Wamkataao Yesu wa haki wote hawana tofauti na huyu yesu muongo, hukumu iko juu yao. Soma Yohane 3:16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
@@stevek8318 hKuna muislam anae mkataa yesu waislam pekeake ndio wanamfuata yesu Kwa kila kitu but wakiristo wote wana mpinga yesu wao ni kumuunga Kwa mdomo tuu bc but vitendo na maneno ya yesu hwafuati
Shekhe Ramadhan Allah akupe ngunvu na wepesi na maisha marefu ili uweze kutangaza Allah tabaraka wataalla. Na mtume wetu Muhammad s. a. w, na dini yetu ya kiislam
Allah ataleta kheri zake na kwa uwezo wake Noor ya Allah ataiona yy pamoja na wafuasi wake na watakuwa waislam Amin In Shaa Allah,Yesu wa Tongeren hawezi mpita Omar,naye alisilimu kwa uwezo wa Allah,Allah atawaongoza Amin
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu, ndugu zangu waislam. Mm nasema Alhamdulillah kwa kuchagua dini hii njema na yenye hakki kwa Allah. Alhamdulillah
Wallahi Sheikh Ramadhan kazi mnazofanya ni ngumu sana tena sana ambayo mitume wote wa Mungu hivyo ndivyo walivyokuwa wakifanya (kazi yao) na takriban wote wamefeli kwa kukataliwa na kudharauliwa na hata kutaka kuuliwa kama yesu akaokolewa na Mungu ila usichoke kwani Mtume Muhammad pekee hakufeli katika hili hadi amefariki bado kazi yake tunaiendeleza waislamu hadi mwisho wa dunia
Alaykum Salaam Warhmatullah Wabarakatuh asante Shekh Ramadhan nilikuwa nasubiri kwa hamu baada ya kusikia habari yake ya kukimbilia police kwa kuhofia kusulubiwa Mwenyeez Mungu akulipe kheri hapa dunian na kesho shekh wetu kipenzi Aman ya Mwenyeez Mungu iwe juu yako
Walahy hii kazi ni ngumu saana maana mnakutana na watu wenye akili na fikra tofauti.Maana hata Ramadhani hatulii alipokaa na kumkazia yesu macho haamini anachokiongea.Subhana Allah umetakasika RABB wetu MOLLA wa arshi zote.
Inalilah wainaileyh rajuhuni hawa watu krist kila siku maajabu tu walai na hii imani ya kristo ni ya ajabu walai nashukuru ALLAH kwa nihima ya upeke mbae ni islamu alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah
This guy is just chilling and playing with the minds of this poor people in his village. He doesn’t want to work rather do all this to just survive the pandemic of hunger in our society.
ramathan uliza uyoyesu kama kweri niyule alie sulubiwa yesu hakuna kitu hajui mulize mamlaka yakuoa alitoa wapi kama alikuja kuchukua kanisa ok watoto wake watahukumiwa peter
@@khamisjumaa-vm2tk mm najuwa dini ya Muhammad ahiwezi jitetea kwa maandiko bali inatetewa na midomo ya watu ndio maana Muhammad mwenyewe kasema dini imekujaga kushindana na dini zote duniani ndio maana waislamu wote wabishi!
Nchi ya Kenya inacheza na kumdhihaki Bwana Yesu Kristo (Mungu aliye hai) kwa kuruhusu wendawazimu kama hawa kumdhihaki Mungu. Kenya subirini. Dawa yenu kutoka Mbinguni inachemka. Mungu kamwe hadhihakiwi, kila mtu huvuna anachokipanda. Waulizeni Wabrazili yaliyowakuta.
Jamani sheikh Ramadhan Mungu akupe subra hii kazi binafc naona siiwezi naona ntatia mtu makofi 😂😂😂😂 mtu unamuelewesha haelewi anapinga woii Inataka subra na hekima ya halii ya juu Najivunia kua muislamu Alhamdulillah ❤ Mungu awaongoze 😢
Yesu mwana wa Mungu alie vaa mwili kupitia kwa kuzaliwa na Bikira Maria wakati huohuo anauungu mfalme wa ajabu nae ni neno pia ni alfa na omega mwenye kusamehe dhambi na ndio atakuja kuukumu ulimwengu. Hizo sifa wasilam wanajifanyaga hawazioni wanakomaa alipo sema mnataka kuniua mimi mtu mwana wa Mariam anakwenda haja analala katahriwa ndio wameweka hoja hapo tuu
Iko siku uyu baba atawachoma moto kama Kabwetere wa Uganda alivyo wachoma moto waumini wake akachukua pesa zao na mali akakimbia. Allah tunusuru na hii shirki ya hawa watu na usituadhibu sote kwasababu yao. ALLAH awaongoze watoke ktk hii kufru na shirki Amiin
Uislam ni dini nzuri sana. Ingekuwa dini inaokoa basi ningechagua kuwa Muislam. HAINA shaka. Wokovu hauhusiani na dini. Wokovu ni kumwamini Yesu. Masihi alisulubiwa ndugu yangu Muislam. Wewe huamini, basi endelea na safari Yako ndefu.
Shekhe Ramadhaini nilikusubiri sana kwa hii stori. Nikajua walifanikiwa kumsulubu yesu wa uongo, chezeakufa wee, yani sijui watu wanachotwaje hakili kiasi hiki.
collassian 2:18 Do not let anyone who delights in false humility and the worship of angels disqualify you. Such a person also goes into great detail about what they have seen; they are puffed up with idle notions by their unspiritual mind.
Nashukuru sna mwenyzi mungu kwa kuzaliwa ndni ya uislamu hii dunia ama hii Kenya kuna kabila wenye hawatawai toka kwa ujinga MTU kujiita yeye ni mungu enywe njaa ni mbya Ruto punguza bei ya unga
Uyu mtu ache kutuaribia sifa sisi wakristo ata nimeuthika,naona nikiambia boss wangu anisilimishe juu ni mda sana akitaka ni Silim uyu ameniuthi tuu sana,,akiwa na uyu mkewe ile chang'aa 5litre ilimharibu inafaa aperekwe hoc apimwe akili 😢
Kama ushajiridhisha uislam ni dini haki usipoteze mda silimu ukae katika njia sahihi usikae ktk imani ambayo inakupa mashaka Karibu katika uislamu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mkiristo hawezi ongea ujinga Kama unaongea ww Mary Mulokwe Ni kweli yesu wa Tongareni kakosea kujiita yesu lakini wewe Mary tambua kuwa Mambo haya yesu aliyatabiri kuwa yatatokea Sasa ww unaacha Imani yako kwa propaganda za kijinga za Kiislamu una akili kweli ww? imeandikwa wale watakaovumilia mpk mwisho basi ndio watakaouona ufalme wa mbinguni
Sema hivi ukristo una demokrasia ila uhislamu ni udictekta hata uislamu ungekua una demokrasia ungefanyiwa hivi hivi kama ukristo ni kama waislamu walivyo magaidi but si wote
ww kwanza unajua maana ya jambazi?kama kuna dini mbaya sana duniani ni islamu,maana katika uislamu akuna mafundisho mazuri kazi yako uislamu ni matusi peke yake wakosefu wa heshima nyie,ndacha kaingilia wapi apa na ndacha ni jambazi wapi?nyie mumepotezwa na Muhammad kupitia kitabu chake cha majini wakati ndacha anawaubiria ukweli afu unamuita jambazi potelea ww mjinga,umeuza imani yako kwa ajili ya pilau na wanawake!
Yaani huyu anajua kuwatenganisha kati ya wanaume na wanawake wasikae pamoja na anawafundisha wavae nguo za stara ila sasa ndo yupo kwenye upotovu Shekh mlinganie labda ataongoka In shaa Allah
Jameni mungu atuhurumie mimi ni mcrito na nina hamini mungu ni moja ambae hakuzaliwa wala kuzaa. Yesu ilitumwa tu kukomboa walio potea kwaivyo yesu ni mtume tu
Mimi ni mkristo,, ila nimependa sana huyu shekhe Ramadhani ni mstaarabu Sana,, pia anaonyesha kuwa anaufahamu mzuri wa Imani YAKE japo hapo alipokwenda hawezi kupata majibu sahihi huyo anaye jiita YESU,,, hajitambui kabisaaa huyo amejiita mwenyewe wala hatambuliki na umma wa kikristo,,,,
2 Corinthians 4:4,,The God of this age has blinded the minds of unbelievers,so that they cannot see the Light of the gospel that displays the Glory of Christ,who is the image of God,,,,,,,Neno ni nuru tusome Neno ili tusipotoshwe
yes of course yeye zio yesu but yeye akaaye ndani yake ni yesu mwenyewe ndiye umutumika Amen ndio maana anasema ni yesu bt anatupoyeza kwatojua coz wengine awaelewi
Allah ni Mkuu na ansbra watu waciojielewa Hadi wanajiita manabii na Mungu na hali Allah anawapuruzia Tu uko cku mda mchache watarudi kwake waone Yale walokuwa wakijizuliya Enyi watu tumiogopeni Allah shetani acikuhadaeni
Allah akujaaalie subira shekhe ramadhan maana kazi ya Allah ni ngumu ila kwa Allah ndio malipo makubwa Allah akufanyie wepesi usikate tamaaa 🤲
Amin
Allahumma Aamin 🤲
Wamkataao Yesu wa haki wote hawana tofauti na huyu yesu muongo, hukumu iko juu yao. Soma Yohane 3:16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
@@stevek8318 hKuna muislam anae mkataa yesu waislam pekeake ndio wanamfuata yesu Kwa kila kitu but wakiristo wote wana mpinga yesu wao ni kumuunga Kwa mdomo tuu bc but vitendo na maneno ya yesu hwafuati
Shekhe Ramadhan Allah akupe ngunvu na wepesi na maisha marefu ili uweze kutangaza Allah tabaraka wataalla. Na mtume wetu Muhammad s. a. w, na dini yetu ya kiislam
Aende awahubirie alshabab waache ushetani Somalia kama anajiamini 🤣🤣🤣
amiin
AaaminaYaarabi.nihatari.miesikuwahiJuwaHiikitu😭😭SubhanaAllah
Aki uyu Ramathni ni mwalimu kweli Moto wakuote Bali be blessed ust
Ako sawa
Uyo yesu ata kuoga tu ana oneka ni shida..kweli hii dunia..mungu naomba uwape adhabu wavuta bangi kama hawa..
I love the way this shekhe anajaribu kumfunza huyu mzee,,after everything that happened in Brazil for the sake of peace please fear God
Allah awafanyie wepesi na awakinge na kila la shari AMEEN THUMA AMEEN🤲 tuna wapenda mashekhe wetu kwa ajaili ya Allah.
Allah ataleta kheri zake na kwa uwezo wake Noor ya Allah ataiona yy pamoja na wafuasi wake na watakuwa waislam Amin In Shaa Allah,Yesu wa Tongeren hawezi mpita Omar,naye alisilimu kwa uwezo wa Allah,Allah atawaongoza Amin
Shekh Ramadhan tafadhali naomba umfikie yule mama zumaridi kule mwanza tz
Pia GeoDave
Alhamdulillah nakushkuru Allah kunijalia neema ya uislam wabariki wazazi wangu na utufishe tukiwa muslim amiiin.
Ameen
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu, ndugu zangu waislam. Mm nasema Alhamdulillah kwa kuchagua dini hii njema na yenye hakki kwa Allah. Alhamdulillah
Wallahi Sheikh Ramadhan kazi mnazofanya ni ngumu sana tena sana ambayo mitume wote wa Mungu hivyo ndivyo walivyokuwa wakifanya (kazi yao) na takriban wote wamefeli kwa kukataliwa na kudharauliwa na hata kutaka kuuliwa kama yesu akaokolewa na Mungu ila usichoke kwani Mtume Muhammad pekee hakufeli katika hili hadi amefariki bado kazi yake tunaiendeleza waislamu hadi mwisho wa dunia
Innalillah wainna illahi rajuon SubhanaAllah mtihani mkubwa huu Allah atakupa ujira wako kwa kazi hii nzuri ya daawa
SUBHANAH ALLAH awahid hawa watu mm napenda ujarisi na subra yako ALLAH akuzidishie
Alaykum Salaam Warhmatullah Wabarakatuh asante Shekh Ramadhan nilikuwa nasubiri kwa hamu baada ya kusikia habari yake ya kukimbilia police kwa kuhofia kusulubiwa Mwenyeez Mungu akulipe kheri hapa dunian na kesho shekh wetu kipenzi Aman ya Mwenyeez Mungu iwe juu yako
A mad man hii ni upuzi
Alhamdulillah uislam raha saaaana 🤲 yaallah tujalie Mimi nawewe mwisho mwema 🤲😭 Dunia ime kuwa na watu wa ajabu
😂🤣😂🤣❤️
Hehehehehe waaaaaaaaaaa
AaminaYahnMieSijawahiFikiriaHayaninayoyaona
Walahy hii kazi ni ngumu saana maana mnakutana na watu wenye akili na fikra tofauti.Maana hata Ramadhani hatulii alipokaa na kumkazia yesu macho haamini anachokiongea.Subhana Allah umetakasika RABB wetu MOLLA wa arshi zote.
M.A may Allah Guide this christian to the straight path Insha Allah
Hawa siyo wakristo wewe!
Wacha ujinga ww watu wanaanza zao unawaita wakristo
Wee chunga kuchanganya ukristu na Hawa watu wamechanganyikiwa
Please,ibeg you, guys, stop,that because, repent,lord will punish you ,
amiin
Mashaallah Allah akupe kila la kheri Ustadhi Ramadan .
Salute ustadhna'a ALLAH akuzidishie kila la khery
Inalilah wainaileyh rajuhuni hawa watu krist kila siku maajabu tu walai na hii imani ya kristo ni ya ajabu walai nashukuru ALLAH kwa nihima ya upeke mbae ni islamu alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah
Hiyo siyo imani ya kikristo wewe!
Hawa ni waganga wa kienyeji, hakuna ukristo hapo au waislamu wanaoigiza
Ramadhan, asante kwa kazi yako...tunaomba sasa uende kwa pastor Awour na Ezekiel
Toa Ezekiel Kwa list Yako please
@Stephen Musyoka hehe huyo hana nyota ya Akili
Hao walikataa kukutana nami
This guy is just chilling and playing with the minds of this poor people in his village. He doesn’t want to work rather do all this to just survive the pandemic of hunger in our society.
😂😂😂😂😂😂 #huyumungu
In Kenya anything is possible Bora akili yako
@@mildrednafula3082 I got you . Make sense
So true, taking advantage of the vulnerable
He is guiding them if you mean Ramadan is doing So. They are misled by satani
Dini ya Haki mbele ya mwenyezi Mungu ni uisilam,karibuni katika uisilam.
leta andiko dini ya kweli mbele za mwenyezi Mungu ni islamu sio utupe qu'ran 3:19!ahina msingi wote ule!
ramathan uliza uyoyesu kama kweri niyule alie sulubiwa yesu hakuna kitu hajui mulize mamlaka yakuoa alitoa wapi kama alikuja kuchukua kanisa ok watoto wake watahukumiwa peter
@@jeanmuzaliwa9023 ww TOA andiko kuwa Christian no dini ama TOA andiko yesu asema yy ni mungu
@@khamisjumaa-vm2tk mm najuwa dini ya Muhammad ahiwezi jitetea kwa maandiko bali inatetewa na midomo ya watu ndio maana Muhammad mwenyewe kasema dini imekujaga kushindana na dini zote duniani ndio maana waislamu wote wabishi!
@@jeanmuzaliwa9023asalama alaikum ndugu ,mm naomba tu wewe umekuwa mkristo kwa amri ya nani ,kwa ushahidi wa mandiko
Ramadhai naona leo wako malaika wapya, wameongezeka. Alhamdulillahi kwa wiislamu yaa الله.
Malaika wanaenda choo😢
Yesu aliondoka mweupe karudi mweusi nishida jaman
Unabidii sana sheh ramazan mungu atakulipa heri inshallah na atakuepusha nakila shari inshallah
Ndugu Ramadhani ALLAH akupe subra maana kuongea na mental ni kazi ngumu namuomba Mwenyezi Mungu mwisho mwema Inshaallah
Hyu jamaa atakuwa Dakota wa vichaa ,maana sio vichaa waliyomzunguka
Wakati mwingine napenda misimamo yauslam nasheria zake,sisi akristo tunamdhiaki Sana yesu mungu aponye roho zetu.
sanaaaaaa km zumarid uyo sasa inakuwaje jamani
Maajabu ya ukristo yaani yesu mbaluya naanaongea kiswahili, pick up mei God bless you sherk Rama alha akuhifadhi kwa mema yako inshallah
😂😂😂
This luhya man kwani mnakulako ugali mnakuwaje ndio
Pole sanaa Shekhe Ramadhani naona umesimama umeshika tama unawashangaa. Wallah mimi mwisho wa siku machozi yamenitoka nawahurumia hawa wafuasi wake.
Alafu yule anoruka sana ndo shekh ramadhan kamuangalia sana, sjui alikua anawaza nini
@@zuwenamohd4372 umeona eee 😂? Msiba huu kwa hawa ndugu zetu ktk Adamu .
@@nakundwamkubwe7823 mm ningekua karibu ningempiga jiwe yule anoruka sana mana naona ndo anotia hasira🤣🤣
@@zuwenamohd4372 😂😂😂
@@zuwenamohd4372 huyu ni pumbavu au mwendawazzimu shenzi sanna mpelakeni kwa Aatiwoli. Simple , simple;
Nchi ya Kenya inacheza na kumdhihaki Bwana Yesu Kristo (Mungu aliye hai) kwa kuruhusu wendawazimu kama hawa kumdhihaki Mungu. Kenya subirini. Dawa yenu kutoka Mbinguni inachemka. Mungu kamwe hadhihakiwi, kila mtu huvuna anachokipanda. Waulizeni Wabrazili yaliyowakuta.
Mtihani huu wallahi Allah atuhifad inshaallah
Allahumma Aamin 🤲
Shekh Ramadhan kasema ehee. Nimecheka kweli 😂😂😂😂😂😂. Chezea yesu wa tongareni we
Hatariii 😮
Manshaalah ustad wetu kuwa kazi mzuri alah akuli jana fardowsa
Masha Allh tabaraka Allh kwakazi nzuri
Jamani sheikh Ramadhan Mungu akupe subra hii kazi binafc naona siiwezi naona ntatia mtu makofi 😂😂😂😂 mtu unamuelewesha haelewi anapinga woii Inataka subra na hekima ya halii ya juu
Najivunia kua muislamu Alhamdulillah ❤ Mungu awaongoze 😢
😂😂😂 Kaz haitak hasira
😂😂😂😂
Kazi ya mungu haitaki hasira kweli.
😂😂😂😂😂wasema polepole
😀😀😀
Mwenyezi Mungu akuzidishie sana sheikh Ramadan Kazi nzuri ,natoka kitale kiminini,naomba ufike Huko inshaAllah
Allahuma ameen 🤲
Pasta Doreen pole ameijua bibilia tu sio yesu yesu anakitambi mara mungu Mara yesu iyo kazi kweli
HUYU SIYE YESU HATA KIDOGO!!!Anatuaaibisha sis Wakristo
Ndio maana ukiristo si Diini
Usichokeeh shekhe wetu Allah akusimamie ktk hili maan inasikitisha kwakwel
watu walivuta bangi hadi wakaamua kujiita miungu...alafu viumbe zingine bado zinafuata tu....Ee mwenyezi Mungu,muumba mbingu na dunia,uturehemu
Nyie ndio mnaokoroga watu hadi sisi waislamu tupambane lakini nyinyi mnaruhusu yote
@@samxx411
Lol this guy Loves Islam.. don't be too judgmental
@@stoispapi2380 ok bro
Mungu aturehem?
Alikunywa chang'aa litres tano akapoteza fahamu the following day akaanza kujiita yesu according to her 1st born dota. 😂
Yesu mwana wa Mungu alie vaa mwili kupitia kwa kuzaliwa na Bikira Maria wakati huohuo anauungu mfalme wa ajabu nae ni neno pia ni alfa na omega mwenye kusamehe dhambi na ndio atakuja kuukumu ulimwengu. Hizo sifa wasilam wanajifanyaga hawazioni wanakomaa alipo sema mnataka kuniua mimi mtu mwana wa Mariam anakwenda haja analala katahriwa ndio wameweka hoja hapo tuu
Iko siku uyu baba atawachoma moto kama Kabwetere wa Uganda alivyo wachoma moto waumini wake akachukua pesa zao na mali akakimbia. Allah tunusuru na hii shirki ya hawa watu na usituadhibu sote kwasababu yao. ALLAH awaongoze watoke ktk hii kufru na shirki Amiin
Masikitiko makubwa ! Ibilisi hapa kafanya kazi ya hali ya juu!
Kweli kabisa mbona hajiti yesu Christ anajita yesu watongeren
Allah awaongoze wote waliopotea
Waalekum salam warahmatullah wabarakatu, mwenyezi atujaalie mwisho mwema
Subhanallah huyu anajita yesu amepotea na wafuasi wake wote Allah awaongoze
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh!
Tumewasikilizeni mnavyojibizana na Yesu mzushi wa Kenya!
Aky huyu Yesu WA tongaren,ati anasema watu wawe na wogovu wa kweli watoke kwenye kisa😂😂
Shekhee naona umepiga salute
Mungu atufanyie wepesi.kwa kweli
Nimefatilia wote lakini naona imefika maala kila Mmoja imekuwa mshangao kwa mwezake.
Yaan hao wafuasi wake ndio wajinga kupindukia Allah atujaalie mwisho mwema 🤲
Amiin 😢
😢😢
You can not, be achrist , please don't deasive people lord s anger,is upon you
Thanks for islam Alhamdulilah
Uislam ni dini nzuri sana. Ingekuwa dini inaokoa basi ningechagua kuwa Muislam. HAINA shaka. Wokovu hauhusiani na dini. Wokovu ni kumwamini Yesu.
Masihi alisulubiwa ndugu yangu Muislam. Wewe huamini, basi endelea na safari Yako ndefu.
Huyu yesu anabore,asulubishwe
😂😂😂
Kabisaaaa
😂😂😂😂😂😂😂
Anaona Jina la mungu ni ya mchezo ety palipo mwana pana baba mwambie aje uku Saudi watoe watu wanateseka kama kweli ametumwa na mungu
Wallah mtihani huyu baba mie ninanvyomuona kama hayupo sawa kwamkichwa yake 😢Allah awaongoze.
Wallah nimecheka kwa sauti 😂😂eti Nazareti ni hapa Tongareni 😂😂.
Allah akubark Ndugu yangu Kwa kuwa elimisha ungemuambia asitumie kitabu kama yeye ni yesu
Safiiiiiiii
Hawezi huyo hata maandiko kichwan hayapo😂 hapo akimtega swali bila Bibilia aulize lipo sura gani hawez jibu maana hawezi jua linako patikana
Shekhe Ramadhaini nilikusubiri sana kwa hii stori. Nikajua walifanikiwa kumsulubu yesu wa uongo, chezeakufa wee, yani sijui watu wanachotwaje hakili kiasi hiki.
Tunamsibiri ijumaa kuu
collassian 2:18 Do not let anyone who delights in false humility and the worship of angels disqualify you. Such a person also goes into great detail about what they have seen; they are puffed up with idle notions by their unspiritual mind.
Am fearing this, mungu si wakucheza naye
Nashukuru sna mwenyzi mungu kwa kuzaliwa ndni ya uislamu hii dunia ama hii Kenya kuna kabila wenye hawatawai toka kwa ujinga MTU kujiita yeye ni mungu enywe njaa ni mbya Ruto punguza bei ya unga
Uyu mtu ache kutuaribia sifa sisi wakristo ata nimeuthika,naona nikiambia boss wangu anisilimishe juu ni mda sana akitaka ni Silim uyu ameniuthi tuu sana,,akiwa na uyu mkewe ile chang'aa 5litre ilimharibu inafaa aperekwe hoc apimwe akili 😢
Kama ushajiridhisha uislam ni dini haki usipoteze mda silimu ukae katika njia sahihi usikae ktk imani ambayo inakupa mashaka
Karibu katika uislamu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mkiristo hawezi ongea ujinga Kama unaongea ww Mary Mulokwe Ni kweli yesu wa Tongareni kakosea kujiita yesu lakini wewe Mary tambua kuwa Mambo haya yesu aliyatabiri kuwa yatatokea Sasa ww unaacha Imani yako kwa propaganda za kijinga za Kiislamu una akili kweli ww? imeandikwa wale watakaovumilia mpk mwisho basi ndio watakaouona ufalme wa mbinguni
@@madetetv6576asalama alaikum, haya nikuulize tu ndugu yangu kbla kwenda kwenye propegunder hivi kuna dini inaitwa ukristo kwenye bibliya?
@@madetetv6576 sasa mbn wa mkaripia kila mtu anaangalia nafsi yake wapi pana usahihi
Sema hivi ukristo una demokrasia ila uhislamu ni udictekta hata uislamu ungekua una demokrasia ungefanyiwa hivi hivi kama ukristo ni kama waislamu walivyo magaidi but si wote
Mark 12:29
Jesus replied, “The most important commandment is this: ‘Listen, O Israel! The Lord our God is the one and only Lord .
Kwahiyo andiko hilo unaliamini ila mengine huamini? Waislam akili zenu Ni Kama panya tu mnachagua chagua yani
@@madetetv6576
Is that verse False?
Let's debate.. bring any topic up if you are a man 🙂
@@stoispapi2380 Biblia haisomwi Kama gazeti lenu la quran Kaka Soma kwa kujifunza utaelewa
@@madetetv6576
Be a man 🙂
@@stoispapi2380 I can't argue with a foolman
Alhamdulillah kwa neema ya uislamu ❤
Asitubebe ufala Yesu anamke 😔😔😔 tumepigwa
Tena mkwe yesu anamimba hapo kubwa tu
🤲🤲allaah akupe guvu akuogoze
Tunaeza fanya jokes na huyu yes badae tupate hakuna yesu mwingine ni huyu tu😂😂😂😂
Lazima asulubishwe😅😅
Kaka Ramadhan mungu akuzidishie hekima maana hawa watu ni mental kesi kabisa mungu akupe umri mrefu wenye kheri na ww uxid kufanya daawa
Subhannallah
Masha Allah ramadhan Allah Aku bless sana
Hata kama babake alitabiri Sio.kuwa wewe nipesa Ni kuwa utajua Mungu Ila wewe unajiita Yesu,,Wewe wafaa kichapo
waluya mtafanya tukose uzima wa milele Mungu atwabie tujisort na yesu wetu
Mungu anadeel n mtu personal c rende
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
We ramadhan uwe msabato maan kuna madin ndan yako!!
A very good comedy 😂
Ramadhan leo umepta jambazi zaidi ya ndacha, yaaani haekeweki kabisa, lakini enda ivo ivo mpaka Allah aongeze hio yesu
ww kwanza unajua maana ya jambazi?kama kuna dini mbaya sana duniani ni islamu,maana katika uislamu akuna mafundisho mazuri kazi yako uislamu ni matusi peke yake wakosefu wa heshima nyie,ndacha kaingilia wapi apa na ndacha ni jambazi wapi?nyie mumepotezwa na Muhammad kupitia kitabu chake cha majini wakati ndacha anawaubiria ukweli afu unamuita jambazi potelea ww mjinga,umeuza imani yako kwa ajili ya pilau na wanawake!
@@jeanmuzaliwa9023na ukristo je ni dini ya nani kwa ushahidi tafadhal
Allah angekufanyia wepesi ukamfata zumaridi kwanza,anavyo wapoteza watu,na ule anajiita nabii Georgie
Allah akulinde ustadh Ramazan
Kwenda! Yesu wetu hakuli sukuma!
Achana n'a huyo muongo eti Yesu anachezea maisha yake n'a Hao wanaomfuata ni mjinga sana huyo Ana mle n'a ametelekeza watoto wake😊
For God loved the world he give his only son to bring salvation on the world John 3:16
Jina ni mwalimu Yesu so this month is for you but kufufuka ni hiari yako yesu wa tongareni
Mungu tusaidie kulinda imani yetu maana wanabii wa uongo watapoteza wengi aki mungu tuhurumie
Innalilah wainna ilayhi rajiun
kilaa wakaati amina😂 semaa amiin amina kujaa
🤣😅😅🙄
Yaani huyu anajua kuwatenganisha kati ya wanaume na wanawake wasikae pamoja na anawafundisha wavae nguo za stara ila sasa ndo yupo kwenye upotovu
Shekh mlinganie labda ataongoka In shaa Allah
ati sasa huyu mzee ndie yesu.
Yesu anamiliki simu duuuuh na yesu anakitambii duuuuh hata so smart hizoni njaaaa
Mtian wallah duh shekh Ramadhan Allah azidi kukupa nguvu duh
Mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tufanikiwe jamani kuujua ukweli nawe shekh wetu Mungu akuhifadhi na umri wenyefaida
Jameni mungu atuhurumie mimi ni mcrito na nina hamini mungu ni moja ambae hakuzaliwa wala kuzaa. Yesu ilitumwa tu kukomboa walio potea kwaivyo yesu ni mtume tu
Mimi ni mkristo,, ila nimependa sana huyu shekhe Ramadhani ni mstaarabu Sana,, pia anaonyesha kuwa anaufahamu mzuri wa Imani YAKE japo hapo alipokwenda hawezi kupata majibu sahihi huyo anaye jiita YESU,,, hajitambui kabisaaa huyo amejiita mwenyewe wala hatambuliki na umma wa kikristo,,,,
Waalekum salam warahmatullah wabarakatuh
Ajabu sana mm ata nafikiria kua mslamu
Karibu cnaa dada esta uone mwanga wa milele
Buibui nitakununulia
Angejiita to pastor
2 Corinthians 4:4,,The God of this age has blinded the minds of unbelievers,so that they cannot see the Light of the gospel that displays the Glory of Christ,who is the image of God,,,,,,,Neno ni nuru tusome Neno ili tusipotoshwe
This man needs to be prayed for hii n kuwa wazimu...Never Blasphem the word God
Bwana yesu anapinga mambo ya mwenyezi mungu huyo si yesu
Huyu shehe nae wale wale mwongo tu huyu
Amina Amina endelea kuwafunza Ili wajuwe Mungu ni mmoja na sio binadamu
yes of course yeye zio yesu but yeye akaaye ndani yake ni yesu mwenyewe ndiye umutumika Amen ndio maana anasema ni yesu bt anatupoyeza kwatojua coz wengine awaelewi
Benjamin una kazi sana utazaa ukiwa hapo
Kama yeye n yesu si asome maandiko bila kufuatilia kitabu juu n yy ameteremsha jameni🤗
Allah ni Mkuu na ansbra watu waciojielewa Hadi wanajiita manabii na Mungu na hali Allah anawapuruzia Tu uko cku mda mchache watarudi kwake waone Yale walokuwa wakijizuliya Enyi watu tumiogopeni Allah shetani acikuhadaeni