G Swag!Pambana Mama as long as unaamini katika Music achana na Chupa zinazonekana zaweza kukupotezea ndoto zako,Music unaishi asiee,Macha J, Big up Sana kwako Kaka Mkubwa kwa Kazi nzuri ya kiharakati aisee,Dogo Muu Flow, your the Next upcoming star in Tz Pambana Mdogo wetu pia usisahau shule,Ila Music unaujua na unaishi kwako.
Muu flow anajua sana huyu dogo hii show ametisha yani ameua Julius macha anaandika ila aongeze mazoez kwenye kuimba Grace g swaggz ana saut ya hip-hop lkn mvivu kushika mistari
Sasa Dakika 10 za Maangamizi tunamuhitaji hapa Ndani Medani the One a guy from Njombe ,Mbeya Boy Chuma,Pamoja na Macha Mc waje wakiwashe hapa,Nadhanni itakuwa ni Bongeeeeee Moja la Burudaniiiii aiseeee.💥💥💥💥
Huyu dem yuko pow sana. Sema matamshi ya kiswahili anatamka kama ngeli na ndio tatizo. Aimbe kiswahili kama kiswahili asikiharibu . Kizaz sana
G Swag!Pambana Mama as long as unaamini katika Music achana na Chupa zinazonekana zaweza kukupotezea ndoto zako,Music unaishi asiee,Macha J, Big up Sana kwako Kaka Mkubwa kwa Kazi nzuri ya kiharakati aisee,Dogo Muu Flow, your the Next upcoming star in Tz Pambana Mdogo wetu pia usisahau shule,Ila Music unaujua na unaishi kwako.
Comment bora
Muu flow anajua sana huyu dogo hii show ametisha yani ameua
Julius macha anaandika ila aongeze mazoez kwenye kuimba
Grace g swaggz ana saut ya hip-hop lkn mvivu kushika mistari
Woow nimefurahi kumuona Grace tena baada ya kipindi kile cha BSS episode 11 huyu ni yule Dem muulize Bella
MHIMU TUU MRUDISHEN mbeya boy chumaaa .....mara...kamdada
........
Medan the 1,. Macha wawe woteee3...
Macha killed
Dk 10 zimepoteza mvuto, wasanii wanaoletwa ni wa kawaidaaa mnooo
She sounds like Keko from Uganda, much love from Kenya
Huyu demu anaflow nzur sana lakn mvivu kushika mistar, hope after Chemical anaweza kutupa mziki mzur huyu
Hii inabidi iwe free style. Haitakiwi uwe umeandika. Unatunga hapohapo. Huyu dada naona hana topic nzuri na maneno sio punch. Toxic ndo moto
Vibe la macha. 💥
Sasa Dakika 10 za Maangamizi tunamuhitaji hapa Ndani Medani the One a guy from Njombe ,Mbeya Boy Chuma,Pamoja na Macha Mc waje wakiwashe hapa,Nadhanni itakuwa ni Bongeeeeee Moja la Burudaniiiii aiseeee.💥💥💥💥
Huyu Dem Yuko vzri, but huyu mu fow ni🔥🔥🔥
great things are coming
Masha unatembea ila mbaya blood
Muu flow amemaliza 🔥👊🇰🇪
Jah bless you my son Muu❤️💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪👏👏👏
Kama unatak duga mawe arud ndani gonga like
Mu killed again 🔥🔥🔥
Much flow dogo upo vzr
Sana dogo anajua
Hyo dem yko vzur knoma mekbal hyo michano
👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪
Huyu dada yuko poa Ila Kuna baadhi ya maneno anamung'unya
MUUUUUUUUH FLOWWWWWW..BLESSA DOGO NJOO NIKUPE SHAVU
Sumu sana 🔥🔥
Duh! Huyo mwanadada kwakweli kiukweli amenigusa. Pitiza salamu zangu kwake, mie ni msanii mwenza "Kijana Mdogo Alexo" tokea Kenya🇰🇪. Nafuatilia kwa ukaribu sana "Dakika 10 za maangamizi."👌
Yeah aaaaa mu flow he kill it 💥💥
Haha Macha mzee umekomaa sasa, kweli Happy skillful vipaji viko kibao
Mu flow kawakimbiza balaa sana🙌🙌
mACHAAAA MMH HIZO FLOW...SO FIRE
Salute
Mo flow noma mkali .....
Mbeya boy aje akill
Young king rapper muu.. best ever
Iro bacha atar🔥🔥🔥🔥
Muuu ,and brother na sister mupo fiti sana 💯💯💯👌👌👌🔥🔥🔥🧡🧡🧡
Oii macha ndo muda wake wazee voice,punch international levels
Muu flow go higher
Flow za kizamani sana hizo mbege mbege tu
Muu iko love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪...you rock it son 🔥 🙌 🔥 🙌
Macha🤗
Muu Flow ameua sana.anajua kunata na beat.sema pumzi dogo hana.ila kutokana na umri Wake najua atakuwa poa sana.komaa mdogo wangu utafika mbali
muuh be blessed kaka
J macha from bss nampata
Ayeeee ✊
Uyu dem ni fireeee🙌🙌🔥🔥🔥🔥🥰🥰
Izi video siunaziona lakin.....kua Makin chuoni ukooo
Haya bana
G swagz🥰
Daaaaaaaaaaa muh noma kauaa sanaaaa Tumpe tuzo👏👏👏👏🙏🙏🙏
Mmezid ukanda! Huyo ukimfuatilia utasikia kanda ya kaskazin
Aisee macha naomba tuwasilisne boy mambo iko byeee
G swags Latisha mdada but Mu flow kauwa zaid 🔥🔥
Dogo muu Yuko poa Sana hiki nikipaji
mzee wa kiw@side kizazi sana
U killed it
From mazambique🇲🇿
Mbeya Boy chuma na Dizasta Vina warudi
G rappa my best dent who always rap
Nitumie your no g is me your tc
Like zangu
Mu flo hataaaaaaaaaaaari fiiiiiire🔥🔥🔥
Hatari hii show
Tuleteen P mawenge na Weramula
Grace , kanikosha
Muu flow✌🇹🇿
Daaa,grace kumbe we mtu hatar,mara ya kwnza tumeonan dodoma,ulikuja kucheza pooltable ofisi kwang
Mbona rapa wakaida sana
Dogo kaua,yaani ana skills sana dogo kakalisha mbaya
Machaaa anachan kma roho sab
Muuu katsha kushinda wooteee
arudi mbeya boy chuma
JR yuko wp
Huyu dem mkali anajua
Motooooo
Muu floww umeuaaa🤣🤣...
Nipeni hizo dakika za maangamizi jmn planet bongo
🔥🔥🔥
Ogiiiiiieee
Tafuta energy
Uyu demu bdo
Mu flooh
G Swags ana pita pita na vionjo kama chid Benz flan hivi. Yuko poa
Hatari
Muh Flow
Demu anFlo kama Balozi Dola
Ume tisha
mbeya chuma aje jukwaani kwa Mara nyingine
Macha namuona second Chid Benz
Anastahiri aiseee
Anakata moto
Macha anachana kama Chidi
Uyo manzi bado
Kmkee sio pw
Macha ni mnoma na nusus
G swag content imeendapi?
G nakuona mbali binamu kaza
Uyu macha yuko poa ila Ana hulka sana.mpaka anaenda nje ya key
🤔 kwa game ya siku hizi bado saaana,
palagway sela
Mu foll👌
Hamna kitu
Tuleteeni DUGA MAWE huyu jamaa ni mnoma fanyeni hivyo wauni
Dogo muu flow. Anachana kushinda ata uyo jamaaa. Makelele mengi.
Nakusanya kusanya nauri nitimbe Dar niuwe hiyo