Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Anasikia haya jaman biharusi...kila la kher Allah awazidishie mahabba,mawadda wa rahma
Kweli Bw. Harusi anaenjoy ila Bi. harusi sasa kanuna mpaka anakera yaana kama mshumaa wa pasaka hatikisiki
Mc Sio professional ndo ubaya wa Hii shughuli ila kila kitu pambe
Bado ali kamwe
Sherehe pambe bwana harusi ana vibe lakutoaha ila bi harusi kanuna sana kama kalazimishwa
msituletee watu wa simba huku yangu na matunguli yao
Misa mitano tena💚💚💚💚💚
Mungu atakupa wako mma pia wwe hamisa
Bona kanuna huyu biharusi hivyo kwani kalazimiswa kuole hani hata kataba sam😂😂😂😂
😂😂😂
Biharusi sijampenda kanuna huyobkama kalazimishwa
Bi harusi hilo ua lilimchosha,khaa😅
Bibi harusi kanuna muda woooooooote tatizo nn sema alwatani kajitahidi katabasam muda wote
Ba harusi happy san
Jaman mbona babuu arus atulihii😅😅😅
😂😂😂😂
Ulishawahi kuona wapi mwanaume anatulia??
Katika mambo wanayofeli Yanga ni kutokuwa na DJ sahihi kwenye shughuli zao
Hiyo ni sherehe ya yanga au ni ya mfanyakazi wa yanga jaribu kutofautisha taasisi na mfanyakazi wa taasisi flan itakusaidia
Dj na Mc ni ovyo kbsaaa mm nasikia chengaaa chengaaa tyu
Kanuna bi harusi hata hatabasam jmn au atakua kaona mke mwenzie
😂😂😂😂😂😂
Mbona biharus kacheka mwsho vizur
Hamisa amenoga jmn
Adi mwanaume amelewi mkewe anavo kaa anamangalia lakin mwanamke wapi
Mbona bi harusi kanuna mpaka kanuna tena
Muislam Sana alafu anaaibu sana
Haina maana kuwa Hana furaha, Kuna wengine mbele za watu wanaaibu nyingi
Kijana uko safi
Yanga Hatuna jambo dogo hongera
Mmh kalazimishwa uyu😂
kama kalazimishwa kuolewa huyu dada vipi
Kisirani huyu nyumba yaenda waka moto halafu aonekana mchoyo 😂😂😂😂😂
Ni mwarb uyo dada😂😂 kwa Roho mbaya @@aminakipande5645
Nyieeee
Abdulaziz mwanangu mambo na watu usifrahiye tu towa na wewe upewe nipe nikupe
Nirafiki yake kwahiyo kwenye urafiki hamna kurudisha ni udugu kwahiyo my wangu Hamis amemoa ndugu yake
Kanuna mpaka sherehe haijashangamka hapo mwanaume tuu ndo anatabasamu
Saa wanacheza wimbo gani au cm yangu mbovu
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 mbovu hiyo 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂huelew
Hizi simu dah mmesahau mpo seheme za watu acheni sim shame on you
Bwa harusi ana mchechetoooo
Anasikia haya jaman biharusi...kila la kher Allah awazidishie mahabba,mawadda wa rahma
Kweli Bw. Harusi anaenjoy ila Bi. harusi sasa kanuna mpaka anakera yaana kama mshumaa wa pasaka hatikisiki
Mc Sio professional ndo ubaya wa Hii shughuli ila kila kitu pambe
Bado ali kamwe
Sherehe pambe bwana harusi ana vibe lakutoaha ila bi harusi kanuna sana kama kalazimishwa
msituletee watu wa simba huku yangu na matunguli yao
Misa mitano tena💚💚💚💚💚
Mungu atakupa wako mma pia wwe hamisa
Bona kanuna huyu biharusi hivyo kwani kalazimiswa kuole hani hata kataba sam😂😂😂😂
😂😂😂
Biharusi sijampenda kanuna huyobkama kalazimishwa
Bi harusi hilo ua lilimchosha,khaa😅
Bibi harusi kanuna muda woooooooote tatizo nn sema alwatani kajitahidi katabasam muda wote
Ba harusi happy san
Jaman mbona babuu arus atulihii😅😅😅
😂😂😂😂
Ulishawahi kuona wapi mwanaume anatulia??
Katika mambo wanayofeli Yanga ni kutokuwa na DJ sahihi kwenye shughuli zao
Hiyo ni sherehe ya yanga au ni ya mfanyakazi wa yanga jaribu kutofautisha taasisi na mfanyakazi wa taasisi flan itakusaidia
Dj na Mc ni ovyo kbsaaa mm nasikia chengaaa chengaaa tyu
Kanuna bi harusi hata hatabasam jmn au atakua kaona mke mwenzie
😂😂😂😂😂😂
Mbona biharus kacheka mwsho vizur
Hamisa amenoga jmn
Adi mwanaume amelewi mkewe anavo kaa anamangalia lakin mwanamke wapi
Mbona bi harusi kanuna mpaka kanuna tena
Muislam Sana alafu anaaibu sana
Haina maana kuwa Hana furaha, Kuna wengine mbele za watu wanaaibu nyingi
Kijana uko safi
Yanga Hatuna jambo dogo hongera
Mmh kalazimishwa uyu😂
kama kalazimishwa kuolewa huyu dada vipi
Kisirani huyu nyumba yaenda waka moto halafu aonekana mchoyo 😂😂😂😂😂
Ni mwarb uyo dada😂😂 kwa Roho mbaya @@aminakipande5645
Nyieeee
Abdulaziz mwanangu mambo na watu usifrahiye tu towa na wewe upewe nipe nikupe
Nirafiki yake kwahiyo kwenye urafiki hamna kurudisha ni udugu kwahiyo my wangu Hamis amemoa ndugu yake
Kanuna mpaka sherehe haijashangamka hapo mwanaume tuu ndo anatabasamu
Saa wanacheza wimbo gani au cm yangu mbovu
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 mbovu hiyo 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂huelew
Hizi simu dah mmesahau mpo seheme za watu acheni sim shame on you
Bi harusi hilo ua lilimchosha,khaa😅
Bwa harusi ana mchechetoooo