Annoint Amani - Mama Sukuma mtoto atoke (Official music Video) sms SKIZA 9048515 to 811
Vložit
- čas přidán 8. 08. 2019
- #mama#sukuma#mtotoatoke#annointamani#
Huu wimbo ni zawadi kwaajiri ya kina Mama wote duniani,Lengo ni kuwatia nguvu wanawake,wajue bila wao misingi ya watu dunia isinge imarika,Mama ni msingi mkuu alio uweka MUNGU duniani kwaajili ya mwanadam,Tunaweza kuona mfano mdogo wa upendo wa Mungu kupitia malezi ya mama kwa mtoto,Hakika mama ni kipenzi cha MUNGU.)
(This song is a gift to the deepest employers of all mothers in the world, the goal is to empower women, to know without them the foundations of men the world would not be strong, Mother is the great foundation that GOD has laid on the earth for man, We can see a small example of God's love through the formation of mother to child, Surely mother is beloved of GOD.)
Artist Annoint Amani )
Song Mama Sukuma mtoto atoke )
Studio A.E.A TONES.Producer by tallent )
language kiswahili from
East afrika Tanzania
(Instagram annoint Amani
email amananoint@gmail.com. WhatsApp & call +255767240181_ +255755099942 )))))((
sms SKIZA TONE 9048515 to 811)
mtunzi na mwimbaji Annoint Amani )
(Video Directed By Yotham Lyobha +255713 030 763 )
Any one in 2024,in love with this song from kingdom of Africa 🇰🇪
Mwanamke aheshimiwe ata kama ni mtoto mdogo kama unakubali gonga like
Kabisa eshima ata kwa mtoto mdogo bora awe wa kike...shukran
Nakupenda mama yangu❤❤❤❤❤
❤
@@sharonnanjala6968❤❤. C
❤❤❤❤❤❤
Kweli mama nikipenzi cha mungu,kama unampenda mama plz likes zenu
Nimerudi kuisikiliza hii nyimbo 2024 🙏🙏
Mama ni mama tu. Jamani nyimbo nzuli San km. Umeikubari gonga like twende saw
Mungu akubarki kijana.mama ni mama tu hana mfano.
@@christinanguna9589 umeona ee
Kweli hapa umetisha hatariiii
Wimbo huu unanibariki saana
Nakupenda sana huo wimbo
Jamani mama ni waheshima hata kama kiwete,wagapi wananiunga mko,nionye na likes😚😚😚
Ke sa
I just like the songs. Sure you are the anoint..
In a time where there's is increased femicide especially in Kenya, this song is incredible 🙌🏾 Thank you for highlighting the value of a woman.❤
Mimi kama mkenya nyimbo zako zanibariki sanaaaaa mungu azidi kukutumia hivyo ukifahamu kuna taji mwishowe
Wangapi tuko hapa kukumbuka siku ya leo?. Happy women's day😍😍❤❤🔥🔥🔥
Jesca Joseph
Hi wimbo unamafunzo
Heko mama
Today again
Mama mama mama mama ni kipenzi cha Mungu,hakika video nzur saana,yani hii itapigwa kila sehemu,kama hii haitavuma bas uhame nch Annoint,Kama una kubaliana na Mimi gonga like
Ee kweli kabisa
Lakini naona wameikubar jamani inaenda tuombee Mungu hii ipate view ambao wata mtia nguvu saana ANNOINT .
Jaman mamangu mungu akulaze mahari pema kipenzi changu ubarikiwe pia hesau
Malaya
malaya
This song reminds me of my late wife😢😢 I used to forward to her during Mother's day.
Hakuna ata siku tutamupata muzuri kama mama. Tunabudi sana kuheshimu wa mama wakati wangali wazima. Ninampenda kila mama japo maman alefariki Ila naona kama Nina wa mama wengi
Ouuuuuuhhh 💃💃💃👩❤️💋👩🤰🤰🤰🌹 uuuuuwiiiii wololo mama 💃💃💃💃💃💃👏🏻👏🏻👏🏻 yayeeeee💃💃💃💃💃 i wish mugeelewa vile huwa nafeel nikisikiza huu wimbo yawa aliabiwa mama sukuma nikazaliwa 🤰🤰🤰🌹🌹🌹🌹💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 may God blles you bro for this song 💃💃💃💃💃💃👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩
Jamani jamani jamani nimechelewa saaana Leo ,,Hapa Annoint umejibu maombi ya mashabiki wako kutuletea video nzuri kabisa yenye viwango,kama nawewe umefurah kuona video kali na audio Kali gonga like
Kwa kweli imenifurahisha na kuniliza
Congratulations annoint
God bless you 🙏💖👊👋👍💞👌 penzi nzuri lipo kwa mama mmmmmmmmcha 😘 mummy's 😂💖
Asante sana kwa video hii nzuri.
So so sweet
Jamani kaka mbon nyimbo nzulisan dah ubalikiwe popote ulipo
LALA SALAMA MAMA YANGU TOKA MWAKA 2002 UMETUTOKA AMINA MAMA YANGU KIPENDE UWIII
I love to be a single mum😢😢😊but one day mungu atanionekania 😢
Wow aliambiwa mama sukuma akazaliwa kanumba,diamond ,Kenyatta ,Obama nd my mom alisukuma nikazaliwa 😘💖am so proud of u my mom .....am just in love wth tjoa song ......its so amazing wow 😍😍😍😍💜💕💚💚
Yaani mama ni mamaa
Mama ni mama Tu ni ukweli wimbo nzuri like
Mama nampenda sana
Mama aheshimiwe ata hawe na kiungo namna Gani.💙💕💙💕 Be blessed all mothers wherever they all.Tunawapenda Mmwaaaaaaahhhh💟💟✅💟💟✅🙏🙏💟
❤
G.
Niliambiwa Joyce sukuma,nikamzaa Witness! Ahsante Mungu kwa kunipa heshima ya kuitwa Mama. Wimbo mzuri sn, ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Hatamimi by the grace of God najua ntaambiwa nisukume
00
Woooooow jmn hongera san me py ntaman kuitwa mama lakn mungu bhd hajaruhusu
Nasubiri kwa ham lak 5 hebu naomba kwa heshima ya mama jamani wimbo ufike levo Ambayo sio kawaida ili wajue mama ni no 1 duniani,,,
Still listening this song in 2024
Mwanamke aheshimiwe hata Kama mtoto mdogo maana uchungu wa mwana mwanaume haujui kabisa❤❤❤❤❤
Huu wimbo mtamu jamani kama na wewe unawhatch mwaka huu drop ur like,
Walai hui wimbo ni mtamu unaleta mafillings kwa roho....
Hii Nyimbo ni Kama ina upele inakuna Kuna kurudia kuangalia 😂😂😂
anyone in 2023 🥰🥰🥰
Hii wimbo itabaki kuwa nyimbo nzuri in generations to come. Those who will be watching in 2099 wajue mama atabaki kuwa mama
Mama sukuma ni wimbo wangu wa Mwaka 2019 & 20 na kuendelea maana huu wimbo umeniliza jamani yani umeimba kila kitu tunacho pitia wanawake,,Unaitaji zawadi taifa lifanye kitu kwako,
Kabisa jamani
Huyu kaka abarikiwe sana.
H
Tg
Mama ni nguzo ya kila kitu maishani
safi sana ,mimi mislamu lakin muungu akuongoze baba
Nani kama mama
Dua yako Mungu ameiskia
Woooow,wamama hoyeeeeee❤❤❤❤🫄🫄🫄🤱💃💃💃💃ubarikiwe sana kaka hii Wimbo n tamu muno
I will continue watching this song until the end of my life mama sukuma wimbo mzuri sana barikiwa namungu pa wimbo huu
Namimi
Ni Wimbo wenye kuhuzunika
Ilove my mumu ❤
Wimbo umenibariki mnoo mama nisamehe pale ninapokosea
Amen
Mungu anatosha
Pole sana dear
Asante Sana kaka mungu akubari mwimbo mzuri Sana😘😍🙏
Mamy long life ilove you nisamehe mahali nilikukoseA nimehibiriwa
HUU WIMBO WANITIA NGUVU MNO SABABU SINA MAMA KWA KWELI LAKINI BADO NAMHESHIMU
Mordecai The Comedian Maradona pole kwa kumpoteza pia mimi sina lakini na mweshimu
N'a mimi Sina Mama lakini na Mheshimu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏
Pole jamani
Poleni San
Aliyenizaaa mimi ni mama,♥️♥️♥️
Nampenda sana mamangu ♥️
Sometimes l quaral with my mum but I remember she's all that holds My hand and feels my pain then l say sorry
Am really sorry mum for the pain that I have caused you
What a beautiful song nimesikiriza huu wimbo since Yesterday mama no one like u ..and all mothers in the world 😍😍😍😍😍😍😍💋💋💋💋💋💋💋💋
More love from Kenya 🇰🇪🌹
Very nice one
Nice
Good song
Indeed waaa
Sweet song
Ubarikiwe nami kama mama nimefurahi nilisukuma 6 ahsante Mungu wangu
Ongela
Never knew about this song until I heard my 3year old son sing 'hakuna mrembo km mama😛' I am blessed 🙏
Happy happy moms day to my mother @2024.❤❤❤Thank you Godvfor this special gift😍👏👏👏🙏🥳am doo happy for her,she is my smile,my hope,my strength💌😘i love you momma.
Ayiii my mom ameniacha mdogo sasa ivi na mim naitwa mama, nimejikuta naliya, RIP mom ntazidi kukuombeya kwa mungu
Mama jamani ni kila kitu tujipe moyo jamani Mungu yupo,,Na wanawake wote tunao waona hao ni mama zetu,,
Nimelia mimi jamani nasikia uchungu nimemzika Mama yangu kipenzi Trh 27 /3/2020 ntamkumbuka kwenye Maeneo mengi Mama yangu.
pole sana Mungu akutie nguvu
Pole sana mpendwa
Pole Mungu akuponye moyo, uwe mama kama yeye ili umuenzi
Vr sor
Pole sn
R I P my Mom
From TikTok😳🤌kumbe ulitolewa kitambo jamani, I love this song🥰
Tutawakumbuka wa mama wa marafiki zetu, mashangazi zetu. Mungu awapumzishe kwaamani🙏🙏🙏
Mungu awe faraja kabisa jamani jitie nguvu Mungu yupo kwaajili yako
Kabisaa emenena Emeen
HAKUNA UJUMBE MZURI ULIOWAHI KUIMBA KAMA HUU.MAMA YANGU NI KIPENZI CHANGU.
Ulikosea shujaa wa Burundi sio huo.
Nikweli🖤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🖤🖤🖤
Apo Kwa Alikiba na Diamond umetisha Sana mtumishi Kwa kutambua vipawa vyao walivyojaaliwa,
Whos here 21/03/2022 On a Mother's Day
Kwa ma mum,nakupa huu ujumbe uliobora kwangu.barikiwa bro
From Nairobi. I just want to ask if am allowed to replay this song 20 times because I have done replays 19 times and am getting tempted to listen the whole day🤔🤔. #Happy mothers day to our cute and wonderful mothers# God bless Annoint Amani for this great song.# RIP my dearest and lovely sweet mama#
It's mother's day, replay infinite times
Listening too from UG. Nice song.
I also can't help my self replaying it more and more just love it
In 2023 but still watching..
Like
Napenda nyimbo zako sana
Annoit amani God bless you so much,ninapo sikia wimbo huu nakunbuka mbali sana
NDUGU IKIWA UNAIMBA KWA AJILI YA UTUKUFU WA MUNGU, HEBU JITAHIDI UBADILIKE NAMNA ZA MAVAZI NA MWONEKANO WA NJE, UACHE FASSION ZA WATU WA DUNIA, Wewe nyoa, vaa na mwonekano kwa ujumla uwe wa kawaida wa heshma. Ili kwa kuimba kwako umhubiri Yesu.
IMBA WEWE UVAE IVYO MPENDWA LAKINI SISI WENGINE HATUONI SHIDA HAPO,YUKO SAWA KABISAA,WANADAMU MWACHENI ANNOINT MAANA HAMNAGA ZURI NYIE ,,
WENGINE TUNAUMIA TUNAPOONA LEO WAIMBAJI WA INJILI NAO WANATAKA KUJILINGANISHA NA DUNIA, BASI WAIMBE NYIMBO ZA DUNIA HUKO HATUTAWAGUSA KUWAONYA LKN KUMTUMIA YESU VIBAYA HAPO ANATUGUSA WAFUASI NA MAWAKILI WA YESU DUNIANI. jaman njia ya mbinguni ni nyembamba wataenda waliojikana na kubeba msalaba, iachen dunia tumwelekee Mungu wapendwa, rudini kwenye misingi ya Mungu. waimbaji nawaonya kwa jina la Bwana, Imbeni kwa nia ya kuwafanya wanaosikia na kuona video wapate kumwelekea Mungu, na sio kwa lengo la biashara na kuwafurahisha wadunia.
@@kefaasukile7261 HUNA UKWELI WOWOTE ,ANNOINT KAVAA KAWAIDA TU ,WEWE ULITAKA AVAAE NINI ZAIDI YA IYO SUTI ,AU IYO NGUO NDEFU NA WAMAMA BADO UNAONA MBAYA AU UNASEMEA IYO PENZI NYEUSI MBONA NZURI TU HAINA SHIDA,KAMA KUNYOA HAJAANZA ANNOINT TENA KANYOA KAWAIDA TU, MAANA MWIMBAJI MKONGWE MWANSANSU ANA NYOA ZAIDI YA ANNOINT LAKINI HAMJAWAH KUSEMA,ILA TU MTOTO WAWATU HUYU AKIFANYA JAMBO LAZIMA MUAMUE KUMSEMA VIBAYA, NDUGU KAMA UMEOKOKA UMEKOSA HEKIMA YA KUSEMA KWANZA, ANNOINT HONGERA KWA KAZI NZURI ,ILA NINA HILI NA HILI AU UKA MTAFUTA UONGEE NAE MWENYEWE MAANA NAMBA ZIPO HAPO JUU UNAMPATA MDA WOWOTE, HAPA KILA MTU ATAKUONA MKOROFI KWA NYIMBO KAMA HII YA MAMA JAMANI UKAANZE KUINGIZA MAMBO YAKO HAPA SIO VIZUR TENA MUOMBE MUNGU UMEKOSA HEKIMA KATIKA HILI,MUNGU ATUSAIDIE WATUMISH JAMANI,MAANA HII NYIMBO WATU KILA AINA WATA IANGALIA SASA WANA KUTANA NA UJUMBE WAKO,MTUMISH WA MUNGU UMEMSEMA MWENZAKO HADHARANI,,SIO VYEMA JIFUNZE KULINDA MWILI WA KRISTO ,
NINA UHAKIKA NA NINACHOONGEA HATA WOTE MKANIPINGA, MI NAMTETEA KRISTO SIMTETEI MTU YEYOTE NA SIMCHUKII MTU YEYOTE. Unyoaji huo hata km waimbaji wakubwa wanafanya hivyo msiige kila kitu, kumbuka sisi tunatakiwa kufanana na kristo na watu watusome hata nje kwa tabia na mienendo yetu, kuna vazi hapo mwishoni halifai kwa mtu alieokoka, mpagani na alieokoka lazima kuwe na tofauti hata kimavazi, pia niongeze kusema waimbaji wakati tulionao km wapitaji ni mfupi, tafuteni jumbe zenye kuwahubiri watu waache dhambi, wamjue Mungu na kumwinua Mungu sana. Tumwinue na kumsifu zaidi yeye mwenye kuwawezesha wamama na wababa na wote (yaani YESU) Tusipende kusifiana km dunia inavyopenda kusifiana. Wewe mama kumbuka sio jitihada zako ila ni kwa uweza wa Mungu, watu wote ni wa thaman mbele za Mungu. Yapo mengi ya kukosoa mengine niyaache tu. Kukosoana ni kupangana ili km tulijisahau turudi kwenye mstari, ISAYA 58,1...
@@kefaasukile7261 OK UMESHINDA MPENDWA SIWEZ KUKUJIBU,NAMIMI NTAONEKANA MPUMBAVU MAANA NILICHO KWAMBIA KINA TOSHA ZAIDI YA HAPO NI KUJITUTUMUA TU ,NAHISI UNA TAFUTA KUJULIKANA HUMU KWA ANNOINT,ILA KAZI NI NZUR WIMBO NI MZURI KAMA WEWE HUJAUPENDA BAKI NA CHUKI YAKO USI COMMENT TENA ,MAANA HAJAVAA KITUMISH KAMA USEMAVYO BAS WATAFUTE WALIOVAA KITUMISH NDO UWA SIKIRIZE,,
Hivi huyu aliyeimba huu wimbo kumbe ni mtoto wa Rose Muhando
Nikweli umeimba vizuri sana kaka unabidi usapotiwe sana,ila usije ukajichanganya kwakugusagusa ili uwe maarufu...
Nikweli hapo umetisha hakuna kama mama😋😋😍😍👸👸👸
Just landed here after kuiona Kwa status ya mtu
Hahahahahahahahaha
It reminds me of those who look down at women,they should ask for forgiveness
Video nzuri Sana Ila apo Kwa kusukuma hujasukuma vizuri😄😃😄
Hongera sana brother Mungu azidi kusimamia kipaji chako
Mambo ni firee
Annoint una endelea kugusa moyo wangu yaani ume nibariki baraka isio kua na kifani. Barikiwa na bwana mtumishi
Kweli jamaa yangu
Haunishindi Mimi
45tghhh b bbh u
Nataka nyimbo hii niitoe remix
Mwanamke ahegimwe ATA kaka in mtoto mdogo kama unakima❤❤❤❤
Mbona hii ngoma haina 1 million views? Annoint pata heshima na hongera zetu kutoka diaspora via Kenya. Salute keep up the good work!
Namimi nimesha kina mama wana niangusha wanaenda kwa kas ya 3G wakata hii nyimbo inafaa iende kwa kas ya 4G,Lakini hakuna atakae zuia hii nyimbo kufika million 1 view ni kama surprise tutashaa paa m1 hii apa alafu huko mbele raisi tu kupita ,
Wimbo mzuri sana, wa mama wote barikiweni na ujumbe huu.
Kbsaaa my dear shikamooon
Hasaaaa Ndio Mama Ni Mama Tu Ubarikiwe kamue Na Jama Yama Yako Yote Amen Ah Wuchungu za Kizazi Rose Muhando Results ya kazi yako Yako iyi Amen Amen Amen Maranatha
Nakupenda sana mama angu Mungu awatingie nguvu wakina mama wote❤❤❤
Huu wimbo nimeusikiza mara kadhaa, unaleta raha kidogo huzuni yani kazi safi kwa kweli
Yaniii wee hauchoshi
From South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦 #MAMA SUKUMA# Annoint ubararikiwe namungu akuongezeye baraka na kipaji chako ,Amen amen amen
MUNGU AKUZE KIPAJI CHAKE KIKUBWA SANAA SANA..
Mama sukumaaa weee sio mchezo Leba ni motoo
Na mm mjanitaja mbona😂😂Be blessed bro wimbo mzuri sana❤❤🙌🙏🏾🙏🏾
Baba umefunika tunzo inakuhusu
Nimebarikiwa sana, Endelea Kubarikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Annoint ongoza Taifa liabadilika Mungu kakupa kitu
Asante umekgusa et
Tuombee huko uliko
Wow inspiration words ❤❤ happy international women's day to all women's
Wanaume wangekuwa wanajua mateso wanayopata wanawake wakati wa ujauzito na kujifungua,wasingethubutu kuwatelekeza watoto.
Tufanye yote lakini wee acha Mama ni Habari Nyingine kabisa, mbarikiwe sana ndgu waimbaji, kwa kumtukuza Mama.
Mama ni mtu wa maana katika maisha yangu. Nakuheshimu sana mama🙏
Mama ni mtu muhimu sana katika maisha yangu I love my mumy💚💚💚💚💚💚🧡💛
Congratulations 🎊 bro hakuna mtu kama mama❤❤❤ mama ni mama to so annoint essau amani jikaze sana kumutumikia mumgu aliye kupa sauti nzuri ya kuimba.Tumeona mabadiliko kwa vijana waliyo potoshwa na dunia wamerejea kwa bwana sasa hiyo ni jambo kubwa sana annoint mutumishi wa mungu mm wako mercy from uae 🇦🇪
Hata kama mama yangu ametangulia mbele ya Hali bado nampenda
Siku nyingine muimbie baba kwa kumshukuru kukuchagulia mama Bora ,,, daima kichwa kitabaki kichwa tu haitabadirika kuwa mkia.
What a beautiful song mama ni mrembo hakuna kama mama barikiwa sana mtumishi sauti imechujwa kutoka mbinguni nimebarikiwa sana
Nice song God bless you ♥️♥️♥️♥️
Aliambiewa Mama sukuma akazaliwa Noel good bless Mama wote mungu awabaliki wimbo Bora wa gospel 2022, huu
Mama ni ufunguo wa maisha ya mtoto
Mama n mtu wa maana katika maisha
Ii nyimbo ni nzuri jaman 😭😭😭ubarikiwe kaka 🙏🙏🙏
Aliambiwa Rose sukuma akazaliwa Annoint Essau. You made me Cry indeed. I salute my Mum. Blessings to all Mothers & female figures wherever you are.
Ivi Ni Mtoto Wa Rosemhando!!!
Ndivyo, Annoint Essau ni mwanae Rose Muhando.
Is he rozie mhandos son.rose alisema hana mtoto anaimba wake niwatatu.nawako shule
@@lebkn177 he is Rose Muhandos Son.
Nop hes no rose mhandos son
Jamani Imani ni kutunga!!!!!!!!!!! Ehhhh. Nafurahiya huyu mwimbo kwani na mimi ni mama mwenye watoto. Mungu akubariki saaana
Who is here 2023? God bless all th mothers in the world🙏
Amani Hii uliweza, all the way from Kenya, Mwahali Mwarimo. Congratulations Broo.
The voice and words are very touching respect to mothers!
Nous autres ici affection maternelle ni mambo 😭😭💔 maman est parti tôt 😔
Wimbo mzuri naupenda nausikiza mara kwa mara
Yan kuazia leo mke wangu nimemweshimu ni mama yangu kumbe barikiwa annoint
Hahahahahaaaa nimefurah kuona umelitambua hilo ubarikiwe sana
That's true tuwaheshimu wa mama
I dedicate this song to my dearest mama, be blessed mum.
I bless my mama wherever you are. Nakupenda sana mama
@@bettymlaki9669 mum's are priceless
@@bettymlaki9669 mbosso
@@bettymlaki9669 diamond
@@xgenerationtrends5435xxxz
2023 the message is still strong
I dedicate this song to my late mum and all mum's in the whole world,you people have got a hard job,the pain you go through is unbearable be blessed and let the love of God lead upon your lives for those who are alive
😢😢😢😢😢
Thank you 🙏 so much
😢😢😢
Mama apewe heshima yake 😘😘😘😘strong one hadi machozi inajitoa tu ukisikiza 😢😢😢
Kabisa
Kila mwanamke apewe heshima tuko na kazi ngumu kulea ndio kazi usimchome amen nice song.
God bless 🙌 🙏 ❤️
I dedicate this touching song to my late mum💔💔 I've cried a river today.20 plus years but it seems like yesterday.All is not well without a mama💔.
Sending you hugs may God comfort us💔😣🙏