USIPUUZE MAONYO HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 05. 2020

Komentáře • 84

  • @vailethmarack374
    @vailethmarack374 Před 2 lety

    Barikiwa Sana mchungaji mbaga. Sauti yako iliyojaa Neema ya Kristo inayo wahubili maelfu kuokorewa.

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 Před 4 lety +2

    Mwenyezi Mungu akubariki Pastor Mbaga kwa somo hili, roho wa Mungu atuongoze tubadilike atuepushe na viburi

  • @Priscakihiyo4352
    @Priscakihiyo4352 Před 4 lety +2

    Ameeeeen kubwaaa Mtumishi wa Mungu ni mebarikiwa sanaaaaaa Mungu akubariki sanaaaaaaa na zaidi ya yote akupe maisha marefu uendeleee kutufundisha njia ipasavyo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @tumainibusiliye2478
    @tumainibusiliye2478 Před 4 lety

    ubarikiwe sana mchungaji nafuatilia mahubiri yako youtube hakika nabarikiwa sana na maombi mengi yamejibiwa mungu akubariki

  • @happymbilinyi4503
    @happymbilinyi4503 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana mtumishi unanifanya nilipende neno La Mungu kila cku ubarikiwe

  • @edinaclemence8977
    @edinaclemence8977 Před 4 lety

    Amina mtumishi wa Mungu napenda mafundisho yako nakusikiliza kutoka Bukoba Kagera.

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 Před 4 lety

    AMEN, Mungu akubariki sana Pastor....huwa unanibariki kila wakati

  • @joelronoh8437
    @joelronoh8437 Před 4 lety +2

    Asante sana pastor kwa mahubiri .Nabarikiwa kutoka Qatar

  • @erickcharlse408
    @erickcharlse408 Před 4 lety

    Amina.. Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 Před 4 lety

    amen amen ubarikiwa mafunzo mazuri

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Před 4 lety +8

    Pastor Mmbaga wewe ni mwalimu mwema, mafundisho yako nayapokea kwa imani, somo limenibariki sana,, nakufuatilia kwa vizuri nikiwa Kenya, malindi

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 Před 4 lety +1

      Amen

    • @julianabaleja1674
      @julianabaleja1674 Před 4 lety

      Ni kweli tumejipenda na kuwa na kiburi cha uzima. Mungu nirehemu

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 Před 4 lety

      mwalimu mwema ni Yesu

    • @rizikimarie6765
      @rizikimarie6765 Před 4 lety

      @@davidmmbaga3350 pastor naomba uniungu ku telegram na mimi ili niwenapata maubiri siku ile ile maubiri yako uwa inanigusaga Sana nikiwa apa Australia sijuwi kama munatumia number au jina? Kwakuungana ku telegram? Naomba unijulishe ili nikupe number yangu munionge ku telegram asante.

  • @neemabeatrice1672
    @neemabeatrice1672 Před 4 lety

    Barikiwa sana Mutu wa MUNGU

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 Před 4 lety +2

    Amen nabarikiwa sana kila mara ninapoyasikia Mahubiri haya na nimeona matokeo mazuri Roho mtakatifu ananibadilisha kila kuchao.Mungu akuinue zaidi nakuombea mchungaji Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima ndio huzidi kutulisha kiroho. Amina

  • @msafirimasamaki1905
    @msafirimasamaki1905 Před 4 lety

    Barikiwa na Bwana mtumishi

  • @unclemesh1
    @unclemesh1 Před 4 lety

    Ole wangu mwanadam.... mara ngapi nimeonywa mara ngapi tumesikia mahubiri..mara ngapi tumehubiriwa...mara ngapi tumeonywa Mungu nipe nehema na rehema

  • @lamidalonghee7012
    @lamidalonghee7012 Před 4 lety +1

    Amina man of God. nimekumbuka usemi yako mshike mkono jirani yako.

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 Před 4 lety +1

    😂😂😂 et #malaika wakikatiza mbinguni wanamuelewa Belshaza ni nani. Mchungaji unastyle flani hv ya kuhubiri inafurahisha sana.

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 Před 4 lety +1

    Nnajifunza mengi kupitia mafundisho yako ,ubarikiwe sana

  • @jesuslivesmysaviorlives1431

    Mungu aku Bariki Pastor , Nime barikiwa kabisa

  • @hellfrennyanchoka9424
    @hellfrennyanchoka9424 Před 4 lety +2

    Be blessed pastor,watching from usa but from kenya,kiti

  • @mathiasmulwa876
    @mathiasmulwa876 Před 4 lety +4

    Ubarikiwe sana mjungaji, Mungu azidi kukupa nguvu, ili uendelee kutubarik Naomi from Kenya God bless you so much.

  • @virussella9979
    @virussella9979 Před 4 lety +1

    Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.

  • @captaincloud7youngpol692
    @captaincloud7youngpol692 Před 4 lety +2

    Nimeelewa sanaaaaaa. Mbarikiwe sanaaaa

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 Před 4 lety

    Ameen nabarikiwa sana na masomo mazuri

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 Před 4 lety

    Mungu atusaidie sana

  • @marymburu1782
    @marymburu1782 Před 4 lety

    Hiyo kitabu I napatikana Kenya nataka moja

  • @zakariajoel3994
    @zakariajoel3994 Před 4 lety +1

    Mungu nisaidie,nimebarikiwa pastor

  • @lutigerhaule5567
    @lutigerhaule5567 Před 4 lety

    Somo lina ujumbe mzito sana. Amina

  • @shigazuelias4896
    @shigazuelias4896 Před 4 lety

    Kaba sijamaliza kusikiliza,nimekuelewa sana pastor Mmbaga, nimechukua point tena. Mungu akubariki

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 4 lety +1

    Am really blessed Amen 🇰🇪

  • @elizabethmabula101
    @elizabethmabula101 Před 4 lety

    Ujumbe mzuri sana. Ubarikiwe pastor

  • @garvinmcchrystal8115
    @garvinmcchrystal8115 Před 4 lety

    Nimebariwa sana GOD BLESS YOU PASTOR

  • @angel-y
    @angel-y Před 4 lety

    Ubarikiwe sana Pastor kwa somo nzuri.

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 Před 4 lety

    Daah! Ni hatar sana lkn Mungu ni tumain kuna vitu ninajifunz sana ubarikiwe sana

  • @callennyacnchama1860
    @callennyacnchama1860 Před 4 lety

    Asante pastor kwa somo nzuri ubarikiwe,pastor naomba uniombee ujaso wa roho pamoja na mtoto wangu ambao atafanya mtihani kwa college ya kua nurse America asante.

  • @rizikimarie6765
    @rizikimarie6765 Před 4 lety

    Amen

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 Před 4 lety

    Mungu ameendelea kuongea nami. Ubarikiwe Pastor wangu

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Před 4 lety

    Asante kwa masomo nabarikiwa sana na mahubiri nahisi kama nalishwa chakula kitamu,asante

  • @johnsonkegori8763
    @johnsonkegori8763 Před 4 lety

    Amina Pastor, barikiwe kwa somo zuri

  • @peninahpeter5284
    @peninahpeter5284 Před 4 lety

    Asante kwa ujumbe mwema mungu niumbie roho ya unyenyekevu nisamehe kwa kiburi changu

  • @matendomedia
    @matendomedia Před 4 lety +1

    Amina

  • @maliyadinas9645
    @maliyadinas9645 Před 4 lety

    Asante sans kwa mafundisho mazuri ubarikiwe sana mchungaji 🙏

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 4 lety

    Ubarikiwe sana pastor I am here who dreams and it happened all time. I love when it’s nice dreams, but if it’s bad dream I don’t like kabisa

  • @nyotaepapi2375
    @nyotaepapi2375 Před 4 lety

    Amen 🙏🏿, ubarikiwe

  • @ednakilasa5082
    @ednakilasa5082 Před 4 lety

    Ubarikiwe pastor

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 Před 4 lety

    Nabarikiwa sana na somo lako Mchungaji🙏🙏

  • @zachyadaholy4924
    @zachyadaholy4924 Před 4 lety +1

    Stay bless

  • @aikaabelimboya4271
    @aikaabelimboya4271 Před 4 lety

    Amina pastor kwa ujumbe mzuri Barikiwa

  • @lenahasantemchungajiauko8811

    Asante mchungaji kweli nilikuwa nikiipuuza sana

  • @thegospelmessage5039
    @thegospelmessage5039 Před 4 lety +2

    Tuma link ya telegram natakakufatilia mafunzo

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 Před 4 lety

    Barikiwa PR

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Před 10 měsíci

    AMINA

  • @delishbby8542
    @delishbby8542 Před 4 lety

    Kuna mtu aliniambia kwamba Kazi yake ndiyo Mungu wake wa kwanza kwasababu inampa maisha mazuri tena aliongea kwa kiburi sana. I was shocked kwakweli.

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 Před 4 lety +1

      Mpe mpole !! Kabla hajapata kazi Mungu alikuwepo!! Kazi itaenda Mungu atabaki

  • @user-wq9pv3uz8f
    @user-wq9pv3uz8f Před 4 lety +1

    Barikiwa pastor naomba kujiunga na kikundi cha Telegram

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 Před 4 lety

    Nabarikiwa sana na soma lako mchungaji D mbaga nikiwa huku Brazil ubarikiwe sana

  • @nkwembacharles8676
    @nkwembacharles8676 Před 4 lety

    Amina mchungaji

  • @mussayebete8919
    @mussayebete8919 Před 4 lety +1

    Pastor naomba mtufundishe kuhusu hii watu wanaita trinity of God

  • @thelezamakene1798
    @thelezamakene1798 Před 4 lety

    Nabarikiwa sana,naomba uniunge kwenye kundi la Telegram au uweke link ili kurahisisha

  • @pauletmajinanina8178
    @pauletmajinanina8178 Před 4 lety

    Asante kwa mafunzo

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 4 lety

    Pastor, nimeota niko Nyumbani nkaona nyumba ya na ya Bibi yangu Bibi akanimbia nyumba yake inavuja mvua, na ya Mama imeharibikà nikasema kuwa nitazikarabati, kuwa nitoe nyasi niweke bati vzr. Na, Mama na Bibi wore washafariki. How nilipo, nawaza Ina maana gani? Hd nimekosa amani!

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 Před 4 lety +1

    Hili somo limenilenga juu jana usiku saa 3:30 niliota ndoto na ikanisubua sana lakini niliomba

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 Před 4 lety +1

    Naomba uniunge telegram mtumishi +255 713 928 117

  • @neemakilango9762
    @neemakilango9762 Před 4 lety

    MTUMISHI INAWEZEKANA KUPUUZA AU KUTOPUUZA MAONYO KWA AKILI ZAKO...??? NAWEZAJE.???

  • @zigashanebaleke7701
    @zigashanebaleke7701 Před 4 lety

    0764883348
    Niunge kwenye group telegram

  • @aishaabuu9692
    @aishaabuu9692 Před 4 lety

    Naomba uniunge telegram pastor 0746194783 .

  • @rosemarywawira2421
    @rosemarywawira2421 Před 4 lety

    Amen

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 4 lety

    Amen