MELI KUBWA YENYE WAMAREKANI, CUBA, WACHINA YAFIKA KILWA "IPO KUBWA ZAIDI HII"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Ni meli kubwa kutokea visiwani Seychelles ikiwa na Watalii takribani 100 kutokea mataifa mbalimbali Ulimwenguni ikiwemo Marekani, Ufaransa, Cuba, Brazil na China ambapo Meli hiyo imetia Nanga katika Bandari ya Kilwa kwa ajili ya Watalii hao kuona vivutio mbalimbali vya Utalii ikiwemo Msikiti uliojengwa miaka 100 iliyopita.

Komentáře • 115

  • @kiloposimba2012
    @kiloposimba2012 Před 2 lety

    Hongera maendeleo mema ktk nchi fursa mpya za kitalii Asante sana mheshimiwa mama Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo Asante

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před 2 lety +8

    Hapo sasa siku wakirudi utasikia lile corona limezagaaa nchi nzima na watatuambia tuwekwe lockdown. Kwao hawataki wageni wa kirahisi namna hii

  • @idrisanassoro4913
    @idrisanassoro4913 Před 2 lety +5

    Tanzania hamna raisi ambae atapendwa na wananchi akiwa madarakani, raisi chapa kazi

  • @idrisaameir2204
    @idrisaameir2204 Před 2 lety +4

    Ao Nd wateja walokuja kunnua nchi au?

  • @Moresa196
    @Moresa196 Před 2 lety +6

    Wamekuja na Soda? Kwa Maana Hapa Dar Hazionekani..

  • @geofreynyigo3004
    @geofreynyigo3004 Před 2 lety +4

    Kama mnanufaika mbona mnakoooopaaaa ,mpeni Mama hizo dola msiweke matumboni mwenu,tozo,ukame,being juu vimetuchosha!!! Mpeni mama

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    Ujio wa wazungu huu, ipo siku tutaongea vizuri tu, acha kwa sasa tuamini kuwa ni watalii!

    • @eliamwasomola578
      @eliamwasomola578 Před 2 lety

      Kunakitu wamefwata sio bule tutaona mengi mpaka tupigwe mnada

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 Před 2 lety +1

      Waje tu bila nia binafsi ni uwongo mkubwa tuendelee kuwafurahia

    • @yasintakahamba1320
      @yasintakahamba1320 Před 2 lety +2

      Ndio hivo siku una ambiwa tayari mlisha uzwa mtakataaa nyie

  • @storytownTv
    @storytownTv Před 2 lety +7

    Afu huu n usenge.....I really miss uncle Magu

  • @mehboobkarmali5211
    @mehboobkarmali5211 Před 2 lety +1

    Well done

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před 2 lety +2

    Paka akiondoka mapanya huwa huru daaah

  • @katondostudiotv4088
    @katondostudiotv4088 Před 2 lety +4

    Meli iko poa tu ila yaliyobebwa sjui

  • @ahmednurdin1928
    @ahmednurdin1928 Před 2 lety +2

    Lakin wakazi wa hapo hawana maji wala umeme

  • @gibishinchambi1971
    @gibishinchambi1971 Před 2 lety +5

    Sawa LAKINI cjui? R.I.P JPM

  • @mundhiraliy1307
    @mundhiraliy1307 Před 2 lety +2

    Haya weee kumekucha sasa 🙆‍♂️

  • @abasishabani1151
    @abasishabani1151 Před 2 lety +2

    Kazi iendelee mama anaupiga mwingi kwenye utalii

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange6540 Před 2 lety +3

    Mh!!!! Wao meli nzima waja kwetu sisi tukipandaga ndege kuelekea kwao unakuta tupo ata 10 hatufiki wao waja kujazana kwetu 😏

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 lety

      WANA uchumi, sisi tuna majungu

    • @aeshamrange6540
      @aeshamrange6540 Před 2 lety +3

      @@mimiraia2531 eee!!!! Uchumi ama kuja kuchunguza nchi yetu tu nakutuibia mali zetu kwanza wao kwao wana roho mbaya afu wakija kwetu tuna wakarim aslani siwapendi Astaqfirullah.......

  • @fredylupatika1946
    @fredylupatika1946 Před 2 lety +1

    Kwann hawakutua nanga kwenye bandari yetu ya dar-es .... Ili tuwapige na hela ya usafiri kutoka dar mpaka kilwa????

  • @joshuajoseph3168
    @joshuajoseph3168 Před 2 lety

    Wanakuja sawa lakn hatuon faida yao ndo kwanz mambo yanakuwa mabaya vitu vinapand tozo kibao hata sijui ni mm ambae naona tuu ama nawenzang wanaona km mm

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety

    Mmmh.! Weng mno na ukizingatia sshv Kuna Corona wasij kuw na jambo lawo

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před 2 lety +2

    Mashaka bin taabu

  • @saramss7262
    @saramss7262 Před 2 lety +1

    Coronavirus kuweni makini

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 Před 2 lety +1

    Cruise ship kubwa inachukua hata zaidi ya watu 2000 nilipanda Sweden hiyo siyo kubwa ndugu

  • @msodontexas3201
    @msodontexas3201 Před 2 lety +2

    Ukichanganya na madeni ya taifa tumekwisha

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 Před 2 lety +1

    Yan kua binadam upeo wao mdogo sana,kila jambo likifanywa ni kubeza tu

    • @hajimgwami5224
      @hajimgwami5224 Před 2 lety

      Ndugu yangi hii nchi ina tabu sana na hata maafanikio yake itakua tabu sanaa, watu kila kitu wao kwao kibaya hata sijui wanataka nini, nakumbuka wayu hawahawa wakati wa magu walikua wanatamani amalize muda wake ili nyuma vilegee, Allah akasema ngoja nimchukua si hamumtaki, leo wanasema bora Magu, yaan watu ni mtihani sanaaaaa

  • @kurugokurugo4095
    @kurugokurugo4095 Před 2 lety

    Madeni ya taifa munayaingizaje hapa kwnn kipindi Cha magu hamkusema wkt alikopa Hela ndefu sn au kwa vle alikuwa anatudanganya hatwambii ukwl muache ujinga.

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj Před 2 lety +1

    Wimbi la covid la 3 la ingia kirwa

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 2 lety

    Kazi ipo!

  • @yusuphmbogolo8487
    @yusuphmbogolo8487 Před 2 lety +7

    Mnasifia vitu ambavyo nchi au wananchi maisha yanazidi kuwa magum watu bado wanateseka tu

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 Před 2 lety +1

    Covid hiyoooooo

  • @halimaauthman9324
    @halimaauthman9324 Před 2 lety

    Je utaratibu wa mtanzania kuja kutembelea unakuwaje?

  • @msodontexas3201
    @msodontexas3201 Před 2 lety

    Hadi wafike million watutawale😥😥😥😥

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 2 lety

      Yaan ndugu nikwambie Mimi nipo Omani lkn nyumbani Tz Lindi kiukweli Tz tumejaaliwa mambo mengi ,kama utaenda nje kwa Ali ya maisha lakini home kizuri japo cc masikini hatufanani nao ila Tz iko poa Sana tujivunie.

    • @msodontexas3201
      @msodontexas3201 Před 2 lety

      @@julihanjosephyjs6361 tudumishe amani

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 Před 2 lety +7

    Bnafc ninawaomba wasimamizi wa kutoka kilwa. Hawa wageni wanaokuja hapo kilwa naamini pesa wanazoacha ni nyingi mnoo tunawataka serikali iweke wazi kwa wanainchi wake kuwa pesa zinatoingia kutokana na watalii je, zinafanya kazi gani kwenye nchi yetu? Hatutaki mambo ya kienyeji enyeji tu pesa zinazotokana na watalii et itokee zinapigwa tu ikiwa mikopo ndyo mmeipa kipaumbele kuliko chochote!.. kwakweli hapana hapna.. pesa ziingie na tujue zinalinufaisha vp taifa letu 🇹🇿🇹🇿.

    • @fauzimohamed5757
      @fauzimohamed5757 Před 2 lety

      Mshapata pa kuongelea kuhusu mikopo mbona jiwe alivokuwepo pimbi kama wewe ulikuwa uhoji pesa anatoa wapi ila kisa tu mama ndio unajifanya kiherehere kuhoji

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před 2 lety

      @@fauzimohamed5757 hata wakati huo watu waliongea bwana

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 Před 2 lety

      @@Chanell32 🤣🤣🙌🙌🙌

  • @msodontexas3201
    @msodontexas3201 Před 2 lety +2

    Mh kuna sku tutaongea lugha 1 meli kubwa watalii 100 af nchi tofaut tofaut nchi inauzwa mackin

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 Před 2 lety +1

      Spika kasema nchi rehanani meli lote hilo watu 100 wamebeba nn huko uwiiii mashaka kila kukicha na hakuna ukaguzi wowote tunashangilia tu

    • @msodontexas3201
      @msodontexas3201 Před 2 lety

      @@romanambelle6356 na bado kuna wengine miambili na kitu dah😥

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 2 lety +7

    Wanalipa? Na kama wanalipa, pesa zinaenda wapi? Mbona yunakopa sana? Ndugai kasema nchi itapigwa mnada kwa madeni.

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 Před 2 lety

    Mna uhakika kuwa ni watalii????
    😰😰😰

  • @ciarmnyone738
    @ciarmnyone738 Před 2 lety

    😋😋😋😗

  • @christinapaul2957
    @christinapaul2957 Před 2 lety

    Wanasifia kwa sababu wako hapo wakutoka wanaanza kusema tz ni miongoni mwa nchi maskini duniani na wengi wao ni wazee

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 Před 2 lety +15

    Kiukweli ukiangalia comments za watanzania utagundua hatuna akili ya biashara kabisa,ni wajuaji wa mambo ya kijinga na tunafikiri pengine kuna shemeji fulani atatuletea pesa mfukoni badala ya kutumia hizi fursa.

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 Před 2 lety +1

      Wewe ndo hujielewi. Wanakuja kwa masrahi yao. Nani amekwambia wanakuja kutunufaisha?

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 lety +4

      Salman umesema kweli, kuna baadhi ya watanzania fikra zao ni tatizo, badala ya kufiria wanawezaje kutumia nafasi hizi kama fursa kwa kubuni vyanzo vya kujitengenezea pesa kwa kupitia ujio wa wageni kama hawa badala yake wamekaa na kulaumu hovyo, yani wamekuwa kama bendera fata upepo akisema mwanasiasa flani kwa kuikosoa Serikali basi na wao wanayabeba maneno yao mazima mazima bila ya hata kuyapima. Kwa jicho la haraka haraka kuna fursa kibao hapo wapishi wa vyakula vya asili, mapochopocho ya vyakula vya bahari, watu wa tour guide, wauzaji wa vinyago, wabunifu na washonaji wa nguo za kiafrika na mengine mengi hii ndiyo fursa ya kutengeneza fedha tena sio fedha ya madafu hawa jamaa huwa wanalipa kwa dola. Kilwa ndiyo sehemu pekee iliyobeba historia kubwa na ya zamani zaidi ya watu wa nchi hii na Afrika Mashariki nzima, ina kumbukumbu nyingi za kimazingira zenye kuonesha wapi wazee wetu walipotokea, majengo ya kuajabisha kabisa, lakini kwa bahati mbaya ilikuwa kama imesahaulika kabisa hali ambayo ilipelekea taifa kukosa kiasi kikubwa cha pesa za kigeni, kiasi ambacho kingeweza kuchangia uinuaji wa pato la taifa. Haya sasa mama kashafanya yake, watanzania wenzangu "KONEKSHENI HIYO" tuchangamkie hizi fursa.

    • @allybinagil3169
      @allybinagil3169 Před 2 lety +2

      Umesema kweli utalii ni
      dhahabu nchi nyingi zinaendelea keep utalii

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety

      Wewe alanus shule huna kasome tausi we

    • @shabaniduduma8885
      @shabaniduduma8885 Před 2 lety +1

      Kwel ndugu.majitu yanacomment ujinga tu

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před 11 měsíci

    Magofu ya kali mara ya kala!!😂😂😂😂😂

  • @danieltoroka7281
    @danieltoroka7281 Před 2 lety

    Duh 🙄 meli kubwa kupita kiasi

  • @salamasefu5494
    @salamasefu5494 Před 2 lety +3

    Wanatuletea maradhi hao

  • @husseinmgohamwelu1488
    @husseinmgohamwelu1488 Před 2 lety

    Watu wanacoment title, badala ya ku-coment maelezo wanayotoa hao maafisa wa utalii, yaani mtu hata hajasikiliza nn maafisa hao wanaongea, mtu ana comment,

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety +7

    Kuna WaTanzania wa ovyo sana aisee nikisoma comments zao yaani akili ya mavi kabisa, sijui waliishia darasa la pili

    • @wilhardtarimo386
      @wilhardtarimo386 Před 2 lety

      Hatari sana ndugu nikuto kufikiria yan kwel wajinga wengi sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 lety

    Wanaingiza fedha zipo wapi?

  • @kurthumsmalki3035
    @kurthumsmalki3035 Před 2 lety

    Duuh

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety

    Wanajambolao hao wazungu wenu

  • @habibujuma2593
    @habibujuma2593 Před 2 lety

    Watu wanakufa njaa...

  • @kulwamachugu936
    @kulwamachugu936 Před 2 lety

    Kama umekosa habari ukae nyumbani na mke wako

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 Před 2 lety

    Mama Samia ameweza

  • @shadyanuh9238
    @shadyanuh9238 Před 2 lety

    Kingereza chatuhusu tz muda si mrefu

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 Před 2 lety

    🙄🇹🇿

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 Před 2 lety +1

    Hivi na sisi waafrica tukienda huko kwao tutapokelewa hivyo?

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety +3

      Huendi wewe ila wenzio maelfu wapo huko. Eti tukienda, 😂😂😂 unadhan wote wapo bongo tu km ww mnakunya na kula na ujuaji mwingi. Tausi we

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      Like serious?! Mtalii popote pale anaheshimika kwa sababu shida yao sio wewe bali pesa yako!!

  • @AmosiDeogratius
    @AmosiDeogratius Před 2 lety +3

    Nyie hao sio watu wazuri haiwezekani meli inaweza kubeba watu zaidi ya 1000 lakini waliokuwemo ndan Ni 100 tu it's nonsense hao wamekuja na Mambo yao ambayo sio mema kwa nchi yetu inawezekana hata kweny meli Kuna products wamebeba ambazo sio salama kwa nchi yetu...leo nimemkumbuka mwalim wangu wa history alivyokua anatufundsha kuusu NEO-COLONIALISM😢😢

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      Umeangalia na wakati wenyewe huu?! Upo sahihi kwamba hizi meli hubeba abiria wengi sana lakini ukiona ni wachache namna hiyo basi kuna abiria kibao watakuwa wame-cancel safari kutokana na wimbi jipya la corona!! Hao 100 unaowaona ndo wale "wabishi" lakini wale wenzangu mimi, kinachowajia kwanza kichwani ni itakuwaje wakipatikana wagonjwa wa corona huku tukiwa baharini mbali na kituo kinachofuata! Wakifikiria hayo, wengi wapo usikute wame-cancel safari!!!

    • @eliamwasomola578
      @eliamwasomola578 Před 2 lety

      Mpaka tupigwe mnada ndio tutaelewa kwa Sasa ukishauri utatukanwa na walaji subili tupigwe mnada

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 Před 2 lety

    Wasituletee Omicron

  • @storytownTv
    @storytownTv Před 2 lety +4

    Meli imeleta mabeberu ya mwaka mpya

  • @ahmednurdin1928
    @ahmednurdin1928 Před 2 lety

    Hakuna maji wala umeme hapo kilwa kisiwani

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +1

    Je huko Kuna huduma Kama vyoo na sehemu ya kunawa mikono?

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      Unauliza kwa utani au upo serious?! Kama upo serious, basi nikujuze Cruise Ship ni hotel inayotembea!!

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@Myplusbee siulizi kwenye cruise ship.. najuwa kuna kila kitu. Na uliza pale Kwenye sehemu ya utalii. Usiniambie mtu akishikwa kwenda haja lazima akimbilie kwenye cruise ship.

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      @@gracegrace6200 Kwenye utalii wapi?! Kama ni hapo Kilwa Kisiwani, hapo kuna huduma zote kwa sababu ni sehemu inayotembelewa na wageni mara kwa mara!

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@Myplusbee mahali popote wanapotembelea watu kwa wingi, lazima kuwe na facilities ya vyoo. Facilities za vyoo na kuosha mikona ni lazima. haswa wakati huu wa magonjwa ya kuambukiza. Si kusema hivyo kwa dharau bali kueliminishana.

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      ​ @Grace Grace Nafahamu kabisa kwamba lengo lako sio kukejeli na ndo maana nami nikasema kuna huduma zote hapo kwa sababu ni sehemu inayopokea wageni mara kwa mara! Hata ukiacha hao watalii, Kilwa Kisiwani ni moja ya ngome zinazotembelewa sana na Watafiti wa Historia; na hata hao wanakofanyia kazi zao za utafiti ni huko huko kwenye magofu!! Lakini kwa upande mwingine, kama pasingekuwa na hizo huduma hata hiyo meli isingesimama hapo kwa sababu Cruise Ships wapo very sensitive na magonjwa ya kuambukiza kwa sababu wanajua akiathirika abiria mmoja tu humo ndani, balaa lake sio dogo!!!

  • @victorsilayo2736
    @victorsilayo2736 Před 2 lety

    Asa meli kubwa af inabeba watu 100 nini sasa

  • @jumajuma8456
    @jumajuma8456 Před 2 lety +1

    Tangu ipo kwetu zanzibar

  • @petroatanas8988
    @petroatanas8988 Před 2 lety +1

    Wamekuja kuchukua malizetu tu sisiwatanzania tunafaidika nanini Sasa

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety +1

    Ndio maana tunaangamia kwakukosa maarifa nyie mnasufiya hao wanakuleteeni macorona mjikunenayoo hakuna watu kuendekea mtaendelea nyie mnao kula mapesa hayoo walalahoi badoo wapo mashakanitu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 2 lety

    Tien skili ipo nini kushiriki nchi tofaut Melissa moja hamjijui
    Mnanaswa

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před 2 lety +1

    Serikali ya Tanzania hivi viongozi mnajielewa..tunaletewa magonjwa hivhiv tunaona????Magufuli alithamini watanzania na cyo pesa..mnajivunia ujinga madhara makubwa..

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety

      Unamzungumzia Magufuli yupi?! Yule yule ambae wakati corona inaanza aligoma kufunga viwanja vya ndege kwa madai kwamba ingeathiri ujio wa watalii, au unamzungumzia Magufuli yupi hasa?! Hivi si ndo huyo huyo Magufuli ndie ambae aliwaambia "msiwe na hofu" halafu leo unataka kutuaminisha kwamba kama angekuwepo, hiyo meli isingeingia?!
      Wafuasi wa JPM ni watu wa ajabu sana!!

    • @aceofspades3728
      @aceofspades3728 Před 2 lety

      Jinaa gumuuu then kichwa chepesi

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 lety

      Serikali imeamua mchanjwe corona, mufe mapema. #Shenzi zenu waswahili

  • @eliamwasomola578
    @eliamwasomola578 Před 2 lety

    Kunakitu wamefwa tutayaona mengi polisi endereeeni kulinda viongozi walaji pigeni laia bambikeni kesi laia maaadam na watoto wenu nimiongoni mwa watanzania

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před 2 lety +1

    Kutangaxwa..???Nyerers alishaitangaza tanzania...watalii hawana faida yoyote

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Před 2 lety +1

      Usijidanganye ndugu! Nyerere aliitangaza Tanzania kwa class fulani ya watu, kama vile kwa wanasiasa na class fulani ya watu lakini sio kwa watu wa kawaida! Hawa watu wa kawaida ndo watalii wenyewe!!
      Kwamba Watalii hawana faida yoyote, my friend, sijui unaishi dunia ya wapi manake Utalii Tanzania unaingiza pesa nyingi kuliko hata hayo madini unayodhani ndo biashara kubwa!!! Hiyo Seychelles inakotoka hiyo meli wana uchumi bora maradufu ya uchumi wetu lakini moja ya vyanzo vyao vikubwa vya mapato ni utalii!!
      Ni ujinga wetu ndio unatufanya tusiendelee kupitia utalii, na ndo maana pamoja na vivutio vyote tulivyonavyo bado kwa mwaka tunaingiza chini ya watalii 2.5M!

    • @aceofspades3728
      @aceofspades3728 Před 2 lety

      @@Myplusbee kaka achana na huyu kikaragosi

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 Před 2 lety

    Mitano tena mama ahsante rudisha tz ile tunayoijua na kuwatoa upumbavu baadhi ya wananchi walioharibiwa psychological kuamini wazungu wakija kwetu sio wema hahahahaha 😆🤣😂naiona tz ya kesho sio ya jana 🤑

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 lety

      Mzungu anakuona wewe Moza ni Nyani tu, halafu unasema nini?!