Shabiby ampa mbinu Mwigulu, asema kuna upigaji mwingi serikalini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2024
  • Mbunge wa Gairo, Ahmedy Shabiby amemshauri Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba namna bora ya kukomesha tabia ya upigaji fedha kwenye taasisi nyingi za kiserikali na kuacha tabia ya kuwapamba (kusifia) viongozi.
    Shabiby ameyasema hayo leo Juni 20, 2024 wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Komentáře •