona1045 Před 5 lety +2

    aisee kuwa ndan ya yesu ni raha hakuna mfano

  • @edsonmlyuka1096
    @edsonmlyuka1096 Před 2 lety

    Kazi nzuri wapendwa

  • @Mwalimutito
    @Mwalimutito Před 4 lety +5

    What a nice song, Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo wangu wote, Asante

  • @jafethpeter5706
    @jafethpeter5706 Před 4 lety +2

    Kwaya hii imenibariki sana

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 Před 4 lety +1

    Team kubwa

  • @kekejoe4101
    @kekejoe4101 Před 5 lety +2

    Asante mtunzi,waimbaji na wote waliofanikisha kutolewa kwa wimbo huu.Mungu awabariki

  • @roseomaanya1194
    @roseomaanya1194 Před 10 měsíci +1

    A blessing song

  • @peterqorrocscqorro9341
    @peterqorrocscqorro9341 Před 5 lety +3

    Hongereni sana wanakwaya kutoka Kijenge Jimbo kuu Katoliki Arusha Tanzania

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 Před 5 lety +4

    From Kenya with Love... Wimbo mzuri sana wa shukrani... Kila wakati ninaposikia wimbo huu I just find myself praying and giving thanks.

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 Před 4 lety +2

    Asante kwa utunzi na uimbaji mzuri. Mbarikiwe

  • @soteliuskyaruzi6805
    @soteliuskyaruzi6805 Před 4 lety +2

    Nimeipenda.

  • @stellamamiro6553
    @stellamamiro6553 Před 4 lety +3

    Kweli RAJO upo vizuri wanaokucopy hawakuwezi

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 Před 4 lety +3

    Hii haitozeeka

  • @petrosimon8002
    @petrosimon8002 Před 4 lety +3

    Imenibariki Jemedari wa mbigu

  • @alesiakayoka1203
    @alesiakayoka1203 Před 5 lety +3

    Ahimidiwe Bwana milele yote, Asanteni kwa wimbo mzuri wapendwa

  • @mwalimubassu
    @mwalimubassu Před 5 lety +3

    Ee Mungu Nakushukuru kwa Moyo. ... Bwana Awabariki na Kuwalinda Wapendwa. Endeleeni kumwimbia kwa Moyo JEMEDARI WETU.

  • @AnsbertNgurumo
    @AnsbertNgurumo Před 4 lety +2

    Nakushukuru kwa moyo. Asante! Mwakora!

  • @lucymkenda9069
    @lucymkenda9069 Před 4 lety +2

    Nawapenda bure

  • @edsonmlyuka2005
    @edsonmlyuka2005 Před 2 lety

    Mungu awabariki kwa utume

  • @mariethamollel3564
    @mariethamollel3564 Před 3 lety +2

    Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa Moyo, Ahsateee🎶❣️

  • @deogratiusmkamba8573
    @deogratiusmkamba8573 Před 4 lety +2

    Nakushukuru MUNGU wangu kwa MOYO

  • @kaguotz3306
    @kaguotz3306 Před 5 lety +3

    Nikiwa mwimbaji Wa Kwaya ya mt agustino mafinga iringa sauti ya NNE nimeupenda sana huu wimbo

  • @silaselias9852
    @silaselias9852 Před 4 lety +2

    Pamoja sana

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 Před 5 lety +2

    Wimbo umenikatisha usingizi. Ukanifanya nitafakari kwa kina makuu aliyonikirimia Mungu wangu. Asante Rajo kwakutupatia clip ya hawa wanakwaya

    • @janethpolle6479
      @janethpolle6479 Před 4 lety

      Tcha, huu wimbo umenifanya Nitaman siku zingkua znarudishwa nyuma tuuweke kweny albam yetu bagamoyo

  • @restipaul4286
    @restipaul4286 Před 3 lety +1

    Wawoooo

  • @newmanh
    @newmanh Před 4 lety +12

    How can I like this song 1million Times!!!

  • @BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu

    Rede na prica katika obora wao

  • @francissilayo.3457
    @francissilayo.3457 Před 5 lety +13

    Big up kwa organists Fulgence Swai n Henry Kimario matunda ya Uru Seminary

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 Před 5 lety +2

    Nakushukuru kwa moyo asante

  • @evaristmassawe6925
    @evaristmassawe6925 Před 6 měsíci

    Wimbo wangu Bora wa shukrani kwa Mungu.Hongera kwa waimbaji na mtunzi.

  • @edwardkioko4455
    @edwardkioko4455 Před 4 lety +2

    Wimbo mzuuuri sana na mtaaamu sana jamani. Hongereni sana wote. Kwako ewe Tumaini Swai big up yourself sana kwa ustadi wako kaka.

  • @ediminabalongo2656
    @ediminabalongo2656 Před 7 měsíci

    Na tazama Sasa nakuja kwako jamani huu wimbo naupenda sana hongereni Kwa uimbaji mzuri

  • @kwayayamt.yohanembatizaji_9701

    Hongereni sana wapendwa

  • @denismaunda3102
    @denismaunda3102 Před 3 lety +1

    Ewe mungu wangu nakushukuru kwa moyo

  • @bujingwaramadhan5941
    @bujingwaramadhan5941 Před 5 lety +2

    ukweli ni kazi nzuri mnoo. kristo tumaini letu hakika.

  • @christinamaghembe9978
    @christinamaghembe9978 Před 5 lety +6

    Ninakushukuru Jemedari wa mbingu hongeren sana huu wimbo huwa unanibari sana. Amejibu maombi yangu.

  • @vsbrichiee437
    @vsbrichiee437 Před 5 lety +4

    Wimbo wangu wa mwaka 2018 nlikuwa nausubiria kwa shauku kubwa mnoo

  • @winnieotieno8690
    @winnieotieno8690 Před 5 lety +6

    Í have to play this every morning n night before bed.siwezi chochote Mimi bila nguvu zako

  • @agnessahia415
    @agnessahia415 Před 5 lety +2

    Mungu wangu nakuahukuru kwa moyo hakika inapendeza namwona sister Florence mlezi wangu wakitoto na ndugu yangu hakika inapendeza mno hongereni mno

  • @aminaibrahim8466
    @aminaibrahim8466 Před 2 lety

    Wimbo mzuri sana nimeupenda hongereni sana edelen kutumia karama zenu na mungu awabariki sana

  • @annedavienyamhanga4738
    @annedavienyamhanga4738 Před 4 lety +2

    2020 Jemedari WA Mbingu nakushukuru KwA Moyo.

  • @happylazaro3862
    @happylazaro3862 Před 5 lety +2

    Kazi nzuriiii

  • @edititajimmy57
    @edititajimmy57 Před 2 lety

    Mko vizuri saaana

    • @matiasmartin1835
      @matiasmartin1835 Před 2 lety

      Nikushukuru niseme ahsante nimeona mara nyingi miujiza yako katika maisha yangu

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 2 lety

    Listening from ,Dubai mmbarikiwe sana,siwezi bila nguvu zako bwana,mungu🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏼🙏🏼🙏🏼🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀

  • @thobiasafredy663
    @thobiasafredy663 Před 5 lety +2

    Mbalikiwe katika bwana!!!

  • @juditholoo3535
    @juditholoo3535 Před 3 lety +1

    Ujumbe mzito kweli mungu aendelee kuwabariki

  • @faithatieno4358
    @faithatieno4358 Před 2 lety

    Kazi safi 😍

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před 4 lety +5

    "Amenisikia ameinua amejibu maombi yangu"🙏🙏🙏🙏what a nc song mbarikiwe sana

    • @mugarurasosthenes7912
      @mugarurasosthenes7912 Před 4 lety

      Wimbo mzuri sana, mmeimba kwa hisia kubwa na mmewasilisha ujumbe murua. Mungu awabariki.

  • @felixkeriga744
    @felixkeriga744 Před 5 lety +3

    hongereni sana wana Joseph . mmeiutendea haki wimbo na mtaalamu Swai

  • @nyesigabuberwa7679
    @nyesigabuberwa7679 Před 3 lety +1

    Asante jemedari wa mbingu unayenitegemeza

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 Před 5 lety +12

    Ata kwa unyonge wangu, ninakushukuru jemedari wa mbingu