YESU WA TONGAREN AKATAA KUSULUBIWA (PART 1 OF 4)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Komentáře • 825

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Před rokem +41

    Allah akujaaalie subira shekhe ramadhan maana kazi ya Allah ni ngumu ila kwa Allah ndio malipo makubwa Allah akufanyie wepesi usikate tamaaa 🤲

    • @naimaabuualii578
      @naimaabuualii578 Před rokem +1

      Amin

    • @mwanamtotosaid702
      @mwanamtotosaid702 Před rokem +2

      Allahumma Aamin 🤲

    • @stevek8318
      @stevek8318 Před rokem +1

      Wamkataao Yesu wa haki wote hawana tofauti na huyu yesu muongo, hukumu iko juu yao. Soma Yohane 3:16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem +1

      ​@@stevek8318 hKuna muislam anae mkataa yesu waislam pekeake ndio wanamfuata yesu Kwa kila kitu but wakiristo wote wana mpinga yesu wao ni kumuunga Kwa mdomo tuu bc but vitendo na maneno ya yesu hwafuati

  • @akhrazjunior4089
    @akhrazjunior4089 Před rokem +21

    Shekhe Ramadhan Allah akupe ngunvu na wepesi na maisha marefu ili uweze kutangaza Allah tabaraka wataalla. Na mtume wetu Muhammad s. a. w, na dini yetu ya kiislam

  • @millicentwawira1779
    @millicentwawira1779 Před rokem +16

    Aki uyu Ramathni ni mwalimu kweli Moto wakuote Bali be blessed ust

  • @erickjmgema3923
    @erickjmgema3923 Před rokem +7

    Uyo yesu ata kuoga tu ana oneka ni shida..kweli hii dunia..mungu naomba uwape adhabu wavuta bangi kama hawa..

  • @newvip4663
    @newvip4663 Před rokem +8

    I love the way this shekhe anajaribu kumfunza huyu mzee,,after everything that happened in Brazil for the sake of peace please fear God

  • @42HUSNA38
    @42HUSNA38 Před rokem +13

    Allah awafanyie wepesi na awakinge na kila la shari AMEEN THUMA AMEEN🤲 tuna wapenda mashekhe wetu kwa ajaili ya Allah.

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula6167 Před rokem +11

    Allah ataleta kheri zake na kwa uwezo wake Noor ya Allah ataiona yy pamoja na wafuasi wake na watakuwa waislam Amin In Shaa Allah,Yesu wa Tongeren hawezi mpita Omar,naye alisilimu kwa uwezo wa Allah,Allah atawaongoza Amin

  • @rashidrajab1391
    @rashidrajab1391 Před rokem +12

    Shekh Ramadhan tafadhali naomba umfikie yule mama zumaridi kule mwanza tz

  • @noornoor-pr6nf
    @noornoor-pr6nf Před rokem +14

    Alhamdulillah nakushkuru Allah kunijalia neema ya uislam wabariki wazazi wangu na utufishe tukiwa muslim amiiin.

  • @RehemaBaya-i4q
    @RehemaBaya-i4q Před 5 dny +1

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu, ndugu zangu waislam. Mm nasema Alhamdulillah kwa kuchagua dini hii njema na yenye hakki kwa Allah. Alhamdulillah

  • @samxx411
    @samxx411 Před rokem +4

    Wallahi Sheikh Ramadhan kazi mnazofanya ni ngumu sana tena sana ambayo mitume wote wa Mungu hivyo ndivyo walivyokuwa wakifanya (kazi yao) na takriban wote wamefeli kwa kukataliwa na kudharauliwa na hata kutaka kuuliwa kama yesu akaokolewa na Mungu ila usichoke kwani Mtume Muhammad pekee hakufeli katika hili hadi amefariki bado kazi yake tunaiendeleza waislamu hadi mwisho wa dunia

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před rokem +8

    Innalillah wainna illahi rajuon SubhanaAllah mtihani mkubwa huu Allah atakupa ujira wako kwa kazi hii nzuri ya daawa

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Před rokem +5

    SUBHANAH ALLAH awahid hawa watu mm napenda ujarisi na subra yako ALLAH akuzidishie

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +16

    Alaykum Salaam Warhmatullah Wabarakatuh asante Shekh Ramadhan nilikuwa nasubiri kwa hamu baada ya kusikia habari yake ya kukimbilia police kwa kuhofia kusulubiwa Mwenyeez Mungu akulipe kheri hapa dunian na kesho shekh wetu kipenzi Aman ya Mwenyeez Mungu iwe juu yako

  • @leilaathumani3611
    @leilaathumani3611 Před rokem +11

    Alhamdulillah uislam raha saaaana 🤲 yaallah tujalie Mimi nawewe mwisho mwema 🤲😭 Dunia ime kuwa na watu wa ajabu

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Před rokem +4

    Walahy hii kazi ni ngumu saana maana mnakutana na watu wenye akili na fikra tofauti.Maana hata Ramadhani hatulii alipokaa na kumkazia yesu macho haamini anachokiongea.Subhana Allah umetakasika RABB wetu MOLLA wa arshi zote.

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Před rokem +24

    M.A may Allah Guide this christian to the straight path Insha Allah

  • @ggv866
    @ggv866 Před rokem +6

    Mashaallah Allah akupe kila la kheri Ustadhi Ramadan .

  • @ummabubakar5319
    @ummabubakar5319 Před rokem +7

    Salute ustadhna'a ALLAH akuzidishie kila la khery

  • @hassadube225
    @hassadube225 Před rokem +8

    Inalilah wainaileyh rajuhuni hawa watu krist kila siku maajabu tu walai na hii imani ya kristo ni ya ajabu walai nashukuru ALLAH kwa nihima ya upeke mbae ni islamu alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah

  • @mutuacollins1551
    @mutuacollins1551 Před rokem +7

    Ramadhan, asante kwa kazi yako...tunaomba sasa uende kwa pastor Awour na Ezekiel

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +49

    This guy is just chilling and playing with the minds of this poor people in his village. He doesn’t want to work rather do all this to just survive the pandemic of hunger in our society.

    • @FIREBWIZE
      @FIREBWIZE Před rokem +1

      😂😂😂😂😂😂 #huyumungu

    • @mildrednafula3082
      @mildrednafula3082 Před rokem +9

      In Kenya anything is possible Bora akili yako

    • @Adm9464
      @Adm9464 Před rokem +2

      @@mildrednafula3082 I got you . Make sense

    • @joycekoech8277
      @joycekoech8277 Před rokem +3

      So true, taking advantage of the vulnerable

    • @samawadeahmed4380
      @samawadeahmed4380 Před rokem

      He is guiding them if you mean Ramadan is doing So. They are misled by satani

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 Před rokem +7

    Dini ya Haki mbele ya mwenyezi Mungu ni uisilam,karibuni katika uisilam.

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Před rokem

      leta andiko dini ya kweli mbele za mwenyezi Mungu ni islamu sio utupe qu'ran 3:19!ahina msingi wote ule!

    • @petermathenge-eu1tr
      @petermathenge-eu1tr Před rokem

      ramathan uliza uyoyesu kama kweri niyule alie sulubiwa yesu hakuna kitu hajui mulize mamlaka yakuoa alitoa wapi kama alikuja kuchukua kanisa ok watoto wake watahukumiwa peter

    • @khamisjumaa-vm2tk
      @khamisjumaa-vm2tk Před rokem +1

      ​@@jeanmuzaliwa9023 ww TOA andiko kuwa Christian no dini ama TOA andiko yesu asema yy ni mungu

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Před rokem

      @@khamisjumaa-vm2tk mm najuwa dini ya Muhammad ahiwezi jitetea kwa maandiko bali inatetewa na midomo ya watu ndio maana Muhammad mwenyewe kasema dini imekujaga kushindana na dini zote duniani ndio maana waislamu wote wabishi!

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Před rokem

      ​@@jeanmuzaliwa9023asalama alaikum ndugu ,mm naomba tu wewe umekuwa mkristo kwa amri ya nani ,kwa ushahidi wa mandiko

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +6

    Ramadhai naona leo wako malaika wapya, wameongezeka. Alhamdulillahi kwa wiislamu yaa الله.

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Před rokem +5

    Unabidii sana sheh ramazan mungu atakulipa heri inshallah na atakuepusha nakila shari inshallah

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před rokem +5

    Ndugu Ramadhani ALLAH akupe subra maana kuongea na mental ni kazi ngumu namuomba Mwenyezi Mungu mwisho mwema Inshaallah

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Před rokem

      Hyu jamaa atakuwa Dakota wa vichaa ,maana sio vichaa waliyomzunguka

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 Před rokem +6

    Wakati mwingine napenda misimamo yauslam nasheria zake,sisi akristo tunamdhiaki Sana yesu mungu aponye roho zetu.

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Před rokem +3

    Maajabu ya ukristo yaani yesu mbaluya naanaongea kiswahili, pick up mei God bless you sherk Rama alha akuhifadhi kwa mema yako inshallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +1

    Pole sanaa Shekhe Ramadhani naona umesimama umeshika tama unawashangaa. Wallah mimi mwisho wa siku machozi yamenitoka nawahurumia hawa wafuasi wake.

    • @zuwenamohd4372
      @zuwenamohd4372 Před rokem

      Alafu yule anoruka sana ndo shekh ramadhan kamuangalia sana, sjui alikua anawaza nini

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @@zuwenamohd4372 umeona eee 😂? Msiba huu kwa hawa ndugu zetu ktk Adamu .

    • @zuwenamohd4372
      @zuwenamohd4372 Před rokem +1

      @@nakundwamkubwe7823 mm ningekua karibu ningempiga jiwe yule anoruka sana mana naona ndo anotia hasira🤣🤣

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @@zuwenamohd4372 😂😂😂

    • @DoctorKajase
      @DoctorKajase Před 2 měsíci

      @@zuwenamohd4372 huyu ni pumbavu au mwendawazzimu shenzi sanna mpelakeni kwa Aatiwoli. Simple , simple;

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před rokem +1

    Nchi ya Kenya inacheza na kumdhihaki Bwana Yesu Kristo (Mungu aliye hai) kwa kuruhusu wendawazimu kama hawa kumdhihaki Mungu. Kenya subirini. Dawa yenu kutoka Mbinguni inachemka. Mungu kamwe hadhihakiwi, kila mtu huvuna anachokipanda. Waulizeni Wabrazili yaliyowakuta.

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Před rokem +4

    Mtihani huu wallahi Allah atuhifad inshaallah

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Před rokem +6

    Shekh Ramadhan kasema ehee. Nimecheka kweli 😂😂😂😂😂😂. Chezea yesu wa tongareni we

  • @asadahmedadan2959
    @asadahmedadan2959 Před rokem +4

    Manshaalah ustad wetu kuwa kazi mzuri alah akuli jana fardowsa

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Před rokem +3

    Masha Allh tabaraka Allh kwakazi nzuri

  • @rahmamrishoyussuf2652
    @rahmamrishoyussuf2652 Před rokem +6

    Jamani sheikh Ramadhan Mungu akupe subra hii kazi binafc naona siiwezi naona ntatia mtu makofi 😂😂😂😂 mtu unamuelewesha haelewi anapinga woii Inataka subra na hekima ya halii ya juu
    Najivunia kua muislamu Alhamdulillah ❤ Mungu awaongoze 😢

  • @nasra8436
    @nasra8436 Před rokem +3

    Mwenyezi Mungu akuzidishie sana sheikh Ramadan Kazi nzuri ,natoka kitale kiminini,naomba ufike Huko inshaAllah

  • @doreenlukas
    @doreenlukas Před rokem

    Pasta Doreen pole ameijua bibilia tu sio yesu yesu anakitambi mara mungu Mara yesu iyo kazi kweli

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 Před rokem +2

    HUYU SIYE YESU HATA KIDOGO!!!Anatuaaibisha sis Wakristo

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Před rokem +2

    Usichokeeh shekhe wetu Allah akusimamie ktk hili maan inasikitisha kwakwel

  • @joseealexislenguumeni18
    @joseealexislenguumeni18 Před rokem +53

    watu walivuta bangi hadi wakaamua kujiita miungu...alafu viumbe zingine bado zinafuata tu....Ee mwenyezi Mungu,muumba mbingu na dunia,uturehemu

    • @samxx411
      @samxx411 Před rokem +8

      Nyie ndio mnaokoroga watu hadi sisi waislamu tupambane lakini nyinyi mnaruhusu yote

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Před rokem +2

      @@samxx411
      Lol this guy Loves Islam.. don't be too judgmental

    • @samxx411
      @samxx411 Před rokem +3

      @@stoispapi2380 ok bro

    • @mzaliwaseif7079
      @mzaliwaseif7079 Před rokem +3

      Mungu aturehem?

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 Před rokem +5

      Alikunywa chang'aa litres tano akapoteza fahamu the following day akaanza kujiita yesu according to her 1st born dota. 😂

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Před rokem +1

    Yesu mwana wa Mungu alie vaa mwili kupitia kwa kuzaliwa na Bikira Maria wakati huohuo anauungu mfalme wa ajabu nae ni neno pia ni alfa na omega mwenye kusamehe dhambi na ndio atakuja kuukumu ulimwengu. Hizo sifa wasilam wanajifanyaga hawazioni wanakomaa alipo sema mnataka kuniua mimi mtu mwana wa Mariam anakwenda haja analala katahriwa ndio wameweka hoja hapo tuu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +1

    Iko siku uyu baba atawachoma moto kama Kabwetere wa Uganda alivyo wachoma moto waumini wake akachukua pesa zao na mali akakimbia. Allah tunusuru na hii shirki ya hawa watu na usituadhibu sote kwasababu yao. ALLAH awaongoze watoke ktk hii kufru na shirki Amiin

  • @Kitwitwi
    @Kitwitwi Před rokem +3

    Masikitiko makubwa ! Ibilisi hapa kafanya kazi ya hali ya juu!

    • @eddahmzee5237
      @eddahmzee5237 Před rokem

      Kweli kabisa mbona hajiti yesu Christ anajita yesu watongeren

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Před rokem +7

    Allah awaongoze wote waliopotea

  • @ashahossein1743
    @ashahossein1743 Před rokem +3

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatu, mwenyezi atujaalie mwisho mwema

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před rokem +2

    Subhanallah huyu anajita yesu amepotea na wafuasi wake wote Allah awaongoze

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Před rokem +7

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh!
    Tumewasikilizeni mnavyojibizana na Yesu mzushi wa Kenya!

    • @gracembete1867
      @gracembete1867 Před rokem

      Aky huyu Yesu WA tongaren,ati anasema watu wawe na wogovu wa kweli watoke kwenye kisa😂😂

  • @magnussanga
    @magnussanga Před rokem

    Shekhee naona umepiga salute
    Mungu atufanyie wepesi.kwa kweli
    Nimefatilia wote lakini naona imefika maala kila Mmoja imekuwa mshangao kwa mwezake.

  • @aminaoman2100
    @aminaoman2100 Před rokem +18

    Yaan hao wafuasi wake ndio wajinga kupindukia Allah atujaalie mwisho mwema 🤲

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 Před rokem

    Uislam ni dini nzuri sana. Ingekuwa dini inaokoa basi ningechagua kuwa Muislam. HAINA shaka. Wokovu hauhusiani na dini. Wokovu ni kumwamini Yesu.
    Masihi alisulubiwa ndugu yangu Muislam. Wewe huamini, basi endelea na safari Yako ndefu.

  • @moseskathenyaofficial6111

    Huyu yesu anabore,asulubishwe

  • @marymukolwe5137
    @marymukolwe5137 Před rokem +3

    Anaona Jina la mungu ni ya mchezo ety palipo mwana pana baba mwambie aje uku Saudi watoe watu wanateseka kama kweli ametumwa na mungu

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před rokem +1

    Wallah mtihani huyu baba mie ninanvyomuona kama hayupo sawa kwamkichwa yake 😢Allah awaongoze.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +4

    Wallah nimecheka kwa sauti 😂😂eti Nazareti ni hapa Tongareni 😂😂.

  • @issasembe
    @issasembe Před rokem +2

    Allah akubark Ndugu yangu Kwa kuwa elimisha ungemuambia asitumie kitabu kama yeye ni yesu

    • @mariammganga5061
      @mariammganga5061 Před rokem

      Safiiiiiiii

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před rokem

      Hawezi huyo hata maandiko kichwan hayapo😂 hapo akimtega swali bila Bibilia aulize lipo sura gani hawez jibu maana hawezi jua linako patikana

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +2

    Shekhe Ramadhaini nilikusubiri sana kwa hii stori. Nikajua walifanikiwa kumsulubu yesu wa uongo, chezeakufa wee, yani sijui watu wanachotwaje hakili kiasi hiki.

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Před rokem +2

    collassian 2:18 Do not let anyone who delights in false humility and the worship of angels disqualify you. Such a person also goes into great detail about what they have seen; they are puffed up with idle notions by their unspiritual mind.

  • @nabeajulius1682
    @nabeajulius1682 Před rokem +3

    Am fearing this, mungu si wakucheza naye

  • @maqottes5833
    @maqottes5833 Před rokem

    Nashukuru sna mwenyzi mungu kwa kuzaliwa ndni ya uislamu hii dunia ama hii Kenya kuna kabila wenye hawatawai toka kwa ujinga MTU kujiita yeye ni mungu enywe njaa ni mbya Ruto punguza bei ya unga

  • @marymukolwe5137
    @marymukolwe5137 Před rokem +7

    Uyu mtu ache kutuaribia sifa sisi wakristo ata nimeuthika,naona nikiambia boss wangu anisilimishe juu ni mda sana akitaka ni Silim uyu ameniuthi tuu sana,,akiwa na uyu mkewe ile chang'aa 5litre ilimharibu inafaa aperekwe hoc apimwe akili 😢

    • @rahmamrishoyussuf2652
      @rahmamrishoyussuf2652 Před rokem +4

      Kama ushajiridhisha uislam ni dini haki usipoteze mda silimu ukae katika njia sahihi usikae ktk imani ambayo inakupa mashaka
      Karibu katika uislamu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před rokem +3

      Mkiristo hawezi ongea ujinga Kama unaongea ww Mary Mulokwe Ni kweli yesu wa Tongareni kakosea kujiita yesu lakini wewe Mary tambua kuwa Mambo haya yesu aliyatabiri kuwa yatatokea Sasa ww unaacha Imani yako kwa propaganda za kijinga za Kiislamu una akili kweli ww? imeandikwa wale watakaovumilia mpk mwisho basi ndio watakaouona ufalme wa mbinguni

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Před rokem

      ​@@madetetv6576asalama alaikum, haya nikuulize tu ndugu yangu kbla kwenda kwenye propegunder hivi kuna dini inaitwa ukristo kwenye bibliya?

    • @qalbi8198
      @qalbi8198 Před rokem +1

      ​@@madetetv6576 sasa mbn wa mkaripia kila mtu anaangalia nafsi yake wapi pana usahihi

    • @djsandi4419
      @djsandi4419 Před rokem +1

      Sema hivi ukristo una demokrasia ila uhislamu ni udictekta hata uislamu ungekua una demokrasia ungefanyiwa hivi hivi kama ukristo ni kama waislamu walivyo magaidi but si wote

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Před rokem +31

    Mark 12:29
    Jesus replied, “The most important commandment is this: ‘Listen, O Israel! The Lord our God is the one and only Lord .

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před rokem +1

      Kwahiyo andiko hilo unaliamini ila mengine huamini? Waislam akili zenu Ni Kama panya tu mnachagua chagua yani

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Před rokem

      @@madetetv6576
      Is that verse False?
      Let's debate.. bring any topic up if you are a man 🙂

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před rokem +3

      @@stoispapi2380 Biblia haisomwi Kama gazeti lenu la quran Kaka Soma kwa kujifunza utaelewa

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Před rokem

      @@madetetv6576
      Be a man 🙂

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před rokem

      @@stoispapi2380 I can't argue with a foolman

  • @maryamjuma1980
    @maryamjuma1980 Před rokem +3

    Alhamdulillah kwa neema ya uislamu ❤

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 Před rokem +6

    Asitubebe ufala Yesu anamke 😔😔😔 tumepigwa

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 Před rokem

    🤲🤲allaah akupe guvu akuogoze

  • @deborahnyamira2596
    @deborahnyamira2596 Před rokem +2

    Tunaeza fanya jokes na huyu yes badae tupate hakuna yesu mwingine ni huyu tu😂😂😂😂

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před 11 měsíci

    Kaka Ramadhan mungu akuzidishie hekima maana hawa watu ni mental kesi kabisa mungu akupe umri mrefu wenye kheri na ww uxid kufanya daawa

  • @hussainmasoudsubhannallah3786

    Subhannallah

  • @shamimnorah9156
    @shamimnorah9156 Před rokem +1

    Masha Allah ramadhan Allah Aku bless sana

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Před rokem +1

    Hata kama babake alitabiri Sio.kuwa wewe nipesa Ni kuwa utajua Mungu Ila wewe unajiita Yesu,,Wewe wafaa kichapo

  • @eagleoneelectronics8318
    @eagleoneelectronics8318 Před rokem +4

    waluya mtafanya tukose uzima wa milele Mungu atwabie tujisort na yesu wetu

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před rokem +1

    We ramadhan uwe msabato maan kuna madin ndan yako!!

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 Před rokem +2

    A very good comedy 😂

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před rokem +6

    Ramadhan leo umepta jambazi zaidi ya ndacha, yaaani haekeweki kabisa, lakini enda ivo ivo mpaka Allah aongeze hio yesu

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Před rokem

      ww kwanza unajua maana ya jambazi?kama kuna dini mbaya sana duniani ni islamu,maana katika uislamu akuna mafundisho mazuri kazi yako uislamu ni matusi peke yake wakosefu wa heshima nyie,ndacha kaingilia wapi apa na ndacha ni jambazi wapi?nyie mumepotezwa na Muhammad kupitia kitabu chake cha majini wakati ndacha anawaubiria ukweli afu unamuita jambazi potelea ww mjinga,umeuza imani yako kwa ajili ya pilau na wanawake!

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Před rokem

      ​@@jeanmuzaliwa9023na ukristo je ni dini ya nani kwa ushahidi tafadhal

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před rokem +3

    Allah angekufanyia wepesi ukamfata zumaridi kwanza,anavyo wapoteza watu,na ule anajiita nabii Georgie

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 Před 23 dny

    Allah akulinde ustadh Ramazan

  • @germamassawe6968
    @germamassawe6968 Před rokem +1

    Kwenda! Yesu wetu hakuli sukuma!

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Před rokem +2

    Achana n'a huyo muongo eti Yesu anachezea maisha yake n'a Hao wanaomfuata ni mjinga sana huyo Ana mle n'a ametelekeza watoto wake😊

  • @aminaabdiaden
    @aminaabdiaden Před rokem

    For God loved the world he give his only son to bring salvation on the world John 3:16

  • @tinadesmond3877
    @tinadesmond3877 Před rokem

    Jina ni mwalimu Yesu so this month is for you but kufufuka ni hiari yako yesu wa tongareni

  • @SarahNyambura-ns3xp
    @SarahNyambura-ns3xp Před rokem +1

    Mungu tusaidie kulinda imani yetu maana wanabii wa uongo watapoteza wengi aki mungu tuhurumie

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Před rokem +3

    Innalilah wainna ilayhi rajiun

  • @yacquub111
    @yacquub111 Před rokem +4

    kilaa wakaati amina😂 semaa amiin amina kujaa

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před rokem

    Yaani huyu anajua kuwatenganisha kati ya wanaume na wanawake wasikae pamoja na anawafundisha wavae nguo za stara ila sasa ndo yupo kwenye upotovu
    Shekh mlinganie labda ataongoka In shaa Allah

  • @kimanithings5603
    @kimanithings5603 Před rokem +1

    ati sasa huyu mzee ndie yesu.

  • @barakamkalimbe-ep4br
    @barakamkalimbe-ep4br Před rokem

    Yesu anamiliki simu duuuuh na yesu anakitambii duuuuh hata so smart hizoni njaaaa

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před rokem

    Mtian wallah duh shekh Ramadhan Allah azidi kukupa nguvu duh

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Před rokem

    Mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tufanikiwe jamani kuujua ukweli nawe shekh wetu Mungu akuhifadhi na umri wenyefaida

  • @natashamusoo211
    @natashamusoo211 Před rokem

    Jameni mungu atuhurumie mimi ni mcrito na nina hamini mungu ni moja ambae hakuzaliwa wala kuzaa. Yesu ilitumwa tu kukomboa walio potea kwaivyo yesu ni mtume tu

  • @mariammganga5061
    @mariammganga5061 Před rokem

    Mimi ni mkristo,, ila nimependa sana huyu shekhe Ramadhani ni mstaarabu Sana,, pia anaonyesha kuwa anaufahamu mzuri wa Imani YAKE japo hapo alipokwenda hawezi kupata majibu sahihi huyo anaye jiita YESU,,, hajitambui kabisaaa huyo amejiita mwenyewe wala hatambuliki na umma wa kikristo,,,,

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Před rokem +2

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @estherkatunge6362
    @estherkatunge6362 Před rokem +3

    Ajabu sana mm ata nafikiria kua mslamu

  • @sospetermaina-nw2jk
    @sospetermaina-nw2jk Před rokem

    Angejiita to pastor

  • @laizerlusiana9215
    @laizerlusiana9215 Před rokem +1

    2 Corinthians 4:4,,The God of this age has blinded the minds of unbelievers,so that they cannot see the Light of the gospel that displays the Glory of Christ,who is the image of God,,,,,,,Neno ni nuru tusome Neno ili tusipotoshwe

  • @RayburnNamale-oy2xx
    @RayburnNamale-oy2xx Před rokem

    This man needs to be prayed for hii n kuwa wazimu...Never Blasphem the word God

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 Před rokem +3

    Bwana yesu anapinga mambo ya mwenyezi mungu huyo si yesu

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 Před rokem

    Amina Amina endelea kuwafunza Ili wajuwe Mungu ni mmoja na sio binadamu

  • @dennismorara7409
    @dennismorara7409 Před rokem +1

    yes of course yeye zio yesu but yeye akaaye ndani yake ni yesu mwenyewe ndiye umutumika Amen ndio maana anasema ni yesu bt anatupoyeza kwatojua coz wengine awaelewi

  • @marisianamuheyi954
    @marisianamuheyi954 Před rokem +2

    Benjamin una kazi sana utazaa ukiwa hapo

  • @harunisack8489
    @harunisack8489 Před rokem

    Kama yeye n yesu si asome maandiko bila kufuatilia kitabu juu n yy ameteremsha jameni🤗

  • @NawalOmar-q4w
    @NawalOmar-q4w Před 8 měsíci

    Allah ni Mkuu na ansbra watu waciojielewa Hadi wanajiita manabii na Mungu na hali Allah anawapuruzia Tu uko cku mda mchache watarudi kwake waone Yale walokuwa wakijizuliya Enyi watu tumiogopeni Allah shetani acikuhadaeni