Annoint Amani = Fainal ni Kesho (Shilembe Official music Video) Skiza tone 9048660 to 811
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2020
- #fainalnikesho#annointamani#
Hizi ni siku za mwisho unyakuo umekaribia Yesu anakuja kuchua kanisa,
Kila mtu amtafute Mungu sana ili asiende motoni,
Pia tukeshe tukiomba ,
kila wakati tujitakase ili tusingie majaribuni maana Shetani Anajua siku zimeisha ana wadanganya watu ili waende motoni.
Kama umeamua kumfwata Yesu usimuache na kama umeamua kutenda dhambi tena dhambi sana hukumu inakuja maana final ni kesho.)
(These are the last days of the rapture, and Jesus is coming to take away the church.
Let every soul be in subjection to the higher powers: for there is no power but of God;
Let us also keep on praying,
every time we purify ourselves so that we do not fall into temptation because Satan knows the days are over and he deceives people into going to hell.
If you have decided to follow Jesus do not leave Him and if you have decided to sin again very sinful the judgment comes because the final is tomorrow.)
Artist Annoint Amani .
song Fainali ni Kesho .
Album Fainali ni Kesho.
(language Swahili)
VIDEO A.E.A DIR.MEDICK
AUDIO A.E.A TONES
PRO .JORAM TANSEHA
+255620 507 140
(for booking
Instagram. Annoint amani
email.amananoint@gmail.com
+255767240181=+255755099942
Dar es salam tanzania )
NAAMINI KILA MTU ATACHUKUA PALE PANAPO MFAA KATIKA WIMBO HUU,
KAMA NAWEWE HUTAKI KUWA SHILEMBE GONGA LIKE HAPA NA MUNGU ATAKUSAIDIA MAANA BILA MUNGU HATUWEZ KUUSHINDA USHILEMBE.
Annoint Amani I wish siku niimbe na wewe nakupenda
Mdogo wangu Mungu akutunze sana wimbo mzuri sana tumepoteana tena mawasiriano yako nilienda Canada nikabadirisha simu tuwasiriane ni Dada Celline kutoka London Mungu akubariki sana
@@debrahalibalishow1415 Unaweza kuwasiliana nae kwa namna izo hapo juu amekuwekea +255767240181
@@sarahlyanga3766 Utaimba nae tu Omba Mungu wakat wa Mungu ndo mzuri ,Mimi niliomba kwa mda mrefu sana na Mungu akajibu maombi yangu ,
tayar nimefanya collabo na Annoint Kwakweli nabarikiwa sana kuwa mmoja wa walio shiriki kipawa cha kipekee cha huyu kijana .
Nakuombea mtumishi Wa Mungu
Wapi like angu huu wimbo umeniguza saana
I love this song wa kenya mupo wapi ??????😂😂
Wacha nibandilike nisiwe kama shilembe🎉
Mungu akubariki Sana Sana kaka nasikub as li Kaz sako mm pia no muimbaji nataka nipige kolabo na wewe
Hallelujah hallelujah hallelujah thank u man of God wakenya wapiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupenda sana tangu ulivokuja Kwa mwaka benga
I really like your songs annoint amani let the hands of God be upon you
Hii ni kali sana...wenye masikio na wasikie hii...Annoint Amani thank you...much love from 254 Kenya.
Sitaacha kucomment kila niwatch hicho ni kipawa kikubwa ambacho umebarikiwa mtumishi wa MUNGU, so amazing
Kazi nzr kaka tunabarikiwa na nyimbo zako
Hongera sana kwa wimbo mzuri sana.Ina upako wa kipekee.
😭😭😭😭😭ak kwakweli huu wimbo umenigusa siwezi zuia machozi kutoka
Ooh goodness I wish all to hear this message very powerful Mungu fungu masikio yangu coz ya huu ujumbe amen.may God increase you more sir
Napenda sana nyimbo zako be blessed
Huu wimbo unanijenga Sana kimaisha
Mungu akubariki kwa nyimbo na jumbe nzuri
Team saudia gonga like tusije tukawa wakina shilembe
Every time this song is new. Its making me stronger every day
Tusibishane Sana mana muda umekwisha na hako ka bass Sasa!!
Kiukweli kupitia nyimbo Hii lazma kama umeanza kurudi nyuma lazma ujirudi tena❤👍🏼💙💗
Daaaaaa niwimbo uliozungumza kiatu Cha kweli kabisa 👏💕 tu wasafi nje lkn ndani hatutendendi yanayompendeza mungu 😳
Nice song wakenya mko wapi gonga like tukisonga
Tuko hapa
🙏🥳
Nimeupend mwimbo wako 🥰🥰
We Ugandans we love it t
What a wonderful message
Wonderful song.
Juu wimboooo ....uko poa🙏
Wimbo umenibariki sana. Haswa kwenye historia ya Shilembe
God bless you man of God 🙏.
Team Kenya gather here pls 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is great I love it. God bless you brother
Jamani ivi Kuna wasanii kumbe wazuri hivi daah wimbo mzuri na wenye ujumbe Sana. Hongera Sana Mungu akukumbuke Sana mwimbaji katika maisha yako
Sauti pekee takes me to heaven
May God forgive us ad have mercy on us,our hearts are full of envey, bitterness and anger towards others, father God 🙏🙏 help us to be cleaned outside and inside
Amani your songs are soo powerful...l love them so much...may God bless you and give you strength
A nice one . Having friends that are hypocritical pretending to love but they bite is likened to Mr shirembe "clean on the outlook but inward a devil reincarnate
Walevi ndio kafiri,tufanyeje jameni
AMEN AMEN ANNOINT MUNGU AKUBARIKI SISI SIO KAFIRI KWANI TUNAMUABUDU MUNGU ANAEISHI WAAMBIE WAJUE KWANI HAO NDO MAKAFIRI AMENI ,UJUMBE UMEFIKA NA UMEGONGA NDIPO
#amina ukwel mtupu huo#siku ya hukumu laja#mwanadamu tukiri dhambi zetu kwa pamoja#mwimbo mzuri huo mungu abariki ww sana.
🇹🇿 Tanzanian we love you
Mungu mtukuze mwanao kama alivyokutukuza wewe jina lako ni kibwa sana, Ufalme wako uje kwake daima na milele, hili neno nimetoa kutoka ndani anoint nimimi Charles jacksont tz Muimbaji hii pale Mwisho ndiyo nimeguswa zaidi ya maelezo
Hakika namimi nimeomba ivyoo Mungu ainue huduma yakeeeee
Shilembe ni wengi kwa kanisa letu, nawaombea wamrudie mungu🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Most of our churches clean outside wanaacha inside heart
Hii song siwezi kaa siku moja Bila kuiskiza
Juu ya hiyo story natafuta mwanamume
I'm born 1998
This is the kind of gospel need to be emphasized.
Waoooooo amaizing
Sitaki kuwa kama shilembe kabisaa
Wimbo wenye mafunzo sana lkn kila mtu tujitahidi ili tusiwe kama shilembe
Ndio mutoto Wetu Anoint Esau Bao Njo Kafilri Kua Sababu ba na kosa Roho Mutakatifu y’a Mungu Roho Wa Mbinguni Ni Hatari Sana Amen
I really really love ur songs mtumishi continue giving us the right messeges sir
Mungu pekee ndiye anajua umeumbwa na nini. Anakujua zaidi kuliko nafsi yako na anajua ni nini kizuri kwako. Utiifu wako utakuepusha na maumivu mengi. hongera ndugu yangu ✋
Asante mtoto wangu barikiwa kwa kiwango kuokowa mwanadamu kwa nyimbo za ku tafuta mungu kwa ujasili🙏🙏
Wow nice sana
Woow tuwe wasafi ndani .si nje .be blessed
Very powerful song,Mungu apewe sifa zote aki
Ujumbe mzito kaka kuubeba siwezi ila siku ilifika nitaubeba amina
Ubalikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa wimbo huu
i love you you and your songs brother....wapi likes za Annoint??
I keep on listening to this Song every time... Mungu abariki Kipaji chako +254🇰🇪 tunakupenda sana
Such, ablessed vessel, you re ablessing to me, your songs are, very powerful
hongera kwa nyimbo nzuri
Hizi ndo nyimbo ninazozipenda Mungu akubariki, maana zinatutoa sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.
His is a good song
Shilembe jamani really like that part..... much love
The song is such a blessing❤
Hongera Kwa nyimbo mzuri kaka'.kweli mungu alikuchagua Kwa kazi yake.
Good song.God bless you,from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hi,mungu azidi kukongeza kipaji bro AMani......pia mm naomba mungu anifungulie njia siku moja tukutane ili uniongoze kwa kuimba....mungu ako na wewe.....soma yeremiah 17:5 amebarikiwa ule amtegemeaye bwana maana ufalme wa mbiguni n wake n amelaaniwa ule amuaminiaye mwanadamu mwenzie cz amelaaniwa Amina usiku wa haraka na matunda mema na walilie wakina shirembee
I do listen this song now and then it has a deep meaning,christians are neaty outside but the heart is devil,thanks bro
Nyimbo zako zinanibariki blessings from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
True song 🎵 I like it
ni kali Kaka yangu mungu amulinde unyu musani wetu mimi ni ibrahim maroa kutoka Kenya kehacha 🙏💥👍🏽🚶🆗
Napenda nyimbo zako sana zinanitia moyo
Woiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, piga keleeeeeee kwa anoit
Fainal nikeshoooooooooo,
Piga keleee ya pili kweke
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeee
Anoint Amani Mutoto wa Rose Muhando Muenye muziki Mungu wa Israëli Akunyayule Tena Amen Shalom Shalom Amen
Watu wanajifanya wazuri kumbe ndani yake mbwamwitu....👈👈👈👂👂👂👂👂👂kujeni msikie hiii
Love your songs man
Such anice song it's a blessing song
Natamani tufanye kazi pamoja mtumishi annoint
I cant stop listening to this song...who elsea is in 2022 for this song
Finally ni kesho....ole wenyu mnao wafanyisha kazi watu siku za ibada...
Mwenyezi mungu akubariki baba
Barikiwa sanaaa
Umeweza.sana
Una tisha kijana ,karibu kwetu Congo DRC
Aiseee umeimba kwaisia kaka mungu abariki kazi yako Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿♥️♥️♥️♥️💓💓❤️❤️❤️💓❤️❤️
Yesu yuaja
Amen Amen Amen Ndio Île Nikueli Kabisa Usafi y’a Inje ni Hatari
Keep moving forward mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Mimi niko Washington marekani lakini hiyo nyimbo inaogopesha sana kwamwenye zambi
Nakuombea mwisho muzuli
Good work amani
👋🙏🦸God to bless you
Nape nda sana.nyimbo.zako zinanibariki.sana
Nyimbo inaujumbe mzr sana ukiskiliza lazma uokoke ais MUNGU aendlee kukutia nguvu kaka
Duuu Mim nikikusikiliza moyo yako ulijaa Iman nafarijiaka Sana nataman familia yangu iwe hivi
Kazi njema sana mtumishi wamungu annoint esau Amani mungu akubariki sana kaka:
Kiukweli nimebarikiwa xana xana.
Nice song kakaaa
Nakukubali sanaa
Ei nyimbo zako jameni zina masegi, zina mafuzo kweli barikiwa dungu
Annoint mungu kakupa hiyo karama hakikisha usiache ukiacha na wewe utakuwa washilembe
Ujumbe mzuri sana, kweli umepewa kipawa cha uimbaji Mungu azidi kukufanikisha katika kazi yake,,,.
Wimbo huu jaman ni mzr sana, yaani mtumish ubarkiwe sana
Anoint mía mía hii ngomaaa umepiga mteule
Nakupenda sana vile umejitolea kaka kufanya kazi ya mungu
Nyimbo rako zanibariki kiroho sana,mungu akuongeze upako