AALIYAH KUONGEZA SHEPU ?! LULU DIVA KU-CHEAT NA WIVU WA MC GARA B - HELLO MR. RIGHT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 32

  • @scholagichana300
    @scholagichana300 Před 6 měsíci +2

    I wish ningekua hapo🎉nawapenda sana kutoka 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤

  • @sambicharles3378
    @sambicharles3378 Před 3 měsíci

    Nakupendaga sana aliah sana sana t

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 Před 6 měsíci +3

    Ila lulu umezidi kuvaa nguo fupi nakuonyesha mapaja haipendezi hivyo mtoto wakike ficha maumbile yako

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Nipo makini kwa program yenu kutoka Athens upo vizuri sana mungu Akubarikini kwa super program ❤

  • @neemageorgesanga4276
    @neemageorgesanga4276 Před 6 měsíci +3

    Mungu awatangulie daima but ata wangekua wanavaa vizuri nguo yenye stara kama jweli mke wa mtu mtarajiwa asa magoti yotee njee jaman some time ata mr right kukataliwa anafurahi mnoo mana anaoba tú huyu hapana wameniokoa mana huenda ukarnda ukweni likakupata jambo userious wa ndoa uwepo akina dada hiyo sio maigizo yasijetokea ya kutokea

    • @user-fo8yc8xo8s
      @user-fo8yc8xo8s Před 6 měsíci

      Bora wavae Ivo wakivaa nguo ndefu utashangaa unavamia mtu mwenyewe mangeu makovu miguu Kama spoke Yani ukajutw

  • @januarioernesto1972
    @januarioernesto1972 Před 6 měsíci

    Florah mzuri, nankalibisha Mozambique 🇲🇿

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 Před 6 měsíci +1

    Huyu bwana anauliza maswali ya udhalilishaji kwa wanawake, rubish. nywele na vigodoro, si sehemu ya show!!!

  • @user-gq5yd2hh5j
    @user-gq5yd2hh5j Před 4 měsíci

    Nawapenda buree🎉 4:03 4:03

  • @emmaculatebarasa4609
    @emmaculatebarasa4609 Před 6 měsíci +2

    Sautiiii

  • @alimakame6807
    @alimakame6807 Před 5 měsíci +1

    Gara b , wacha maswali rabish

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před 6 měsíci

    Anglia hvyo vinguo jamanii atarii

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 6 měsíci +1

    Tangu lini shepu ya kichaga inakubali mlogazira 😂😂 waho c wa miguu wala trakoo

  • @user-no8mp7yg1m
    @user-no8mp7yg1m Před 5 měsíci

    Kwahiyo uturuki tusiende kuuliza tuu😂

  • @JosephMpondaTz
    @JosephMpondaTz Před 6 měsíci

    Me nimemuelewa saaana dayana nasijui kwanini Hadi sasa yupo ❤❤❤

  • @benkare7194
    @benkare7194 Před 4 měsíci

    Aaliyah ni mrembo kiukweli

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Před 6 měsíci

    Huyu Aliya Hana hata mpango WA kunyang'anyana li Diamond

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Před 5 měsíci

    Shep haimat humata Mambo mnavaa nusu uchi unategemea update mume utaoata gumegume

  • @benkare7194
    @benkare7194 Před 4 měsíci

    Mimi ni Ben natokea Kenya, napenda sana Aaliyah jinsi alivyo comment kuhusu nyash yani ningekuwa karibu ningempeleka tour kwa bill yangu😂

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 6 měsíci

    Nivibaya ukimroga waweza muuwa

  • @naswiheart5687
    @naswiheart5687 Před 4 měsíci

    Yaani Aaliyah nimekupenda bure kujiamini kunabeba taswira nzima ya wewe ulivyo

  • @sheikhadnandjuma9780
    @sheikhadnandjuma9780 Před 5 měsíci

    Aliyah Diva nyote niwarembo kwani Nyashi kazi yake nigani kama nisoyo kutowa haja kubwa kwa tumbo acheneni na hawo ambawo wanavo sema kwamba big nyashi ni Irembo

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před 5 měsíci

    Warembo niwengi

  • @jacobjb4515
    @jacobjb4515 Před 6 měsíci +1

    Tatizo mnaongea sanaa vitu sio vya msingi

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 Před 6 měsíci

      Wanajishusha thamani sijapenda

  • @zmccenter123
    @zmccenter123 Před 6 měsíci +4

    Mbn nywele za bandia kama kweli umerizika na ulivyozaliwa aliyah,ukiach ivy mamekup n vitu tele mnawek kiufup hakun mwanamke atakaerizik alivyoumbwa labd awe ni mtu wa dini haswa waislam ila wakristo ndipo wanaposuka nywele haswa

    • @marklaire8880
      @marklaire8880 Před 6 měsíci

      Nywele Ni upodozi ndugu yangu,,huwe linganisha na kuongeza shepu,,hivyo wewe hapo upaki mafuta???

    • @zmccenter123
      @zmccenter123 Před 6 měsíci

      @@marklaire8880 kujipaka mafuta pia inategemea ni mafuta gan km ni mafuta tu y kawaid bc n saw n kuvaa nguo t wala haifanan n kubandika nywele sabab kujipak mafut y kawaid haitobadilish rang kutok nyeus kuwa nyeup ila kubandik nywele maan umetok kwenye hatua moj kwend nyengine.
      Hata hizo nguo kiimani pia zina mipak yake kuna dini zinakubal nguo fulan nyengin fulan hii inaonesha ni namn gan uvae nguo ambay haikutoi kwenye imani yako.

    • @nacmahassan7554
      @nacmahassan7554 Před 6 měsíci

      So Kila mtu anapenda kujiongeza

  • @vicentjulius
    @vicentjulius Před 6 měsíci

    Ila watangazaji wa kike ipo siku watakuja wamevaa chupi tu kwa mavazi hayo mmmh! Mbona Gara B anavaa vizuri tu kiheshima na anapendeza.