ALI KAMWE : NIPO KAMA HARMONIZE NIKILEWA NITASEMA YA HAMISA MOBETTO / ANANIITA MIMI MTOTO
Vložit
- čas přidán 18. 08. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Zábava
Ally we ni kiboko sana! Ambao hawajakushtukia..! Akili ni nyingi mno!
Nimependa Majibu ya Mwisho mtani
Dogo wewe Ni noma, uko vizuri sheh
Dogo kamwe umeonesha ukomavu mkubwa Sana kwa majibu yako. Na kwa swali la mwisho umetisha!
Umeongea. Visuri. Sana. Shekheee
Upo vzur
Anakili kubwa sana semaji
Napendaga unavo.jibu.simpotu
Wabongo bhana mara semaji , mara Azizi ki kuna uhalisia apo? Hao ni marafiki tu
upo vizur kid
ukilewa utasema ukweli kaka vipi tena bona mulikuwa baba naye
Hili jamaa linatumia akili sana kama hujalielewa utapata shida sana
Ndo shida ya kuchumbia dada wazuri iyo hapo anahojiwa mtu mwenye stress zake; pole kaka
Acha kiki lewa sasa😂
Hivi alishawahi kuowa huyu mtoto?
Kutokana na maelezo ya kamwe hawa watu wameshawahi toka kimapenzi ila dogo mfuko bado hauja Nona hawezi kummiliki mobeto kabisa. atulie atafute pesa mifuko ikisha jaa amtafute 😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅on 😅😅😅😮😮😅😅the best 👌 👍 😍 🥰
😂😂😂😂😂😂😂 usilewe
Ushakula mzigo sio
😅😅😅😅😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ucbakishe hata nukta
😂😂😂😂
Humuwezi wewe wanakulaga watu wakubwa hapo
Uyu kafirisiwa
Hana povu yupo free .
Hahahhaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂lewa mtan
😂😂😂😂😂😂
😂😂
Simple and clear.Huyu kijana ana uelewa mkubwa sana.